< Mambo ya Walawi 9 >
1 Katika siku ya nane, Musa akawaita Aroni na wanawe pamoja na wazee wa Israeli.
Sekizinci gün Musa Harun'la oğullarını ve İsrail ileri gelenlerini çağırdı.
2 Akamwambia Aroni, “Twaa ndama dume kutoka kundini kwa ajili ya sadaka ya dhambi zako, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, wote wawili wasiwe na dosari, na uwatoe mbele za Yahweh.
Harun'a, “Kendin için günah sunusu olarak kusursuz bir erkek buzağı, yakmalık sunu olarak da kusursuz bir koç al, RAB'be sun” dedi,
3 Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Twaeni beberu kwa ajili ya sadaka ya dhambi na ndama na mwana-kondoo, hawa wawili wawe na umri wa mwaka mmoja na bila dosari, ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
“Sonra İsrail halkına de ki, ‘Günah sunusu olarak bir teke, yakmalık sunu olarak da bir yaşında kusursuz bir buzağı ile bir kuzu alın.
4 pia twaeni fahali na kondoo dume kwa sadaka za amani ili kuwatoa mbele za Yahweh, na sadaka za nafaka iliyochanganywa na mafuta, kwa sababu leo Yahweh atajidhihirisha kwenu.
RAB'bin huzurunda esenlik sunusu olarak kurban edilmek üzere bir sığır ve bir koçla birlikte zeytinyağıyla yoğrulmuş tahıl sunusu getirin. Çünkü RAB bugün size görünecektir.’”
5 Kwa hiyo wakaleta kwenye hema la kukutania vyote ambavyo Musa aliagiza, nalo kusanyiko lote la Israeli likakaribia na kusimama mbele za Yahweh.
Musa'nın buyurdukları Buluşma Çadırı'nın önüne getirildi. Herkes yaklaşıp RAB'bin huzurunda toplandı.
6 Kisha Musa akasema, “Hivi ndivyo Yahweh amewaamru nyinyi mfanye, ili kwamba utukufu wake uweze kuonekana kwenu.
Musa, “RAB şunları yapmanızı buyuruyor, o zaman RAB'bin yüceliği size görünecektir” dedi.
7 “Musa akamwambia Aroni, “Njoo karibu na Madhabahu na uteo sadaka yako ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa, na kufanya upatanisho kwa ajili ya watu ili kufanya upatanisho kwa ajili yao kama vile ambavyo Yahweh amekwishaamru.”
Sonra Harun'a, “Sunağa git, günah ve yakmalık sunularını sun” dedi, “Hem kendinin, hem de halkın günahlarını bağışlat. RAB'bin buyurduğu gibi halkın sunusunu sun, günahlarını bağışlat.”
8 Kwa hiyo Aroni akaikaribia madhabahu na akamchinja yule ndama kwa ajili ya sadaka ya dhambi, ambayo ilikuwa kwa ajili yake mwenyewe.
Böylece Harun sunağa gidip kendisi için günah sunusu olarak sunulacak buzağıyı kesti.
9 Nao wana wa Aroni wakamletea hiyo damu, naye akakichofya kidole chake kwenye damu na kuiweka kwenye pembe za madhabahu, kisha akaimwaga damu chini ya kitako cha madhabahu.
Oğulları buzağının kanını ona getirdiler. Harun parmağını kana batırıp sunağın boynuzlarına sürdü. Artan kanı sunağın dibine döktü.
10 Hata hivyo, aliyateketeza hayo mafuta, figo, na mafuta yanafunika ini juu ya madhabahu kuwa sadaka ya dhambi, kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamru Musa.
RAB'bin Musa'ya verdiği buyruğa uygun olarak günah sunusunun yağını, böbreklerini, karaciğerinin perdesini sunakta yaktı.
11 Na akaiteketeza hiyo nyama pamoja na ngozi nje ya kambi
Etiyle derisini ise ordugahın dışında yaktı.
12 Aroni akaichinja sadaka ya kuteketezwa, nao wanawe wakampa hiyo damu, ambayo aliinyunza pande zote za madhabahu.
Sonra yakmalık sunuyu kesti. Oğulları sununun kanını kendisine verdiler. O da kanı sunağın her yanına döktü.
