< Luka 10 >

1 Baada ya mambo hayo, Bwana akachagua sabini wengine, na kuwatuma wawili wawili wamtangulie katika kila mji na eneo alilotarajia kwenda.
Amalalu, Yesu da dunu72 agoane ilegei. E da hobea moilai enoga enoga masunu dawa: beba: le, amo moilaiga ilegei dunu 72 da bisili olelela masa: ne, E da ili asunasi.
2 Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Hivyo basi muombeni Bwana wa mavuno, ili kwamba atume haraka wafanyakazi katika mavuno yake.
E da ilima amane sia: i, “Ha: i manu bagohame da yoi gala. Be faimu dunu da bagahamedafa. Amaiba: le, ha: i manu Hina dunu da faimu dunu asunasima: ne, Ema sia: ne gadoma.
3 Enendeni katika miji. Angalieni, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu.
Dilia masa. Be dawa: ma! Dilia da sibi mano agoane, gasonasu wa: me ili adoba amogai Na da dili asunasisa.
4 Msibebe mfuko wa pesa, wala mikoba ya wasafiri, wala viatu, wala msimsalimie yeyote njiani.
Muni salasu, esa, amola emo salasu, mae gagaguli masa. Dilia da dunu logoga ba: sea, gousa: musa: mae aligima.
5 Katika nyumba yeyote mtakayo ingia, kwanza semeni, 'Amani iwe katika nyumba hii.'
Diasua golili sa: imusa: doaga: sea, hidadea, ‘Guiguda: olofoiwane esaloma,’ dilia sia: ma.
6 kama mtu wa amani yupo pale, amani yenu itabaki juu yake, lakini kama sivyo, itarudi kwenu.
Olofosu dunu da amo moilai ganodini esalea, ema dia olofosu olelema. Be olofosu hame galea, dia olofosu hou bu samogema.
7 Bakini katika nyumba hiyo, kuleni na mnywe watakachokitoa, kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msihame kutoka nyumba hii kwenda nyingine.
Amo diasu ganodini esaloma. Hawa: hamosu dunu da ea bidi defelewane lamu. Amaiba: le, dilia amo diasu dunu ilia aowasu hahawane lama. Moilai enoga masusa: , mae mugululi masa.
8 Mji wowote muuingiao, na wakawapokea, kuleni chochote kitakachowekwa mbele yenu,
Moilai dunu ilia da dili hahawane ba: sea, ha: i manu diligili iabe, amo moma.
9 na ponyeni wagonjwa waliomo humo. Semeni kwao, 'Ufalme wa Mungu umekuja karibu yanu'
Oloi dunu uhini, amo moilai dunuma amane sia: ma, ‘Gode Ea Hinadafa Hou da dilima gadenenewane doaga: i dagoi!’
10 Lakini katika mji wowote mtakaoingia, na wasiwapokee, nendeni nje katika barabara na semeni,
Be moilai amoga dunu da dilia sia: higasea, defea, logoga bu asili, amane sia: ma,
11 'Hata vumbi katika mji wenu lililonata miguu mwetu tunalikung'uta dhidi yenu! Lakini tambueni hili, Ufalme wa Mungu umekaribia.'
‘Dilia moilai osobo gulu ninia emo gafega diala ninia doga: sa. Be dawa: ma! Gode Ea Hinadafa Hou da dilima gadenenewane doaga: i dagoi.’
12 Ninawambieni kwamba siku ya hukumu itakuwa ni usitahamilivu zaidi kwa Sodoma kuliko mji huo.
Na dilima dafawane sia: sa. Gode Ea Fofada: su Eso da doaga: sea, goe moilai dunu ilia se dabe iasu da Sodame amola Gomola moilai fi amo ilia musa: se dabe iasu, bagadewane baligimu.”
13 Ole kwako Korazini, Ole kwako Bethsaida! Kama kazi kuu zilizo fanyika ndani yako ingalifanyika Tiro na Sidoni, Wangelitubu zamani sana, wakikaa ndani ya nguo za gunia na majivu.
“Goula: isini fi dunu! Dilia da se baligiliwane nabimu! Bedesa: ida dunu fi amola! Dilia da se bagade nabimu! Daia amola Saidone amo dunu fi da Na gasa bagade musa: hame ba: i hou ba: loba, ilia da: i dioi amola Godema sinidigimu olelema: ne, eboboi abula idiniginisila: loba amola ilia dialuma da: iya nasubu ligisila: loba.
14 Lakini itakuwa usitahamilivu zaidi siku ya hukumu kwa Tiro na Sidoni zaidi yenu.
Gode Ea Fofada: su Eso doaga: sea, dilia se dabe iasu da Daia amola Saidone amo dunu fi ilia se dabe iasu, bagadewane baligimu.
