< Luka 10 >

1 Baada ya mambo hayo, Bwana akachagua sabini wengine, na kuwatuma wawili wawili wamtangulie katika kila mji na eneo alilotarajia kwenda.
Hathnukkhu hoi, Bawipa ni alouke tami 72 touh a rawi teh, a cei nahane kho tangkuem koe tami kahni kahni touh hoi hmaloe a patoun.
2 Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Hivyo basi muombeni Bwana wa mavuno, ili kwamba atume haraka wafanyakazi katika mavuno yake.
Bawipa ni ahnimouh koe, canga hanelah moi ao. Ka a e tami a younca. Hatdawkvah ka tawk hane tami a patoun thai nahanelah, law katawnkung koe ratoum awh.
3 Enendeni katika miji. Angalieni, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu.
Cet awh, asuihu koe tucanaw tha e patetlah kai ni na patoun awh.
4 Msibebe mfuko wa pesa, wala mikoba ya wasafiri, wala viatu, wala msimsalimie yeyote njiani.
Tangkabom, yawngya, khokkhawm sin awh hanh. Lam dawk na cei awh navah, apihai pato awh hanh.
5 Katika nyumba yeyote mtakayo ingia, kwanza semeni, 'Amani iwe katika nyumba hii.'
Api im hai thoseh, na kâen navah, hete im dawk yawhawinae awmseh telah hmaloe dei pouh awh.
6 kama mtu wa amani yupo pale, amani yenu itabaki juu yake, lakini kama sivyo, itarudi kwenu.
Hote im dawk roumnae capa awm pawiteh, nangmouh ni na dei e yawhawinae teh ao han.
7 Bakini katika nyumba hiyo, kuleni na mnywe watakachokitoa, kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msihame kutoka nyumba hii kwenda nyingine.
Cat net awh. Bangkongtetpawiteh ka tawk e tami teh kutphu hmu hanelah a kamcu. Im buet touh hnukkhu buet touh kampuen awh hanh.
8 Mji wowote muuingiao, na wakawapokea, kuleni chochote kitakachowekwa mbele yenu,
Bangpatet e kho dawk hai na kâen awh navah nangmouh na ka dawn e taminaw ni na hmalah a lawng awh e hah cat awh.
9 na ponyeni wagonjwa waliomo humo. Semeni kwao, 'Ufalme wa Mungu umekuja karibu yanu'
Kapatawnaw dam sak awh. Cathut uknaeram teh nangmouh dawk a kangdue nahan tueng a hnai toe telah dei awh.
10 Lakini katika mji wowote mtakaoingia, na wasiwapokee, nendeni nje katika barabara na semeni,
Bangpatet e kho dawk hai na kâen navah, kho thung e taminaw ni pasoung hoehpawiteh lam dawk tâcawt awh nateh na khok dawk e vaiphu takhawng sin awh.
11 'Hata vumbi katika mji wenu lililonata miguu mwetu tunalikung'uta dhidi yenu! Lakini tambueni hili, Ufalme wa Mungu umekaribia.'
Hatei, Cathut uknaeram teh nangmae teng a pha toe tie panuek awh, telah ahnimouh koe dei pouh.
12 Ninawambieni kwamba siku ya hukumu itakuwa ni usitahamilivu zaidi kwa Sodoma kuliko mji huo.
Kai ni na dei pouh e teh ahnoungpoung e hnin nah hote kho teh Sodom kho hlak a khang han.
13 Ole kwako Korazini, Ole kwako Bethsaida! Kama kazi kuu zilizo fanyika ndani yako ingalifanyika Tiro na Sidoni, Wangelitubu zamani sana, wakikaa ndani ya nguo za gunia na majivu.
Oe, Khorazin kho nang teh na yawthoe. Bethsaida nang hai na yawthoe. Bangkongtetpawiteh, nangmouh koe thaonae hno ka kamnue sak e hah Taire kho hoi Sidon kho dawk kamnue sak pawiteh hote khonaw teh napon kâkhu awh vaiteh vaiphu a kâphuen laihoi a tahung awh vaiteh, pankângai awh han doeh toe.
14 Lakini itakuwa usitahamilivu zaidi siku ya hukumu kwa Tiro na Sidoni zaidi yenu.
Lawkcengnae hnin dawk teh Taire kho hoi Sidon kho hlak nangmanaw na khang awh han.
15 Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs g86)
Oe, Kapernuam khopui, nang teh kalvan totouh na tawmdawm eiteh phuen totouh pabonae na khang han. (Hadēs g86)
16 Atakaye wasikiliza ninyi anisikiliza mimi, na yeyote atakaye wakataa anikataa mimi, na yeyote anikataaye mimi anmtakaa aliyenituma”
Nangmae lawk ka tarawi e tami teh kaie lawk a tarawi. Nangmouh ka pahnawt e tami teh kai ka pahnawt e doeh. Kai ka pahnawt e tami teh kai na kapatounkung ka pahnawt e doeh telah atipouh.