13 Kisha wakampa ile sadaka ya kuteketezwa, kipande kwa kipande, pamoja na kichwa, naye akaviteketeza juu ya madhabahu.
Sununun bütün parçalarını ve başını Harun'a verdiler. Harun hepsini sunağın üzerinde yaktı.
14 Akaziosha sehemu za ndani pamoja na miguu na kuziteketeza juu ya dhabihu ya kuteketezwa juu ya Madhabahu.
Sununun işkembesini, bağırsaklarını, ayaklarını yıkayıp sunakta yakmalık sununun üzerinde yaktı.
15 Aroni akaleta dhabihu ya watu— mbuzi, kisha akamtoa kuwa dhabihu kwa ajili ya dhambi yao naye akamchinja, akaitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi, kama alivyofanya kwa yule mbuzi wa kwanza.
Bundan sonra Harun halkın sunusunu getirdi. Halkın günahları için sunulacak tekeyi kesti ve ilk sunu gibi bunu da günah sunusu olarak sundu.
16 Akaileta sadaka ya kuteketezwa na kuitoa kama Yahweh alivyokuwa ameamru.
Yakmalık sunuyu da kurallara uygun biçimde sundu.
17 Akaileta sadaka ya nafaka; akakijaza kiganja chake nafaka na kuiteketeza juu ya madhabahu, pamoja na sadaka ya asubuhi ya kuteketezwa.
Sonra tahıl sunusunu getirdi. Bir avuç alıp her sabah sunulan yakmalık sunuya ek olarak sunağın üzerinde yaktı.
18 Pia akamchinja fahali na yule kondoo dume, dhabihu kwa ajili ya sadaka ya amani, ambayo ilikuwa kwa ajili ya watu. Nao wana wa Aronni wakampa damu, ambayo aliinyunyiza kila upande wa mdhabahu.
Halk için esenlik kurbanları olarak sunulacak sığırla koçu da kesti. Oğulları sunuların kanını kendisine verdiler. O da kanı sunağın her yanına döktü.
19 Hata hivyo, waliyakata mafuta ya fahali na ya yule kondoo dume, mafuta ya kwenye mkia, mafuta yafunikayo sehemu za ndani, figo, na yale mafuta yaliyofunika mapafu.
Sığırla koçun yağlarını, kuyruk yağını, bağırsak ve işkembe yağlarını, böbreklerini ve karaciğerlerinin perdesini
20 Wakazichukua hizi sehemu zilizokatwa wakaziweka juu ya vidari, na kisha Aroni akateketeza mafuta juu ya madhabahu.
döşlerin üzerine koydular. Harun yağları sunakta yaktı.
21 Naye Aroni akavitikisa vidari na paja la kulia kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh, kama vile Musa alivyokuwa ameamru,
Musa'nın buyurduğu gibi döşleri ve sağ budu sallamalık sunu olarak RAB'bin huzurunda salladı.
22 Kisha Aroni akainua juu mikono yake mbele ya watu na kuwabariki, kisha akashuka chini kutoka mahali alipokuwa akitoa hiyo sadaka ya dhambi, sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya amani.
Harun günah, yakmalık, esenlik sunularını sunduktan sonra ellerini halka doğru uzatarak onları kutsadı ve aşağıya indi.
23 Musa na Aroni wakaingia ndani ya hema la kukutania, kisha wakatoka nje tena na kuwabariki watu, na utukufu wa Yahweh ukaonekana kwa watu wote.
Musa'yla Harun Buluşma Çadırı'na girdiler. Dışarı çıkınca halkı kutsadılar. O zaman RAB'bin yüceliği halka göründü.
24 Moto ukashuka kutoka kwa Yahweh na ukairamba sadaka ya kuteketezwa na mafuta yaliyokuwa juu ya madhabahu. Watu wlipoona jambo hili, wakapiga kelele na kulala chini.
RAB bir ateş gönderdi. Ateş sunağın üzerindeki yakmalık sunuyu, yağları yakıp küle çevirdi. Bunu gören halkın tümü sevinçle haykırarak yüzüstü yere kapandı.