< Mambo ya Walawi 5 >

1 Kama mtu atatenda dhambi kwa sababu hakusema ukweli wakati alipotakiwa kutoa ushahidi fulani kuhusu kile alichotakiwa, ameona au kufahamu habari zake, yeye anastahili adhabu.
“‘If anyone sins ·errs (the standard goal)·, in that he sh'ma ·hear obey· the voice of adjuration, he being a witness, whether he has seen or known, if he does not report it, then he shall bear his depravity (moral evil).
2 Au mtu akigusa kitu chochote ambacho Mungu amekitaja kuwa ni najisi hata kama ni mzoga wa wanyama wa porini au ni mzoga wa wanyama wa kufugwa au wataambaao hata kama mtu huyo hakukusudia kumgusa, yeye ni najisi na mwenye hatia.
“‘Or if anyone touches any unclean thing, whether it is the carcass of an unclean animal, or the carcass of unclean livestock, or the carcass of unclean creeping things, and it is hidden from him, and he is unclean, then he shall be condemned guilty.
3 Au amegusa kitu chochote kilicho kichafu, kwa vyovyote kama hakujua, ndipo atakuwa na hatia akijua vile.
“‘Or if he touches the uncleanness of man, whatever his uncleanness is with which he is unclean, and it is hidden from him; when he knows of it, then he shall be condemned guilty.
4 Au kama yeyote akiapa bila kufikiri kwa midomo yake kufanya ubaya, au kufanya vyema kwa vyovyote vile mtu ameapa kwa haraka atakapotambua atakuwa na hatia kwa vitu hivyo.
“‘Or if anyone swears rashly with his lips to do evil, or to do good, whatever it is that a man might utter rashly with an oath, and it is hidden from him; when he knows of it, then he shall be condemned guilty of one of these.
5 Mtu yeyote akiwa na hatia kwa vitu hivi, lazima akiri kwa yoyote dhambi aliyotenda.
It shall be, when he is condemned guilty of one of these, he shall yadah ·extend hands in confession· of that in which he has sinned ·deviated (from the standard goal)·:
6 Ndipo atakapoleta sadaka yake ya hatia mbele za Bwana kwa dhambi aliyokwisha tenda. Ataleta kondoo jike au mbuzi kutoka katika kundi lake kuwa matoleo ya dhambi, kuhani atafanya upatanisho kuhusu dhambi yake.
and he shall bring his fault incurring guilt offering to Adonai for his habitual sin ·missing the mark· which he has sinned ·deviated (from the standard goal)·, a female from the flock, a lamb or a goat, for a habitual sin ·miss the mark· offering; and the priest shall make atonement for him concerning his habitual sin ·missing the mark·.
7 Kama hataweza kununua mwana kondoo ataleta kama sadaka ya hatia, hua wawili au makinda mawili ya njiwa kwa Bwana, mmoja kwa sadaka ya dhambi na mwingine ni sadaka ya kutekeketezwa.
“‘If he can’t afford a lamb, then he shall bring his fault incurring guilt offering for that in which he has sinned ·deviated (from the standard goal)·, two turtledoves, or two young pigeons, to Adonai; one for a habitual sin ·miss the mark· offering, and the other for a burnt offering.
8 Atawaleta kwa kuhani, wa kwanza atatoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Atamvunja shingo yake lakini ataacha kichwa chake kinaning'inia wala hataiondoa kabisa shingo yake katika mwili.
He shall bring them to the priest, who shall first offer the one which is for the habitual sin ·miss the mark· offering, and wring off its head from its neck, but shall not sever it completely.
9 Ndipo atanyunyizia damu yake katika sehemu za madhabahu, na damu inayobaki ataimwaga chini ya madhabahu. Hii ni dhabihu ya dhambi.
He shall sprinkle some of the blood of the habitual sin ·miss the mark· offering on the side of the altar; and the rest of the blood shall be drained out at the base of the altar. It is a habitual sin ·miss the mark· offering.
10 Ndipo ataoa ndege wa pili kama sadaka ya kuteketezwa kama ilivyoelekezwa, na kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi alizokwisha kufanya, na huyo mtu atakuwa amesamehewa.
