< Mambo ya Walawi 25 >

1 Yahweh akazungumza na Musa kwenye Mlima wa Sinai, akisema,
Yahweh said to Moses/me on Sinai Mountain,
2 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mtakapoingia katika nchi ambayo ninawapa, kisha hiyo nchi lazima ifanywe iwe ya kuishika Sabato kwa ajili ya Yahweh.
“Tell the Israelis [that I, Yahweh, say this]: When you enter the land that I am about to give you, every seventh year you must honor me by [not planting any seeds. You will be] allowing the ground to rest.
3 Ni lazima mtapanda mazao yenu kwa miaka sita, na kwa miaka sita mtaikatia matawi mizabibu yenu na kukusanya mazao yake.
For six years you are to plant seeds in your fields and prune your grapevines and harvest the crops.
4 Lakini katika mwaka wa saba, Sabato ya pumziko la utulivu kwa nchi itashikwa, ni Sabato kwa Yahweh. Hamtapanda mashamba yenu wala kuikatia mizabibu yenu matawi yake.
But the seventh/next year you must [dedicate] to me, and allow your fields to rest. Do not plant seeds in your fields or prune your grapevines [during that year].
5 Hamtasimamia mavuno yoyote ya mazao ya mizabibu iliyojiotesha yenyewe katika mashamba yenu ya mizabibu isiyokatiwa matawi. Huu utakuwa mwaka wa pumziko lenye utulivu kwa ardhi.
Do not reap [the grain] that grows in your fields without having been planted, or harvest the grapes that grow [without the vines being pruned]; you must allow the land to rest for that one year.
6 Chochote ardhi isiyofanyiwa kazi itakachotoa wakati wa Sabato ndicho kitakuwa chakula chako. Wewe mwenyewe, watumwa wako wa kiume na wa kike, watumishi wako wa kuajiriwa na wageni wanaoishi pamoja nawe mnaweza kujikusanyia chakula.
But you are permitted to eat whatever crops grow by themselves during that year without having been planted. You and your male and female servants, and workers whom you have hired, and people who are living among you temporarily are permitted to eat it.
7 Na wnyama wako wa kufugwa na wanyama pori waweze kula chochote ardhi itoacho.
Also, [during that year] your livestock and the wild animals in your land are permitted to eat it.’
8 Ni lazima kwenu kuhesabu Sabato saba za miaka, yaani, saba mara miaka saba, ikifanya jumla ya miaka arobaini na tisa.
‘Also, after every 49 years has ended, you must do this: (On the tenth day of the seventh month/At the end of September) [of the next/50th year], blow trumpets throughout the country, to declare that it will be a day on which you request that I forgive you for the sins that you have committed.
9 Kisha mtapiga sauti ya tarumbeta kila mahali katika siku ya kumi ya mwezi wa saba. Katika Siku ya Upatanisho ni lazima mtapiga tarumbeta katika nchi yenu yote.
10 Nanyi mtautenga mwaka wa hamsini kwa ajili ya Yahweh na mtatangaza uhuru katika nchi yote kwa wakazi wote. Kutakuwa na Yubile kwa ajili yenu, ambayo kwayo mali na watumwa ni lazima warejeshwe kwa familia zao.
Set apart that year, and proclaim that throughout the country, it will be a year of restoring the land and freeing people: All the people [who sold their property] will receive back the property that they previously owned, and slaves must be (freed/allowed to return to [their property and] their families).
11 Mwaka wa saba kutakuwa na Yubile kwenu. Hamtapanda wala kusimamia mavuno ya kijioteshacho chenyewe, na kukusanya kichipukacho kwenye mizabibu isiyokatiwa matawi.
That year will be a Year of Celebration; [during that year] do not plant anything, and do not harvest [in the usual way] the grain/wheat that grows without having been planted, or the grapes that grow without the vines being pruned.
12 Kwa sababu hiyo ni Yubile takatifu kwenu. Nanyi mtakula mazao yanayokua yenyewe kutoka mashambani.
It will be a Year of Celebration, so eat [only] what grows in the fields (by itself/without any work being done to produce anything).
13 Ni lazima muwarejeshe kila mmoja kwenye miliki yake katika mwaka huu wa Yubile.
‘In that Year of Celebration, everyone must return to their own property.
14 Iwapo utauza ardhi yoyote ya jirani yako au kununua ardhi yake, ni shrti msipunjane au kutendeana kwa hila.
‘If you sell some of your land to a fellow Israeli or if you buy some land from one of them, you must treat that person fairly:
15 Iwapo unanunua ardhi kutoka kwa jirani yako, zingatia idadi ya miaka na mazao ambayo yaweza kuvunwa mpaka mwaka wa Yubile nyingine. Jirani yako anayeuza ardhi ni lazima aihesabu miaka hiyo pia.
