< Mambo ya Walawi 27 >
1 Yahweh akazungumza na Musa na akasema,
LEUM GOD El sang nu sel Moses
2 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Iwapo mtu yeyote anatoa kiapo maalum cha kuwa mnathiri kwa Yahweh, tumieni tathmini zifuatazo:
oakwuk ten inge nu sin mwet Israel. Pacl se sie mwet el kitaung sie pacna mwet nu sin LEUM GOD in akfalye sie wuleang ku, mwet se ma kitakatyang uh ku in aksukosokyeyukla fin moulla sie sin lupan mani ten inge
3 Viwango vyenu vya thamani kwa mwanaume aliye na umri kati ya miaka ishirini na miaka sitini yaweza kuwa shekeli hamsini za fedha, kulingana na vipimo vya shekeli ya mahali pa patakatifu.
fal nu ke srikasrak ma oakwuki. Lupan moul ma sie mukul su matwa oasr ke yac longoul nu ke onngoul, pa ipin silver lumngaul.
4 Kwa mwanamke wa umri uleule viwango vyenu vya thamani yapasa viwe shekeli thelathini vya fedha.
Fin mutan se, lupan ma kom ac moli uh pa ipin silver tolngoul.
5 Tangu wenye umri wa miaka mitano mpaka wa miaka ishirini viwango vyenu vya thamani kwa mwananume vitakuwa shekeli ishirini za fedha, na kwa mwanamke ni shekeli kumi za fedha,
Fin matwen mwet se oasr ke yac limekosr yak nu ke longoul — ipin silver longoul ke mukul, ac singoul ke mutan.
6 Kwa wenye umri wa tangu mwezi mmoja mpaka miaka mitano viwango vyenu vya thamani kwa mawanaume vitakuwa shekeli tano za fedha na kwa mwanamke shekeli tatu za fedha.
Fin tulik ma malem seyak nu ke yac limekosr matwa — ipin silver limekosr ke mukul, ac tolu ke mutan.
7 Tangu wenye umri wa miaka sitini na zaidi kwa mwanaume viwango vyenu vya thamani vitakuwa shekeli kumi na tano, na kwa mwanamke ni shekeli kumi.
A fin mwet se oasr ke yac onngoul yak nu lucng — ipin silver singoul limekosr ke mukul, ac singoul ke mutan.
8 Lakini kama mtu atoaye kiapo cha mnadhiri hawezi kulipa kiwango hicho cha thamani, kisha huyo mtu anayetolewa lazima atapelekwa kwa kuhani, naye kuhani atamthamanisha huyo atolewaye kwa kiasi anachoweza kutoa yule anayetoa kiapo cha mnadhiri.
Mwet se ma orala wuleang sac fin arulana sukasrup ac tia ku in moli lupan mani ma oakwuk inge, na ac fah utuku el nu yurin mwet tol, na mwet tol fah orala sie moul fisrasr kutu, fal nu ke kuiyen mwet sac elan ku in moli.
9 Iwapo mtu anataka kutoa sadaka ya mnyama kwa Yahweh, na iwapo Yahweh ataikubali, kisha huyo mnyama atatengwa kwake.
Fin wuleang sac ma nu ke soko kosro, su ac wo ac fal nu ke mwe kisa nu sin LEUM GOD, na mwe kite se ma orekla nu sin LEUM GOD uh mutal,
10 Mtu huyo hataruhusiwa kumtoa madhabahuni au kumbadilisha huyo mnyama, mzuri kwa mbaya au mbaya kwa mzuri. endapo atatoa mnyama badala ya mwingine, kisha wanyama hao wawili; yule anayetolewa na yule anayebadilishwa wanakuwa watakatifu.
ac mwet se ma orala wuleang sac fah tia aolla nu ke soko na kosro. El fin aolla, na kosro lukwa kewa ac ma lac lun LEUM GOD.
11 Hata hivyo, iwapo kile mtu amishaapa kumtolea Yahweh kwa uhalisia siyo kisafi, kwa hiyo, Yahweh hatakikubali, naye huyo mtu atalazimika kumleta huyo mnyama kwa kuhani.
Tusruktu wulela sac fin ma nu ke soko kosro ma tia nasnas, su ac tia wo in kisakinyuk nu sin LEUM GOD, na mwet sac enenu in usla kosro soko ah nu sin mwet tol.
12 Kuhani atamthamanisha, kwa thamani ya soko la mnyama. Thamani yoyote kuhani atakayoiweka juu ya mnyama, hiyo ndiyo itakuwa thamani yake.
