< Mambo ya Walawi 25 >

1 Yahweh akazungumza na Musa kwenye Mlima wa Sinai, akisema,
Jahve reče Mojsiju na Sinajskom brdu:
2 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mtakapoingia katika nchi ambayo ninawapa, kisha hiyo nchi lazima ifanywe iwe ya kuishika Sabato kwa ajili ya Yahweh.
“Govori Izraelcima i kaži im: Kad uđete u zemlju koju vam dajem, neka ta zemlja održava Jahvin subotni počinak.
3 Ni lazima mtapanda mazao yenu kwa miaka sita, na kwa miaka sita mtaikatia matawi mizabibu yenu na kukusanya mazao yake.
Šest godina zasijavaj svoju njivu, šest godina svoj vinograd obrezuj i beri njegov plod.
4 Lakini katika mwaka wa saba, Sabato ya pumziko la utulivu kwa nchi itashikwa, ni Sabato kwa Yahweh. Hamtapanda mashamba yenu wala kuikatia mizabibu yenu matawi yake.
Ali sedme godine neka i zemlja uživa subotnji počinak, Jahvinu subotu: svoje njive ne zasijavaj niti obrezuj svoga vinograda.
5 Hamtasimamia mavuno yoyote ya mazao ya mizabibu iliyojiotesha yenyewe katika mashamba yenu ya mizabibu isiyokatiwa matawi. Huu utakuwa mwaka wa pumziko lenye utulivu kwa ardhi.
Što samo od sebe uzraste na tvojoj njivi nemoj žeti niti beri grožđe s neobrezane loze. Neka to bude zemlji godina počivanja.
6 Chochote ardhi isiyofanyiwa kazi itakachotoa wakati wa Sabato ndicho kitakuwa chakula chako. Wewe mwenyewe, watumwa wako wa kiume na wa kike, watumishi wako wa kuajiriwa na wageni wanaoishi pamoja nawe mnaweza kujikusanyia chakula.
Zemljišni počinak neka vam priskrbi prehranu: tebi, tvome sluzi, tvojoj sluškinji, tvome najamniku koji s tobom živi;
7 Na wnyama wako wa kufugwa na wanyama pori waweze kula chochote ardhi itoacho.
a i tvojoj stoci i zvjeradi u tvojoj zemlji neka njezini plodovi služe za hranu.”
8 Ni lazima kwenu kuhesabu Sabato saba za miaka, yaani, saba mara miaka saba, ikifanya jumla ya miaka arobaini na tisa.
“Nabroj sedam sedmica takvih godina, sedam puta sedam godina. Sedam sedmica godina iznosit će ti četrdeset devet godina.
9 Kisha mtapiga sauti ya tarumbeta kila mahali katika siku ya kumi ya mwezi wa saba. Katika Siku ya Upatanisho ni lazima mtapiga tarumbeta katika nchi yenu yote.
A onda zaori u trubu! U sedmome mjesecu, desetoga dana toga mjeseca, na Dan pomirenja, zatrubite u trubu širom svoje zemlje.
10 Nanyi mtautenga mwaka wa hamsini kwa ajili ya Yahweh na mtatangaza uhuru katika nchi yote kwa wakazi wote. Kutakuwa na Yubile kwa ajili yenu, ambayo kwayo mali na watumwa ni lazima warejeshwe kwa familia zao.
Tu pedesetu godinu proglasite svetom! Zemljom proglasite oslobađanje svim njezinim stanovnicima. To neka vam bude jubilej, oprosna godina. Neka se svatko vaš vrati na svoju očevinu; neka se svatko vrati k svome rodu!
11 Mwaka wa saba kutakuwa na Yubile kwenu. Hamtapanda wala kusimamia mavuno ya kijioteshacho chenyewe, na kukusanya kichipukacho kwenye mizabibu isiyokatiwa matawi.
Ta pedesetogodišnjica neka vam je jubilejska godina: nemojte sijati, nemojte žeti što samo od sebe uzraste niti berite grožđe s neobrezane loze.