15 Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs g86)
Gabena: iame fi! Dilia Hebene diasuga heda: musa: dawa: bela? Dilia da Helo sogega gudu sa: imu.” (Hadēs g86)
16 Atakaye wasikiliza ninyi anisikiliza mimi, na yeyote atakaye wakataa anikataa mimi, na yeyote anikataaye mimi anmtakaa aliyenituma”
Yesu da Ea ado ba: su dunuma amane sia: i, “Nowa dunu da dilia sia: nabasea, e da Na sia: amola naba. Nowa dunu da dili higasea, e da Na amola higasa. Amola nowa da Na higabeba: le, e da Na Asunasisu Dunu amola higasa.”
17 Wale sabini walirudi kwa furaha, wakisema, “Bwana, hata mapepo wanatutii katika jina lako.”
Amalalu ado ba: su dunu72 ilia da Yesuma hahawane bagade buhagi. Ilia amane sia: i, “Hina! Dia Dioba: le ninia hamoma: ne sia: beba: le, wadela: i a: silibu da beda: iwane nabi.”
18 Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi.
Be Yesu E amane sia: i, “Na da Sa: ida: ne ha: ha: na agoane, osoboga dalebe ba: i.
19 Tazama, nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za adui, na hapana chochote kwa njia yoyote kitakachowadhuru.
Na da sania amola gamaloa dilia osa: le heda: ma: ne amola dilima ha lai (Sa: ida: ne) osa: le heda: ma: ne, gasa bagade hou dilima i. Dilia da se hame nabimu.
20 Hata hivyo msifurahi tu katika hili, kwamba roho zinawatii, lakini furahini zaidi kwamba majina yenu yameandikwa mbinguni.”
Be wadela: i a: silibu da dilia sia: nababeba: le, mae nodoma! Be dilia dio da Hebene ganodini dedei dialebeba: le fawane nodoma!”
21 Katika mda uleule alifurahi sana katika Roho Mtakatifu, na kusema, “Ninakusifu wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeyaficha mambo haya kutoka kwa wenye hekima na akili, na kuyafunua kwa wasio fundishwa, kama watoto wadogo. Ndio, Baba, kwa kuwa ilipendeza katika machoni pako.”
Amo esoga, Yesu da Gode ea A: silibu Hadigidafa Ea hahawane hou amoga nabaiba: le, amane sia: i, “Ada Gode! Osobo bagade amola Hebene Hina Godedafa! Bagade dawa: su dunu hodosa: besa: le, amo liligi Di da wamolegeiba: le amola mano dudubuma oleleiba: le, Na da Dima nodone sia: sa. Dia da hanaiba: le hahawane agoane hamoi.
22 “Kila kitu kimekabidhiwa kwangu na Baba yangu, na hakuna afahamuye Mwana ni nani ila Baba, na hakuna afahamuye Baba ni nani ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana hutamani kujifunua kwake.”
Na Ada da hou huluane Na lobo da: iya ligisi. Dunu huluane da Gode Ea Manodafa hame dawa: Ada Hi fawane da dawa: Na, Gode Ea Mano, Na fawane da Adadafa dawa: Na da hanaiba: le, eno dunuma olelesea, amo dunu amola da Ada Ea hou dawa: mu!”
23 Akawageukia wanafunzi, akasema faraghani, “Wamebarikiwa wayaonayo haya ambayo ninyi mnayaona.
Amalalu, E da sinidigili, Ea ado ba: su dunuma amane sia: i, “Amo hou ba: beba: le, dilia da hahawane gala.
24 Ninawambia ninyi, kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuona mambo myaonayo, na hawakuyaona, na kusikia kusikia mnayoyaikia, na hawakuyasikia.”
Na da dafawane dilima sia: sa! Balofede dunu bagohame amola osobo bagade hina bagade dunu, ilia da dilia waha ba: i liligi ba: mu hanai galu, be hame ba: i. Amola dilia waha nabi liligi ilia da nabimu hanai galu, be hame nabi.”
25 Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios g166)
Eso afaega, sema olelesu dunu da Yesu dafama: ne, wa: legadole, Ema amane sia: i, “Olelesu! Na da Fifi Ahoanusu lama: ne, adi hamoma: bela?” (aiōnios g166)
26 Yesu akamwambia, “Kimeandikwa nini katika sheria? Unaisoma je?”
Yesu E bu adole i, “Gode Sia: Dedei Buga ganodini adi sema dedebela: ? Di adi idibela: ?”
27 Akajibu akasema, “Utampenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote, na jirani yako kama nafsi yako mwenyewe.”
Sema olelesu dunu da bu adole i “Dia dogoga, dia a: silibuga, dia gasaga, amola dia asigi dawa: suga, Godema asigima. Eno da dia da: i hodo amoma asigi hou defelewane, dia na: iyadoma asigima.”
28 Yesu akasema, “Umejibu kwa usahihi. Fanya hivi na utaishi.”
Amalalu, Yesu da ema amane sia: i, “Di da noga: lewane adoi. Agoane hamosea, di da esalumu.”
29 Lakini mwalimu, akitamani kujihesabia haki mwenyewe, Akamwambia Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
Be sema olelesu dunu, hi hou da ida: iwane hidale olelema: ne, Yesuma amane adole ba: i, “Be na na: iyado da nowala: ?”
