< Mambo ya Walawi 21 >

1 Yahweh akamwambia Musa, “Zungumza na makuhani, wana wa Aroni, nawe waambie, 'hakuna hata mmoja miongoni mwenu atakayejitia unajisi kwa wale wanaokufa miongoni mwa watu wake,
Hoe ty nitsara’ Iehovà amy Mosè: Misaontsia amo mpisoroñeo, o ana’ i Aharoneo, le itaroño ty hoe: Asoao tsy ho am’iereo ty haniva vatañe ami’ty lolo am’ondati’eo,
2 isipokuwa yule aliye ndugu wa karibu—mama yake, baba yake, mwanawe, bintiye, nduguye,
naho tsy t’ie longo marine: ty rene’e ndra i rae’e, ty anadahi’e ndra ty anak’ ampela’e ndra ty rahalahi’e
3 au dada yake bikira anayemtegemea, kwa kuwa hana mume—kwake huyo anaweza kujitia unajisi.
ndra ty rahavave’e somondrara marine aze tsy amam-baly; ie ro azo anivam-batañe.
4 Lakini hatajitia unajisi na kujichafu kwa ajili ya jamaa wengine.
Tsy handeo-batañe re, ie talè añivo’ ondati’eo, haniva’e vatañe.
5 Makuhanai hawatanyoa vichwa vyo wala kunyoa pembeni mwa ndevu zao, wala hawatachanja chale miili yao.
Tsy hanoe’ iareo peake ty añambone’ iareo le tsy ho harateñe ty indran-tanteahe’ iareo ndra hanoritory sandriñe.
6 Watakuwa watakatifu kwa Mungu wao, wala hawataliaibisha jina la Mungu wao, kwa sababu makuhani hutoa sadaka ya Yahweh ya chakula, mkate wa Mungu wao. Kwa hiyo makuhani lazima wawe watakatifu.
Ie hiavake ho aman’ Añahare’e, naho tsy hiteratera ty tahinan’ Añahare’ iareo; f’ie ro mpañenga an’ afo am’ Iehovà ty mahakaman’ Añahare’ iareo, toe miavake iereo.
7 Hawataoa mwanamke aliye kahaba na aliyetiwa unajisi, na hawataoa mwanamke aliyetalikiwa kutoka kwa mume wake kwa sababu wametengwa kwa ajili ya Mungu wao.
Tsy hangala-baly ami’ty kàrapilo ndra ami’ty maleotse iereo, le tsy hañenga rakemba narian-dahy; amy t’ie miavake aman’Añahare’e.
8 Utamtenga kwa sababu yeye ndiye anayetoa mkate kwa Mungu wako. Ni lazima awe mtakatifu, kwa sababu—Mimi, Yahweh, ndimi niwatakasaye nyinyi—pia Mimi mwenyewe ni mtakatifu.
Aa le atokano, fa ie ty mpanjotso mahakama aman’ Añahare’o. Hiavake ama’o re, amy te masin-dRaho Iehovà, mpampiavake anahareo.
9 Binti yeyote wa kuhani anayejitia unajisi kwa kujifanya kahaba anajifedhehesha mwenyewe. Ni lazima ateketezwe kwa moto.
Ie manao hatsimirirañe ty anak’ ampelam-pisoroñe ro maniva an-drae’e, ho forototoeñe añ’afo.
10 Mtu ambaye ni kuhani mkuu miongoni mwa nduguze, ambaye mafuta ya upako yamekwisha kumiminwa kichwani pake, na ambaye amekwisha kuwekwa wakfu ili kuvaa mavazi maalum ya kuhani mkuu, kamwe hataziacha wazi nywele zake wala hatazirarua nguo zake.
I mpisoroñe zoke’ o rahalahi’eoy, i nañiliñañe mena-pañorizañe añam­bone’e eo naho naambake hisikiñe o saroñeoy ro tsy handoly sabaka vaho tsy handriatse ty saro’e.
11 Hataingia kamwe mahali popote ambapo kuna maiti na kujitia unajisi, hata kama ni maiti ya baba yake au ya mama yake.
Tsy hiziliha’e ty aman-dolo, tsy hanivà’e sandriñe ndra t’ie rae’e ndra te rene’e;
12 Kuhani mkuu hataondoka eneo takatifu la hema la kukutania au kupatia unajisi patakatifu pa Mungu wake, kwa sababu amewekwa wakfu kuwa kuhani mkuu kwa kutiwa mafuta ya upako ya Mungu wake. Mimi ndimi Yahweh.
vaho tsy hienga i miavakey ndra haniva i toe-miava’ Nañahare’ey; fa ama’e i mena-pañorizañe nañavahañe aze aman’ Añahare’ey: Izaho Iehovà.