12 Kwa sababu hiyo ni Yubile takatifu kwenu. Nanyi mtakula mazao yanayokua yenyewe kutoka mashambani.
Jer jubilej vam mora biti svet! Hranite se onim što njiva donese od sebe.
13 Ni lazima muwarejeshe kila mmoja kwenye miliki yake katika mwaka huu wa Yubile.
Te jubilejske godine neka se svatko vrati na svoju očevinu.
14 Iwapo utauza ardhi yoyote ya jirani yako au kununua ardhi yake, ni shrti msipunjane au kutendeana kwa hila.
Zato, kad prodajete imanje svome sunarodnjaku ili kupujete od svoga sunarodnjaka, nemojte nanositi štete svome bratu!
15 Iwapo unanunua ardhi kutoka kwa jirani yako, zingatia idadi ya miaka na mazao ambayo yaweza kuvunwa mpaka mwaka wa Yubile nyingine. Jirani yako anayeuza ardhi ni lazima aihesabu miaka hiyo pia.
Od svoga sunarodnjaka kupuj, odbivši samo broj godina poslije jubileja, a on neka ti proda prema broju proizvodnih godina.
16 Miaka inapoongezeka mpaka Yubile nyingine, ataongeza thamani ya ardhi, na miaka inapokuwa michache kufikia Yubile nyingine atashusha thamani, kwa sababu idadi ya mavuno inahusiana na idadi ya miaka kabla ya Yubile nyingine.
Što više godina, više i cijenu povisi; što manje godina, neka je i cijena manja. Jer, ono što ti on prodaje jest broj ljetina.
17 Msipunjane au kutendeana kwa hila, badala yake, yawapasa kumheshi Yahweh Mungu wenu.
Neka nitko od vas ne nanosi štete svome sunarodnjaku, nego se boj Boga svoga! Jer ja sam Jahve, Bog vaš.
18 Kwa hiyo basi, ni lazima muyatii maagiza, kuzitunza sheria zangu na kuzitekeleza. Nanyi mtaishi katika nchi katika usalama.
Vršite moje zakone i moje naredbe; vjerno ih provodite u djelo pa ćete u sigurnosti živjeti na zemlji.
19 Nayo nchi itawapa mavuno yake, nanyi mtakula matunda yenu na mtaishi humo salama.
Zemlja će davati svoj rod, jest ćete do sitosti i živjet ćete u sigurnosti.
20 Labda mtasema, Tutakula nini katika mwaka wa saba? Tazama, hatuwezi kupanda wala kukusanya mazao yetu.”
Ako biste rekli: 'Čime ćemo se hraniti te sedme godine kad ne budemo ni sijali ni brali plodova?'
21 Nitaiamru baraaka yangu ije juu yenu katika mwaka wa sita, nayo itatoa mavuno ya kutosha kwa miaka mitatu.
evo, blagoslov ću svoj pustiti na vas: šesta godina rodom će roditi za tri godine.
22 Mtapanda katika mwaka wa nane na mtaendelea kula mazao ya miaka iliyopita na kutoka kwenye ghala la chakula. Mpaka mavuno ya mwaka wa tisa yatakapofika, mtaweza kula kutoka kwenye riziki iliyohifadhiwa katika miaka iliyopita
Kad budete sijali osme godine, hranit ćete se starim prihodom sve do devete godine; dok ne dođe njezin prihod, jest ćete stari.”
23 Ardhi haitauzwa kwa mmiliki mpya wa kudumu, kwa sababu ardhi ni mali yangu. Ninyi nyote mu wageni na wakazi wa muda juu ya ardhi yangu.
“Zemlja se ne smije prodati potpuno, jer zemlja pripada meni, dok ste vi samo stranci i gosti kod mene.
24 Ni lazima muitunze haki ya ukombozi kwa ajili ya ardhi yote mtakayoimiliki; itawapasa kuruhusu ardhi inunuliwe tena na familia ambayo wewe uliinunua hiyo ardhi kutoka kwao.
