< Mambo ya Walawi 7 >
1 Hii ndiyo sheria ya sadaka ya hatia. Kwa sababu hiyo ni sadaka takatifu sana.
Oakwuk inge ma nu ke kisa in akfalye ma koluk lukma, su arulana mutal.
2 Ni lazima waichinje sadaka ya hatia mahali panapostali kuchinjwa, na ni lazima watainyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.
Kosro nu ke kisa se inge ac fah anwuki layen epang ke loang uh, yen ma mwe kisa nu ke kisa firir uh anwuki we, ac srah kac uh ac fah sang fwela siska akosr ke loang uh kewa.
3 Mafuta yote yaliyomo ndani yake yataondolewa: mafuta ya mkiani, mafuta yaliyo sehamu za ndani,
Kiris kac uh nukewa ac fah itukla ac kisakinyuk fin loang uh: pula kiris soko ah, kiris ma nokomla koanonsia,
4 zile figo mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake, yaliyo karibu na kiuno, na yanayofunika ini—nyama hii yote lazima iondolewe pamoja na hizo figo.
kidney ac kiris kac, ac ip ma wo emeet ke esa uh.
5 Kuhani ataviteketeza vipande hivi juu ya madhabahu viwe dhabihu iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto. Hii ni sadaka ya hatia
Mwet tol el fah esukak kiris nukewa fin loang uh tuh in sie mwe kisa mongo nu sin LEUM GOD. Kisa in akfalye ma koluk lukma se pa inge.
6 Kila mwanaume miongoni mwa familia ya kuhani anaweza kula sehemu ya sadaka hii. Lakini ni lazima iliwe ndani ya mahali patakatifu kwa sababu ni takatifu sana.
Kutena mukul ke sou in mwet tol uh ku in kang ma inge, tusruktu enenu in mongo in sie acn mutal, mweyen ma inge arulana mutal.
7 Nayo sadaka ya dhambi ni kama ilivyo sadaka ya hatia. Ni sheria ileile hutumika kwa zote mbili. Zote ni mali ya kuhani azitumiaye kufanya upatanisho.
Oasr sie oakwuk ma orekmakinyuk nu ke kisa inge kewa: mwe kisa ke ma koluk ac mwe kisa in akfalye ma koluk lukma. Pa inge: ikwa kac uh ma nun mwet tol se ma orek kisa uh.
8 Kuhani atoaye sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya mtu yeyote anaweza kuchuku ngozi ya sadaka hiyo kwa ajili yake mwenyewe.
Kolo ke soko kosro ma kisakinyuk nu ke mwe kisa firir uh ma lun mwet tol se ma orekma ke kisa uh.
9 Kila sadaka ya nafaka inayookwa mekoni, na kila sadaka kama hiyo ipikwayo kaangoni au kwenye sufuria itakuwa ya kuhani aitoaye.
Mwe kisa wheat nukewa ma umla in sie stove, ku akmolyeyuk in sie pan, ku manman fin sie mwe manman, ma inge ma nu sin mwet tol se su kisakin nu sin God.
10 Kila sadaka ya nafaka, ama iwe unga mkavu au uliochanganywa na mafuta ya zeitu itakuwa ya ukoo wa Aroni kwa usawa.
Tusruktu mwe kisa wheat takmwek nukewa, finne kulamisyak ke oil ku pulamlam na, ac ma nu sin mwet tol natul Aaron nukewa — enenu in kitakatelik oana sie lupa nu selos nukewa.
11 Hii ndiyo sheria ya dhabihu ya sadaka za amani, ambazo watu watazitoa kwa Yahweh.
Ma oakwuk ten inge ma nu ke kisa in akinsewowo, su itukyang nu sin LEUM GOD.
12 Iwapo mtu yeyote anaitoa ili kuonyesha shukrani kwa Yahweh, basi ataitoa pamoja na dhabih uya mikate iliyotengenezwa bila hamira, bali kwa mafuta ya zeituni yaliyochanganywa na unga lakini bila hamira, na maandazi yaliyotengenezwa bila hamira, bali yaliyopakwa mafuta juu yake, na mikate miembamba iliyofanywa kwa unga laini uliochanganywa na mafuta.
Sie mwet fin oru kisa se inge tuh in sie mwe kisa in sang kulo nu sin God, el enenu na in sang, wi kosro ma el ac kisakin, sie kisa ke bread ma wangin mwe pulol kac: finne srukwal in flao matoltol ma orek ke flao karak ke oil in olive, ku cake minini ma akmusrala ke oil in olive, ku cake ma orek ke flao karak ke oil in olive.
13 Kwa kusudi la kutoa shukrani, pia anapaswa kutoa pamoja na sadaka yake ya amani, vipande vya mikate iliyotiwa hamira.
Sayen ma inge, el fah kisakin pac lof in bread ma umla ac oasr mwe pulol kac.
