< Mambo ya Walawi 6 >

1 Bwana alisema na Musa kumwabia,
И рече Господь к Моисею, глаголя:
2 “Kama mtu akifanya dhambi na kuvunja amri kinyume na Bwana, kama kujihusisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani cha kutokuwa mwaminifu, au kama akidanganya au kuiba au amemdhurumu jirani.
душа яже аще согрешит, и презрев презрит заповеди Господня, и солжет к другу о вдании, или о общине, или о хищении, или преобиде чим ближняго,
3 Au akiokota kitu fulani ambacho jirani yake amepoteza na kusema uongo kuhusu hicho, na kuapa kwa uongo au kwa mambo kama haya ambayo watu wanaweza kutenda dhambi.
или обрете погубленое, и солжет о нем, и кленется в неправду о единем от всех, яже аще сотворит человек яко согрешити в них:
4 Ndipo itakuwa hivi, kama ametenda dhambi na hatia, kwamba lazima akirudishe kwa vyovyote alichoiba au kudanganya au amedhurumu au kitu kilichopotea naye kukiokota.
и будет егда согрешит и преступит, и отдаст похищеное, еже похити, или обиду, еюже преобиде, или вдание, еже вдано бысть ему, или погибшее, еже обрете:
5 Au kama amedanganya kwa jambo lolote, lazima atakirudisha kamilina kuongezea sehemu ya tano kwa kumlipa anayedai, kwa siku ile anayopatikana na hatia.
от всякия вещи, еяже ради кляся в неправду, и да отдаст самое то истое, и пятую часть свою приложит ктому: егоже есть, тому да отдаст, в оньже день обличится:
6 Ataleta sadka ya hatia kwa Bwana: kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi lake kulingana na thamani yake, kama sadaka ya hatia kwa kuhani.
и о преступлении своем да принесет Господу овна от овец непорочна, ценою в немже прегреши:
7 Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele ya Bwana, atakuwa amesamehewa kulingana na chochote kilicho mfanya kuwa na hatia.”
и да помолится жрец о нем пред Господем, и оставится ему за едино от всех, яже сотвори и преступи в нем.
8 Ndipo Bwana alisema na Musa kumwambia,
И рече Господь к Моисею, глаголя:
9 “Mwagize Haruni na wanawe, kusema, 'hii ni sheria ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa lazima iwe juu ya makaa ya madhabahu usiku wote hata asubuhi, na moto wa madhabahu utaendelea kuwaka.
заповеждь Аарону и сыном его, глаголя: сей закон всесожжения: сие всесожжение на горении его на олтари всю нощь до заутра, и огнь олтаря да горит на нем, и не угасает:
10 Kuhani atavaa nguo zake za kitani na atavaa nguo za kitani ndani yake. Atatoa majivu yaliyobaki baada ya moto kutekeza sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu, na ataweka majivu pembeni mwa madhabahu.
и да облечется жрец в срачицу льняну, и надраги льняны да возвлечет на тело свое, и да изнесет принос, егоже аще изжжет огнь всесожжения от олтаря, и да поставит близ олтаря:
11 Atavua mavazi haya na kuvaa mavazi mengine ili kuchukua majivu nje ya kambi na kupeleka mahali palipo safi.
и да совлечет ризы своя, и да облечется в ризы ины, и да изнесет принос вне полка на место чисто:
12 Moto katika madhabahu utaendelea kuwaka. Usizimike, na kuhani ataongeza kuni kila asubuhi. Atapanga juu yake sadaka ya kuteketezwa kama inavyotakiwa, na atateketeza juu yake mafuta ya sadaka ya amani.
и огнь на олтари да горит на нем и не угасает: и да возжжет на нем жрец дрова по вся утра, и да возкладет нань всесожжение, и да возложит нань тук спасения:
13 Moto lazima utaendelea kuwaka katika madhabahu, kamwe usizimike.
и огнь всегда да горит на олтари, не угасает:
14 Hii ni sheria ya sadaka ya nafaka. Wana wa Haruni watatoa mbele ya Bwana katika madhabahu.
сей закон жертвы, юже принесут сынове Аарони жерцы пред Господем, прямо олтаря:
15 Kuhani atachukua konzi ya unga laini wa sadaka ya nafaka na mafuta na ubani ambao uko juu ya sadaka ya nafaka, atateketeza juu ya madhabahu kuleta harufu nzuri ya shukrani ya kumpendeza Bwana.