Zato u svakome kraju gdje imate zemljišne posjede morate dopustiti otkupljivanje zemlje.
25 Iwapo Mwisraeli mwenzako anakuwa masikini na kwa sababu hiyo anauza baadhi ya miliki yake, kisha jamaa yake wa karibu anaweza kuja na kuikomboa hiyo miliki ambayo jamaa yake kaiuza kwako.
Ako tvoj brat zapadne u škripac te moradne prodati dio svoje očevine, neka dođe njegov najbliži izbavitelj i otkupi što je njegov brat prodao.
26 Iwapo mtu hana jamaa wa kuikomboa mali yake, lakini ikiwa kafanikiwa na anao uwezo wa kuikomboa,
Ako nema koga da mu ga otkupi, a poslije i sam postane imućan te stekne sredstva da je otkupi,
27 kisha atahesabu miaka tangu ardhi hiyo ilipouzwa na kurejesha kwa mtu aliyemuuzia fedha iliyosalia. Naye anaweza kuerejea kwenye miliki yake mwenyewe.
neka prebroji godine od prodaje, isplati kupcu svotu za preostalo vrijeme i vrati se na svoju očevinu.
28 Lakini ikiwa hawezi kuirejesha kwake ardhi aliyoiuza, nayo hiyo ardhi aliyoiuza itabaki katika umiliki wa yule aliyeinunua mpaka mwaka wa Yubile. Kwenye mwaka wa Yubile, ardhi itarejeshwa kwa mtu aliyeiuza, naye mmiliki wa asili atarejea kwenye mali yake.
Ako nema sredstava da je vrati, onda prodano neka ostane u rukama kupca do jubilejske godine. A stupivši u jubilej, neka se vrati na svoju očevinu.
29 Ikiwa mtu anauza nyumba iliyo kwenye mji uliozungushiwa ukuta, naye anaweza kuinunua tena ndani ya mwaka baada ya kuuzwa. kwa kuwa, kwa mwaka mzima atakuwa na haki ya ukombozi.
Ako tko proda stojnu kuću u gradu zidom obzidanu, može je otkupiti dokle se ne navrši godina poslije prodaje; otkupni rok neka je, dakle, jedna godina.
30 Kama nyumba hiyo haitakombolewa kabla ya mwaka mzima, ndipo hiyo nyumba iliyoko kwenye mji uliozungushiwa ukuta itakuwa mali ya kudumu ya yule aliyeinunua, katika vizazi vyote vya uzao wake. Nyumba hiyo haitakuwa ya kurejeshwa katika mwaka wa Yubile.
Ako je ne otkupi u roku od godine, onda kuća u gradu zidom opasana prelazi potpuno kupcu i njegovim potomcima: ni za jubileja neka se ne vraća.
31 Lakini nyumba za vijijini zisizokuwa na ukuta kuzizunguuka, zitahesabiwa kuwa shamba la nchi. Zaweza kukombolewa, na ni lazima zirejeshwe katika mwaka wa Yubile.
Ali kuće po selima što nemaju zidova oko sebe neka se smatraju kao posjedi u polju; mogu se otkupljivati. U jubileju kupac mora iz njih izići.
32 Hata hivyo, nyumba zinazomilikiwa na makuhani katika miji yao zaweza kukombelewa wakati wowote.
Kuće koje u levitskim gradovima pripadaju levitima mogu leviti otkupiti u svako vrijeme.
33 Iwapo mmoja wa makuhani haikombowi nyumba iliyozwa, kisha nyumba hiyo iliyouzwa katika miji ilimo, ni lazima irejeshwe katika mwaka wa Yubile, kwa kuwa nyumba za miji ya makuhani ni mali yao miongoni mwa watu wa Israeli.
Ako se koji levit ne posluži svojim pravom otkupa, onda će kuća što bude prodana u gradu njegova vlasništva biti za jubileja vraćena. Jer kod Izraelaca kuće u gradovima levita njihovo su vlasništvo.
