< Mambo ya Walawi 8 >

1 Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
Og Herren talede til Mose og sagde:
2 “Walete Aroni na wanawe pamoja naye, mavazi na mafuta ya upako, fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kondoo dume wawili, na kikapu cha mkate usio na hamira.
Tag Aron og hans Sønner med ham, og Klæderne og Salveolien og Syndofrets Tyr og de to Vædre og en Kurv med usyrede Brød,
3 Ita kusanyiko lote kwenye ingilio la hema la kukutania.”
og lad al Menigheden samles ved Forsamlingens Pauluns Dør.
4 Kwa hiyo Musa akafanya kama Yahweh alivyomwamru, nalo kusanyiko lilikuja pamoja mbele ya ingilio la hema la kukutania. Kisha Musa akaliambia kusanyiko,
Og Mose gjorde, som Herren befalede ham, og Menigheden forsamledes ved Forsamlingens Pauluns Dør.
5 “Hivi ndivyo alivyotuamru Yahweh tutende.”
Og Mose sagde til Menigheden: Dette er det, som Herren har befalet at gøre.
6 Musa akamleta Aroni na wanawe na kuwaosha kwa maji.
Og Mose førte Aron og hans Sønner frem, og toede dem med Vand.
7 Akamvika Aroni kanzu ya ndani yenye urefu wa kufika magotini na kumfunga ukumbuu kiunoni mwake, akamvika joho la nje lenye mikono mirefu na kumvika kile kizibao chenye vipande viwili tumboni na mgongoni na kukifunga kuzunguka kiunoni mwake kwa mshipi uliosokotwa kwa ustadi na kukikaza mwilini mwake.
Og han iførte ham Underkjortelen og ombandt ham med Bæltet og førte ham i Overkjortelen og gav ham Livkjortelen paa, og han ombandt ham med Livkjortelens Bælte og spændte den om ham med det.
8 Kisha Musa akaweka kifuko kifuani mwa Aroni, na ndani ya kifuko hicho akaweka Urimu na Thumimu.
Og han satte Brystspannet paa ham, og lagde Urim og Thummim i Brystspannet.
9 Na kisha akamfunga kiremba kichwani, na juu ya kiremba kwa mbele, akaweka bamba la dhahabu; liwe taji takatifu, kama Yahweh alivyomwamru yeye.
Og han satte Huen paa hans Hoved, og paa Huen foran over hans Pande satte han Guldpladen, det hellige Hovedsmykke, saa som Herren havde befalet Mose.
10 Musa akayatwaa hayo mafuta ya upako, akalipaka lile hema la kukutania na kila kitu kilichokuwamo ndani yake na kuvitenga kwa ajili ya Yahweh.
Og Mose tog Salveolien og salvede Tabernaklet og alle de Ting, som vare deri, og helligede dem.
11 Akayanyunyiza hayo mafuta juu ya madhabahu mara saba, na kisha akaipaka mafuta hiyo madhabahu na vyombo vyake vyote, na sinia la kunawia na kitako chake ili kuvitenga wa ajili ya Yahweh.
Og han stænkede deraf paa Alteret syv Gange og salvede Alteret og alt Redskabet dertil, og Kedelen med dens Fod, for at hellige dem.
12 Akamimina sehemu ya mafuta ya upako juu ya kichwa cha Aroni na kisha akampaka mafuta ili kumtenga.
Og han øste af Salveolien paa Arons Hoved og salvede ham for at hellige ham.
13 Musa akawaleta wana wa Aroni na kuwavika kila mmoja kanzu ya ndani yenye urefu wa kufika magotini. Kila mmoja wao akamfunga kwa ukumbuu kiunoni mwake na kuwafunga vitambaa vya kitani kichwani pao, kama vile Yahweh alivyokuwa amemru Musa.
Og Mose førte Arons Sønner frem og iførte dem Kjortler og ombandt dem med Bælte og bandt høje Huer paa dem, saa som Herren havde befalet Mose.
14 Musa akamleta huyo fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha fahali ambaye wamemelete kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
Og han førte Syndofrets Tyr frem, og Aron og hans Sønner lagde deres Hænder paa Syndofrets Tyrs Hoved.
15 Musa akamchinja, na kisha akachukua sehemu ya damu yake kwa kidole chake na kuiweka juu ya mpembe za madhabahu, akaitakasa hiyo madhabahu, na kuitenga kwa Mungu, ambapo kwa kufanya hivyo, aliisababisha madhabahu kuwa sehemu ya kufaa kwa kufanyia upatanisho.