If you buy land, the price that you will pay will depend on the number of years there will be until the next Year of Celebration. If someone sells land to you, he will charge a price that is determined by the number of years until the next Year of Celebration.
16 Miaka inapoongezeka mpaka Yubile nyingine, ataongeza thamani ya ardhi, na miaka inapokuwa michache kufikia Yubile nyingine atashusha thamani, kwa sababu idadi ya mavuno inahusiana na idadi ya miaka kabla ya Yubile nyingine.
If there will be many years before the next Year of Celebration, the price will be higher; if there will be only a few years until the next Year of Celebration, the price will be lower. [You could say that] what he is really selling you is the number of crops [which you can harvest before the next Year of Celebration].
17 Msipunjane au kutendeana kwa hila, badala yake, yawapasa kumheshi Yahweh Mungu wenu.
Do not cheat each other; instead, revere me. I, Yahweh your God, [am the one who am commanding this].
18 Kwa hiyo basi, ni lazima muyatii maagiza, kuzitunza sheria zangu na kuzitekeleza. Nanyi mtaishi katika nchi katika usalama.
‘Obey all my laws [DOU] carefully. If you do that, you will continue to live safely in your country [DOU].
19 Nayo nchi itawapa mavuno yake, nanyi mtakula matunda yenu na mtaishi humo salama.
And crops will grow well on the land, and you will have plenty to eat.
20 Labda mtasema, Tutakula nini katika mwaka wa saba? Tazama, hatuwezi kupanda wala kukusanya mazao yetu.”
But you may ask, “If we do not plant or harvest our crops during the seventh year, what will we have to eat?”
21 Nitaiamru baraaka yangu ije juu yenu katika mwaka wa sita, nayo itatoa mavuno ya kutosha kwa miaka mitatu.
[My answer is that] I will bless you very much during the sixth/previous year, with the result that during that year there will be enough crops to provide food for you for three years!
22 Mtapanda katika mwaka wa nane na mtaendelea kula mazao ya miaka iliyopita na kutoka kwenye ghala la chakula. Mpaka mavuno ya mwaka wa tisa yatakapofika, mtaweza kula kutoka kwenye riziki iliyohifadhiwa katika miaka iliyopita
Then, after you plant seed during the eighth/next year [and wait for the crops to grow], you will eat the food grown in the sixth year, and continue to eat it until more food is harvested in the ninth year!
23 Ardhi haitauzwa kwa mmiliki mpya wa kudumu, kwa sababu ardhi ni mali yangu. Ninyi nyote mu wageni na wakazi wa muda juu ya ardhi yangu.
‘You must not sell any of your land to belong to someone else permanently, because the land [is not yours, it]; is really mine, and you are only living on it temporarily and (farming/taking care of) it for me.
24 Ni lazima muitunze haki ya ukombozi kwa ajili ya ardhi yote mtakayoimiliki; itawapasa kuruhusu ardhi inunuliwe tena na familia ambayo wewe uliinunua hiyo ardhi kutoka kwao.
Throughout the country that you will possess, you must remember that if someone sells some of his land to you, he is permitted to buy it back from you [if he wants to].
25 Iwapo Mwisraeli mwenzako anakuwa masikini na kwa sababu hiyo anauza baadhi ya miliki yake, kisha jamaa yake wa karibu anaweza kuja na kuikomboa hiyo miliki ambayo jamaa yake kaiuza kwako.
‘So, if one of your fellow Israelis becomes poor and sells some of his property [to obtain some money], the person who is most closely related to him is permitted to come and buy that land for him.
26 Iwapo mtu hana jamaa wa kuikomboa mali yake, lakini ikiwa kafanikiwa na anao uwezo wa kuikomboa,
However, if a man has no one to buy the land for him, and he himself prospers again and saves enough money to buy that land back,
27 kisha atahesabu miaka tangu ardhi hiyo ilipouzwa na kurejesha kwa mtu aliyemuuzia fedha iliyosalia. Naye anaweza kuerejea kwenye miliki yake mwenyewe.
he must calculate how many years there will be until the next Year of Celebration. Then he must pay to the man who bought the land the money that he would have earned by continuing to grow crops on that land for those years.
28 Lakini ikiwa hawezi kuirejesha kwake ardhi aliyoiuza, nayo hiyo ardhi aliyoiuza itabaki katika umiliki wa yule aliyeinunua mpaka mwaka wa Yubile. Kwenye mwaka wa Yubile, ardhi itarejeshwa kwa mtu aliyeiuza, naye mmiliki wa asili atarejea kwenye mali yake.
