< Luka 10 >

1 Baada ya mambo hayo, Bwana akachagua sabini wengine, na kuwatuma wawili wawili wamtangulie katika kila mji na eneo alilotarajia kwenda.
Gejile galabhao amagambo ago, Lata Bhugenyi nasola ebheigisibhwa abhandi makumi musanju, nabhatuma bhabhili bhili bhelabhe okukinga bhuli musi na bhuli chalo echo aliga neikanya okujamo.
2 Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Hivyo basi muombeni Bwana wa mavuno, ili kwamba atume haraka wafanyakazi katika mavuno yake.
Nabhabhwila ati, “ebhyokugeswa ni bhafu, nawe abhakosi bhemilimu ni bhatoto. Mbe kulwejo musabhe Omukama wa wobhugesi koleleki atume bhwangu abhakosi bhemilimu mulugeso lwaye.
3 Enendeni katika miji. Angalieni, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu.
Mugende mumisi. Mbe mwimenye, nabhatuma lwa jinama agati ye emisege ja ibara.
4 Msibebe mfuko wa pesa, wala mikoba ya wasafiri, wala viatu, wala msimsalimie yeyote njiani.
Mwasiga okugega omufuko gwa jiela, nolwo emikoba eja bhanu abhaja lugendo, nolwo bhilato, mwasiga nokukesha wonawona munjila.
5 Katika nyumba yeyote mtakayo ingia, kwanza semeni, 'Amani iwe katika nyumba hii.'
Mukengila munyumba yonayona, echokwamba mwaike kutya, 'Omulembe gubhemo munyumba munu.'
6 kama mtu wa amani yupo pale, amani yenu itabaki juu yake, lakini kama sivyo, itarudi kwenu.
Akasanga alimo omunu womulembe munyumba eyo, omulembe gweme ogusigala ingulu yaye, nawe akasanga atalimo, omulembe ogusubha kwimwe.
7 Bakini katika nyumba hiyo, kuleni na mnywe watakachokitoa, kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msihame kutoka nyumba hii kwenda nyingine.
Mwikale munyumba eyo, mulye no kunywa bhihu abhabhaletela, kulwokubha omukosi we emilimu kabhonaga omuyelo. Mwasiga okufuruka mukaja nyumba indi.
8 Mji wowote muuingiao, na wakawapokea, kuleni chochote kitakachowekwa mbele yenu,
Mukengila mumusi na bhakabhalamila, mulye chonachona chinu abhaleta imbele yemwe.
9 na ponyeni wagonjwa waliomo humo. Semeni kwao, 'Ufalme wa Mungu umekuja karibu yanu'
Muoshe abhalwaye bhanu bhali mumusi ogwo. Mubhabhwile ati, 'Obhukama bhwa mulwire bhwafogee ayeyi nemwe.'
10 Lakini katika mji wowote mtakaoingia, na wasiwapokee, nendeni nje katika barabara na semeni,
Nawe mumusi gwona gwona gunu mwakengilemo bhasige okubhalamila, musokemo muje anja kunjila nimwaika ati,
11 'Hata vumbi katika mji wenu lililonata miguu mwetu tunalikung'uta dhidi yenu! Lakini tambueni hili, Ufalme wa Mungu umekaribia.'
'Nolwo oluteli lo omusi gunu lunu lugwatiliye kumaguru geswe chalukubhula lubhe ingulu yemwe! Nawe mulagumenya gunu, Obhukama bhwa Nyamuanga bhwafogee yeyi.'
12 Ninawambieni kwamba siku ya hukumu itakuwa ni usitahamilivu zaidi kwa Sodoma kuliko mji huo.
Enibhabhwila kutiya olunaku lwa indamu lulibha lwokwikomesha muno ku Sodoma kusiga omusi ogwo.
13 Ole kwako Korazini, Ole kwako Bethsaida! Kama kazi kuu zilizo fanyika ndani yako ingalifanyika Tiro na Sidoni, Wangelitubu zamani sana, wakikaa ndani ya nguo za gunia na majivu.
Kolazini jakubhona, Betisaida jakubhona! Ka labha emilimu mikulu jinu jakolekana ewao chisanga jikolekene Tiro na Sidoni, bhakasigile ebhibhi bhwangu muno, bhakafwaye jingubho jamagunila na lifu.
14 Lakini itakuwa usitahamilivu zaidi siku ya hukumu kwa Tiro na Sidoni zaidi yenu.
Nawe kulibhao okwikomesha muno ku musi gwa Tiro na Sidoni kulunaku olwa indamu kusiga emwe.
