< Luka 10 >
1 Baada ya mambo hayo, Bwana akachagua sabini wengine, na kuwatuma wawili wawili wamtangulie katika kila mji na eneo alilotarajia kwenda.
Naiwakondyo kuligitya nanso, Uyesu akaaholanya hangi makumi mapungate nuakualagialya abili amutongeele muisali nutakile kenda.
2 Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Hivyo basi muombeni Bwana wa mavuno, ili kwamba atume haraka wafanyakazi katika mavuno yake.
Akaila indya niakuogolwa yidu, eituwia milimo akehu, kululo mulompi umukulu nuauogoli akaye kuatwala eitumi muogoli nuandya yakwe.
3 Enendeni katika miji. Angalieni, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu.
Longoli muisali mutule miho numutumile anga inkolomukati amadale a mbugu ya yamihaka.
4 Msibebe mfuko wa pesa, wala mikoba ya wasafiri, wala viatu, wala msimsalimie yeyote njiani.
Muleki kukenka imbugulu nia kila ngila, ang'wi ilatu, hangi muleke kumulamsha muntu wihi mungila.
5 Katika nyumba yeyote mtakayo ingia, kwanza semeni, 'Amani iwe katika nyumba hii.'
Munyamba ihi nimukingila, lungui hanza, mpolo utule ni nyumba uji
6 kama mtu wa amani yupo pale, amani yenu itabaki juu yake, lakini kama sivyo, itarudi kwenu.
. Ang'wi muntu wa upolo ukoli pang'wanso, upoto ukutula kitalakwe ang'wi kutile pang'wanso mpolo ukusuka kusuka kutalanyu.
7 Bakini katika nyumba hiyo, kuleni na mnywe watakachokitoa, kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msihame kutoka nyumba hii kwenda nyingine.
Sagi munyumba yiyo, lii nukung'wa iko niakuki pumya, kunsoko umitumi wipegwa ikinya mulimo nazawitumilo.
8 Mji wowote muuingiao, na wakawapokea, kuleni chochote kitakachowekwa mbele yenu,
Mukisali kihi nemukingila, anga amu singilya, muliye indyanikuwekwa panlongeela anfu.
9 na ponyeni wagonjwa waliomo humo. Semeni kwao, 'Ufalme wa Mungu umekuja karibu yanu'
Hangi aguni ialwae niakole mung'wanso, lungikitalao Ulemi wang'wi Tunda waza pakupi nunyenye.
10 Lakini katika mji wowote mtakaoingia, na wasiwapokee, nendeni nje katika barabara na semeni,
Anga menda muisali ing'wi ahila kuwuisingiilya longoli kunzi numunzila mulunge.
11 'Hata vumbi katika mji wenu lililonata miguu mwetu tunalikung'uta dhidi yenu! Lakini tambueni hili, Ufalme wa Mungu umekaribia.'
Ulukundi la kisali kanyu nuludamantie mumigulu itu kuulukununta kutalanyu, ingi mulingi ili kina ulewi wang'wi Tunda wahugeela.
12 Ninawambieni kwamba siku ya hukumu itakuwa ni usitahamilivu zaidi kwa Sodoma kuliko mji huo.
Numuie kina uluhuki nulaulamulwa luzetula lukamaliku ku sodoma kukali ikisali nikanso.
13 Ole kwako Korazini, Ole kwako Bethsaida! Kama kazi kuu zilizo fanyika ndani yako ingalifanyika Tiro na Sidoni, Wangelitubu zamani sana, wakikaa ndani ya nguo za gunia na majivu.
Isatiko lako korazini, Isatiko lako Bethsaida ang'wi Imilimo nimikulu aitumiwe kitalako anga aizeitumiwe ku Tiro nuku sidoni, aziili tunu ung'wandyo aileke imilandu, aiatugale Imyenda amagunila ni mau kipaka.
14 Lakini itakuwa usitahamilivu zaidi siku ya hukumu kwa Tiro na Sidoni zaidi yenu.
Ingi gwa izizatula ikamatiku nangulu utuhiku nulaulamulwa rula tiro ni sidoni kukila unye.
