< Mambo ya Walawi 3 >

1 Kama mtu atoa dhabihu ambayo ni matoleo ya amani ya mnyama kutoka katika kundi, dume au jike, lazima atatoa mnyama asiyena kasoro mbele ya Bwana.
A jeśli ktoś będzie chciał złożyć ofiarę pojednawczą, a byłaby ze stada – czy to samca, czy samicę – niech złoży ją bez skazy przed PANEM.
2 Ataweka mikono yake juu ya sadaka yake na atamchinja mbele ya mlango wa hema ya kukutania. Kisha wana wa Haruni makuhani watanyunyizia damu yake katika pande za madhabahu.
I położy rękę na głowie swojej ofiary, i zabije ją przed wejściem do Namiotu Zgromadzenia. I synowie Aarona, kapłani, pokropią krwią z wierzchu dokoła ołtarz.
3 Mtu akitoa dhabihu ya amani itolewayo kwa moto kwa ajili ya Bwana. Mafuta yanayofunika au yanayoungana na hizo sehemu za ndani,
Potem z ofiary pojednawczej złoży PANU ofiarę ogniową: tłuszcz okrywający wnętrzności i cały tłuszcz, który jest na nich;
4 figo mbili na mafuta yaliyofunika kiunoni na yanayozunguka ini, pamoja na figo atayatoa pamoja.
Obie nerki z tłuszczem, który jest na nich i na lędźwiach, i płat tłuszczu na wątrobie oddzieli wraz z nerkami.
5 Wana wa Haruni watayachoma hayo katika madhabahu pamoja na sadaka ya kutekezwa, juu ya kuni zilizo kwenye moto. Zitaleta harufu nzuri mbele ya Bwana; itakuwa sadaka ya itolewayo kwake kwa moto.
I synowie Aarona spalą to na ołtarzu razem z ofiarą całopalną, która jest na drwach leżących na ogniu. To jest ofiara ogniowa na miłą woń dla PANA.
6 Kama dhabihu ya amani ya mtu itolewayo kwa Bwana ni kutoka katika mifugo ni mbuzi au kondoo ni dume au jike, atatoa dhabihu isiyo na kasoro.
Jeśli zaś jego ofiara na ofiarę pojednawczą dla PANA będzie z trzody, czy to samiec, czy samica, niech złoży ją bez skazy.
7 Kama atatoa mwanakondoo kwa ajili ya dhabihu yake, atamtoa mbele za Bwana.
Jeśli składa owcę na swoją ofiarę, niech złoży ją przed PANEM.
8 Ataweka mkono wake juu ya ya kichwa cha dhabihu yake na atamchinja mbele ya hema ya kukutania. Ndipo wana wa Haruni watanyunyizia damu pande za madhabahu.
I położy rękę na głowie swojej ofiary, i zabije ją przed Namiotem Zgromadzenia. I synowie Aarona pokropią jej krwią z wierzchu dokoła ołtarz.
9 Mtu akitoa sadaka ya dhabihu ya amani kama sadaka ya kusogezwa kwa moto kwa Bwana. Mafuta, mafuta ya mkia yatakatwa hapo karibu na mfupa wa kiuno, na mafuta yanayofunika matumbo na mafuta yaliyo katika matumbo,
I z ofiary pojednawczej złoży PANU ofiarę ogniową: jej tłuszcz, cały ogon, który odetnie przy samej kości ogonowej, tłuszcz okrywający wnętrzności oraz cały tłuszcz na wnętrznościach;
10 na figo zote mbili na mafuta yanayofunika yaliyo karibu na kiuno kitambi kilicho karibu na ini na figo ataziondoa zote.
Obie nerki z tłuszczem, który jest na nich i na lędźwiach, i płat tłuszczu na wątrobie, który oddzieli wraz z nerkami.
11 Na kuhani atayatekeza yote kwa moto katika madhabahu kama sadaka ya chakula isogezwayo kwa moto kwa Bwana.
I kapłan spali to na ołtarzu. To [jest] pokarm ofiary ogniowej dla PANA.
12 Kama matoleo ya mtu ni mbuzi, ndipo ataitoa mbele ya Bwana.
Jeśli zaś jego ofiara będzie kozą, niech złoży ją przed PANEM.
13 Ataweka mikono yake juu ya kichwa cha mbuzi na atamchinja mbele ya hema ya kukutania. Ndipo wana wa Haruni watanyunyizia damu pande zote za madhabahu.
Położy rękę na jej głowie i zabije ją przed Namiotem Zgromadzenia. I synowie Aarona pokropią jej krwią ołtarz dokoła.
14 Mtu akitoa dhabihu kwa Bwana kwa njia ya moto. Ataondoa mafuta yanayozunguka matumbo, na mafuta yote yanayozunguka matumbo.
I złoży z niej PANU swoją ofiarę na ofiarę ogniową: tłuszcz okrywający wnętrzności i cały tłuszcz na wnętrznościach;
15 Ataondoa pia figo mbili na mafuta yanayozunguka, ambayo yanazunguka kiuno na kitambi cha maini pamoja na figo.
Obie nerki z tłuszczem, który jest na nich i na lędźwiach, i płat tłuszczu na wątrobie, który oddzieli wraz z nerkami.
16 Kuhani atateketeza yote juu ya madhabahu kama matoleo ya chakula yatolewayo kwa moto, ni sadaka ya kuleta harufu nzuri sana. Mafuta yote ni ya Bwana.
I kapłan spali to na ołtarzu. To [jest] pokarm ofiary ogniowej na miłą woń. Wszelki [bowiem] tłuszcz należy do PANA.
17 Itakuwa ni amri ya kudumu kwa kizazi cha watu katika maeneo yote mtakapotengeneza makazi, kwamba hamtakula mafuta au damu.”'
To jest wieczna ustawa dla waszych pokoleń, we wszystkich waszych mieszkaniach: Nie będziecie jeść żadnego tłuszczu ani żadnej krwi.

< Mambo ya Walawi 3 >