Na mwet tol sac fah orala sie lupan mol nu kac, fal nu ke woiya ku kolukiyen kosro soko ah, na ac fah pa ingan lupan molin kosro soko ah.
13 Na kama mmiliki anapenda kumkomboa, kisha tano ya thamani yake itaongezwa kwenye gharama yake ya ukombozi.
Mwet sac fin ke sifilpa molela, na el fah moli lupan mol sac ac laesla pac ke percent longoul.
14 Mtu aitengapo nyumba yake iwe zawadi takatifu kwa Yahweh, kisha kuhani ataweka thamani yake ama iwe ni nzuri au mbaya. Thamani yoyote itakayowekwa na kuhani juu yake, ndiyo itakuwa thamani yake.
Mwet se fin kisakin lohm sel nu sin LEUM GOD, mwet tol el ac fah orala sie lupan moul ma ac fal nu ke woiya ku kolukiyen lohm sac, na ac pa ingan lupan molo uh.
15 Lakini kama mmiliki wake anayeitenga nyumba yake anapenda kuikomboa, atalazimika kuongeza sehemu ya tano ya thamani yake kwenye gharama ya ukombozi wake, nayo nyumba itakuwa yake.
Mwet se ma kisakunla lohm sac fin lungse sifil molela, el enenu in moli moul fon sac ac laesla pac ke percent longoul.
16 Iwapo mtu anatenga sehemu ya ardhi yake mwenye, kisha tathmini yake itakuwa katika uwiano kwa kiwango cha kiasi cha mbegu inayotakiwa kuipanda katika ardhi hiyo—homeri moja ya mbegu za shairi ambayo itathamanishwa kwa shekeli hamsini za fedha.
Mwet se fin kisakin sie ipin acn lal nu sin LEUM GOD, molo uh ac fah oakwuk fal nu ke lupan barley ma ac yoki fin acn sac — ipin silver singoul ke kahp in barley se.
17 Na kama analitenga shamba lake katika mwaka wa Yubile, tathmini yake ya awali itabaki kuwa ileile.
El fin ac sa na kisakunla acn sac tukunna Yac in Folokyang sac, na moul na fon ke acn sac ac fah orekmakinyuk.
18 Lakini endapo atalitenga shamba hilo baada ya mwaka wa Yubile, kisha kuhani atalazimika kukokotoa thamani yake kwa idadi ya miaka inayobaki mpaka mwaka wa Yubile, na thamani yake lazima ishushwe.
A el fin kisakin acn sac ke kutu pacl tok, na mwet tol el ac fah motkwala sie lupan moul ma ac fal nu ke pisen yac lula nu ke Yac in Folokyang se tok ah, ac aksrikye kutu molo.
19 Iwapo mtu anayelitenga shamba lake anapenda kuliko, mboa, naye atalazimika kuongeza sehemu ya tano kwenye thamani, nalo shamba litakuwa lake tena.
Mwet se ma kisakunla acn sac fin ke sifilpa molela, na el ac enenu in moli moul na fon sac ac laesla ke percent longoul.
20 Iwapo halikomboi shamba, au iwapo amishaliuza shamba kwa mtu mwingine, haliwezi kukombolewa tena.
El fin soenna molela acn sac sin LEUM GOD a el sifilpa kukakin nu sin siena mwet, na ac wangin suwohs lal in sifilpa moli.
21 Badala yake, shamba hilo litakapoachwa huru katika mwaka wa Yubile, litakuwa zawadi takatifu kwa Yahweh, kama lilivyo shamba lililotolewa kabisa kwa Yahweh. Nalo litakuwa mali ya kuhani.
Ke Yac in Folokyang se tok ah, ima sac ac fah ma lac lun LEUM GOD nwe tok, na ac fah som nu sin mwet tol.
22 Iwapo mtu anatenga shamba alilolinunua, lakini hilo shamba siyo sehemu ya ardhi ya familia yake,
Mwet se fin molela ima se ac kisakin nu sin LEUM GOD,
23 kuhani atafanya tathmini yake mpaka mwaka wa Yubile, na mtu huyo lazima atalipa thamani yake katika siku hiyo hiyo kuwa zawadi takatifu kwa Yahweh.
na mwet tol el ac fah orala sie lupan moul ma ac fal nu ke pisen yac lula nu ke Yac in Folokyang se tok uh, ac mwet sac enenu in molela ke len sacna; na mani kac uh ac ma lun LEUM GOD.
