< Mambo ya Walawi 9 >

1 Katika siku ya nane, Musa akawaita Aroni na wanawe pamoja na wazee wa Israeli.
and to be in/on/with day [the] eighth to call: call to Moses to/for Aaron and to/for son: child his and to/for old: elder Israel
2 Akamwambia Aroni, “Twaa ndama dume kutoka kundini kwa ajili ya sadaka ya dhambi zako, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, wote wawili wasiwe na dosari, na uwatoe mbele za Yahweh.
and to say to(wards) Aaron to take: take to/for you calf son: young animal cattle to/for sin: sin offering and ram to/for burnt offering unblemished and to present: bring to/for face: before LORD
3 Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Twaeni beberu kwa ajili ya sadaka ya dhambi na ndama na mwana-kondoo, hawa wawili wawe na umri wa mwaka mmoja na bila dosari, ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
and to(wards) son: descendant/people Israel to speak: speak to/for to say to take: take he-goat goat to/for sin: sin offering and calf and lamb son: aged year unblemished to/for burnt offering
4 pia twaeni fahali na kondoo dume kwa sadaka za amani ili kuwatoa mbele za Yahweh, na sadaka za nafaka iliyochanganywa na mafuta, kwa sababu leo Yahweh atajidhihirisha kwenu.
and cattle and ram to/for peace offering to/for to sacrifice to/for face: before LORD and offering to mix in/on/with oil for [the] day LORD to see: see to(wards) you
5 Kwa hiyo wakaleta kwenye hema la kukutania vyote ambavyo Musa aliagiza, nalo kusanyiko lote la Israeli likakaribia na kusimama mbele za Yahweh.
and to take: bring [obj] which to command Moses to(wards) face: before tent meeting and to present: come all [the] congregation and to stand: stand to/for face: before LORD
6 Kisha Musa akasema, “Hivi ndivyo Yahweh amewaamru nyinyi mfanye, ili kwamba utukufu wake uweze kuonekana kwenu.
and to say Moses this [the] word: thing which to command LORD to make: do and to see: see to(wards) you glory LORD
7 “Musa akamwambia Aroni, “Njoo karibu na Madhabahu na uteo sadaka yako ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa, na kufanya upatanisho kwa ajili ya watu ili kufanya upatanisho kwa ajili yao kama vile ambavyo Yahweh amekwishaamru.”
and to say Moses to(wards) Aaron to present: come to(wards) [the] altar and to make: offer [obj] sin: sin offering your and [obj] burnt offering your and to atone about/through/for you and about/through/for [the] people and to make: do [obj] offering [the] people and to atone about/through/for them like/as as which to command LORD
8 Kwa hiyo Aroni akaikaribia madhabahu na akamchinja yule ndama kwa ajili ya sadaka ya dhambi, ambayo ilikuwa kwa ajili yake mwenyewe.
and to present: come Aaron to(wards) [the] altar and to slaughter [obj] calf [the] sin: sin offering which to/for him
9 Nao wana wa Aroni wakamletea hiyo damu, naye akakichofya kidole chake kwenye damu na kuiweka kwenye pembe za madhabahu, kisha akaimwaga damu chini ya kitako cha madhabahu.
and to present: bring son: child Aaron [obj] [the] blood to(wards) him and to dip finger his in/on/with blood and to give: put upon horn [the] altar and [obj] [the] blood to pour: pour to(wards) foundation [the] altar
10 Hata hivyo, aliyateketeza hayo mafuta, figo, na mafuta yanafunika ini juu ya madhabahu kuwa sadaka ya dhambi, kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamru Musa.
and [obj] [the] fat and [obj] [the] kidney and [obj] [the] lobe from [the] liver from [the] sin: sin offering to offer: burn [the] altar [to] like/as as which to command LORD [obj] Moses
11 Na akaiteketeza hiyo nyama pamoja na ngozi nje ya kambi
and [obj] [the] flesh and [obj] [the] skin to burn in/on/with fire from outside to/for camp
