< Mambo ya Walawi 22 >

1 Yahweh akazungumza na Musa, kusema,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
2 “Ongea na Aroni na wanawe, waambie wajiepushe na vitu vitakatifu vya watu wa Israeli wanavyovitenga kwangu. Wasilinajisi jina langu. Mimi ndimi Yahweh.
»Govori Aronu in njegovim sinovom, da se ločijo od svetih stvari Izraelovih otrok in da ne oskrunijo mojega svetega imena v teh stvareh, ki jih posvetijo meni. Jaz sem Gospod.
3 Waambie, 'Ikiwa mmoja wa wazao wenu katika vizazi vyenu vyote anakaribia vitu vitakatiifu vile ambavyo watu wa Israeli wamevitenga kwa Yahweh, wakati akiwa najisi, sharti mtu huyo akatiliwe mbali atoke mbele zangu. Mimi ndimi Yahweh.
Reci jim: ›Kdorkoli je izmed vsega vašega semena med vašimi rodovi, ki hodi k svetim stvarem, ki jih Izraelovi otroci posvetijo Gospodu in ima na sebi svojo nečistost, bo ta duša iztrebljena izpred moje prisotnosti. Jaz sem Gospod.
4 Hatakuwapo yeyote wa uzao wa Aroni aliye na ungonjwa wa ngozi wa kuambukiza, au maambukizi yatirirkayo kutoka mwilini mwake, atakayekula sehemu yoyote ya dhabihu inatolewayo kwa Yahweh mpaka atakapotakasika. Yeyote agusaye kitu chochote kilichonajisi kwa njia ya kugusa maiti, au kwa kumgusa mtu yeyote aliyetokwa na shahawa,
Katerikoli moški iz Aronovega semena je gobavec ali ima tekoč izliv, ta ne bo jedel od svetih stvari, dokler ne bo čist. In kdorkoli se dotakne kakršnekoli stvari, ki je nečista, pri mrtvem ali pri moškem, čigar seme gre od njega,
5 au yeyote agusaye mnyama atakayemtia unajisi, au mtu yeyote atakayemfanya najisi, kwa hiyo unajisi wowote unaweza kuwa—
ali kdorkoli se dotika katerekoli plazeče stvari, s katero se lahko onečisti, ali človeka, od katerega lahko vzame nečistost, kakršnokoli nečistost ta ima;
6 kuhani yeyote agusaye kitu chochote kisichosafi atakuwa najisi hata jioni. Hatakula chochote cha vitu vitakatifu, isipokuwa ameuosha mwili wake katika maji.
duša, ki se je dotaknila česarkoli takega, bo nečista do večera in ne bo jedla od svetih stvari, dokler svojega mesa ne umije z vodo.
7 Jua linapotua, ndipo atakuwa safi. Baada ya machweo anaweza kula kutoka katika vitu vitakatifu, kwasababu hivyo ni vyakuala vyake.
Ko sonce zaide bo čist in potem bo jedel od svetih stvari, ker je to njegova hrana.
8 Asile mzoga wowote uliookotwa au mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori, ambaye kwake atajitia unajisi. Mimi ndimi Yahweh.
Tega, kar pogine samo od sebe ali je raztrgano z zvermi, ne bo jedel, da samega sebe s tem omadežuje. Jaz sem Gospod.
9 Ni lazima makuhani wafuate maagizo yangu, ama sivyo watakuwa na hatia ya dhambi na wangeweza kufa kwa kunitia unajisi. Mimi ndimi Yahweh ninayewafanya wao watakatifu.
Držali se bodo torej moje odredbe, da ne bi za to nosili greha in torej umrli, če to oskrunijo. Jaz, Gospod, jih posvečujem.
10 Hakuna mtu kutoka nje ya familia ya kuahani, wakiwemo wageni wa kuhani au watumwa wake wa kuajiliwa, atakayeweza kula kitu chochote kilicho kitakatifu.
Tam noben tujec ne bo jedel od svete stvari. Duhovnikov začasni prebivalec ali najet služabnik ne bosta jedla od svete stvari.