Og man slagtede den, og Mose tog Blodet og kom det paa Alterets Horn rundt omkring med sin Finger og gjorde Syndoffer for Alteret, og han udøste det øvrige Blod ved Alterets Fod og helligede det for at gøre Forligelse for det.
16 Akachukua mafuta yote yaliyokuwa sehemu za ndani, kile kiwambo cha ini, zile figo mbili pamoja na mafuta yake, Musa akaichoma hiyo nyama yote juu ya madhabahu.
Og han tog alt Fedtet, som var paa Indvoldene, og Hinden over Leveren og de to Nyrer og deres Fedt, og Mose lod det gøre til Røgoffer paa Alteret.
17 Lakini yule fahali, ngozi yake, nyama yake na kinyesi chake, akavichoma nje ya kambi, kama vile Yehweh alivyokuwa amemwamru yeye.
Men Tyren og dens Hud og dens Kød og dens Møg opbrændte han med Ild uden for Lejren, saa som Herren havde befalet Mose.
18 Musa akamleta yule konndoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo kondoo.
Og han lod Brændofrets Væder føre frem, og Aron og hans Sønner lagde Hænderne paa Væderens Hoved.
19 Musa akamchinja kondoo na kuinyunyizia damu yake kila upande wa madhabahu.
Og man slagtede den, og Mose stænkede Blodet paa Alteret rundt omkring.
20 Naye akamkatakata kondoo vipande vipande na akakiteketeza kichwa chake pamoja na vile vipande na mafuta.
Og han huggede Væderen i sine Stykker, og Mose lod gøre et Røgoffer af Hovedet og Stykkerne og Indvoldenes Fedt.
21 Akaziosha kwa maji zile sehemu za ndani pamoja na miguu na akamteketeza kandoo mzima juu ya madhabahu. Ilikuwa ni dhabihu ya kuteketezwa na ilitoa harufu ya kupendeza, sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamru Musa.
Og han toede Indvoldene og Skankerne med Vand, og Mose lod gøre et Røgoffer af den hele Væder paa Alteret; det var et Brændoffer til en sød Lugt, det var et Ildoffer for Herren, saa som Herren havde befalet Mose.
22 Kisha Musa akamleta yule kondoo dume mwingine, kondoo wa kuwekwa wakfu, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha kondoo.
Og han lod den anden Væder føre frem, Fyldelsens Væder, og Aron og hans Sønner lagde deres Hænder paa Væderens Hoved.
23 Aroni akamchinja, naye Musa akachukua sehemu ya damu na kuiweka kwenye ncha ya sikio la Aroni la kulia, juu ya dole gumba la mkono wake wa kulia, na kwenye kidole kikumbwa cha mguu wake wa kulia.
Og man slagtede den, og Mose tog af dens Blod og smurte paa Arons højre Ørelæp og paa hans højre Tommelfinger og paa hans højre Tommeltaa.
24 Akawaleta wana wa Aroni, naye akaweka sehemu ya damu ya kondoo yule kwenye ncha ya sikio lao la kulia, kwenye dole gumba lao cha mkono wa kulia na kwenye kidole chao kikubwa cha mguu wa kulia. Kisha Musa akainyunyiza damu ya huyo kila upande wa madhabahu
Og han lod Arons Sønner komme frem, og Mose kom af Blodet paa deres højre Ørelæp og paa deres højre Tommelfinger og paa deres højre Tommeltaa, og Mose stænkede Blodet paa Alteret rundt omkring.
25 Naye akayatwaa yale mafuta, mafuta ya mkiani, mafuta liyolikuwa sehemu za ndani, na mafuta yafunikayo ini, zile figo mbili pamoja na mafuta yake na paja la kulia.
