< Mambo ya Walawi 4 >

1 Bwana alisema na Musa na kumwambi,
Hina Gode da Mousesema e da Isala: ili dunuma amane alofele sia: ma: ne sia: i,
2 “Waambie wana wa Israeli 'mtu yeyote akifanya dhambi bila kukusudia, kufanya chochote ambacho Bwana ameagiza kutofanya, na kama akifanya chochote kilichozuiliwa, yafuatayo lazima yatatendeka.
“Nowa da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i hame dawa: beba: le giadofai galea, e da amane hamoma: mu,
3 Kama ni kuhani mkuu aliyetenda dhambi na kuleta hatia kwa watu, atatoa dume asiyekuwa na kasoro kwa Bwana kwa ajili ya dhambi aliyotenda kama sadaka ya dhambi.
Gobele salasu Ouligisu dunu da giadofabeba: le, fofada: su da Isala: ili dunu huluane ilima doaga: sea, e da bulamagau mano gawali (noga: idafa, ledo hamedei) ea giadofabeba: le dabe ima: ne, Hina Godema gobele salimu.
4 Ataleta dume mbele ya mlango wa hema ya kukutania mbele ya Bwana, ataweka mikono juu ya dume, na atamchinja huyo dume mbele za Bwana.
E da bulamagau gawali amo Abula Diasu holeiga oule asili, ea dialuma da: iya ea lobo ligisili, Hina Gode ba: ma: ne amo bulamagau medole legemu.
5 Kuhani aliyewekewa mafuta atachukua damu ya dume na kuileta mbele ya hema ya kukutania.
Amasea, gobele salasu hina dunu da bulamagau ea maga: me mogili lale, Abula Diasua golili gaguli masunu.
6 Kuhani atazamisha kidole chake katika damu na kuinyunyiza mara saba mbele za Bwana, mbele ya pazia la mahali pa takatifu.
E da ea lobo sogo maga: mega gele, amo maga: me hadigi Abula (amo da Abula Diasu afafaia) ea midadi fesuale agoane foga: gagala: mu.
7 Na kuhani ataweka kiasi cha damu ya huyo dume juu ya pembe za madhabahu ya kuvukizia uvumba mbele za Bwana, katika hema ya kukutania na ataimwaga yote iliyobaki chini ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, iliyo mahali pa kuinglia katika hema ya kukutania.
Amasea, e da maga: me eno amo hono da gabusiga: manoma oloda ea hegomaiga gala amoga foga: gagala: mu. E da maga: me eno diala amo oloda (Abula Diasu holeiga diala amola amoga ilia da gobele salasu liligi gobesisa) amo ea baiga sogadigimu.
8 Atakata mafuta yote ya dume wa sadaka ya dhambi, mafuta yanayofunika matumbo na mafuta yote yaliyo katika matumbo,
9 figo mbili na mafuta yaliyopo pamoja nazo, yaliyo karibu na kiuno na kitambi cha maini pamoja na hizo figo.
E da amo bulamagau ea sefe, sefe da iga dedebosa (oso sefe), fogome ganumui amola ilia sefe amola habe ea la: idi noga: iwane, amo lale,
10 Ataondoa zote vile vile kama yanavyoondolewa katika dume wa sadaka ya dhabihu ya amani. Kuhani atatekeza sehemu hizo katika madhabahu ya sadaka za kuteketezwa.
oloda (amoga ilia da gobele salasu liligi gobesisa) amo da: iya gobesimu. E da Hahawane Gilisili Olofole Iasu ohe ea sefe gobesisu amo defele gobesimu.
11 Ngozi ya dume na mabaki yoyote ya nyama, pamoja na kichwa chake, miguu yake, matumbo yake na mavi yake,
Be amo bulamagau ea gadofo, ea hu huluane, ea emo amola ea iga huluane,
12 mabaki yote ya dume atayachukua nje ya mji mahali palipo safi, mahali wanapomwaga majivu; watateketeza sehemu zote juu ya kuni. Watateketeza sehemu zote mahali wanapomwaga majivu.
e da abula diasu gilisisu amoga gadili gaguli asili, ledo hamedei sogebi (amoga ilia da nasubu duduli fasisu) amogai nema: ne gobesimu.
13 Kama mkutano wote wa wana wa Israeli wakitenda dhambi bila kukusudia, na mkutano hawatakumbuka kwamba wametenda dhambi, na kufanya vile Bwana aliagiza wasifanye na wakajisikia hatia.