11 Lakini kama huyo kuhani amenunua mtumwa kwa fedha yake mwenyewe, mtumwa huyo anaweza kula kutoka katika vitu vilivyotengwa kwa Yahweh. Na watu wa familia ya kuhani na watumwa waliozaliwa nyumbani mwake, pia wanaweza kula pamoja naye kutoka katika vitu hivyo.
Toda če duhovnik s svojim denarjem kupi katerokoli dušo, bo ta [duša] jedla od tega in kdor je rojen v njegovi hiši. Jedli bodo od njegove hrane.
12 Ikiwa binti wa kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, hataweza kula chochote cha mchango wa matoleo matakatifu.
Če pa bo duhovnikova hči poročena k tujcu, ona ne bo jedla od daritev svetih stvari.
13 Lakini ikiwa huyo binti wa kuhani ni mjane au ametalikiwa, na ikiwa hana mtoto, na anarudi kuishi knyumbani kwa baba yake kama alivyokuwa wakati wa ujana wake, anaweza kula kutoka katika chakula cha baba yake. Lakini hakuna yeyote asiye wa familia ya kikuhani anatakayeruhusiwa kula kutoka katika chakula cha kuhani.
Toda če je duhovnikova hči vdova ali ločena in nima otrok in je vrnjena k hiši svojega očeta kakor v svoji mladosti, bo jedla od hrane svojega očeta, toda noben tujec ne bo jedel od tega.
14 Kama mtu anakula chakula kitakatifu bila ya kukijua, naye atamlipa kuahani kwa ajili ya hicho; itampasa kuongeza moja ya tano juu yake na kukirejesha kwa kuhani.
Če človek nevede jé od svete stvari, potem bo k temu dodal peti del in to bo s sveto stvarjo dal duhovniku.
15 Haiwapasi watu wa Israeli kutoheshimu vitu vitakatifu ambavyo vimeinuliwa juu na kuletwa kwa Yahweh,
Oni ne bodo oskrunili svetih stvari Izraelovih otrok, ki jih darujejo Gospodu
16 kisha wakajisababishia wenyewe kuchukua dhambi amabyo ingewafanya kuwa na hatia ya kula chakula kitakatifu, kwa kuwa mimi ndimi Yahweh awafanyaye wao watakatifu.”
ali jim dopustili, da nosijo krivdo prestopka, kadar jedo njihove svete stvari, kajti jaz, Gospod, jih posvečujem.‹«
17 Yahweh akazungumza na Musa, akasema,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
18 “Sema na Aroni na wanawe, na kwa watu wa Israeli wote. Waambie, Mwisraeli yeyote, au Mgeni anayeishi katika Israeli, waletapo dhabihu—iwe ni kutimiza kiapo, au iwe ni sadaka ya hiari, au wanaleta kwa Yahweh sadaka ya kuteketezwa kwa moto,
»Govori Aronu, njegovim sinovom in vsem Izraelovim otrokom ter jim reci: ›Kdorkoli bo od Izraelove hiše ali od tujcev v Izraelu, ki bo svoj dar daroval za vse svoje zaobljube in za vse svoje prostovoljne daritve, ki jih bodo darovali Gospodu za žgalno daritev,
19 ikiwa wanataka ikubalike, ni lazima watowe mnyama dume asiye na dosari, kutoka kwenye kundi la ng'ombe, kondoo au mbuzi
bodo po lastni volji darovali samca brez pomanjkljivosti od goveda, od ovc ali od koz.
20 Lakini hamtatoa chochote kilicho na dosari. Sitakipokea kwa niaba yenu.
Toda karkoli ima pomanjkljivost, tega ne boste darovali, kajti to za vas ne bo sprejemljivo.
21 Yeyote atoae dhabihu ya sadaka ya ushirika kutoka katika kundi la ng'ombe au la kondoo kwa Yahweh ili kutimiza kiapo, au kama sadaka ya hiari, ili ikubalike, ni lazima isiwe na kilema. Ni lazima pasiweko na kasoro katika mnyama.