34 Lakini yale mashamba yanayozunguka miji yao hayataweza kuuzwa kwa sababu hiyo ni mali ya kudumu ya Makuhani.
Neograđena zemlja oko njihovih gradova ne može se prodati, jer je ona njihovo vlasništvo za sva vremena.”
35 Ikiwa mwananchi mwenzako anakuwa masikini, kiasi kwamba hawezi kujihudumia, nawe utalazimika kumsaidia kama vile ungemsaidia mgeni au mwingine yeyote kutoka nje aishie miongoni mwenu.
“Ako tvoj brat zapadne u škripac i ne mogne održavati svoje odnose s tobom, primi ga; i neka s tobom živi kao stranac ili gost.
36 Usimtoze riba au kujaribu kunufaika kutoka kwake katika njia yoyote, bali mheshimu Mungu wako ili kwamba ndugu yako aendelee kuishi nawe.
Ne uzimaj od njega ni lihve ni kamata. Boga se svoga boj, i neka tvoj brat živi s tobom!
37 Hutampa mkopo wa fedha na kumtoza riba, wala hutamuuzia chakula chako ili kupata faida.
Ne uzajmljuj mu novac na kamate niti mu lihvarski davaj svoju hranu.
38 Mimi ndimi Yahweh Mungu wako, aliye kuleta wewe kutoka nchi ya Misri, ili kwamba Nikupe nchi ya Kanaani, na kwamba niwe Mungu wako.
Ja, Jahve, Bog vaš, izbavio sam vas iz zemlje egipatske da vam dadem zemlju kanaansku i budem vaš Bog.
39 Iwapo mwananchi mwenzako atakuwa masikini na kujiuza mwenyewe kwako, hutamfanyisha kazi kama mtumwa.
Ako li tvoj brat padne u škripac dok je s tobom u urednim odnosima te se moradne tebi prodati, nemoj ga prisiliti da služi kao rob; neka bude kod tebe kao najamnik ili nadničar.
40 Mtendee kama mtumishi wa kuajiriwa. Ni lazima awe kama yule ahudumuye nawe kwa muda mpaka mwaka wa Yubile.
Neka služi kod tebe do jubilejske godine.
41 Kisha ataondoka kwako, yeye mwenyewe na watoto wake pamoja naye, na atarejea kwenye familia yake mwenyewe na kwenye miliki ya baba yake.
Onda neka bude slobodan da ode od tebe - i on i njegova djeca s njim; neka ide natrag svome rodu i opet zaposjedne svoju djedovinu.
42 Kwa sababu wao ni watumishi wangu niliowaleta kutoka katika nchi ya Misri. Hawatauzwa kama watumwa.
TÓa oni su moji službenici, ja sam ih izbavio iz zemlje egipatske; oni se ne smiju prodavati kao robovi.
43 Usitawale juu yao kwa ukatili, bali yakupasa kumheshimu Mungu wako.
Nemoj s njim grubo postupati! Boga se svoga boj!
44 Kwa upande wa watumwa wako wakiume na watumwa wako wa kike, unaowezao kuwapata kutok kwa mataifa yanayokuzunguka, waweza kununua watumwa kutoka kwao.
A robove i ropkinje, budeš li ih htio imati, možete kupiti, i muške i ženske, od naroda koji su oko vas.
45 Unaweza pia kununua watumwa kutoka kwa wageni wanaoishi miongoni mwenu, yaani, kutoka familia zao waliopamoja nawe, wale wtoto waliozaliwa katika nchi yako. Wanaweza kuwa mali yako.
Možete ih kupovati i od pridošlica koji s vama borave; od njihovih obitelji što žive s vama i rođeni su u vašoj zemlji. Takvi mogu postati vašim vlasništvom.
46 Unaweza kuzalisha watumwa hao kama urithi kwa watoto wako baada yako, ili kuwamiliki kama mali. Kutoka kwao waweza kununua watumwa daima, lakini hamtawezi kutawala kwa ukali juu ya ndugu zenu walio miogoni mwa watu wa Israeli.