Be Isala: ili fi dunu huluane da hame dawa: beba: le Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i afae giadofasea,
14 Na dhambi waliyofanya ikajulikana, mkutano watatoa ng'ombe dume mchanga kuwa sadaka ya dhambi watamleta mbele ya hema ya kukutania.
ilia wadela: i hou hamoi ilia dawa: sea, ilia huluane da bulamagau mano gawali ilia Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu ima: ne, Hina Gode Ea Abula Diasu amoga oule masunu.
15 Wazee wa mkutano wataweka mikono yao juu ya kichwa cha ng'ombe mbele za Bwana, na ng'ombe atachinjwa mbele za Bwana.
Isala: ili fi ilia ouligisu dunu da bulamagau ea dialuma da: iya ilia lobo ligisili, amogawi medole legemu.
16 Kuhani aliyetiwa mafuta ataleta damu ya ng'ombe katika hema ya kukutania,
Gobele Salasu hina dunu da bulamagau ea maga: me mogili lale, Abula Diasu ganodini gaguli misunu.
17 kuhani atachovya kidole chake katika damu na kuinyunyizia mara saba mbele za Bwana mbele ya pazia.
E da ea lobo sogo maga: me ganodini gele, hadigi Abula ea midadi fesuale agoane foga: gagala: mu.
18 Ataweka kiasi cha damu katika pembe za madhabahu mbele za Bwana iliyo katika hema ya kukutania na ataimwaga damu yote chini ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, iliyo katika mlango wa kuingilia katika hema ya kukutania.
Amasea, e da maga: me eno amo hono da gabusiga: manoma oloda ea hegomaiga gala, amoga foga: gagala: mu. E da maga: me eno diala amo oloda (Abula Diasu holeiga diala amola amoga ilia da gobele salasu liligi gobesisa) amo ea baiga sogadigimu.
19 Atakata mafuta yote na kuyatekeza katika madhabahu.
Amasea, e da sefe huluane lale, oloda da: iya gobesimu.
20 Hivyo ndivyo atakavyomfanya huyo ng'ombe, kama alivyomfanya ng'ombe wa sadaka ya dhambi, atamfanyia vivyo hivyo huyu ng'ombe, kuhani atawafanyia upatanisho watu nao watasamehewa.
E da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu ima: ne gobele salasu defele, amo bulamagau gobele salimu. Amasea, Isala: ili fi dunu ilia wadela: i hou da gogolema: ne olofoi dagoi ba: mu.
21 Atamchukua huyo ng'ombe nje ya mji na kumteketeza kama alivyomteketeza ng, ombe wa kwanza. Hii ni sadaka ya dhambi kwa ajili ya mkutano.
Amasea, e da hi Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu ima: ne, bulamagau amo abula diasu gilisisu gadili gaguli asili gobesisa, amo defele e amo bulamagau gobesimu. Amo gobele salasu da Isala: ili fi dunu huluane ilia wadela: i hou dodofema: ne hamosa.
22 Mtawala akitenda dhambi bila kukusudia kufanya moja ya yale Bwana Mungu wake ameagiza kutotenda, na anajisikia hatia
Be fi ouligisu dunu da hame hanaiba: le amola hame dawa: beba: le, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i afae giadofasea,
23 na kama dhambi yake aliyotenda anaifahamu, ataleta dhabihu yake mbuzi mme asiye na kasoro.
dunu eno da e da giadofai ema olelesea, e da goudi gawali ida: iwane ledo hamedei, gaguli misa: ne sia: ma.
24 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha mbuzi na kumchinja mahali ambapo huchinja sadaka ya kuteketezwa mbele za Bwana. Hii ni sadaka ya dhambi.
E da amo goudi ea dialuma da: iya ea lobo ligisili, oloda ea gagoe (north) la: idi, (amoga ohe gobele salasu hamoma: ne ilia medole legebe) amoga medole legemu. Amo gobele salasu iasu da ouligisu dunu ea wadela: i hou fadegale fasima: ne hamosa.
25 Kuhani atachukua damu ya sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuiweka juu ya pembe za madhabahu kwa dhabihu ya kuteketezwa, na atamwaga damu chini ya madhabahu ya dhabihu ya kuteketezwa.
Gobele salasu dunu da ea lobo sogo maga: me ganodini gele, hono amo oloda hegomaiga gala amoga legelu amola maga: me eno diala amo oloda ea baiga sogadigimu.
26 Atateketeza mafuta yote katika madhabahu, kama vile mafuta ya dhabihu ya sadaka ya amani, Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya mtawala kulingana na dhambi yake, na mtawala atakuwa amesamehewa.