15 Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs )
Ue kapernaumu, usigile uzihumbulwa upike kilundo? Uzesimigwa pihi kujehanamu. (Hadēs )
16 Atakaye wasikiliza ninyi anisikiliza mimi, na yeyote atakaye wakataa anikataa mimi, na yeyote anikataaye mimi anmtakaa aliyenituma”
Uyu numtegeeye unye, untegeeye unihitile nene, nuyu wihi nunihitile une, umuhitile uyu nuntumile.
17 Wale sabini walirudi kwa furaha, wakisema, “Bwana, hata mapepo wanatutii katika jina lako.”
Ao ni mupungati ikasuka nilumbi, akalunga ''Mukulu ka nia mintunga aina kukulya kudiila lina lako.
18 Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi.
Uyusu akaila ''azarumuine umulugu azukugwa kupuma kilunde anga ulupito.
19 Tazama, nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za adui, na hapana chochote kwa njia yoyote kitakachowadhuru.
Goza numupee uhumi wakupambala inzoka ni nkuma, ningulu yihi nialugu, hangi kutile kintu kihi nikikumu alya.
20 Hata hivyo msifurahi tu katika hili, kwamba roho zinawatii, lakini furahini zaidi kwamba majina yenu yameandikwa mbinguni.”
Kuluko muleki kulowa kunsoko aili, kuna menda kuligwa, singa uu, ingi lumbi imina anyu nandikilwe kilunde.
21 Katika mda uleule alifurahi sana katika Roho Mtakatifu, na kusema, “Ninakusifu wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeyaficha mambo haya kutoka kwa wenye hekima na akili, na kuyafunua kwa wasio fundishwa, kama watoto wadogo. Ndio, Baba, kwa kuwa ilipendeza katika machoni pako.”
Kumatungu yayoyayo akaloa nangulu kuvikolo ang'wa ng'welu akalunga nakulumbulya huewe, Tata mukulu naukulunde numihi kunsoko umapihile imakani aya kuakuantu nisiamanyisigwe, anga ia ngenya nianino, ingi uu Tata kunsoko auloeigwe mumcho ako. antu ni ahugu nawa niamahala nuku makunukula
22 “Kila kitu kimekabidhiwa kwangu na Baba yangu, na hakuna afahamuye Mwana ni nani ila Baba, na hakuna afahamuye Baba ni nani ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana hutamani kujifunua kwake.”
Maintu ihi mambigwe nu Tata wane, hangi kutile nulingile ungwana nyenye ingi utala, hangi kutile numumanyile utata ingi ung'wana, nuyu wihi nuilowa ung'wana kikunukula kung'wakwe.
23 Akawageukia wanafunzi, akasema faraghani, “Wamebarikiwa wayaonayo haya ambayo ninyi mnayaona.
Akapilukila iamanyisigwa, akalunga kinkunku, akembetwa awa nimaona aya ninye nimaona.
24 Ninawambia ninyi, kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuona mambo myaonayo, na hawakuyaona, na kusikia kusikia mnayoyaikia, na hawakuyasikia.”
Kumuila unyenye kina anyakidagu idu niatemi aialoilwe kuiona inkani nimiiona, shakaona nu kija ayo nimija singaakija.
25 Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios )
Goza akimika mumanyisi ung'wi nua unonelya nua kiyahudi, akawiugema uyesu akamuila nitume ntumi nihume kusala utemi nua kiguhe. (aiōnios )
26 Yesu akamwambia, “Kimeandikwa nini katika sheria? Unaisoma je?”
Uyesu akamuila iliiye ule muunonelya nuiusoma?
27 Akajibu akasema, “Utampenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote, na jirani yako kama nafsi yako mwenyewe.”
Akasusha akalunga, ''mulowe Itundo wako kuakonto ako ihi, nukungulu yako yihi, nimahala ako ihi, numunya kisali ako anga uewe nizawiloilwe.
28 Yesu akasema, “Umejibu kwa usahihi. Fanya hivi na utaishi.”
Uyesu akalunga, wasukiilya tai, itume uu ukikie.
29 Lakini mwalimu, akitamani kujihesabia haki mwenyewe, Akamwambia Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
Ingi umumanyisi akalowa iaelyeitaiung'wenso, akamuila uyesu, ite gwa umunyakiali ane nyanyu?
