< Mambo ya Walawi 25 >

1 Yahweh akazungumza na Musa kwenye Mlima wa Sinai, akisema,
Господ говори още на Моисея на Синайската планина, казвайки:
2 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mtakapoingia katika nchi ambayo ninawapa, kisha hiyo nchi lazima ifanywe iwe ya kuishika Sabato kwa ajili ya Yahweh.
Говори на израилтяните, като им кажеш: Когато влезете в земята, която Аз ви давам, тогава земята да пази една събота за Господа.
3 Ni lazima mtapanda mazao yenu kwa miaka sita, na kwa miaka sita mtaikatia matawi mizabibu yenu na kukusanya mazao yake.
Шест години да сееш нивите си и шест години да режеш лозето си и да събираш плода му;
4 Lakini katika mwaka wa saba, Sabato ya pumziko la utulivu kwa nchi itashikwa, ni Sabato kwa Yahweh. Hamtapanda mashamba yenu wala kuikatia mizabibu yenu matawi yake.
а седмата година да бъде събота за тържествена почивка на земята, събота на Господа; в нея да не сееш нивата си и да не режеш лозето си.
5 Hamtasimamia mavuno yoyote ya mazao ya mizabibu iliyojiotesha yenyewe katika mashamba yenu ya mizabibu isiyokatiwa matawi. Huu utakuwa mwaka wa pumziko lenye utulivu kwa ardhi.
Да не жънеш и саморасла жетва, нито да обираш гроздето от нерязано лозе: година за тържествена почивка да бъде на земята.
6 Chochote ardhi isiyofanyiwa kazi itakachotoa wakati wa Sabato ndicho kitakuwa chakula chako. Wewe mwenyewe, watumwa wako wa kiume na wa kike, watumishi wako wa kuajiriwa na wageni wanaoishi pamoja nawe mnaweza kujikusanyia chakula.
Произведеното през тая събота на земята ще ви бъде за храна: на тебе, на слугата ти, на слугинята ти, на наемника ти и на чужденеца, който се е заселел при тебе;
7 Na wnyama wako wa kufugwa na wanyama pori waweze kula chochote ardhi itoacho.
на добитъка ти, и на животните, които са в земята ти, всичкото нейно произведение ще бъде за храна.
8 Ni lazima kwenu kuhesabu Sabato saba za miaka, yaani, saba mara miaka saba, ikifanya jumla ya miaka arobaini na tisa.
Да си изброиш седем седмици от години, седем пъти по седем години, та, като ти мине времето на седем седмици от години,
9 Kisha mtapiga sauti ya tarumbeta kila mahali katika siku ya kumi ya mwezi wa saba. Katika Siku ya Upatanisho ni lazima mtapiga tarumbeta katika nchi yenu yote.
тогава, на десетия ден от седмия месец, да накараш да се затръби с възклицание; в деня на умилостивението да накарате да се затръби из цялата ви земя.
10 Nanyi mtautenga mwaka wa hamsini kwa ajili ya Yahweh na mtatangaza uhuru katika nchi yote kwa wakazi wote. Kutakuwa na Yubile kwa ajili yenu, ambayo kwayo mali na watumwa ni lazima warejeshwe kwa familia zao.
И да осветите петдесетата година и да прогласите освобождение из цялата земя на всичките й жители; това ще ви бъде юбилей, когато ще се върнете, всеки на на притежанието си, и ще се върнете, всеки при семейството си.
11 Mwaka wa saba kutakuwa na Yubile kwenu. Hamtapanda wala kusimamia mavuno ya kijioteshacho chenyewe, na kukusanya kichipukacho kwenye mizabibu isiyokatiwa matawi.
Петдесетата година да ви бъде юбилейна година; през нея да не сеете, нито да жънете самораслото, нито да берете нерязаното лозе.
12 Kwa sababu hiyo ni Yubile takatifu kwenu. Nanyi mtakula mazao yanayokua yenyewe kutoka mashambani.
Защото това е юбилей; той нека ви бъде свет; от полето да се храните с произведеното от него.
13 Ni lazima muwarejeshe kila mmoja kwenye miliki yake katika mwaka huu wa Yubile.
В тая юбилейна година да се върнете, всеки на притежанието си.
14 Iwapo utauza ardhi yoyote ya jirani yako au kununua ardhi yake, ni shrti msipunjane au kutendeana kwa hila.
И ако продадеш нещо на ближния си, или купиш нещо от ближния си, да се не онеправдавате едни други;
15 Iwapo unanunua ardhi kutoka kwa jirani yako, zingatia idadi ya miaka na mazao ambayo yaweza kuvunwa mpaka mwaka wa Yubile nyingine. Jirani yako anayeuza ardhi ni lazima aihesabu miaka hiyo pia.
