< Mambo ya Walawi 7 >

1 Hii ndiyo sheria ya sadaka ya hatia. Kwa sababu hiyo ni sadaka takatifu sana.
Ja tämä on vikauhrin sääty: se on kaikkein pyhin.
2 Ni lazima waichinje sadaka ya hatia mahali panapostali kuchinjwa, na ni lazima watainyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.
Siinä paikassa, kussa polttouhri teurastetaan, pitää myös teurastettaman vikauhri, ja sen veri pitää priiskotettaman alttarille ympärinsä.
3 Mafuta yote yaliyomo ndani yake yataondolewa: mafuta ya mkiani, mafuta yaliyo sehamu za ndani,
Ja kaikki sen lihavuus pitää uhrattaman, sekä häntä että lihavuus, joka sisällykset peittää.
4 zile figo mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake, yaliyo karibu na kiuno, na yanayofunika ini—nyama hii yote lazima iondolewe pamoja na hizo figo.
Ja ne kaksi munaskuuta sen lihavuuden kanssa, joka niiden päällä on lanteissa: ja maksan kalvon munaskuiden kanssa pitää hänen eroittaman.
5 Kuhani ataviteketeza vipande hivi juu ya madhabahu viwe dhabihu iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto. Hii ni sadaka ya hatia
Niin pitää papin sen polttaman alttarilla tuliuhriksi Herralle; se on vikauhri.
6 Kila mwanaume miongoni mwa familia ya kuhani anaweza kula sehemu ya sadaka hii. Lakini ni lazima iliwe ndani ya mahali patakatifu kwa sababu ni takatifu sana.
Jokainen miehenpuoli papeista pitää syömän sen; pyhässä siassa pitää se syötämän; sillä se on kaikkein pyhin.
7 Nayo sadaka ya dhambi ni kama ilivyo sadaka ya hatia. Ni sheria ileile hutumika kwa zote mbili. Zote ni mali ya kuhani azitumiaye kufanya upatanisho.
Niinkuin rikosuhri on, niin pitää myös vikauhrin oleman; sillä yhtäläinen pitää heidän molempain säätynsä oleman: ja se pitää sen papin oma oleman, joka sillä sovittaa.
8 Kuhani atoaye sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya mtu yeyote anaweza kuchuku ngozi ya sadaka hiyo kwa ajili yake mwenyewe.
Sen papin, joka polttouhrin uhraa, pitää polttouhrin vuota oma oleman, jonka hän uhrannut on.
9 Kila sadaka ya nafaka inayookwa mekoni, na kila sadaka kama hiyo ipikwayo kaangoni au kwenye sufuria itakuwa ya kuhani aitoaye.
Ja kaikkinainen ruokauhri, joka pätsissä kypsetty on, ja kaikki kuin pannussa eli halstarilla valmistettu on, sen pitää papin oman oleman, joka sen uhraa.
10 Kila sadaka ya nafaka, ama iwe unga mkavu au uliochanganywa na mafuta ya zeitu itakuwa ya ukoo wa Aroni kwa usawa.
Ja kaikkinainen ruokauhri, joka öljyllä sekoitettu, taikka kuiva on, sen pitää kaikkein Aaronin lasten oman oleman, yhden niinkuin toisenkin.
11 Hii ndiyo sheria ya dhabihu ya sadaka za amani, ambazo watu watazitoa kwa Yahweh.
Ja tämä on kiitosuhrin sääty, joka Herralle uhrataan:
12 Iwapo mtu yeyote anaitoa ili kuonyesha shukrani kwa Yahweh, basi ataitoa pamoja na dhabih uya mikate iliyotengenezwa bila hamira, bali kwa mafuta ya zeituni yaliyochanganywa na unga lakini bila hamira, na maandazi yaliyotengenezwa bila hamira, bali yaliyopakwa mafuta juu yake, na mikate miembamba iliyofanywa kwa unga laini uliochanganywa na mafuta.
Jos he tahtovat tehdä ylistysuhria, niin heidän pitää uhraaman ylistysuhrin sivussa happamattomia leipiä, sekoitettuja öljyllä, ja happamattomia ohukaisia kyrsiä, voidelluita öljyllä, ja pannussa kypsetyitä sämpyläleipiä sekoitettuja öljyllä.
13 Kwa kusudi la kutoa shukrani, pia anapaswa kutoa pamoja na sadaka yake ya amani, vipande vya mikate iliyotiwa hamira.
Mutta senkaltaisia uhreja pitää heidän tekemän hapanneen kyrsän päälle, heidän kiitosuhrinsa ylistysuhriksi.