Amasea, e da Hahawane Gilisili Olofole Iasu ohe ilia sefe gobesibi defele, amo goudi ea sefe huluane oloda da: iya gobesimu. Gobele salasu dunu da amomane fi ouligisu dunu ea Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu ima: ne, gobele salasu hamomu. Amasea, ea wadela: i hou da gogolema: ne olofoi dagoi ba: mu.
27 Kama yeyote wa watu wa kawaida akitenda dhambi bila kukusudia, kufanya vitu ambavyo Bwana ameagiza kutokufanywa na kama ana hatia,
Be dunudafa da mae dawa: le, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i afae giadofale, wadela: i hou hamosea,
28 ndipo dhambi yake aliyoitenda ikajulikana kwake, ndipo ataleta mbuzi mke asiyekuwa na kasoro awe dhabihu kwa ajili ya dhambi zake alizotenda.
dunu eno da ea giadofai amo ema olelesea, e da goudi aseme noga: idafa, ledo hamedei, amo Godema ima: ne gaguli misa: ne sia: ma.
29 Ataweka mikono yake juu ya sadaka ya dhambi na kuchinja sadaka ya dhambi mahali pa sadaka ya kuteketezwa.
E da amo goudi ea dialuma da: iya ea lobo ligisili, oloda ea gagoe (north) la: ididili (amoga ilia da gobele salasu ohe medole legesu) amoga medole legemu.
30 Kuhani atachukua kiasi cha damu kwa kidole chake na kuweka katika pembe za madhabahu ya dhabihu ya kuteketezwa. Damu yote iliyobaki ataimwaga chini ya madhabahu.
Gobele salasu dunu da ea lobo sogo amo goudi ea maga: me ganodini gele, hono amo oloda ea hegomaiga dialebe amo foga: gagala: mu. Amola maga: me eno diala amo oloda ea baiga sogadigimu.
31 Atayaondoa mafuta yote, kama alivyoondoa mafuta katika dhabihu ya amani. Kuhani ataiteketeza katika madhabahu ili kuwa harufu nzuri kwa Bwana. Kuhani atafanya upatanisho kwa mtu, na atasamehewa.
Amasea, e da goudi aseme ea sefe huluane bosolimu (ilia da ohe Hahawane Gilisili Olofole Iasu hamoma: ne medole legei sefe fadegasu defele). Amasea, e da amo sefe oloda da: iya gobesimu. Hina Gode da amo gobele salasu gabusiga: hahawane naba. Gobele salasu dunu da agoane hamosea, e da amo dunu ea wadela: i hou hamoi dabe iaha. Amola amo dunu da gogolema: ne olofosu ba: mu.
32 Kama mtu ataleta mwanakondoo kama dhabihu yake kwa sadaka ya dhambi, ataleta jike asiye na kasoro.
Dunu da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu imunusa: , sibi gaguli masea, e da sibi aseme ida: iwane ledo hamedei gaguli misunu da defea.
33 Ataweka mikono kichwani mwa sadaka ya dhambi na atamchinja kuwa sadaka ya dhambi mahali wanapochinjwa sadaka ya kuteketezwa.
E da amo sibi ea dialuma da: iya ea lobo ligisili, oloda ea gagoe (north) la: ididili (amoga ilia da gobele salasu ohe medole lelegesu) amoga medole legemu.
34 Kuhani atachukua baadhi ya damu ya sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuweka katika pembe za madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, na ataimwaga damu yote chini ya madhabahu.
Gobele salasu dunu da ea lobo sogo amo sibi ea maga: me ganodini gele, hono amo oloda ea hegomaiga diala amoga legemu. Amola maga: me eno diala amo oloda ea baiga sogadigimu.
35 Ataondoa mafuta yote, kama akatavyo mafuta ya mwanakondoo dhabihu ya sadaka ya amani na kuhani ataiteketeza juu ya madhabahu juu ya sadaka ya Bwana itolewayo kwa moto. Kuhani ataleta upatanisho kwa dhambi aliyoifanya, naye atasamehewa.
Amasea, e da sibi aseme ea sefe huluane duga: le (ilia da sibi Hahawane Gilisili Olofole Iasu hamoma: ne medole legei ea sefe duga: su defele), amo sefe amola ha: i manu iasu Hina Godema i, amo gilisili gobesimu. Agoane hamobeba: le, gobele salasu dunu da amo dunu ea wadela: i hou hamoi ea dabe iaha. Amasea, amo dunu ea wadela: i hou da gogolema: ne olofoi dagoi ba: mu.

< Mambo ya Walawi 4 >