15 Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs g86)
Awe Kaperanaumu, owiganilishati bhalikutula ingulu okukinga mulwire? Pai, outelembushwa emwalo okukinga nyombe. (Hadēs g86)
16 Atakaye wasikiliza ninyi anisikiliza mimi, na yeyote atakaye wakataa anikataa mimi, na yeyote anikataaye mimi anmtakaa aliyenituma”
Oyo alibhategelesha emwe kantegelesha anye, na wonawona unu alibhalema emwe kalema anye, na wonawona oyo kandema anye kalema unu antumile anye.”
17 Wale sabini walirudi kwa furaha, wakisema, “Bwana, hata mapepo wanatutii katika jina lako.”
Bhaliya makumi musanju bhasubhile kwobhukondelelwa muno, nibhaika ati, “Mukama nolwo amasambwa ona agachungwa mwisina lyao.”
18 Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi.
Yesu nabhabhwila ati, Nalolele shetani nagw aokusoka mulwire lwo olukubha.
19 Tazama, nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za adui, na hapana chochote kwa njia yoyote kitakachowadhuru.
Mbe mulole, nabhayana obhuyinga bhwo kutaja jinjoka na jinge, na amanaga gonna agomusoko, na chitalio chona chona na kwa njila yonaona chinu chilibhanyamula.
20 Hata hivyo msifurahi tu katika hili, kwamba roho zinawatii, lakini furahini zaidi kwamba majina yenu yameandikwa mbinguni.”
Nolwo kutiyo mwasiga kukondelewa kwo omusango gumwi ila gunu, nawe mukondelelwe muno kulwokwandikwa kwanamasina gemwe mulwire.”
21 Katika mda uleule alifurahi sana katika Roho Mtakatifu, na kusema, “Ninakusifu wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeyaficha mambo haya kutoka kwa wenye hekima na akili, na kuyafunua kwa wasio fundishwa, kama watoto wadogo. Ndio, Baba, kwa kuwa ilipendeza katika machoni pako.”
Omwanya ogwo, nakondelelwa muno mu Mwoyo Mwelu, naika ati, “Enikukuya awe, Lata, Omukama wo olwire ne echalo, kulwokubha waselekele emisango jinu kubhanu bhobhwengeso no obhwenge, nugasulula kubhanu bhateigisibhwe, lwa abhana abhalela. Nikwo kutyo, Lata, kulwokubha jakukondeye mumeso gao.”
22 “Kila kitu kimekabidhiwa kwangu na Baba yangu, na hakuna afahamuye Mwana ni nani ila Baba, na hakuna afahamuye Baba ni nani ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana hutamani kujifunua kwake.”
“Bhuli chinu niyabhilwe na Lata wani, na atalio unu kamenya ati Omwana niga, tali ni Lata, na atalio unu kamenya ati Lata niga, tali ni Omwana, na wonawona unu Omwana kekumbulila okwisulula kumwene.”
23 Akawageukia wanafunzi, akasema faraghani, “Wamebarikiwa wayaonayo haya ambayo ninyi mnayaona.
Nabhaindukila abheigisibhwa nabhabhwila bhali kasugumbaju, “Bhana libhando bhanu abhalola ganu ago omulola emwe.
24 Ninawambia ninyi, kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuona mambo myaonayo, na hawakuyaona, na kusikia kusikia mnayoyaikia, na hawakuyasikia.”
Enibhabhwila emwe kutya, abhalagi bhafu na abhakama bhesigombelaga okulola ganu omulola, nawe bhatagabhwene no okungwa ganu omungwa.”
25 Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios g166)
Mbe lola, omwiigisha umwi owebhilagilo ebhye Chiyaudi emeleguyu namusaka Yesu naika ati, “Mwiigisha, nikole chinuki koleleki nilye omwandu gwo bhuanga bhwa akajanende?” (aiōnios g166)
26 Yesu akamwambia, “Kimeandikwa nini katika sheria? Unaisoma je?”
Yesu namubhwila ati, “Jandikilwe kutiki mubhilagilo? Ousomaga kutiki?”
27 Akajibu akasema, “Utampenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote, na jirani yako kama nafsi yako mwenyewe.”
Namusubhya naika ati, “Yendaga Omukama Nyamuanga wao kwo moyo gwao gwona, kwomutima gwao gwona, kwa amanaga gao gona na kwo bhwenge bhwao bhwona na wende omwikashanya wao lwakutyo owienda awe omwene.”
28 Yesu akasema, “Umejibu kwa usahihi. Fanya hivi na utaishi.”
Yesu naika ati, “Wasubhya kisi. Mbe nukole kutyo ouja okulama.”
29 Lakini mwalimu, akitamani kujihesabia haki mwenyewe, Akamwambia Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
Nawe omwiigisha nenda okwibhalila obhulengelesi omwenekili, namubhwila Yesu ati, “Ko mwikashanya wani niga?”
