< Mambo ya Walawi 5 >
1 Kama mtu atatenda dhambi kwa sababu hakusema ukweli wakati alipotakiwa kutoa ushahidi fulani kuhusu kile alichotakiwa, ameona au kufahamu habari zake, yeye anastahili adhabu.
Аще же душа согрешит, и услышит глас клятвы, и сей свидетель или виде или сведа, аще не возвестит, приимет грех.
2 Au mtu akigusa kitu chochote ambacho Mungu amekitaja kuwa ni najisi hata kama ni mzoga wa wanyama wa porini au ni mzoga wa wanyama wa kufugwa au wataambaao hata kama mtu huyo hakukusudia kumgusa, yeye ni najisi na mwenye hatia.
Душа она, яже аще прикоснется ко всякой вещи нечистей, или мертвечине, или звероядине нечистей, или мертвечинам гнусностей нечистых, или мертвечинам скотов нечистых, и мертвечине гад нечистых, и забыв их осквернится:
3 Au amegusa kitu chochote kilicho kichafu, kwa vyovyote kama hakujua, ndipo atakuwa na hatia akijua vile.
или прикоснется нечистоте человечи, от всякия нечистоты его, ейже прикоснувся осквернится, и забудет, посем же увесть, повинен будет греху.
4 Au kama yeyote akiapa bila kufikiri kwa midomo yake kufanya ubaya, au kufanya vyema kwa vyovyote vile mtu ameapa kwa haraka atakapotambua atakuwa na hatia kwa vitu hivyo.
Душа беззаконная, аще обещает устнама своима зле или добре сотворити, по всем, елика изречет человек с клятвою, и утаится его пред очесы, и сей увесть, и согрешит едино что от сих,
5 Mtu yeyote akiwa na hatia kwa vitu hivi, lazima akiri kwa yoyote dhambi aliyotenda.
и исповесть грех, имже согреши противу себе:
6 Ndipo atakapoleta sadaka yake ya hatia mbele za Bwana kwa dhambi aliyokwisha tenda. Ataleta kondoo jike au mbuzi kutoka katika kundi lake kuwa matoleo ya dhambi, kuhani atafanya upatanisho kuhusu dhambi yake.
и да принесет Господу о гресе, имже согреши, женск пол, от овец агницу, или козу от коз греха ради: и да помолится о нем жрец греха ради его, имже согреши, и оставится ему грех.
7 Kama hataweza kununua mwana kondoo ataleta kama sadaka ya hatia, hua wawili au makinda mawili ya njiwa kwa Bwana, mmoja kwa sadaka ya dhambi na mwingine ni sadaka ya kutekeketezwa.
Аще же не может рука его доволства имети на овцу, да принесет греха ради своего, имже согреши, две горлицы, или два птенца голубина Господу, един греха ради и един во всесожжение:
8 Atawaleta kwa kuhani, wa kwanza atatoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Atamvunja shingo yake lakini ataacha kichwa chake kinaning'inia wala hataiondoa kabisa shingo yake katika mwili.
и принесет я к жерцу, и приведет жрец еже за грех прежде, и да отторгнет жрец главу его созади, но да не отлучит:
9 Ndipo atanyunyizia damu yake katika sehemu za madhabahu, na damu inayobaki ataimwaga chini ya madhabahu. Hii ni dhabihu ya dhambi.
и да покропит от крове, яже за грех, на стену олтаря, останок же крове да исцедит на стояло олтаря: о гресе бо есть:
10 Ndipo ataoa ndege wa pili kama sadaka ya kuteketezwa kama ilivyoelekezwa, na kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi alizokwisha kufanya, na huyo mtu atakuwa amesamehewa.
и вторым да сотворит всесожжение, якоже подобает, и да помолится от нем жрец греха ради его, имже согреши, и оставится ему.
11 Lakini kama hataweza kununua hua wawili au makinda ya njiwa mawili, ndipo ataleta kama dhabihu ya dhambi zake sehemu ya kumi ya unga laini kama sadaka ya dhambi. Asiweke mafuta wala ubani juu yake, kwa kuwa ni sadaka ya dhambi.
Аще же не обрящет рука его супруга горлиц, или двух птенцев голубиных, и принесет дар свой за грех, десятую часть меры ефимуки пшеничны за грех: да не возлиет на ню елеа, ниже да возложит на ню ливана, понеже о гресе есть:
12 Atauleta kwa kuhani, na kuhani atachukua konzi moja ya unga kama ukumbusho wa wema wa Bwana na atauweka juu ya madhabahu na kuteketeza juu ya sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana. Hii ni sadaka ya dhambi.
и да принесет ю к жерцу, и взем жрец о нея полну горсть в память его, возложит на жертвенник всесожжения Господня: о гресе (бо) есть:
13 Kuhani atafanya upatanisho kwa dhambi yoyote aliyofanya mtu yeyote, mtu huyo atasamehewa. Na sadaka inayobaki itakuwa ya kuhani, kama ilivyo sadaka ya nafaka.'”
и да помолится о нем жрец греха ради его, имже согреши отединаго сих, и оставится ему: останок же будет жерцу, якоже жертва муки пшеничны.
14 Bwana akamwambia Musa, akasema,
И рече Господь к Моисею, глаголя:
15 “Kama mtu akikiuka amri na kufanya dhambi kinyume na mambo matakatifu ya Bwana, lakini akifanya bila kukusudia ataleta sadaka ya hatia kwa Bwana. Sadaka hii itakuwa ni kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi; thamani yake halisi kifedha kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kama sadaka ya hatia.
душа яже аще забудет забвением, и согрешит не хотящи от святынь Господних, и да принесет о преступлении своем Господу овна непорочна от овец, емуже цена сребра сиклев, по сиклю святых, о немже согреши:
16 Lazima atalipa kwa Bwana kwa kile alichokosa kulingana na kitakatifu, na ataongezea moja ya tano na kumpa kuhani. Ndipo kuhani ataweka upatanisho kwa ajili yake pamoja na kondoo wa sadaka ya hatia, na mtu atakuwa amesamehewa.
и еже согреши от святых, да отдаст е, и пятую часть приложит нань, и даст е жерцу: и жрец да помолится о нем овнов преступления его, и оставится ему.
17 Kama mtu akitenda dhambi kwa kufanya kile ambacho Bwana aliagiza kisifanyike, hata kama hakujuwa, atakuwa na hatia na ataibeba hatia yake.
И душа яже аше согрешит, и сотворит едину от всех заповедий Господних, ихже не леть есть творити, и не уведе, и согрешит, и приимет грех свой,
18 Lazima ataleta kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi, anayestahili thamani ya fedha, kama sadaka ya hatia kwa kuhani. Ndipo kuhani atafanya upatanisho kulingana na dhambi aliyotenda, ambayo hakujua atakuwa amesamehewa.
и да принесет овна непорочна от овец, ценою сребра греха ради, к жерцу и да помолится о нем жрец, о неведении его, егоже не веде, и сам не ведяще, и оставится ему:
19 Ni sadaka ya hatia, na amekuwa na hatia mbele za Bwana.”
согреши бо согрешением пред Господем.