17 Wale sabini walirudi kwa furaha, wakisema, “Bwana, hata mapepo wanatutii katika jina lako.”
Hote a hnukkâbang 72 touh teh lunghawi laihoi a ban awh teh, Bawipa nange min lahoi kahraituilinaw patenghai ka pâlei thai awh, telah atipouh awh.
18 Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi.
Jisuh ni hai Setan teh sumpapalik patetlah kalvan hoi a tho e hah ka hmu toe.
19 Tazama, nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za adui, na hapana chochote kwa njia yoyote kitakachowadhuru.
Nangmouh ni tahrun, aikamnaw lathueng kâtawnnae hoi tarannaw tâ thainae bahu kai ni na poe awh. Bangpatet e ni hai a rucatnae na poe mahoeh.
20 Hata hivyo msifurahi tu katika hili, kwamba roho zinawatii, lakini furahini zaidi kwamba majina yenu yameandikwa mbinguni.”
Hatei, kahrainaw na pâlei thai awh dawk na konawm awh hanh. Nangmae na minnaw hah kalvan thut lah ao e dawk na konawm awh, telah atipouh.
21 Katika mda uleule alifurahi sana katika Roho Mtakatifu, na kusema, “Ninakusifu wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeyaficha mambo haya kutoka kwa wenye hekima na akili, na kuyafunua kwa wasio fundishwa, kama watoto wadogo. Ndio, Baba, kwa kuwa ilipendeza katika machoni pako.”
Hatnavah Jisuh ni Kathoung Muitha dawk a konawm teh, kalvan hoi talai ka uk e apa, nang ni a lungkaang kathoumthainaw hanelah na hro pouh e hno, hete camonaw koe na pâpho pouh dawkvah ka lunghawi. Hottelah na ngainae ao dawk katang doeh apa!
22 “Kila kitu kimekabidhiwa kwangu na Baba yangu, na hakuna afahamuye Mwana ni nani ila Baba, na hakuna afahamuye Baba ni nani ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana hutamani kujifunua kwake.”
Kaie na pa ni hnocawngca pueng kai koe koung na poe toe. Capa hah apimaw telah a Pa hoeh laipalah apinihai panuek hoeh. Pa teh apimaw telah Capa hoi Capa ni a ang sak e tami hoeh laipalah apinihai panuek hoeh telah atipouh.
23 Akawageukia wanafunzi, akasema faraghani, “Wamebarikiwa wayaonayo haya ambayo ninyi mnayaona.
Hathnukkhu hoi a hnukkâbangnaw koe lah a kangvawi teh, atu na hmu e naw heh nangmouh ni na hmu awh dawkvah nangmae na mit teh a yawhawi.
24 Ninawambia ninyi, kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuona mambo myaonayo, na hawakuyaona, na kusikia kusikia mnayoyaikia, na hawakuyasikia.”
Kai ni na dei pouh e teh, nangmouh ni na hmu e naw heh profetnaw hoi siangpahrangnaw ni hmu hane a ngai awh eiteh hmawt awh hoeh. Nangmouh ni na thai e naw hah thai han a ngai awh eiteh thai awh hoeh telah a hnukkâbangnaw koe dueng doeh, atipouh.
25 Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios g166)
Hnin touh hnin vah, kâlawk kacangkhaikung buet touh a kangdue teh, saya yungyoe hringnae hmu hanelah bangmaw ka sak han telah a tanouk. (aiōnios g166)
26 Yesu akamwambia, “Kimeandikwa nini katika sheria? Unaisoma je?”
Bawipa ni kâlawk cauk dawk bangtelamaw a thut. Bangtelamaw na touk telah a pacei navah,
27 Akajibu akasema, “Utampenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote, na jirani yako kama nafsi yako mwenyewe.”
Hote tami ni na Cathut teh na lungthin abuemlahoi, na thaonae abuemlahoi, na panuenae abuemlahoi na lungpataw han, na imri hah namahoima patetlah lungpataw telah atipouh.
28 Yesu akasema, “Umejibu kwa usahihi. Fanya hivi na utaishi.”
Bawipa ni na dei e teh a tang doeh. Telah na sak pawiteh na hring han.
29 Lakini mwalimu, akitamani kujihesabia haki mwenyewe, Akamwambia Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
Hote tami ni hai apipatet maw kaie ka imri telah amahoima yonnae ka tawn hoeh e patetlah Jisuh bout a pacei.