14 Ni lazima atatoa moja kila aina ya sadaka hizi kama sadaka iliyoletwa kwa Yahweh. Nayo itakuwa ya makuhani wanaonyunyizia damu ya sadaka ya amani kwenye madhabahu.
El fah asang kais sie ip ke kain in bread inge kewa tuh in sie mwe kite srisrila nu sin LEUM GOD. Ma inge ac ma nu sin mwet tol se ma sang srah in kosro uh fwela loang uh.
15 Mtu anayeleta sadaka ya amani kwa kusudi la kutoa shukrani ni lazima ataila nyama ya sadaka yake siku ya kutoa dhabihu. Hatakiwi kusaza chochote kilicho cha sadaka hiyo hata asubuhi ya pili.
Ikwen kosro ma kisakinyuk inge enenu na in mongola ke len se na ma kisaiyuk uh. Wangin sie ip kac ac fah oan nu ke lotu tok uh.
16 Lakini iwapo dhabihu ya matoleo yake kusudi lake ni nadhiri, au kwa kusudi la sadaka ya hiari, nyama yake italiwa siku iyo hiyo aitoapo dhabihu yake, lakini chochote kinachosalia cha sadaka hiyo kinaweza kuliwa siku inayofuata.
Sie mwet fin use sie mwe kisa in akinsewowo in tuh akfalye sie wuleang, ku in mwe kisa ke lungse na lal sifacna, ac tia enenu in mongola nufon ke len se kisakinyuk uh — kutena ma lula kac ku in tufah mongola ke len se tok uh.
17 Hata hivyo, nyama yoyote ya dhabihu inayobaki siku ya tatu ni lazima ichomwe moto.
Kutena ikwa ma srakna oan nu ke len se aktolu uh, fah enenu in isisyak.
18 Iwapo kipande chochote cha nyama hiyo ya dhabihu kinachobaki kinaliwa katika siku ya tatu, hakitakubalika, wala hakitatolewa kwa aliyeitoa. Kitakuwa ni kitu cha kuchukiza, na mtu akilaye atabeba hatia ya dhambi mwenyewe yake.
Kutena ip kac fin mongo ke len se aktolu, God El ac fah tia insewowo ke kisa sac. Ac fah wangin sripen kisa sac nu sin mwet se ma use uh, a ac fah pangpang mu tia nasnas, ac el su mongo kac ac fah oasr mwatal ac el fah eis kaiyuk kac.
19 Nyama yoyote inayogusa kitu kilicho najisi haitaliwa. Ni lazima ichomwe moto. Na kwa ajili ya nyama inayobaki, yeyote aliye safi anaweza kuila.
Ikwa sac fin tuh pusralla kutena ma su tia nasnas, fah tia enenu in mongo, a enenu in isisyak. Kutena mwet su aknasnasyeyukla, el ku in mongo ke ikwa sac,
20 Hata hivyo, mtu najisi anayekula nyama kutoka kwenye dhabihu ya matoleo ya amani ambayo ni ya Yahweh yapasa mtu huyu akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
tusruktu kutena mwet su tia aknasnasyeyuk fin kang, el fah tia sifil akilenyuk mu el sie sin mwet lun God.
21 Iwapo mtu yeyote anagusa kitu chochote kilichonajisi—iwe ni unajisi wa binadamu, au wa mnyama aliyenajisi, au wa kitu fulani kilichonajisi na chenye kuchukiza, na kisha akala baadhi ya nyama ya dhabihu ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa Yahweh, lazima mtu huyo akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
Oayapa, kutena mwet fin kang ikwa ke mwe kisa se inge tukun el kahlye kutena ma su tia nasnas, finne ma ke mwet se ku kosro soko, el fah tia sifil akilenyuk mu el sie sin mwet lun God.
22 Kisha Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
LEUM GOD El sang nu sel Moses oakwuk inge,
23 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'hamruhusiwi kula mafuta ya fahali au kondoo au mbuzi.
ma nu sin mwet Israel. Wangin kiris ke cow, sheep ku nani ac fah mongo.
24 Mafuta ya mnyama yoyote afaye peke yake bila ya kuwa dhabihu, au mafuta ya mnyama yeyote aliyeraruliwa na wanyama pori, yanaweza kutumika kwa makusudi mengine, lakini hakika hamtayala.
Kiris ke soko kosro ma sifacna misa ku anwuki sin soko kosro sulallal fah tiana mongo, tusruktu ku in orekmakinyuk nu ke kutu sripa saya.
25 Yeyote atakayekula mafuta ya mnyama ambayo watu wanaweza kuyatoa kuwa dhabihu ya iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, mtu huyo lazima atakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake.