и да возмет от него (жрец) горсть муки пшеничны жертвенныя с елеем ея и со всем ливаном ея, сущими на жертве: и да вознесет на олтарь принос в воню благовония, в память ея Господу:
16 Haruni na wanae watakula sadaka inayobaki, italiwa bila kutiwa chachu mahali patakatifu. Watakula katika ua ya hema ya kukutania.
оставшееся же от нея снест Аарон и сынове его: пресна да снедятся в месте святе, в притворе скинии свидения да снедят я:
17 Haitaokwa pamoja na chachu. Nimewapa kama sehemu ya sadaka yangu itolewayo kwa moto, ni takatifu sana, kama sadaka ya dhambi na sadaka ya hatia.
да не испечется квасна: часть сию дах им от приносов Господних: святая святых суть, якоже еже о гресе, и якоже еже о преступлении:
18 Kwa nyakati zote zijazo kupitia watu wa kizazi chako, mwanaume yeyote mzaliwa kutoka kwa Haruni aweza kula ni sehemu yake, ichukuliwayo katika sadaka ya Bwana kwa moto. Yeyote anayeigusa atakuwa mtakatifu.”
всяк мужеск пол жреческ да снедят ю: законно вечно в роды вашя от принос Господних: всяк, иже аще прикоснется им, освятится.
19 Bwana aliongea tena na Musa kumwambia,
И рече Господь к Моисею, глаголя:
20 “Hii ni sadaka ya Haruni na wanawe ambayo watatoa kwa Bwana katika siku ambayo kila mwana atawekwa wakfu: sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kama kawaida sadaka ya nafaka nusu yake asubuhi na nusu yake jioni.
сей дар Аарону и сыном его, егоже принесут Господу в день, в оньже аще помажеши его: десятую часть меры ефи муки пшеничны в жертву всегда, пол ея заутра и пол ея в вечер:
21 Itatengenezwa na mafuta katika kikaango, utaileta ikiwa imeandaliwa imeokwa katika vipande utatoa sadaka ya nafaka ili kuleta harufu nzuri kwa Bwana.
на сковраде в елеи да сотворится, спряжену да принесет ю витую жертву от укрухов, жертву в воню благовония Господу:
22 Mwana wa Kuhani Mkuu atakayekuwa Kuhani Mkuu mpya kutoka miongoni mwa wanawe ataitoa. Kama amri ya milele, yote itateketezwa kwa Bwana.
жрец помазанный, иже вместо его от сынов его, да сотворит ю: законно вечно, все да совершится:
23 Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itatekezwa yote. Haitaliwa kamwe.”
и всяка жертва жреческа всесожженна да будет и да не снестся.
24 Bwana alisema tena Musa, kumwambia,
И рече Господь Бог Моисею, глаголя:
25 “Sema na Haruni na watoto wake kwamba, 'Hii ni sheria ya sadaka ya dhambi: Sadaka ya dhambi lazima kuchinjwa mahali pa sadaka ya kuteketezwa itachinjwa mbeleya Bwana. Ni takatifu sana.
рцы Аарону и сыном его, глаголя: сей закон согрешения: на месте, на немже закалают всесожжения, да закалают яже греха ради пред Господем: святая (бо) святых суть:
26 Kuhani atakayeitoa kwa ajili ya dhambi ndiye atakayeila. Italiwa mahali patakatifu katika ua wa hema ya kukutania.
жрец приносяй ю да снест ю: в месте святе да снестся, в притворе скинии свидения:
27 Yeyote atakayeigusa nyama yake atakuwa ni mtakatifu na kama damu itadondokea mavazi yatafuliwa mahali palipodondokewa, mahali patakatifu.
всяк прикасайся мяс ея освятится: и емуже аще воскропится от крове ея на ризу, яже аще воскропится на ню, да исперется на месте святе:
28 Lakini chungu kikipikiwa kitavunjwa, kama imepikiwa katika chombo cha shaba, lazima kitasuguliwa na kusafishwa kwa maji.
и сосуд глинян, в немже варится, да разбиется: аще же в медян сосуде сварится, да изтрет его, и измыет водою:
29 Mwanaume yeyote miongoni mwa makuhani anaweza kula nyama hiyo kwa sababu ni takatifu sana.
всяк мужеск пол в жерцех да снест ю: святая (бо) святых суть Господу:
30 Na hakuna sadaka ya dhambi italiwa ambayo damu yake imeletwa katika hema ya kukutania kufanya upatanisho katika mahali patakatifu. Ni lazima iteketezwe.
и вся, яже от гресе аще принесутся от крове их в скинию свидения, ко очищению во святыни, да не снедятся, огнем да сожгутся.

< Mambo ya Walawi 6 >