30 Yesu akijibu akasema, “Mtu fulani alikuwa akitelemka kutoka Yerusalem kwenda Yeriko. Akaangukia kati ya wanyang'anyi, waliomnyang'anya mali yake, na kumpiga na kumuacha karibu akiwa nusu mfu.
Yesu nasubhya naika ati, “Omunu umwi aliga nolomoka okusoka Yerusalemu najaga Yeriko. Mbe nagwa mumabhoko agabhasakusi, nibhamusakula ebhinu bhaye bhyona nibhamubhuma nokumusigao alikuti afuye.
31 Kwa bahati kuhani fulani alikuwa akishuka katika njia hiyo, alipo muona alipita upande mwingine.
Kutiki ebhando, omugabhisi umwi aliganolomoka kunjila eyo, ejile amulola netulila kumbali.
32 Vivyo hivyo Mlawi pia, alipofika mahali pale na kumuona, akapita upande mwingine.
Omulawi ona nakola kutyo, ejile akakinga ao namulola, ona netulila kumbali.
33 Lakini Msamaria mmoja, alipokuwa akisafiri, alipita pale alipokuwa mtu huyo. alipomuona, alisukumwa kwa huruma.
Nawe omusamaria umwi unu aliga naja lugendo lwaye, nalabha ao aliga omuuta. Ejile amulola nasilwa nechigongo.
34 Alimkaribia na kumfunga vidonda vyake, akimwiga mafuta na divai juu yake. Alimpandisha juu ya mnyama wake, na kumpeleka katika nyumba ya wageni na kumhudumia.
Namufogelako namusemba obhuuta bhwaye, namusiga amafuta na idivai kumubhili gwaye. Amulinyishe ingulu ya intyanyi yaye, namusila munyumba ya abhagenyi nokumulwasha.
35 Siku ilyofuata alichukua dinari mbili, na akampatia mmiliki wa nyumba ya wageni na kumwambia, 'Muhudumie na chochote cha ziada utakacho tumia, nitakulipa nitakaporudi.'
Bwire bhucheye nagega jiyela dinari ebhili, nayana kanya nyumba ya abhagenyi namubhwila ati, 'Numulwashe na chona chona chinu chileyongesha echowakakolele, nakaje okukulia nakasubhe.'
36 Ni yupi kati ya hawa watatu, unafikiri, alikuwa ni jirani kwake yeye aliyeangukia kati ya wanyang'anyi?”
Mbe ni uya mubhanu abho ukeganilisha, unu aliga ali mwikashanya wa unu agwiliye mumabhoko ga abhasakusi?”
37 Mwalimu alisema, “Ni yule aliyeonesha huruma kwake.” Yesu akamwambia, “Nenda na ukafanye vivyo hivyo”
Omwiigisha nasubhya ati, “Ni unu elesishe echigongo kumuuta.” Mbe Yesu namubhwila ati, “Genda aona ukole kutyo.”
38 Sasa walipokuwa wakisafiri, waliingia katika kijiji fulani, na mwanamke mmoja jina lake Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
Mbe ao bhaliga bhachagenda mulugendo, nibhakinga muchijiji chimwi, no omugasi umwi natogwa Marita namukumililanika ewaye.
39 Alikuwa na dada aliyeitwa Mariamu, aliekaa miguuni pa Bwana na kusikiliza neno lake.
Omugasi oyo aliga ali namuyala wabho natogwaga Mariamu, unu aliga eyanjile mumagulu go Omukama nokutegelesha omusango gwaye.
40 Lakini Martha alijipa shughuli nyingi za kuandaa mlo. Alikwenda kwa Yesu, na kusema, “Bwana, haujali kwamba dada yangu ameniacha nihudumu peke yangu? Hivyo basi mwambie anisaidie.”
Nawe Marita nagega milimu myafu ejo kufulubhenda okuteka ebhilyo. Nagenda ku Yesu nokwaika ati, “Lata Bhugenyi, awe utakusasila oulola muyalawasu ansigila obhufulubhendi nenyele? Kulwejo numubhwile ansakile.”
41 Lakini Bwana alimjibu na kumwambia, “Martha, Martha, una sumbuka juu ya mambo mengi,
Nawe Lata Bhugenyi namusubhya namubhwila ati, “Marita, Marita, ounyakilila magambo mafu,
42 lakini ni kitu kimoja tu cha muhimu. Mariamu amechagua kilicho chema, ambacho hakitaondolewa kutoka kwake.”
nawe liliwo egambo limwi la elya insonga. Mariamu asola linu likondele, na litakuja kumusokako.”

< Luka 10 >