12 Aroni akaichinja sadaka ya kuteketezwa, nao wanawe wakampa hiyo damu, ambayo aliinyunza pande zote za madhabahu.
and to slaughter [obj] [the] burnt offering and to find son: child Aaron to(wards) him [obj] [the] blood and to scatter him upon [the] altar around: side
13 Kisha wakampa ile sadaka ya kuteketezwa, kipande kwa kipande, pamoja na kichwa, naye akaviteketeza juu ya madhabahu.
and [obj] [the] burnt offering to find to(wards) him to/for piece her and [obj] [the] head and to offer: burn upon [the] altar
14 Akaziosha sehemu za ndani pamoja na miguu na kuziteketeza juu ya dhabihu ya kuteketezwa juu ya Madhabahu.
and to wash: wash [obj] [the] entrails: inner parts and [obj] [the] leg and to offer: burn upon [the] burnt offering [the] altar [to]
15 Aroni akaleta dhabihu ya watu— mbuzi, kisha akamtoa kuwa dhabihu kwa ajili ya dhambi yao naye akamchinja, akaitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi, kama alivyofanya kwa yule mbuzi wa kwanza.
and to present: bring [obj] offering [the] people and to take: take [obj] he-goat [the] sin: sin offering which to/for people and to slaughter him and to sin him like/as first
16 Akaileta sadaka ya kuteketezwa na kuitoa kama Yahweh alivyokuwa ameamru.
and to present: bring [obj] [the] burnt offering and to make: offer her like/as justice: judgement
17 Akaileta sadaka ya nafaka; akakijaza kiganja chake nafaka na kuiteketeza juu ya madhabahu, pamoja na sadaka ya asubuhi ya kuteketezwa.
and to present: bring [obj] [the] offering and to fill palm his from her and to offer: burn upon [the] altar from to/for alone: besides burnt offering [the] morning
18 Pia akamchinja fahali na yule kondoo dume, dhabihu kwa ajili ya sadaka ya amani, ambayo ilikuwa kwa ajili ya watu. Nao wana wa Aronni wakampa damu, ambayo aliinyunyiza kila upande wa mdhabahu.
and to slaughter [obj] [the] cattle and [obj] [the] ram sacrifice [the] peace offering which to/for people and to find son: child Aaron [obj] [the] blood to(wards) him and to scatter him upon [the] altar around: side
19 Hata hivyo, waliyakata mafuta ya fahali na ya yule kondoo dume, mafuta ya kwenye mkia, mafuta yafunikayo sehemu za ndani, figo, na yale mafuta yaliyofunika mapafu.
and [obj] [the] fat from [the] cattle and from [the] ram [the] fat tail and [the] covering and [the] kidney and lobe [the] liver
20 Wakazichukua hizi sehemu zilizokatwa wakaziweka juu ya vidari, na kisha Aroni akateketeza mafuta juu ya madhabahu.
and to set: put [obj] [the] fat upon [the] breast and to offer: burn [the] fat [the] altar [to]
21 Naye Aroni akavitikisa vidari na paja la kulia kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh, kama vile Musa alivyokuwa ameamru,
and [obj] [the] breast and [obj] leg [the] right to wave Aaron wave offering to/for face: before LORD like/as as which to command Moses
22 Kisha Aroni akainua juu mikono yake mbele ya watu na kuwabariki, kisha akashuka chini kutoka mahali alipokuwa akitoa hiyo sadaka ya dhambi, sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya amani.
and to lift: vow Aaron [obj] (hand: vow his *Q(K)*) to(wards) [the] people and to bless them and to go down from to make: offer [the] sin: sin offering and [the] burnt offering and [the] peace offering
23 Musa na Aroni wakaingia ndani ya hema la kukutania, kisha wakatoka nje tena na kuwabariki watu, na utukufu wa Yahweh ukaonekana kwa watu wote.
and to come (in): come Moses and Aaron to(wards) tent meeting and to come out: come and to bless [obj] [the] people and to see: see glory LORD to(wards) all [the] people
24 Moto ukashuka kutoka kwa Yahweh na ukairamba sadaka ya kuteketezwa na mafuta yaliyokuwa juu ya madhabahu. Watu wlipoona jambo hili, wakapiga kelele na kulala chini.
and to come out: issue fire from to/for face: before LORD and to eat upon [the] altar [obj] [the] burnt offering and [obj] [the] fat and to see: see all [the] people and to sing and to fall: fall upon face their

< Mambo ya Walawi 9 >