но според числото на годините след юбилея да купуваш от ближния си, и според числото на годините на плодосъбирането да ти продава.
16 Miaka inapoongezeka mpaka Yubile nyingine, ataongeza thamani ya ardhi, na miaka inapokuwa michache kufikia Yubile nyingine atashusha thamani, kwa sababu idadi ya mavuno inahusiana na idadi ya miaka kabla ya Yubile nyingine.
Според колкото са по-много годините, ще повишиш цената му, и според колкото са по-малко годините, ще понижиш цената му; защото той ти продава според числото на плодосъбиранията.
17 Msipunjane au kutendeana kwa hila, badala yake, yawapasa kumheshi Yahweh Mungu wenu.
Да се не онеправдавате един други; но да се боиш от своя Бог; защото Аз съм Иеова вашият Бог.
18 Kwa hiyo basi, ni lazima muyatii maagiza, kuzitunza sheria zangu na kuzitekeleza. Nanyi mtaishi katika nchi katika usalama.
И тъй, да държите повеленията Ми, да пазите съдбите Ми и да ги вършите, та да живеете безопасно на земята.
19 Nayo nchi itawapa mavuno yake, nanyi mtakula matunda yenu na mtaishi humo salama.
Земята ще дава плодовете си; и вие ще ядете до насита и ще живеете безопасно на нея.
20 Labda mtasema, Tutakula nini katika mwaka wa saba? Tazama, hatuwezi kupanda wala kukusanya mazao yetu.”
И ако речете: Какво ще ядем в седмата година, като не посеем, нито съберем плодовете си?
21 Nitaiamru baraaka yangu ije juu yenu katika mwaka wa sita, nayo itatoa mavuno ya kutosha kwa miaka mitatu.
Тогава ще заповядам така да се благослови за вас шестата година, щото ще роди плод за три години.
22 Mtapanda katika mwaka wa nane na mtaendelea kula mazao ya miaka iliyopita na kutoka kwenye ghala la chakula. Mpaka mavuno ya mwaka wa tisa yatakapofika, mtaweza kula kutoka kwenye riziki iliyohifadhiwa katika miaka iliyopita
А в осмата година ще сеете и ще ядете от старите плодове до деветата година; догдето се съберат нейните плодове ще ядете старите запаси.
23 Ardhi haitauzwa kwa mmiliki mpya wa kudumu, kwa sababu ardhi ni mali yangu. Ninyi nyote mu wageni na wakazi wa muda juu ya ardhi yangu.
Земята да се не продава за всегда, понеже земята е Моя; защото вие сте чужденци и пришелци при Мене.
24 Ni lazima muitunze haki ya ukombozi kwa ajili ya ardhi yote mtakayoimiliki; itawapasa kuruhusu ardhi inunuliwe tena na familia ambayo wewe uliinunua hiyo ardhi kutoka kwao.
За това в цялата земя, която притежавате, позволявайте откупуване на земята.
25 Iwapo Mwisraeli mwenzako anakuwa masikini na kwa sababu hiyo anauza baadhi ya miliki yake, kisha jamaa yake wa karibu anaweza kuja na kuikomboa hiyo miliki ambayo jamaa yake kaiuza kwako.
Ако осиромашее брат ти и продаде нещо от притежанието си, нека дойде на-близкият му сродник и да купи онова, което брат му е продал.
26 Iwapo mtu hana jamaa wa kuikomboa mali yake, lakini ikiwa kafanikiwa na anao uwezo wa kuikomboa,
Но ако човекът няма сродник да го откупи, и, като се улесни, сам намери с какво да го откупи,
27 kisha atahesabu miaka tangu ardhi hiyo ilipouzwa na kurejesha kwa mtu aliyemuuzia fedha iliyosalia. Naye anaweza kuerejea kwenye miliki yake mwenyewe.
тогава нека сметне годините от продажбата му, и нека повърне излишъка на онзи, комуто го е продал, и нека се върне на притежанието си.
28 Lakini ikiwa hawezi kuirejesha kwake ardhi aliyoiuza, nayo hiyo ardhi aliyoiuza itabaki katika umiliki wa yule aliyeinunua mpaka mwaka wa Yubile. Kwenye mwaka wa Yubile, ardhi itarejeshwa kwa mtu aliyeiuza, naye mmiliki wa asili atarejea kwenye mali yake.
Но ако не може да намери колкото трябва да плати, тогава продаденото да остане в ръката на купувача му до юбилейната година; и в юбилейната година; и в юбилея да се освободи, и той да се върне на притежанието си.