30 Yesu akijibu akasema, “Mtu fulani alikuwa akitelemka kutoka Yerusalem kwenda Yeriko. Akaangukia kati ya wanyang'anyi, waliomnyang'anya mali yake, na kumpiga na kumuacha karibu akiwa nusu mfu.
Amaiba: le, Yesu E amane sia: i, “Dunu afadafa da Yelusaleme moilai bai bagade fisili, Yeligou moilaiga doaga: musa: , logoga asi. Ahoanoba, wamolasu dunu ilia da logo legele, e doagala: le, fane legele, ea abula amola muni huludafa lale, hobea: le asi. E da da: i nabadodafa, udigili logoga sidi dialu.
31 Kwa bahati kuhani fulani alikuwa akishuka katika njia hiyo, alipo muona alipita upande mwingine.
Amalalu, gobele salasu dunu misini, sidi dialebe ba: beba: le, la: idi sisa: i.
32 Vivyo hivyo Mlawi pia, alipofika mahali pale na kumuona, akapita upande mwingine.
Fa: no, Lifai dunu amola misi. E amola sidi hamoi dunu ba: beba: le, udigili logo la: ididili baligisu.
33 Lakini Msamaria mmoja, alipokuwa akisafiri, alipita pale alipokuwa mtu huyo. alipomuona, alisukumwa kwa huruma.
Be Samelia dunu da amo logoga ahoanoba, sidi dialoba amoga doaga: i. E da amo dunu ba: beba: le, bagadewane asigi galu.
34 Alimkaribia na kumfunga vidonda vyake, akimwiga mafuta na divai juu yake. Alimpandisha juu ya mnyama wake, na kumpeleka katika nyumba ya wageni na kumhudumia.
E da sidi dialebe ema hedolowane doaga: le, ea fofa: gi amo abulaga la: gili, ea aiya huluane olife susuligi amola waini amoga legei. Amalalu, ea dougi da: iya ligisili, ga sofe misi dunu golasuga oule asili, amogawi noga: le ouligi.
35 Siku ilyofuata alichukua dinari mbili, na akampatia mmiliki wa nyumba ya wageni na kumwambia, 'Muhudumie na chochote cha ziada utakacho tumia, nitakulipa nitakaporudi.'
Golale, hahabe, e da diasu ouligisu dunumaK2i. E amane sia: i, ‘Amo dunu noga: le ouligima. Amola muni na waha i ebelesea, na bu masea eno imunu.’”
36 Ni yupi kati ya hawa watatu, unafikiri, alikuwa ni jirani kwake yeye aliyeangukia kati ya wanyang'anyi?”
Yesu da eno amane sia: i, “Amo dunu udiana galebe. Nowa dunu da wamolasuga fai dunu ema na: iyadodafa agoane hamobela: ? Di adi dawa: bela: ?”
37 Mwalimu alisema, “Ni yule aliyeonesha huruma kwake.” Yesu akamwambia, “Nenda na ukafanye vivyo hivyo”
Sema olelesu dunu da bu adole i, “Dunu da ema asigi hou hamoi, e da na: iyadodafa hou hamoi.” Amalalu, Yesu E amane sia: i, “Amaiba: le, di ahoasea, amo ea hou defele hamoma!”
38 Sasa walipokuwa wakisafiri, waliingia katika kijiji fulani, na mwanamke mmoja jina lake Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
Yesu amola Ea ado ba: su dunu ilia da logoga asili, moilaiga doaga: i. Uda ea dio amo Mada ea diasua, Yesu aowai.
39 Alikuwa na dada aliyeitwa Mariamu, aliekaa miguuni pa Bwana na kusikiliza neno lake.
Mada eya dio da Meli. E da Yesu Ea emo gadenenewane esalu, Ea olelebe nabalu.
40 Lakini Martha alijipa shughuli nyingi za kuandaa mlo. Alikwenda kwa Yesu, na kusema, “Bwana, haujali kwamba dada yangu ameniacha nihudumu peke yangu? Hivyo basi mwambie anisaidie.”
Be Mada da bagadewane hawa: hamobeba: le, se nabi. E da Yesuma misini, amane sia: i, “Hina! Naeya da nama hame fidibiba: le, Di da hame asigibela: ? Dia e na fidima: ne adoma!”
41 Lakini Bwana alimjibu na kumwambia, “Martha, Martha, una sumbuka juu ya mambo mengi,
Be Yesu E da bu adole i, “Mada! Mada! Di da liligi bagohame dawa: beba: le, da: i dioiwane dawa: lala!
42 lakini ni kitu kimoja tu cha muhimu. Mariamu amechagua kilicho chema, ambacho hakitaondolewa kutoka kwake.”
Be hou afadafa fawane di da gogolei galu. Amo hou ida: iwane, Meli da lai dagoi. Eno dunu da amo hou ema hame samogemu.”

< Luka 10 >