Kdorkoli daruje žrtvovanje mirovnih daritev Gospodu, da izpolni svojo zaobljubo ali prostovoljno daritev v govedu ali ovcah, mora biti to popolno, da bi bilo sprejeto; na tem ne bo nobene pomanjkljivosti.
22 Msitoe kabisa wanyama waliovipofu, waliojeruhiwa, wala walio na kilema, wenye upele, vidonda vitokavyo usaha, wala wenye vigaga. Msiwatoe hawa kuwa dhabihu ya kuteketezwa kwa moto iliyotolewa kwa Yahweh juu ya madhabahu.
Slepo ali zlomljeno ali pohabljeno ali kar ima rane, iz katerih se izceja ali grinto ali krasto, teh stvari ne boste darovali Gospodu niti od njih [ne boste] naredili daritve z ognjem na oltarju Gospodu.
23 Unaweza kumleta makisai au mwana-kondoo mlemavu au aliyedumaa kuwa sadaka ya hiari, lakini sadaka kama hiyo kwa ajili kutimiza kiapo, haitapokelewa.
Ali bikca ali jagnje, ki ima katerokoli stvar odvečno, ali karkoli manjkajočega v njegovih delih, to lahko daruješ za prostovoljno daritev, toda za zaobljubo to ne bo sprejeto.
24 Usitoe kwa Yahweh mnyama yeyote aliyetiwa jeraha, kupondwa, au kukatwa korodani zake.
Gospodu ne boste darovali tega, kar je poškodovano ali zdrobljeno ali zlomljeno ali odrezano niti v svoji deželi ne boste opravili nobenega takšnega darovanja.
25 Usifanye haya katika nchi yako. Usilete mkate wa Mungu wako kutoka mkononi mwa mgeni. Hao wanyama wenye vilema na dosari ndani yao, hawatapokelewa kabisa kwa ajili yako.
Niti iz tujčeve roke ne boste darovali kruha svojega Boga, od kateregakoli izmed njih, ker je v njih njihova izprijenost in pomanjkljivost. Ti ne bodo sprejeti za vas.‹«
26 Yahweh akamwambia Musa na akasema,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
27 “Wakati ndama, mwana—kondo au mwana—mbuzi azaliwapo, sharti abaki na mama yake kwa muda wa siku saba. Ndipo kuanzia siku ya nane na kuendelea, anaweza kupokelewa kuwa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh.
»Kadar je priveden bikec ali ovca ali koza, potem bo ta sedem dni pod materjo. Od osmega dne in naprej pa bo to sprejeto za ognjeno daritev Gospodu.
28 Usimchinje ng'ombe jike pamoja na ndama wake au mbuzi jike pamoja na kitoto chake kwa siku moja.
Naj bo to krava ali ovca, ne boš na isti dan zaklal nje in njenega mladega.
29 Utoapo sadaka ya shukrani kwa Yahweh utaitoa kwa njia iliyokubalika.
Ko boste darovali žrtev zahvaljevanja Gospodu, to darujte po lastni volji.
30 Ni lazima iliwe siku iyo hiyo inayotolewa. Hutakiwi kubakiza chochote hata asubuhi. Mimi ndimi Yahweh.
Istega dne bo to pojedeno; ničesar od tega ne boste pustili do naslednjega dne. Jaz sem Gospod.
31 Kwa hiyo imewapasa kuzishika amri zangu na kuzifuata. Mimi ndimi Yahweh.
Zato se boste držali mojih zapovedi in jih izpolnjevali. Jaz sem Gospod.
32 Msiliabishe jina langu takatifu. Ni lazima nitambuliwe kuwa ni mtakatifu na watu wa Israeli. Mimi ndimi Yahweh niwafanyaye ninyi watakatifu,
Niti ne boste oskrunili mojega svetega imena, temveč bom jaz posvečen med Izraelovim otroci. Jaz sem Gospod, ki vas posvečuje,
33 ambaye amewaleta kutoka katika nchi ya Misri ili niwe Mungu wenu: Mimi ndimi Yahweh.”
ki vas je privedel ven iz egiptovske dežele, da bi bil vaš Bog. Jaz sem Gospod.«

< Mambo ya Walawi 22 >