30 Yesu akijibu akasema, “Mtu fulani alikuwa akitelemka kutoka Yerusalem kwenda Yeriko. Akaangukia kati ya wanyang'anyi, waliomnyang'anya mali yake, na kumpiga na kumuacha karibu akiwa nusu mfu.
Yesu akasucha akalunga aukoli muntu au kusima kupuma kuyelusalemu kulongolaku yeriko akagwilamuantu niabi, ikamuhegela insao yakwe yihi hangi ikamukuwa pakupe insha.
31 Kwa bahati kuhani fulani alikuwa akishuka katika njia hiyo, alipo muona alipita upande mwingine.
Kua uniniau mudimi ing'wi auzile akazesima munjila nansa, naumuine akakiila kunziga.
32 Vivyo hivyo Mlawi pia, alipofika mahali pale na kumuona, akapita upande mwingine.
Uu hangi umulawi, naupikile pang'wanso akamuona akakila kungiza.
33 Lakini Msamaria mmoja, alipokuwa akisafiri, alipita pale alipokuwa mtu huyo. alipomuona, alisukumwa kwa huruma.
Kululo msamana ung'wi naukite umuhinzo, akakiila apo naukole umuntu nuanso, naumuine, akahung'wa kinyauwai.
34 Alimkaribia na kumfunga vidonda vyake, akimwiga mafuta na divai juu yake. Alimpandisha juu ya mnyama wake, na kumpeleka katika nyumba ya wageni na kumhudumia.
Aumuhugee akamutungilya inkomele yakwe akahunuila imakuta ni divai migulya akwe. akamunankilya migulya amutugo wakwe, akamutwala munyumba akila njila akamuailya.
35 Siku ilyofuata alichukua dinari mbili, na akampatia mmiliki wa nyumba ya wageni na kumwambia, 'Muhudumie na chochote cha ziada utakacho tumia, nitakulipa nitakaporudi.'
Iluhiku nailutyatie akahota mpia ibiihi hangi akamupa umukola nuyumba nia kupikila iakila nzila nukumuila muailye kihi mitite angavu suka nzekusukiilya.
36 Ni yupi kati ya hawa watatu, unafikiri, alikuwa ni jirani kwake yeye aliyeangukia kati ya wanyang'anyi?”
Nuuli kuawa niatatu, usigile kina ai Munyakisali akwe, naugwie muabi?
37 Mwalimu alisema, “Ni yule aliyeonesha huruma kwake.” Yesu akamwambia, “Nenda na ukafanye vivyo hivyo”
Umumanyisi akalunga, ingi uyunamuonee inyauwaikutalakwe, Uyesuakamuila iongola ende witume uu.
38 Sasa walipokuwa wakisafiri, waliingia katika kijiji fulani, na mwanamke mmoja jina lake Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
Naiakole mumu ihinzo akiingela mukisali king'wi, musungu ung'wi lina lakwe Mrtha akamu singiilya kito lakwe
39 Alikuwa na dada aliyeitwa Mariamu, aliekaa miguuni pa Bwana na kusikiliza neno lake.
. Autite umufuna naiwitanga Mariamu naiwikie pa migulu amu kulu nukutegeelya ulukanilakwe.
40 Lakini Martha alijipa shughuli nyingi za kuandaa mlo. Alikwenda kwa Yesu, na kusema, “Bwana, haujali kwamba dada yangu ameniacha nihudumu peke yangu? Hivyo basi mwambie anisaidie.”
Ingi gwa umartha akipa milimo idu kunonelya indya akalongola kung'wa Yesu, nu kuhuga, mukulu, singaukee kina ung'waitu wandeka nitume ningwene ingi gwa muile anzailye.
41 Lakini Bwana alimjibu na kumwambia, “Martha, Martha, una sumbuka juu ya mambo mengi,
Ingi umukulu akamusukulya akamuila, Martha, Martha, ukaga ni nkani idu.
42 lakini ni kitu kimoja tu cha muhimu. Mariamu amechagua kilicho chema, ambacho hakitaondolewa kutoka kwake.”
Kululo gwa ingi kintu king'wi du nikatai Mariamu waholanya iko nikiza, nishakizehegigwa kupuma kitalakwe.