14 Ni lazima atatoa moja kila aina ya sadaka hizi kama sadaka iliyoletwa kwa Yahweh. Nayo itakuwa ya makuhani wanaonyunyizia damu ya sadaka ya amani kwenye madhabahu.
Ja yksi kaikista niistä pitää uhrattaman Herralle ylennysuhriksi, ja sen pitää papin oman oleman, joka priiskottaa kiitosuhrin vereen.
15 Mtu anayeleta sadaka ya amani kwa kusudi la kutoa shukrani ni lazima ataila nyama ya sadaka yake siku ya kutoa dhabihu. Hatakiwi kusaza chochote kilicho cha sadaka hiyo hata asubuhi ya pili.
Ja ylistysuhrin liha hänen kiitosuhrissansa pitää sinä päivänä syötämän, jona se uhrattu on, ja ei mitään pidä tähteeksi jätettämän huomeneksi.
16 Lakini iwapo dhabihu ya matoleo yake kusudi lake ni nadhiri, au kwa kusudi la sadaka ya hiari, nyama yake italiwa siku iyo hiyo aitoapo dhabihu yake, lakini chochote kinachosalia cha sadaka hiyo kinaweza kuliwa siku inayofuata.
Mutta jos joku lupauksesta taikka hyvästä tahdosta uhraa, niin se pitää sinä päivänä syötämän, jona se uhrattu on; mutta jos jotakin tähteeksi jää uhrista toiseksi päiväksi, niin pitää se myös syötämän.
17 Hata hivyo, nyama yoyote ya dhabihu inayobaki siku ya tatu ni lazima ichomwe moto.
Mutta se mikä tähteeksi jää siitä uhrin lihasta, niin se kolmantena päivänä pitää poltettaman tulessa.
18 Iwapo kipande chochote cha nyama hiyo ya dhabihu kinachobaki kinaliwa katika siku ya tatu, hakitakubalika, wala hakitatolewa kwa aliyeitoa. Kitakuwa ni kitu cha kuchukiza, na mtu akilaye atabeba hatia ya dhambi mwenyewe yake.
Mutta jos joku syö kolmantena päivänä siitä uhratusta lihasta, joka on hänen kiitosuhristansa, niin ei ole hän otollinen, joka sen on uhrannut, eikä se hänelle pidä luettaman, mutta se on kauhistus; ja jokainen sielu, joka sitä syö, on vikapää pahaan tekoon.
19 Nyama yoyote inayogusa kitu kilicho najisi haitaliwa. Ni lazima ichomwe moto. Na kwa ajili ya nyama inayobaki, yeyote aliye safi anaweza kuila.
Mutta se liha, joka sattuu johonkuhun saastaisuuteen, ei pidä syötämän, mutta tulessa poltettaman. Joka puhdas on, se pitää syömän lihasta.
20 Hata hivyo, mtu najisi anayekula nyama kutoka kwenye dhabihu ya matoleo ya amani ambayo ni ya Yahweh yapasa mtu huyu akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
Ja se sielu, joka syö kiitosuhrin lihasta, siitä mikä Hrran oma on, ja hänen saastaisuutensa on hänen päällänsä, se sielu pitää hävitettämän kansoistansa.
21 Iwapo mtu yeyote anagusa kitu chochote kilichonajisi—iwe ni unajisi wa binadamu, au wa mnyama aliyenajisi, au wa kitu fulani kilichonajisi na chenye kuchukiza, na kisha akala baadhi ya nyama ya dhabihu ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa Yahweh, lazima mtu huyo akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
Jos joku sielu rupee johonkuhun saastaisuuteen, olkoon se saastainen ihminen eli saastainen eläin eli joku muu saastainen kauhistus, ja syö kiitosuhrin lihasta siitä mikä Herran oma on, se pitää hävitettämän kansoistansa.
22 Kisha Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
Ja Herra puhui Mosekselle, sanoen:
23 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'hamruhusiwi kula mafuta ya fahali au kondoo au mbuzi.
Puhu Israelin lapsille, sanoen: ei teidän pidä mitään lihavuutta syömän härjistä, lampaista ja vuohista.
24 Mafuta ya mnyama yoyote afaye peke yake bila ya kuwa dhabihu, au mafuta ya mnyama yeyote aliyeraruliwa na wanyama pori, yanaweza kutumika kwa makusudi mengine, lakini hakika hamtayala.
Raadon eli haaskan lihavuus pantakoon kaikkinaisiin tarpeisiin: mutta ei teidän pidä sitä kaiketikaan syömän.
25 Yeyote atakayekula mafuta ya mnyama ambayo watu wanaweza kuyatoa kuwa dhabihu ya iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, mtu huyo lazima atakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake.
