< Mambo ya Walawi 22 >

1 Yahweh akazungumza na Musa, kusema,
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
2 “Ongea na Aroni na wanawe, waambie wajiepushe na vitu vitakatifu vya watu wa Israeli wanavyovitenga kwangu. Wasilinajisi jina langu. Mimi ndimi Yahweh.
to speak: speak to(wards) Aaron and to(wards) son: child his and to dedicate from holiness son: descendant/people Israel and not to profane/begin: profane [obj] name holiness my which they(masc.) to consecrate: consecate to/for me I LORD
3 Waambie, 'Ikiwa mmoja wa wazao wenu katika vizazi vyenu vyote anakaribia vitu vitakatiifu vile ambavyo watu wa Israeli wamevitenga kwa Yahweh, wakati akiwa najisi, sharti mtu huyo akatiliwe mbali atoke mbele zangu. Mimi ndimi Yahweh.
to say to(wards) them to/for generation your all man which to present: come from all seed: children your to(wards) [the] holiness which to consecrate: consecate son: descendant/people Israel to/for LORD and uncleanness his upon him and to cut: eliminate [the] soul: person [the] he/she/it from to/for face my I LORD
4 Hatakuwapo yeyote wa uzao wa Aroni aliye na ungonjwa wa ngozi wa kuambukiza, au maambukizi yatirirkayo kutoka mwilini mwake, atakayekula sehemu yoyote ya dhabihu inatolewayo kwa Yahweh mpaka atakapotakasika. Yeyote agusaye kitu chochote kilichonajisi kwa njia ya kugusa maiti, au kwa kumgusa mtu yeyote aliyetokwa na shahawa,
man man from seed: children Aaron and he/she/it be leprous or to flow: discharge in/on/with holiness not to eat till which be pure and [the] to touch in/on/with all unclean soul: dead or man: anyone which to come out: issue from him semen seed: semen
5 au yeyote agusaye mnyama atakayemtia unajisi, au mtu yeyote atakayemfanya najisi, kwa hiyo unajisi wowote unaweza kuwa—
or man: anyone which to touch in/on/with all swarm which to defile to/for him or in/on/with man which to defile to/for him to/for all uncleanness his
6 kuhani yeyote agusaye kitu chochote kisichosafi atakuwa najisi hata jioni. Hatakula chochote cha vitu vitakatifu, isipokuwa ameuosha mwili wake katika maji.
soul: person which to touch in/on/with him and to defile till [the] evening and not to eat from [the] holiness that if: except if: except to wash: wash flesh his in/on/with water
7 Jua linapotua, ndipo atakuwa safi. Baada ya machweo anaweza kula kutoka katika vitu vitakatifu, kwasababu hivyo ni vyakuala vyake.
and to come (in): come [the] sun and be pure and after to eat from [the] holiness for food his he/she/it
8 Asile mzoga wowote uliookotwa au mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori, ambaye kwake atajitia unajisi. Mimi ndimi Yahweh.
carcass and torn animal not to eat to/for to defile in/on/with her I LORD
9 Ni lazima makuhani wafuate maagizo yangu, ama sivyo watakuwa na hatia ya dhambi na wangeweza kufa kwa kunitia unajisi. Mimi ndimi Yahweh ninayewafanya wao watakatifu.
and to keep: obey [obj] charge my and not to lift: guilt upon him sin and to die in/on/with him for to profane/begin: profane him I LORD to consecrate: consecate them
10 Hakuna mtu kutoka nje ya familia ya kuahani, wakiwemo wageni wa kuhani au watumwa wake wa kuajiliwa, atakayeweza kula kitu chochote kilicho kitakatifu.
and all be a stranger not to eat holiness sojourner priest and hired not to eat holiness
11 Lakini kama huyo kuhani amenunua mtumwa kwa fedha yake mwenyewe, mtumwa huyo anaweza kula kutoka katika vitu vilivyotengwa kwa Yahweh. Na watu wa familia ya kuhani na watumwa waliozaliwa nyumbani mwake, pia wanaweza kula pamoja naye kutoka katika vitu hivyo.
and priest for to buy soul: person acquisition silver: money his he/she/it to eat in/on/with him and born house: household his they(masc.) to eat in/on/with food his
12 Ikiwa binti wa kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, hataweza kula chochote cha mchango wa matoleo matakatifu.
and daughter priest for to be to/for man: husband be a stranger he/she/it in/on/with contribution [the] holiness not to eat
13 Lakini ikiwa huyo binti wa kuhani ni mjane au ametalikiwa, na ikiwa hana mtoto, na anarudi kuishi knyumbani kwa baba yake kama alivyokuwa wakati wa ujana wake, anaweza kula kutoka katika chakula cha baba yake. Lakini hakuna yeyote asiye wa familia ya kikuhani anatakayeruhusiwa kula kutoka katika chakula cha kuhani.
and daughter priest for to be widow and to drive out: divorce and seed: children nothing to/for her and to return: return to(wards) house: household father her like/as youth her from food father her to eat and all be a stranger not to eat in/on/with him
14 Kama mtu anakula chakula kitakatifu bila ya kukijua, naye atamlipa kuahani kwa ajili ya hicho; itampasa kuongeza moja ya tano juu yake na kukirejesha kwa kuhani.
and man: anyone for to eat holiness in/on/with unintentionally and to add fifth his upon him and to give: give to/for priest [obj] [the] holiness
15 Haiwapasi watu wa Israeli kutoheshimu vitu vitakatifu ambavyo vimeinuliwa juu na kuletwa kwa Yahweh,
and not to profane/begin: profane [obj] holiness son: descendant/people Israel [obj] which to exalt to/for LORD
16 kisha wakajisababishia wenyewe kuchukua dhambi amabyo ingewafanya kuwa na hatia ya kula chakula kitakatifu, kwa kuwa mimi ndimi Yahweh awafanyaye wao watakatifu.”