30 Yesu akijibu akasema, “Mtu fulani alikuwa akitelemka kutoka Yerusalem kwenda Yeriko. Akaangukia kati ya wanyang'anyi, waliomnyang'anya mali yake, na kumpiga na kumuacha karibu akiwa nusu mfu.
Jisuh ni tami buet touh teh Jerusalem kho dawk hoi Jeriko kho lah a cei navah dingcanaw hoi a kâhmo. Dingcanaw ni hote tami e angki a phawi pouh teh meimei kadout lah a hem awh teh a ceitakhai awh.
31 Kwa bahati kuhani fulani alikuwa akishuka katika njia hiyo, alipo muona alipita upande mwingine.
Hote lamthung dawk vaihma buet touh khou a cei teh hote tami a hmu navah oun a roun.
32 Vivyo hivyo Mlawi pia, alipofika mahali pale na kumuona, akapita upande mwingine.
Hot patetvanlah Levih tami buet touh ni hai hote hmuen koe a pha navah, ahni hah a hmu teh alouke lam lahoi a roun.
33 Lakini Msamaria mmoja, alipokuwa akisafiri, alipita pale alipokuwa mtu huyo. alipomuona, alisukumwa kwa huruma.
Hatei, Samaria tami buet touh kahlong a cei. Hote tami ka pataw koe a pha teh, a hmu navah, a pahren.
34 Alimkaribia na kumfunga vidonda vyake, akimwiga mafuta na divai juu yake. Alimpandisha juu ya mnyama wake, na kumpeleka katika nyumba ya wageni na kumhudumia.
Ahni koe a hnai teh a hmânaw dawk satui hoi misurtui a hluk pouh, lukkarei hoi a kawm pouh hnukkhu amae saring van a thueng teh rim koe a ceikhai teh a khetyawt.
35 Siku ilyofuata alichukua dinari mbili, na akampatia mmiliki wa nyumba ya wageni na kumwambia, 'Muhudumie na chochote cha ziada utakacho tumia, nitakulipa nitakaporudi.'
A tangtho toteh denari kahni touh a rasa teh rim kaukkung koe a poe. Hete tami la khenyawn nateh ka baw e naw pueng bout ka tho torei na patho han telah atipouh. Bangtelamaw na pouk, telah a pacei.
36 Ni yupi kati ya hawa watatu, unafikiri, alikuwa ni jirani kwake yeye aliyeangukia kati ya wanyang'anyi?”
Hote tami kathum touh dawk apimaw dingca kut dawk ka phat e tami hoi ka kâhnai telah a pacei navah,
37 Mwalimu alisema, “Ni yule aliyeonesha huruma kwake.” Yesu akamwambia, “Nenda na ukafanye vivyo hivyo”
Kâlawk ka cangkhaikung nihai, ka pataw e tami ka pahren e telah atipouh navah, Jisuh ni nang hai cet nateh hottelah sak loe atipouh.
38 Sasa walipokuwa wakisafiri, waliingia katika kijiji fulani, na mwanamke mmoja jina lake Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
Jisuh teh a hnukkâbangnaw hoi kahlong lah a cei navah, kho buet touh dawk a kâen awh teh, Martha tie napui buet touh ni ama im vah Bawipa teh a luen sak.
39 Alikuwa na dada aliyeitwa Mariamu, aliekaa miguuni pa Bwana na kusikiliza neno lake.
Hote napui ni Meri tie a nawngha buet touh a tawn. Hote Meri teh Jisuh e a khok koe a tahung teh a dei e lawk a thai.
40 Lakini Martha alijipa shughuli nyingi za kuandaa mlo. Alikwenda kwa Yesu, na kusema, “Bwana, haujali kwamba dada yangu ameniacha nihudumu peke yangu? Hivyo basi mwambie anisaidie.”
Martha teh pacapanei hane kong dawkvah a lungpuen teh, Jisuh koe Bawipa, ka nawngha ni, ka madueng tawk sak hanelah pak na nat e hah banglahai na pouk hoeh bo aw. Kai thaw na kabawp hanelah patoun haw telah atipouh.
41 Lakini Bwana alimjibu na kumwambia, “Martha, Martha, una sumbuka juu ya mambo mengi,
Jisuh ni Martha, Martha, nang teh hno moikapap dawk na kâhruetcuet teh thouk na patang toe. Hatei na panki e hno buet touh ao.
42 lakini ni kitu kimoja tu cha muhimu. Mariamu amechagua kilicho chema, ambacho hakitaondolewa kutoka kwake.”
Meri ni hnokahawi yo a rawi toe. Apini hai bout lawm thai mahoeh toe.

< Luka 10 >