29 Ikiwa mtu anauza nyumba iliyo kwenye mji uliozungushiwa ukuta, naye anaweza kuinunua tena ndani ya mwaka baada ya kuuzwa. kwa kuwa, kwa mwaka mzima atakuwa na haki ya ukombozi.
Ако някой продаде къщата за живеене в ограден град, тогава може да я откупи в разстояние на една година от продажбата й; за една цяла година от продажбата й; за една цяла година той ще има право да я откупи.
30 Kama nyumba hiyo haitakombolewa kabla ya mwaka mzima, ndipo hiyo nyumba iliyoko kwenye mji uliozungushiwa ukuta itakuwa mali ya kudumu ya yule aliyeinunua, katika vizazi vyote vya uzao wake. Nyumba hiyo haitakuwa ya kurejeshwa katika mwaka wa Yubile.
Но ако се не откупи до изтичането на една цяла година тогава оная къща, който е в ограден град, да се потвърди за всегда на купувача й във всичките му поколения в юбилей да се не освобождава.
31 Lakini nyumba za vijijini zisizokuwa na ukuta kuzizunguuka, zitahesabiwa kuwa shamba la nchi. Zaweza kukombolewa, na ni lazima zirejeshwe katika mwaka wa Yubile.
Но същите в неоградените села да се считат, както полетата на земята; те може да се откупуват и да се освобождават в юбилей.
32 Hata hivyo, nyumba zinazomilikiwa na makuhani katika miji yao zaweza kukombelewa wakati wowote.
Обаче в левитските градове, лавитите могат когато да е да откупуват къщите в градовете, които притежават.
33 Iwapo mmoja wa makuhani haikombowi nyumba iliyozwa, kisha nyumba hiyo iliyouzwa katika miji ilimo, ni lazima irejeshwe katika mwaka wa Yubile, kwa kuwa nyumba za miji ya makuhani ni mali yao miongoni mwa watu wa Israeli.
И ако някой купи къща от левитите, тогава продадената къща вътре в града, който притежава да се освободи в юбилей; защото къщите в градовете на левитите са тяхно притежание между израилтяните.
34 Lakini yale mashamba yanayozunguka miji yao hayataweza kuuzwa kwa sababu hiyo ni mali ya kudumu ya Makuhani.
А полето на пасбището на градовете им да се не продава, защото им е вечно притежание.
35 Ikiwa mwananchi mwenzako anakuwa masikini, kiasi kwamba hawezi kujihudumia, nawe utalazimika kumsaidia kama vile ungemsaidia mgeni au mwingine yeyote kutoka nje aishie miongoni mwenu.
Ако осиромашее брат ти, и видиш, че ръката му трепери, тогава да му помогнеш, като на чужденец или пришелец, за да живее при тебе.
36 Usimtoze riba au kujaribu kunufaika kutoka kwake katika njia yoyote, bali mheshimu Mungu wako ili kwamba ndugu yako aendelee kuishi nawe.
Да не му вземеш лихва или печалба, но да се боиш от своя Бог та да живеете брат ти при тебе.
37 Hutampa mkopo wa fedha na kumtoza riba, wala hutamuuzia chakula chako ili kupata faida.
Парите си да не му дадеш с лихва, нито храната си да му дадеш за печалба.
38 Mimi ndimi Yahweh Mungu wako, aliye kuleta wewe kutoka nchi ya Misri, ili kwamba Nikupe nchi ya Kanaani, na kwamba niwe Mungu wako.
Аз съм Господ вашият Бог, Който ви изведох из Египетската земя, за да ви дам Ханаанската земя, и да бъда ваш Бог.
39 Iwapo mwananchi mwenzako atakuwa masikini na kujiuza mwenyewe kwako, hutamfanyisha kazi kama mtumwa.
Ако осиромашее брат ти при тебе и ти се продаде, да го не натовариш с робска работа.
40 Mtendee kama mtumishi wa kuajiriwa. Ni lazima awe kama yule ahudumuye nawe kwa muda mpaka mwaka wa Yubile.
Нека бъде той като наемник или пришелец при тебе; нека ти работи до юбилейната година;
41 Kisha ataondoka kwako, yeye mwenyewe na watoto wake pamoja naye, na atarejea kwenye familia yake mwenyewe na kwenye miliki ya baba yake.
тогава да си излезе от тебе, той и чадата му с него, и да се върне при семейството си, и нека ти работи до юбилейната година;
42 Kwa sababu wao ni watumishi wangu niliowaleta kutoka katika nchi ya Misri. Hawatauzwa kama watumwa.
Защото те са Мои слуги, които изведох из Египетската земя; да се не продават като роби;
43 Usitawale juu yao kwa ukatili, bali yakupasa kumheshimu Mungu wako.
да не господаруваш над него жестоко, но да се боиш от своя Бог.