Og han tog Fedtet og Stjerten og alt Fedtet, som var paa Indvoldene, og Hinden over Leveren og de to Nyrer og deres Fedt og den højre Bov
26 Akachukua mkate mmoja kutoka kwenye kikapu cha mikate isiyo na hamira ambayoo ilikuwa mbele za Yahweh, akatwaa mkate moja usio na hamira, na mkate mmoja ulioandaliwa kwa mafuta, na mkate mwemba wa kaki na akaiweka juu ya mafuta na juu ya paja la kulia la kondoo.
og af Kurven med de usyrede Brød, som vare for Herrens Ansigt, tog han en usyret Kage og en Oliebrødskage og en tynd Kage, og han lagde det oven paa Fedtdelene og paa den højre Bov,
27 Akaiweka yote mikoni mwa Aroni na katika mikono ya wanawe na kuitikisa mbele za Yahweh kuwa sadaka ya kutikiswa
og han lagde det alt sammen paa Arons Hænder og hans Sønners Hænder, og han rørte disse Ting med en Rørelse for Herrens Ansigt.
28 Kisha Musa akaichukua mikate hiyo kutoka mikononi mwao na kuiteketeza juu ya madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Zilikuwa ni sadaka ya kuwekwa wakfu na ilitoa harufu ya kupendeza. Ilikuwa sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto.
Og Mose tog dem af deres Hænder og gjorde et Røgoffer af dem paa Alteret, tilligemed Brændofret; det var Fyldelsesofret til en sød Lugt, det var et Ildoffer for Herren.
29 Musa akakichukua kidari na kukitikisa kuwa sadaka ya kutikiswa kwa Yahweh. Ilikuwa ni mgao wa Musa wa kondoo wa kuwekewa mikono kwa makuhani, Kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru yeye.
Og Mose tog Brystet og rørte det med en Rørelse for Herrens Ansigt; af Fyldelsens Væder fik Mose det til sin Del, som Herren havde befalet Mose.
30 Musa akatwaa sehemu ya mafuta ya upako na damu iliyokuwa juu ya madhabahu; naye akayanyunyiza haya juu ya nguo za Aroni, juu ya nguo zake mwenyewe na juu ya nguo za wana wa Aruni waliokua pamoja naye. Kwa njia hii alimtenga Aroni na nguo zake, na wanawe na nguo zao kwa ajili ya Yahweh.
Og Mose tog af Salveolien og af Blodet, som var paa Alteret, og stænkede paa Aron, paa hans Klæder og paa hans Sønner og paa hans Sønners Klæder med ham; og han helligede Aron, hans Klæder og hans Sønner og hans Sønners Klæder med ham.
31 Kwa hiyo Musa akawambia Aruni na wanawe, “Ipikeni nyama mbele ya ingilio la hema la kukutania, na hapo mtaila pamoja na mkate ulio kwenye kikapu cha kuwekwa wakfu, kama ilivyoamriwa, kusema, 'Aroni na wanawe wataila.'
Og Mose sagde til Aron og hans Sønner: Koger Kødet ved Forsamlingens Pauluns Dør, og der skulle I æde det og Brødet, som er i Fyldelsens Kurv, som jeg har befalet, idet jeg sagde: Aron og hans Sønner skulle æde det.
32 Masalio yoyote ya nyama na mikate utayateketeza kwa moto.
Men hvad der levnes af Kødet og af Brødet, skulle I opbrænde med Ild.
33 Na hamtatoka kwenye ingilio la hema la kukutania kwa muda wa siku saba, hata zitakapotimia siku za kuwekwa mikono kwenu. Kwa kuwa kwa muda wa siku saba, Yahweh atawaweka wakfu.
Og fra Forsamlingens Pauluns Dør skulle I ikke gaa ud i syv Dage, indtil den Dag, da Fyldelsens Dage for eder ere fuldendte; thi man skal fylde eders Haand i syv Dage.
34 Kilichotendeka siku hii— Yahweh ndiye amekiamru kitendekeke ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Som man har gjort paa denne Dag, saaledes befalede Herren at gøre, til at gøre Forligelse for eder.
35 Mtakaa kwenye ingilio la hema la kukutania mchana na usiku siku saba, nanyi ishikeni amri ya Yahweh ili msije mkafa, kwa sababu hivi ndivyo ilivyoamriwa.
Og for Forsamlingens Pauluns Dør skulle I blive Dag og Nat i syv Dage, og tage Vare paa, hvad Herren vil have varetaget, for at I ikke skulle dø; thi saaledes er det mig befalet.
36 Kwa hiyo Aroni na wanawe wakafanya mambo yote ambayo Yahweh alikuwa amewaamru kwa kinywa cha Musa.
Og Aron og hans Sønner gjorde dette, nemlig alle de Ord, som Herren havde befalet ved Mose.

< Mambo ya Walawi 8 >