and to lift: guilt [obj] them iniquity: crime guiltiness in/on/with to eat they [obj] holiness their for I LORD to consecrate: consecate them
17 Yahweh akazungumza na Musa, akasema,
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
18 “Sema na Aroni na wanawe, na kwa watu wa Israeli wote. Waambie, Mwisraeli yeyote, au Mgeni anayeishi katika Israeli, waletapo dhabihu—iwe ni kutimiza kiapo, au iwe ni sadaka ya hiari, au wanaleta kwa Yahweh sadaka ya kuteketezwa kwa moto,
to speak: speak to(wards) Aaron and to(wards) son: child his and to(wards) all son: descendant/people Israel and to say to(wards) them man man from house: household Israel and from [the] sojourner in/on/with Israel which to present: bring offering his to/for all vow their and to/for all voluntariness their which to present: bring to/for LORD to/for burnt offering
19 ikiwa wanataka ikubalike, ni lazima watowe mnyama dume asiye na dosari, kutoka kwenye kundi la ng'ombe, kondoo au mbuzi
to/for acceptance your unblemished male in/on/with cattle in/on/with sheep and in/on/with goat
20 Lakini hamtatoa chochote kilicho na dosari. Sitakipokea kwa niaba yenu.
all which in/on/with him blemish not to present: bring for not to/for acceptance to be to/for you
21 Yeyote atoae dhabihu ya sadaka ya ushirika kutoka katika kundi la ng'ombe au la kondoo kwa Yahweh ili kutimiza kiapo, au kama sadaka ya hiari, ili ikubalike, ni lazima isiwe na kilema. Ni lazima pasiweko na kasoro katika mnyama.
and man: anyone for to present: bring sacrifice peace offering to/for LORD to/for to wonder vow or to/for voluntariness in/on/with cattle or in/on/with flock unblemished to be to/for acceptance all blemish not to be in/on/with him
22 Msitoe kabisa wanyama waliovipofu, waliojeruhiwa, wala walio na kilema, wenye upele, vidonda vitokavyo usaha, wala wenye vigaga. Msiwatoe hawa kuwa dhabihu ya kuteketezwa kwa moto iliyotolewa kwa Yahweh juu ya madhabahu.
blindness or breaking or sharp or running or scab or scab not to present: bring these to/for LORD and food offering not to give: give from them upon [the] altar to/for LORD
23 Unaweza kumleta makisai au mwana-kondoo mlemavu au aliyedumaa kuwa sadaka ya hiari, lakini sadaka kama hiyo kwa ajili kutimiza kiapo, haitapokelewa.
and cattle and sheep to extend and be stunted voluntariness to make: offer [obj] him and to/for vow not to accept
24 Usitoe kwa Yahweh mnyama yeyote aliyetiwa jeraha, kupondwa, au kukatwa korodani zake.
and to bruise and to crush and to tear and to cut: cut not to present: bring to/for LORD and in/on/with land: country/planet your not to make: do
25 Usifanye haya katika nchi yako. Usilete mkate wa Mungu wako kutoka mkononi mwa mgeni. Hao wanyama wenye vilema na dosari ndani yao, hawatapokelewa kabisa kwa ajili yako.
and from hand: to son: type of foreign not to present: bring [obj] food: bread God your from all these for corruption their in/on/with them blemish in/on/with them not to accept to/for you
26 Yahweh akamwambia Musa na akasema,
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
27 “Wakati ndama, mwana—kondo au mwana—mbuzi azaliwapo, sharti abaki na mama yake kwa muda wa siku saba. Ndipo kuanzia siku ya nane na kuendelea, anaweza kupokelewa kuwa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh.
cattle or sheep or goat for to beget and to be seven day underneath: under mother his and from day [the] eighth and further to accept to/for offering food offering to/for LORD
28 Usimchinje ng'ombe jike pamoja na ndama wake au mbuzi jike pamoja na kitoto chake kwa siku moja.
and cattle or sheep [obj] him and [obj] son: young animal his not to slaughter in/on/with day one
29 Utoapo sadaka ya shukrani kwa Yahweh utaitoa kwa njia iliyokubalika.
and for to sacrifice sacrifice thanksgiving to/for LORD to/for acceptance your to sacrifice
30 Ni lazima iliwe siku iyo hiyo inayotolewa. Hutakiwi kubakiza chochote hata asubuhi. Mimi ndimi Yahweh.
in/on/with day [the] he/she/it to eat not to remain from him till morning I LORD
31 Kwa hiyo imewapasa kuzishika amri zangu na kuzifuata. Mimi ndimi Yahweh.
and to keep: obey commandment my and to make: do [obj] them I LORD
32 Msiliabishe jina langu takatifu. Ni lazima nitambuliwe kuwa ni mtakatifu na watu wa Israeli. Mimi ndimi Yahweh niwafanyaye ninyi watakatifu,
and not to profane/begin: profane [obj] name holiness my and to consecrate: consecate in/on/with midst son: descendant/people Israel I LORD to consecrate: consecate you
33 ambaye amewaleta kutoka katika nchi ya Misri ili niwe Mungu wenu: Mimi ndimi Yahweh.”
[the] to come out: send [obj] you from land: country/planet Egypt to/for to be to/for you to/for God I LORD

< Mambo ya Walawi 22 >