Kutena mwet su kang kiris ke kosro ma ac orekmakinyuk nu ke mwe kisa mongo nu sin LEUM GOD ac fah tia sifil akilenyuk mu el sie sin mwet lun God.
26 Hamtakula damu yoyote katika mojawapo ya nyumba zenu, ama iwe kutoka kwa ndege au mnyama.
In kutena acn mwet Israel muta we, elos fah tiana orekmakin srah ke won ku ke kosro nu ke mwe mongo.
27 Yeyote alaye damu yoyote, mtu huyo lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.'”
Kutena mwet su kunausla ma sap se inge fah tiana sifilpa akilenyuk mu el sie sin mwet lun God.
28 Kwa hiyo Yahweh akazungumza na Musa na akasema,
LEUM GOD El sang nu sel Moses oakwuk inge
29 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Yeye atoaye dhabidhu ya sadaka ya amani kwa Yahweh lazima alete sehemu ya dhabihu yake kwa Yahweh.
ma nu sin mwet Israel. Kutena mwet su akoo in oru kisa in akinsewowo, el enenu in use sie ip kac tuh in sie mwe kite srisrila nu sin LEUM GOD.
30 Mikono yake mwenyewe lazima iilete hiyo sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto. Naye atayaleta hayo mafuta pamoja na kidari, ili kwamba kidari kiweze kutikiswa kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh.
El enenu in sifacna us ma inge in paol, oana sie mwe kisa mongo. El fah us kiris ke kosro soko ah wi iniwa uh ac sang tuh in sie mwe kite srisrila nu sin LEUM GOD.
31 Kuhani atayachoma mafuta hayo juu ya madhabahu, lakini kile kidari kitakuwa mali ya Aroni na uzao wake.
Mwet tol fah esukak kiris uh fin loang uh, tusruktu iniwa sac fah ma nu sin mwet tol.
32 Ni lazima utatoa paja la kulia kwa kuhani kama sadaka iliyotokana na dhabihu ya sadaka yako ya amani.
Lac ne layot ke kosro in kisa uh fah itukyang tuh in sie mwe kite srisrila
33 Yule kuhani, mmoja wa wazao wa Aroni, atoaye damu na mafuta ya sadaka ya amani—ni lazima atapata paja la kulia kama mgao wake wa sadaka.
nu sin mwet tol su oru kisa ke srah ac kiris ke mwe kisa in akinsewowo.
34 Kwa kuwa nimetwaa kidari, na paja la sadaka ya kutikiswa kutoka kwa watu wa Israeli uwe mchango wao, na amepewa Aroni kuhani na wanawe kuwa mgao wao wa kawaida.
Iniwen kosro uh pa sie mwe kite srisrila, ac lac ne layot tok pa mwe sang srisrila se ma LEUM GOD El eisla sin mwet Israel ac sang nu sin mwet tol. Pa inge ma mwet Israel elos enenu in sang nu sin mwet tol ke pacl nukewa fahsru uh.
35 Huu ndiyo mgao wa Aroni na uzao wake utokanao na matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, siku ile Musa alipowaweka wakfu ili kumtumikia Yahweh katika kazi ya kuhani.
Pa inge ip se ke mongo su kisakinyuk nu sin LEUM GOD ma tuh itukyang nu sel Aaron ac wen natul ke len se akmusrala elos nu ke mwet tol.
36 Huu ndio mgao ambao Yahweh aliamru waweze kupewa kutoka kwa watu wa Israeli, katika siku hiyo aliyowatia mafuta ya upako wawe makuhani. Nao utakuwa mgao wao wa kila siku katika vizazi vyote.
Ke len sac LEUM GOD El sapkin nu sin mwet Israel elos in sang nu selos ip inge ke mwe kisa uh. Oakwuk se inge ma mwet Israel elos enenu in akos ke pacl nukewa fahsru uh.
37 Hii ndiyo sheria ya sadaka ya kuteketezwa, ya sadaka ya nafaka, ya sadaka ya dhambi, ya sadaka ya hatia, ya sadaka ya kuweka wakfu, na ya dhabihu, ya sadaka za amani,
Ke ma inge, pa inge oakwuk ma orekla nu ke kisa firir, kisa ke wheat, kisa ke ma koluk, kisa in akfalye ma koluk lukma, kisa nu ke akmusra, ac kisa in akinsewowo.
38 ni sheria ambazo Yahweh alizitoa kwa Musa kwenye Mlima Sinai siku aliyowaamru watu wa Israeli kutoa dhabihu zao kwa Yahweh katika jangwa la Sinai.'”
LEUM GOD El sang ma sap inge nu sel Moses Fineol Sinai in acn mwesis, ke len se El fahkang nu sin mwet Israel in oru kisa lalos.