13 Kuhani mkuu nilazima aoe bikira kuwa mke wake.
Somondrara ty hengae’e ho vali’e,
14 Hataoa mjene, mwanamke mtalaka au mwanamke aliye kahaba. Anaweza kuoa mwanamke bikira kutoka kwa watu wake,
tsy hengae’e ty vantotse ndra ty nitseizeñe ndra ty ampela nileoreñe, ndra ty tsimirirañe; fa ty ampela tsy nahavanilahy boak’ amo longo’eo ty hengae’e
15 kwa hiyo asiwatia unajisi watoto wake miongoni mwa watu wake. kwa kuwa Mimi Yahweh, ndimi ninayemfanya yeye mtakatifu.”
tsy mone haniva o tarira’eo amo longo’eo; Izaho Iehovà Mpampiavak’ aze.
16 Yahweh akamwambia Musa, akasema,
Le hoe ty nitsarae’ Iehovà amy Mosè:
17 Zungumza na Aroni na umwambie, 'mtu yeyote wa ukoo wako katika vizazi vyako vyote mwenye kasoro mwilini mwake, asisogee kutoa chakula kwa Mungu wake.
Saontsio amy Aharone ty hoe: Tsy mahazo miharine hañenga ty maha­kaman’ Añahare’e ty tiri’o aman-kandra amo tarira’o mifandimbeo.
18 Mtu yeyote mwenye kasoro mwilini mwake asimkaribie Yahweh,
Le tsy mahazo mitotoke mb’eo t’indaty aman-kandra: ke te fey, he te kepeke, he aman-kandran-tarehe, ke kombimba,
19 mtu kama vile: kipofu au mtu asiyeweza kutembea, mtu aliyeharibiwa uso au kupungukiwa na viungo mwilini, mtu aliye na mguu au mkono wenye ulemavu,
ke te ondaty fola-pandia, he fola-pitàñe,
20 mtu mwenye kibiongo mgongoni mwake au aliye na kimo kidogo au wembamba usio wa kawaida, au mtu mwenye kasoro machoni mwake, au mwenye ugonjwa, kidonda, upele, au yule ambaye korodani zake zimeharibiwa.
ke langa, he kana, ke aman-kandram-pihaino, he aman-kàteñe, ke hezam-bae, hera aman-tabiry dinemoke.
21 Hakutakuwa na mtu miongoni mwa ukoo wa Aroni kuhani mkuu mwenye kasoro mwilini atakayekaribia kutoa matoleo yatakayoteketezwa kwa moto kwa ajili ya Yahweh. Mtu kama huyo mwenye kasoro mwilini hatakaribia ili kutoa mkate wa Mungu wake.
Aa le tsy hiharivo hañenga soroñe am’ Iehovà ze ondaty aman-kandra amo tarira’ i Aharone mpisoroñeo. Ie aman-kandra, ro tsy hañarine hañenga o mahakaman’ Añahare’eo.
22 Anaweza kula chakula cha Mungu wake, ama iwe baadhi ya vile vilivyo vitakatifu sana au vile vitakatifu.
Mete ikama’e ty mahakaman’ Añahare’e: o miava-do’eo naho o miavakeo.
23 Hata hivyo, hataingia ndani ya pazia wala kuisogelea madhabahu, kwa sababu ana kasoro mwilini mwake, ili kwamba asipanajisi mahali patakatifu pangu, kwa kuwa Mimi ndimi Yahweh anayewafanya watakatifu.”
F’ie tsy hizilik’ amy lamba fañefe­tsey ndra hiharine i kitreliy, ty amy hàndra’ey; tsy mone ho tivae’e i toeko miavakey; amy te Izaho Iehovà Mpampiavak’ iareo.
24 Kwa hiyo Musa akamwambia maneno haya Aroni, wanawe, na watu wote wa Israeli.
Aa le nitaroñe’ i Mosè amy Aharone naho amo ana’eo vaho amo hene ana’ Israeleo izay.

< Mambo ya Walawi 21 >