Sillä joka syö lihavuutta siitä eläimestä, joka Herralle tuliuhriksi annettu on, se sielu pitää hävitettämän kansoistansa.
26 Hamtakula damu yoyote katika mojawapo ya nyumba zenu, ama iwe kutoka kwa ndege au mnyama.
Ei teidän pidä myös verta syömän kaikissa teidän asumasioissanne, ei linnuista, eikä eläimistä.
27 Yeyote alaye damu yoyote, mtu huyo lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.'”
Jokainen sielu, joka syö jotain verta, se pitää hävitettämän kansoistansa.
28 Kwa hiyo Yahweh akazungumza na Musa na akasema,
Ja Herra puhui Mosekselle, sanoen:
29 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Yeye atoaye dhabidhu ya sadaka ya amani kwa Yahweh lazima alete sehemu ya dhabihu yake kwa Yahweh.
Puhu Israelin lapsille, sanoen: se joka Herralle kiitosuhrinsa uhraa, hänen pitää tuoman, mikä Herralle kiitosuhriksi tulee.
30 Mikono yake mwenyewe lazima iilete hiyo sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto. Naye atayaleta hayo mafuta pamoja na kidari, ili kwamba kidari kiweze kutikiswa kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh.
Mutta hänen pitää sen kantaman kädessänsä Herran tuliuhriksi: rinnan lihavuuden pitää hänen tuoman rinnan kanssa, että ne pitää oleman häälytysuhriksi Herralle.
31 Kuhani atayachoma mafuta hayo juu ya madhabahu, lakini kile kidari kitakuwa mali ya Aroni na uzao wake.
Mutta papin pitää polttaman lihavuuden alttarilla, ja rinnan pitää Aaronin ja hänen poikainsa oleman.
32 Ni lazima utatoa paja la kulia kwa kuhani kama sadaka iliyotokana na dhabihu ya sadaka yako ya amani.
Ja oikian lavan pitää teidän antaman papille ylennysuhriksi, teidän kiitosuhristanne.
33 Yule kuhani, mmoja wa wazao wa Aroni, atoaye damu na mafuta ya sadaka ya amani—ni lazima atapata paja la kulia kama mgao wake wa sadaka.
Ja joka uhraa kiitosuhrin verta ja lihavuutta Aaronin pojista, hänen pitää saaman oikian lavan osaksensa.
34 Kwa kuwa nimetwaa kidari, na paja la sadaka ya kutikiswa kutoka kwa watu wa Israeli uwe mchango wao, na amepewa Aroni kuhani na wanawe kuwa mgao wao wa kawaida.
Sillä häälytysrinnan ja ylennyslavan olen minä ottanut Israelin lapsilta heidän kiitosuhristansa, ja olen sen antanut papille Aaronille ja hänen pojillensa ijankaikkiseksi säädyksi, Israelin lapsilta.
35 Huu ndiyo mgao wa Aroni na uzao wake utokanao na matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, siku ile Musa alipowaweka wakfu ili kumtumikia Yahweh katika kazi ya kuhani.
Tämä on Aaronin ja hänen poikainsa voitelus Herran tuliuhrista, siitä päivästä, jona he Herralle papiksi annettiin.
36 Huu ndio mgao ambao Yahweh aliamru waweze kupewa kutoka kwa watu wa Israeli, katika siku hiyo aliyowatia mafuta ya upako wawe makuhani. Nao utakuwa mgao wao wa kila siku katika vizazi vyote.
Jotka Herra käski sinä päivänä, jona hän heidän voiteli, annettaa heille Israelin lapsilta, ijankaikkiseksi säädyksi heidän sukukunnissansa.
37 Hii ndiyo sheria ya sadaka ya kuteketezwa, ya sadaka ya nafaka, ya sadaka ya dhambi, ya sadaka ya hatia, ya sadaka ya kuweka wakfu, na ya dhabihu, ya sadaka za amani,
Ja tämä on sääty polttouhrista, ruokauhrista, rikosuhrista, vikauhrista, niin myös täytösuhrista ja kiitosuhrista.
38 ni sheria ambazo Yahweh alizitoa kwa Musa kwenye Mlima Sinai siku aliyowaamru watu wa Israeli kutoa dhabihu zao kwa Yahweh katika jangwa la Sinai.'”
Jonka Herra Mosekselle käski Sinain vuorella; sinä päivänä, jona hän käskyn antoi hänelle Israelin lasten tykö, että heidän pitää uhraaman uhrinsa Herralle Sinain korvessa.

< Mambo ya Walawi 7 >