< Mambo ya Walawi 24 >
1 Yahweh akamwambia Musa, akisema,
Yahweh also said to Moses/me,
2 “Waamru watu wa Israeli wakuletee mafuta halisi yaliyokamliwa kutokana na mizeituni ili yatumike kwenye taa, ili kwamba taa ziweze kuwaka daima na kuleta mwanga.
“Command the Israeli people to continually bring to you clear oil made from pressed olives to burn in the lamps [in the Sacred Tent], in order that those lamps will burn all the time.
3 Nje ya pazia lililoko mbele ya sanduku la maamzi ndani ya hema la kukutania, Aroni ataiwasha daima taa mbele za Yahweh, tangu asubuhi hata jioni. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu.
Outside the curtain of the Very Holy Place, Aaron must take care of the lamps in my presence continually, in order that they will burn all during the night. That regulation must be obeyed forever.
4 Kuhani mkuu atazifanya taa ziwake daima mbele za Yahweh, taa hizo zilizo kwenye kinara cha dhahabu safi.
Those lampstands that burn in my presence must be taken care of continually.
5 Yawapasa kuchukua unga laini na kuoka kwa huo mikate kumi na miwili. Ni lazima kuwe na mbili za kumi za efa za unga katika kila mkate.
“Also, [each week] you must take some fine flour and bake twelve [very big] loaves of bread, using about four quarts/liters of flour for each loaf.
6 Kisha mtaipanga juu ya meza ya dhahabu safi mbele za Yahweh katika safu mbili, mikate sita katika kila safu,
Put the loaves in two rows, with six loaves in each row, on the table covered with pure gold, in my presence.
7 Mtaweka uvumba safi kando ya kila safu ya mikata kuwa sadaka ya kuwakilisha. Uvumba huo utachomwa kwa moto kwa ajili ya Yahweh.
Along each row, place [in some gold cups] some pure incense to be burned to be an offering to me instead of the bread.
8 Kila siku ya Sabato kuhani mkuu sharti aipange kwa utaratibu hiyo mikate mbele za Yahweh kwa niaba ya watu wa Israeli, iwe ishara ya agano la milele.
New/Fresh loaves of bread must be put [on the table] each Sabbath day, to signify the agreement that will never end, that I have made with you Israeli people.
9 Sadaka hii itakuwa kwa ajili ya Aroni na wanawe, na ni lazima waile mahali palipo patakatifu, kwa kuwa ni sehemu ya matoleo kwa Yahweh yaliyofanywa kwa moto.”
The bread [that is taken off the table] belongs to Aaron and his sons. They must eat it in a holy place, because it is a very holy part of the offerings that are given to me by being burned.”
10 Sasa ilitokea kwamba mwana wa mwanamke Mwisraeli, ambaye baba yake alikuwa Mmisri, alikwenda miongoni mwa watu wa Israeli. Huyu mwana wa mwanamke Mwisraeli akagombana na mwanume Mwisraeli kambini.
There was a man whose mother’s name was Shelomith; she was an Israeli whose father was Dibri from the tribe of Dan. And that man’s father was from Egypt. One day that man and another Israeli man started to fight inside the camp. And while they were fighting, that man cursed Yahweh [MTY].
11 Mwana wa mwanamke Mwisraeli akalikufuru jina la Yahweh na kumlaani Mungu, kwa hiyo watu wakamleta kwa Musa. Jina la mama yake aliitwa Shelomithi, binti wa Dibri, kutoka kabila la Dani.
12 Wakamweka kizuizini mpaka Yahweh mwenyewe atakapotangaza mapenzi yake kwao.
So the Israeli people seized him and guarded him until they could find out what Yahweh would reveal to them [that they should do to that man].
13 Kisha Yahweh akamwambia Musa,
Then Yahweh said to Moses/me,
14 “Mchukue nje ya kambi huyo aliyemlaani Mungu. Wale wote waliomskia wataweka mikono yao juu ya kichwa chake, na kisha kusanyiko lote watamponda kwa mawe.
“[Tie up and] take outside the camp the man who has cursed me. There all those who heard what he said must put their hands on his head [to indicate that he is guilty], and then all the people must [kill him by] throwing stones at him.
15 Ni lazima uwaeleze watu wa Israeli na kusema, 'Yeyote anayemlaani Mungu wake imempasa kubeba hatia yake mwenyewe.
Tell the Israelis, ‘If anyone curses me, he must (endure the consequences/be punished).
16 Yeye anayelikufuru jina la Yahweh kwa hakika ni lazima auawe. Hakika, kusanyiko lote litampiga mawe, ama awe mgeni au Mwisraeli mwenyeji mzaliwa. Ikiwa yeyote analikufuru jina la Yahweh, ni lazima auawe.
So anyone who curses me [MTY] must be executed. All the people must throw stones at him. It does not matter if he is a foreigner or an Israeli citizen; anyone who curses me must be executed.’
17 Naye amuuaye mtu mwingine ni lazima kwa hakika auewa.
“Also, If anyone murders another person, he must be executed.
18 Yeye anayemuua mnyama wa mwingine sharti amfidie, uhai kwa uhai.
And anyone who kills [another person’s] animal must give that person a live animal to replace the one that he killed.
19 Iwapo mtu anamjeruhi jirani yake, ni lazima atendewe vivyo hivyo alivyomtendea jirani yake:
And if one person injures another person, the injured person is allowed to injure the person who injured him in the same way:
20 Mvunjiko kwa mvunjiko, jicho kwa jicho, jino kwa jino. Kama amesababisha jeraha kwa mtu, ndivyo ipasavyo kutendwa kwake.
If someone breaks one of another person’s bones, that person is allowed to break one of the bones of the person who injured him. If someone gouges out an eye of another person, that person is allowed to gouge out the eye of the person who injured him. If someone knocks out the tooth of another person, that person is allowed to knock out one of his teeth. What is done to the offender must be the same as what he did to the other person.
21 Yeyote auaye mnyama ni lazima amfidie, na yeyote auaye mtu ni lazima auawe.
Whoever kills [another person’s] animal must give that person a live animal to replace the one that he killed, but anyone who murders another person must be executed.
22 Ni lazima mwe na sheria moja kwa wote, mgeni na Mwisraeli mwenyeji mzaliwa, kwa kuwa Mimi ndimi Yahweh Mungu wanu.”
That law applies to you Israelis and and also to the foreigners who live among you; I, Yahweh your God [am the one who has commanded it].”
23 Kwa hiyo Musa akazungumza na watu wa Israeli, nao watu wakamleta mwanaume huyo nje ya kambi, yule ambaye alikuwa amemlaani Yahweh. Wakampiga kwa mawe. Watu waisraeli wakaitekeleza amri ya Yahweh aliyoitoa kupitia Musa.
Then Moses/I told the Israelis [what they must do to the man who cursed Yahweh], so they took the man outside the camp and [killed him by] throwing stones at him. They did what Yahweh commanded Moses/me [to tell them to do].