But if the original owner does not have any money to buy the land that he sold, it will continue to belong to the man who bought it, until the next Year of Celebration. In that year it must be returned to its original owner, and he will be able to live on it again.
29 Ikiwa mtu anauza nyumba iliyo kwenye mji uliozungushiwa ukuta, naye anaweza kuinunua tena ndani ya mwaka baada ya kuuzwa. kwa kuwa, kwa mwaka mzima atakuwa na haki ya ukombozi.
‘If someone who lives in a city that has a wall around it sells a house there, during the next year he will be permitted to buy it from the man who bought it.
30 Kama nyumba hiyo haitakombolewa kabla ya mwaka mzima, ndipo hiyo nyumba iliyoko kwenye mji uliozungushiwa ukuta itakuwa mali ya kudumu ya yule aliyeinunua, katika vizazi vyote vya uzao wake. Nyumba hiyo haitakuwa ya kurejeshwa katika mwaka wa Yubile.
If he does not buy it during that year, it will belong permanently to the man who bought it and to his descendants. It must not be returned to the original owner in the Year of Celebration.
31 Lakini nyumba za vijijini zisizokuwa na ukuta kuzizunguuka, zitahesabiwa kuwa shamba la nchi. Zaweza kukombolewa, na ni lazima zirejeshwe katika mwaka wa Yubile.
But houses that are in villages that do not have walls around them are considered to be as though they are in a field. So if someone sells one of those houses, he is permitted to buy it back at any time. And [if he does not buy it], it must be returned to him in the Year of Celebration.
32 Hata hivyo, nyumba zinazomilikiwa na makuhani katika miji yao zaweza kukombelewa wakati wowote.
‘If any descendants of Levi sell their houses in the towns in which they live, they are permitted to buy them back at any time.
33 Iwapo mmoja wa makuhani haikombowi nyumba iliyozwa, kisha nyumba hiyo iliyouzwa katika miji ilimo, ni lazima irejeshwe katika mwaka wa Yubile, kwa kuwa nyumba za miji ya makuhani ni mali yao miongoni mwa watu wa Israeli.
And because the houses in their towns are on land that [was given to them by] other Israelis, that land will become theirs again in the Year of Celebration [if they do not buy it back before then].
34 Lakini yale mashamba yanayozunguka miji yao hayataweza kuuzwa kwa sababu hiyo ni mali ya kudumu ya Makuhani.
But the pastureland near their towns must not be sold. It must belong to the original owners permanently/forever.
35 Ikiwa mwananchi mwenzako anakuwa masikini, kiasi kwamba hawezi kujihudumia, nawe utalazimika kumsaidia kama vile ungemsaidia mgeni au mwingine yeyote kutoka nje aishie miongoni mwenu.
‘If one of your fellow Israelis becomes poor and is unable to buy what he needs [IDM], others of you must help him like you would help a foreigner who is living among you [DOU] temporarily.
36 Usimtoze riba au kujaribu kunufaika kutoka kwake katika njia yoyote, bali mheshimu Mungu wako ili kwamba ndugu yako aendelee kuishi nawe.
[If you lend money to him], do not charge any kind of interest [DOU]. Instead, [show by what you do that you] revere me, your God, and help that man, in order that he will be able to continue to live among you.
37 Hutampa mkopo wa fedha na kumtoza riba, wala hutamuuzia chakula chako ili kupata faida.
If you lend him money, do not charge interest; and if you sell food to him, [charge him only what you paid for it]; do not get a profit from it.
38 Mimi ndimi Yahweh Mungu wako, aliye kuleta wewe kutoka nchi ya Misri, ili kwamba Nikupe nchi ya Kanaani, na kwamba niwe Mungu wako.
[Do not forget that] I am Yahweh your God, who brought you out of Egypt to be your God and to give you the land of Canaan, [and I did not charge you for doing that].
39 Iwapo mwananchi mwenzako atakuwa masikini na kujiuza mwenyewe kwako, hutamfanyisha kazi kama mtumwa.
‘If one of your fellow Israelis becomes poor and sells himself to you, do not force him to work like a slave.
40 Mtendee kama mtumishi wa kuajiriwa. Ni lazima awe kama yule ahudumuye nawe kwa muda mpaka mwaka wa Yubile.
Treat him like you treat workers that you hire or like someone who is living on your land temporarily. But he must work for you [only] until the Year of Celebration.
41 Kisha ataondoka kwako, yeye mwenyewe na watoto wake pamoja naye, na atarejea kwenye familia yake mwenyewe na kwenye miliki ya baba yake.
During that year, you must free him, and he will go back to his family and to the property that his ancestors owned.