24 Katika mwaka wa Yubile, shamba litarejeshwa kwa mtu yule ambaye lilikuwa limenunuliwa, kwa mmiliki wa ardhi.
Ke ac sun Yac in Folokyang sac, ima sac ac fah folokyang nu sin mwet se la acn sac meet ah, ku nu sin fwil natul uh.
25 Tathmani yote lazima ifanywe kwa uzani wa shekeli ya mahali pa patakatifu. Gera ishirini kwa shekeli moja.
Lupan moul nukewa ac fah wi na ma oakwuki tari.
26 Asiwepo mtu atakayetenga mzaliwa wa kwanza miongoni mwa wanyama, kwa kuwa wazaliwa wote wa kwanza wa wanyama tayari ni mali ya Yahweh; iwe ni maksai au kondoo, ni wa Yahweh.
Wounse nutin ma orakrak nukewa nuna ma lun LEUM GOD, ke ma inge mwet uh tia ku in kisakin ma inge nu sin LEUM GOD in mwe sang ma orek ke insewowo na lalos. Soko cow fusr ku sheep fusr, ku nani fusr, nuna ma lun LEUM GOD.
27 Na kama ni mnyama aliye najisi, kisha mmiliki wake anaweza kumnunua tena sawasawa na thamani yake, na sehemu ya tano lazima itaongezwa kwenye thamani hiyo. Na kama mnyama hakombolewi, naye atauzwa kwa thamani iliyowekwa.
Tusruktu wounsien soko kosro su tia nasnas ac ku in sifilpa moulla ke moul ma oakwuki tari, wi percent longoul. Fin tia sifilpa moulla, ac ku in kukakinyukla nu sin kutena mwet ke lupan moul ma oakwuki tari uh.
28 Hakutakuwa na kitu amabacho mtu anakitoa kwa Yahweh, kutoka katika vyote alivyonavyo, iwe ni mwanadamu au mnyama, au ardhi ya familia yake, ambacho chaweza kuuzwa au kukombolewa. Kila kitu kitolewacho ni kitakatifu sana kwa Yahweh.
Wangin sie mwet fah kukakin, ku sifil moli, kutena ma su kisakinyukyang tuh in ma na lun LEUM GOD nwe tok— finne mwet se, ku kosro soko, ku acn se. Ma inge ma na lun LEUM GOD nwe tok.
29 Hakuna fidia inayoweza kulipwa kwa ajili ya mtu aliyetolewa ili kuangamizwa. Mtu huyo sharti auawe
Finne mwet se ma kisaiyang tari tuh in ma na lun LEUM GOD nwe tok, fah tia ku in sifil moliyukla; ac enenu in anwuki el.
30 Zaka yote iliyo ya ardhini, iwe nafaka ichipukayo juu ya ardhi au tunda kutoka kwenye miti, ni mali ya Yahweh. Ni takatifu kwa Yahweh.
Sie tafu singoul in fahko nukewa ke acn uh, finne wheat ku fokinsak, ac ma lun LEUM GOD.
31 Iwapo mtu anakomboa chochote cha zaka yake, atalazimika kuongeza sehemu ya tano kwenye thamani yake.
Mwet se fin lungse sifilpa molela kutena sin ma inge, el enenu in moli ke moul ma oakwuki nu kac ac laesla ke percent longoul.
32 Na kwa kila mnyama wa kumi wa kundi la ng'ombe au la kondoo, yeyote anayepita chini ya fimbo ya mchungaji, atatengwa kwa ajili ya Yahweh.
Kais soko inmasrlon kosro muna singoul nukewa ma lun LEUM GOD. Pacl se ma oekyuk kosro uh, ma soko aksingoul nukewa ac ma nu sin LEUM GOD.
33 Mchungaji hatatafuta wanyma waliobora au wabaya kabisa, na haruhusiwi kubadili mnyama mmoja kwa mnyama mwingine. Iwapo anambadilisha kwa namna yoyote ile, kisha wote wawili yule wa kwanza na huyo aliyebadiliwa watakuwa watakatifu. Mnyama huyo atolewaye hawezi kukombolewa.'”
Mwet se ma natu kosro uh fah tia takunla in tuh kosro ma koluk lumah uh solla, ac el fah tia pac aolelik. El fin sang soko kosro aolla soko pacna kosro, na kosro lukwa ah kewa ac ma lac lun LEUM GOD, na ac fah tia ku in sifilpa moliyuk.
34 Hizi ndizo amri ambazo Yahweh alimpa Musa kwenye mlima Sinai kwa ajili ya watu wa Israeli.
Pa inge oakwuk ma LEUM GOD El tuh sang nu sel Moses Fineol Sinai, tuh in ma nu sin mwet Israel.