44 Kwa upande wa watumwa wako wakiume na watumwa wako wa kike, unaowezao kuwapata kutok kwa mataifa yanayokuzunguka, waweza kununua watumwa kutoka kwao.
А колкото за робите и робините, които ще имаш, - от народите, които са около вас, от тях да купуваш роби и робини.
45 Unaweza pia kununua watumwa kutoka kwa wageni wanaoishi miongoni mwenu, yaani, kutoka familia zao waliopamoja nawe, wale wtoto waliozaliwa katika nchi yako. Wanaweza kuwa mali yako.
Още и от чадата на чужденците, които са пришелци между вас, от тях да купувате, и от техните семейства, които са между вас, които те са родили в земята ви; те да ви бъдат притежание.
46 Unaweza kuzalisha watumwa hao kama urithi kwa watoto wako baada yako, ili kuwamiliki kama mali. Kutoka kwao waweza kununua watumwa daima, lakini hamtawezi kutawala kwa ukali juu ya ndugu zenu walio miogoni mwa watu wa Israeli.
И да ги оставите в наследство на чадата си; те да ги наследяват подир вас, като притежание; винаги от тях да бъдат вашите роби; но над братята си, израилтяните, да не господарувате един над друг жестоко.
47 Iwapo mgeni anayeishi nawe kwa muda anakuwa tajiri, na ikiwa mmoja wa Waisraeli amekuwa masikini na kujuza mwenyewe kwa familia ya mgeni, au kwa mtu fulani katika familia,
Ако чужденец или пришелецът, който живее при тебе, се замогне, а брат ти осиромашее при него, та се продаде на чужденеца или на пришелеца при тебе, или на кого да е от семейството на чужденеца,
48 baada ya Mwisraeli mwenzako kuwa amenunuliwa. Anaweza kurejeshwa kwa maliopo. Iwapo anaweza kurejeshwa. Mtu fulani katika familia yake anaweza kumkomboa.
то, след като се продаде, той може да се откупи; един от братята му може да го откупи;
49 Anaweza kuwa mjomba wake, au mjomba wa mwanawe, anayemkomboa yeye, au yeyote aliye ndugu yake wa karibu kutoka kwa ukoo wake. Au, iwapo ni mwenye mafanikio, anaweza kujikomboa mwenyewe.
или стрикът му или стриковият му син може да го откупи, или някой близък сродник от семейството му може да го откупи, или ако той се е улеснил, може сам да откупи сабе си.
50 Ni lazima apatane na mtu aliyemnunua, itawapasa kuhesabu miaka tangu mwaka aliojiuza kwa mnunuzi wake mpaka mwaka wa Yubile. Ile thamani ya ukombozi wake ihesabiwe kulingana na kiwango cha mshahara anaolipwa mtumishi aliyeajiriwa, kwa idadi ya miaka ambayo angeweza kuendelea kufanya kazi kwa yule aliyemnunua.
Тогава нека сметне с купувача си от годината, когато му се е продал до юбилейната година, така, че цената, за която се е продал, да бъде съразмерно с с числото на годините; да му се сметне свързано с времето на наемник.
51 Endapo kutakuwa kungali na miaka mingi iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atalazimika kulipa fungu kubwa la fedha kwa ajili ya ukombozi ambao ni uwino wa idadi ya miaka hiyo.
Ако остават още много години, съразмерно с тях да възвърне за откупването си от парите, с които е бил купен.
52 Iwapo kuna miaka michache tu iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atapatana na aliyemnunua ili kuipitia idadi ya miaka iliyobaki mpaka Yubile, naye atalazimika kulipia ukombozi wake kulingana na idadi ya miaka.
Но ако остават малко години до юбилейната година, нека пресметне и съразмерно с годините да възвърне за откупуването си.
53 Naye atatendewa kama mtu aliyeajiriwa mwaka kwa mwaka. Utahakikisha kwamba hatendewi kwa ukali.
Като годишен наемник да бъде при него; той да не господарува над него жестоко пред тебе.
54 Iwapo hakukombolewa katika njia hizi, basi atatumika mpaka mwaka wa Yubile, yeye pamoja na watoto wake.
Но ако така се не откупи, тогава да си излезе в юбилейната година, той и чадата му с него,
55 Kwangu mimi watu wa Israeli ni watumishi. Wao ni watumishi wangu ambao Niliwatoa katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
защото израилтяните са Мои слуги; те са Мои слуги, които изведох из Египетската земя. Аз съм Господ вашият Бог.

< Mambo ya Walawi 25 >