42 Kwa sababu wao ni watumishi wangu niliowaleta kutoka katika nchi ya Misri. Hawatauzwa kama watumwa.
[It is as though] you Israelis are my slaves/servants, whom I [freed from being slaves] in Egypt. So none of you should be sold to become slaves.
43 Usitawale juu yao kwa ukatili, bali yakupasa kumheshimu Mungu wako.
And do not treat the Israelis whom you buy cruelly; instead, revere me, your God.
44 Kwa upande wa watumwa wako wakiume na watumwa wako wa kike, unaowezao kuwapata kutok kwa mataifa yanayokuzunguka, waweza kununua watumwa kutoka kwao.
‘If you want to have slaves, you are permitted to buy them from nearby countries.
45 Unaweza pia kununua watumwa kutoka kwa wageni wanaoishi miongoni mwenu, yaani, kutoka familia zao waliopamoja nawe, wale wtoto waliozaliwa katika nchi yako. Wanaweza kuwa mali yako.
You are also permitted to buy some of the foreigners who are living among you, and members of their clans that were born in your country. Then you will own them.
46 Unaweza kuzalisha watumwa hao kama urithi kwa watoto wako baada yako, ili kuwamiliki kama mali. Kutoka kwao waweza kununua watumwa daima, lakini hamtawezi kutawala kwa ukali juu ya ndugu zenu walio miogoni mwa watu wa Israeli.
They will be your slaves for the remaining years of your life, and after you die, it is permitted for your children to own them. But you must not act in brutal ways toward your fellow Israelis.
47 Iwapo mgeni anayeishi nawe kwa muda anakuwa tajiri, na ikiwa mmoja wa Waisraeli amekuwa masikini na kujuza mwenyewe kwa familia ya mgeni, au kwa mtu fulani katika familia,
‘If a foreigner who is living among you [DOU] becomes rich, and if one of your fellow Israelis becomes poor and sells himself to that foreigner or to a member of his clan/family,
48 baada ya Mwisraeli mwenzako kuwa amenunuliwa. Anaweza kurejeshwa kwa maliopo. Iwapo anaweza kurejeshwa. Mtu fulani katika familia yake anaweza kumkomboa.
it is permitted for someone to pay for him to be freed. It is permitted for one of his relatives to pay for him to be released:
49 Anaweza kuwa mjomba wake, au mjomba wa mwanawe, anayemkomboa yeye, au yeyote aliye ndugu yake wa karibu kutoka kwa ukoo wake. Au, iwapo ni mwenye mafanikio, anaweza kujikomboa mwenyewe.
An uncle or a cousin or another relative in his clan may pay for him to be released. Or, if he prospers [and gets enough money], he is permitted to pay for his own release.
50 Ni lazima apatane na mtu aliyemnunua, itawapasa kuhesabu miaka tangu mwaka aliojiuza kwa mnunuzi wake mpaka mwaka wa Yubile. Ile thamani ya ukombozi wake ihesabiwe kulingana na kiwango cha mshahara anaolipwa mtumishi aliyeajiriwa, kwa idadi ya miaka ambayo angeweza kuendelea kufanya kazi kwa yule aliyemnunua.
The man who wants to pay for his own release must count the number of years until the next Year of Celebration. The price he pays to the man who bought him will depend on the pay that would be given to a hired worker for that number of years.
51 Endapo kutakuwa kungali na miaka mingi iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atalazimika kulipa fungu kubwa la fedha kwa ajili ya ukombozi ambao ni uwino wa idadi ya miaka hiyo.
If there are a lot of years that remain until the Year of Celebration, he must pay for his release a larger amount of the money.
52 Iwapo kuna miaka michache tu iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atapatana na aliyemnunua ili kuipitia idadi ya miaka iliyobaki mpaka Yubile, naye atalazimika kulipia ukombozi wake kulingana na idadi ya miaka.
If there are only a few years that remain until the Year of Celebration, he must pay a smaller amount to be released.
53 Naye atatendewa kama mtu aliyeajiriwa mwaka kwa mwaka. Utahakikisha kwamba hatendewi kwa ukali.
During the years that he is working for the man who bought him, the man who bought him must treat him like he would treat a hired worker, and all of you must make sure that his owner does not treat him cruelly.
54 Iwapo hakukombolewa katika njia hizi, basi atatumika mpaka mwaka wa Yubile, yeye pamoja na watoto wake.
‘And even if a fellow Israeli who has sold himself to a rich man is not able to pay for himself to be freed by any of these ways, he and his children must be freed in the Year of Celebration,
55 Kwangu mimi watu wa Israeli ni watumishi. Wao ni watumishi wangu ambao Niliwatoa katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
because [it is as though] you Israelis are my slaves/servants, whom I, Yahweh your God, freed from [being slaves in] Egypt.’”

< Mambo ya Walawi 25 >