Njih možete predati u nasljedstvo svojoj djeci da ih zavazda naslijede u baštinu. Prema njima možete postupati kao prema robovima. Ali prema svojoj braći, Izraelcima, nitko ne smije grubo postupati.
47 Iwapo mgeni anayeishi nawe kwa muda anakuwa tajiri, na ikiwa mmoja wa Waisraeli amekuwa masikini na kujuza mwenyewe kwa familia ya mgeni, au kwa mtu fulani katika familia,
Ako se stranac s tobom nastanjen obogati, a tvoj brat, u svojim odnosima prema njemu, zapadne u škripac te se proda strancu koji je s tobom nastanjen ili kojemu god potomku strančeve obitelji,
48 baada ya Mwisraeli mwenzako kuwa amenunuliwa. Anaweza kurejeshwa kwa maliopo. Iwapo anaweza kurejeshwa. Mtu fulani katika familia yake anaweza kumkomboa.
on ima pravo i nakon prodaje biti otkupljen. Neka ga otkupi netko od njegove braće;
49 Anaweza kuwa mjomba wake, au mjomba wa mwanawe, anayemkomboa yeye, au yeyote aliye ndugu yake wa karibu kutoka kwa ukoo wake. Au, iwapo ni mwenye mafanikio, anaweza kujikomboa mwenyewe.
ili neka ga otkupi njegov stric, njegov rođak ili bilo tko od njegove obitelji koji bude od njegove krvi. Ili, ako ima sredstava, neka se sam otkupi.
50 Ni lazima apatane na mtu aliyemnunua, itawapasa kuhesabu miaka tangu mwaka aliojiuza kwa mnunuzi wake mpaka mwaka wa Yubile. Ile thamani ya ukombozi wake ihesabiwe kulingana na kiwango cha mshahara anaolipwa mtumishi aliyeajiriwa, kwa idadi ya miaka ambayo angeweza kuendelea kufanya kazi kwa yule aliyemnunua.
Sa svojim kupcem neka proračuna vrijeme od godine kad mu se prodao do jubilejske godine. Cijena za njegovo oslobođenje neka bude prema broju godina. Vrijeme što ga je proveo sa svojim vlasnikom neka se procijeni kao vrijeme jednog najamnika.
51 Endapo kutakuwa kungali na miaka mingi iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atalazimika kulipa fungu kubwa la fedha kwa ajili ya ukombozi ambao ni uwino wa idadi ya miaka hiyo.
Ako ostaje još mnogo godina, neka isplati za svoju otkupninu u omjeru svoje prodajne svote.
52 Iwapo kuna miaka michache tu iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atapatana na aliyemnunua ili kuipitia idadi ya miaka iliyobaki mpaka Yubile, naye atalazimika kulipia ukombozi wake kulingana na idadi ya miaka.
A ako ostaje samo nekoliko godina do jubilejske godine, neka izračuna pa isplati za svoj otkup prema godinama službe.
53 Naye atatendewa kama mtu aliyeajiriwa mwaka kwa mwaka. Utahakikisha kwamba hatendewi kwa ukali.
Prema njemu neka bude kao prema najamniku koji se iznajmljuje od godine na godinu. Neka se na tvoje oči s njim ne postupa grubo.
54 Iwapo hakukombolewa katika njia hizi, basi atatumika mpaka mwaka wa Yubile, yeye pamoja na watoto wake.
Ne bude li iskupljen ovako, onda i on i njegova djeca s njim neka odu u jubilejskoj godini.
55 Kwangu mimi watu wa Israeli ni watumishi. Wao ni watumishi wangu ambao Niliwatoa katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
Jer Izraelci su moji službenici; oni su moji službenici koje sam ja izveo iz zemlje egipatske, ja, Jahve, Bog vaš.”

< Mambo ya Walawi 25 >