He shall offer the second for a burnt offering, according to the judgement; and the priest shall make atonement for him concerning his habitual sin ·missing the mark· which he has sinned ·deviated (from the standard goal)·, and he shall be forgiven.
11 Lakini kama hataweza kununua hua wawili au makinda ya njiwa mawili, ndipo ataleta kama dhabihu ya dhambi zake sehemu ya kumi ya unga laini kama sadaka ya dhambi. Asiweke mafuta wala ubani juu yake, kwa kuwa ni sadaka ya dhambi.
“‘But if he can’t afford two turtledoves, or two young pigeons, then he shall bring his offering for that in which he has sinned ·deviated (from the standard goal)·, one tenth of an ephah [an omer; 2.3 q; 2.2 L] of fine flour for a habitual sin ·miss the mark· offering. He shall put no oil on it, and he shall not put any frankincense on it, for it is a habitual sin ·miss the mark· offering.
12 Atauleta kwa kuhani, na kuhani atachukua konzi moja ya unga kama ukumbusho wa wema wa Bwana na atauweka juu ya madhabahu na kuteketeza juu ya sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana. Hii ni sadaka ya dhambi.
He shall bring it to the priest, and the priest shall take his handful of it as the memorial portion, and burn it on the altar, on the offerings of Adonai made by fire. It is a habitual sin ·miss the mark· offering.
13 Kuhani atafanya upatanisho kwa dhambi yoyote aliyofanya mtu yeyote, mtu huyo atasamehewa. Na sadaka inayobaki itakuwa ya kuhani, kama ilivyo sadaka ya nafaka.'”
The priest shall make atonement for him concerning his habitual sin ·missing the mark· that he has sinned ·deviated (from the standard goal)· in any of these things, and he will be forgiven; and the rest shall be the priest’s, as the meal offering.’”
14 Bwana akamwambia Musa, akasema,
Adonai spoke to Moses [Drawn out], saying,
15 “Kama mtu akikiuka amri na kufanya dhambi kinyume na mambo matakatifu ya Bwana, lakini akifanya bila kukusudia ataleta sadaka ya hatia kwa Bwana. Sadaka hii itakuwa ni kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi; thamani yake halisi kifedha kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kama sadaka ya hatia.
“If anyone commits a violation, and sins ·errs (the standard goal)· that is an unintentional mistake sin ·error·, in the holy things of Adonai; then he shall bring his fault incurring guilt offering to Adonai, a ram without defect from the flock, according to your estimation in silver by shekels, after the shekel of the sanctuary (the shekel is 0.4 oz; 11.34 g), for a fault incurring guilt offering.
16 Lazima atalipa kwa Bwana kwa kile alichokosa kulingana na kitakatifu, na ataongezea moja ya tano na kumpa kuhani. Ndipo kuhani ataweka upatanisho kwa ajili yake pamoja na kondoo wa sadaka ya hatia, na mtu atakuwa amesamehewa.
He shall make restitution for that sin ·err (from the standard goal)· which he has done wrong in the holy thing, and shall add a fifth part to it, and give it to the priest; and the priest shall make atonement for him with the ram of the fault incurring guilt offering, and he will be forgiven.
17 Kama mtu akitenda dhambi kwa kufanya kile ambacho Bwana aliagiza kisifanyike, hata kama hakujuwa, atakuwa na hatia na ataibeba hatia yake.
“If anyone sins ·errs (the standard goal)· against any the mitzvot ·instructions· of Adonai concerning things which should not be done, though he didn’t know it, yet he is condemned guilty, and shall bear his depravity (moral evil).
18 Lazima ataleta kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi, anayestahili thamani ya fedha, kama sadaka ya hatia kwa kuhani. Ndipo kuhani atafanya upatanisho kulingana na dhambi aliyotenda, ambayo hakujua atakuwa amesamehewa.
He shall bring a ram without defect from of the flock, according to your estimation, for a fault incurring guilt offering, to the priest; and the priest shall make atonement for him concerning the unintentional mistake sin ·error· in which he deviated in mental error, unintentional sin ·error·, and he will be forgiven.
19 Ni sadaka ya hatia, na amekuwa na hatia mbele za Bwana.”
It is a fault incurring guilt offering. He is certainly condemned guilty condemned guilty before Adonai.”

< Mambo ya Walawi 5 >