< Mambo ya Walawi 20 >
1 Yahweh akazungumza na Musa, akasema,
Ra Anumzamo'a anage huno Mosesena asmi'ne,
2 “Waambie watu wa Waisraeli, 'mtu yeyote miongoni mwa watu Israeli, au Mgeni yeyote anayeishi miongoni mwa Waisraeli atakayemtoa mtoto wake yeyote kwa Moleki, hakika atauawa. Ni lazima watu wa nchi wamponde kwa mawe.
Ama'na trakea Israeli vahe'mokizmia zamasimio, Israeli vahe'mo'o rurega vahe'ma tamagranema emani'nesaza vahe'mo'za, mofavrezmia Moreki havi anumzamofona omiho. E'inahuma hania vahera have knonu ahefriho.
3 Pia nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na kumkatilia mbali kutoka miongoni mwa watu wake kwa sababu amemtoa mtoto wake kwa Moleki, ili kupatia unajisi mahali pangu patakatifu na kulinajisi jina langu takatifu.
Nagra ana vahera ha'renezmante'na, vahe zmifintira zamavare atregahue. Na'ankure agra mofavre'a havi anumzamofo ofa hunenteno ruotage'ma hu'nea noni'a eri haviza nehuno, Nagri nagi eri haviza hu'ne.
4 Na kama watu wa nchi watayafumba macho yao kwa mtu huyo anapomtoa mmoja wa watoto wake kwa Moleki, kama hawatamwua mtu huyo, ndipo Mimi mwenyewe nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na ukoo wake,
Hagi ana kumapinti vahe'mo'zama nege'zama havi anumzama Morekinte'ma mofavre'a kresramna vania nera ahe ofrisazana,
5 Nami nitamkatilia mbali pamoja na yeyote anayejifanya kahaba ili kufanya umalaya na Moleki.
Nagra ana vahera ha'renente'na amage'ma ante'zama havi anumza Morekinte'ma mono'ma huntesaza vahe'enena vaheni'afintira zamahenatigahue.
6 Mtu yule anayewageukia wanaozungumza na wafu, au na wale wanaozungumza na roho ili kufanya ukahaba nao, Nitakaza uso wangu dhidi ya mtu huyo; Nami nitamkatilia mbali atoke miongoni mwa watu wake.
Hagi amu'notamifintima mago'mo'ma antahiza aminogu'ma fri'nesia vahe'mofo hankro ene keagaga nehania vahete vuge, monko avu'avazama hiaza huno havi anumzante mono'ma hunentesia vahera, Nagra ha'arente'na vahe'niafintira ahenati atregahue.
7 Kwa hiyo jitakaseni wenyewe na muwe watakatifu, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
Anahu'negu tamagra'a tamazeri agru huta mani ruotage huta maniho, na'ankure Nagra Ra Anumzana tamagri Anumzamo'na nehue.
8 Mtazitunza amari zangu na kuzifuta. Mimi ndimi Yahweh anayewatenga ninyi muwe watakatifu.
Hagi miko kase keni'a kegava huta nevaririta, agoraga'a maniho, na'ankure Nagra Ra Anumzamo'na tamazeri ruotagera hu'noe.
9 Yeyote amlaaniye baba yake au mama yake hakika mtu huyo atauawa. Amemlaani baba yake au mama yake, kwa hiyo ana hatia na anastahili kufa.
Hagi iza'o nerera nefama huhavizama huntesimofona ahefriho. Agra nererane nefanema huhavizama huntesia knazana agra'a erigahie.
10 Mwanaume yeyote afanyaye uzinzi na mke wa mwanaume mwingine, yaani, yeyote anayezini na mke wa jirani yake—yule mwanaume mzinzi na mwanamke mzinzi ni lazima wote wawili wauawe.
Hagi rumofo a'enema savri'ma hania nera, ana ne'ene anama savri'ma hania a'enena zanahe friho.
11 Mwanaume yeyote anayelala na mke wa baba yake ili kukutana naye kimwili amemfedhehesha baba yake mwenye. Wote wawili; mwana huyo na mke huyo wa baba yake kwa hakika watauawa. wanahatia na wanastahili kufa.
Hagi nefa nenaro enema savrima hania nera, nefa agi eri haviza hu'negu, anama savrima hania ne'ene a'ene zanahe friho.
12 Kama mwanaume atalala na mke wa mwanawe, wote wawili; mwanaume huyo na mke huyo wa mwanawe hakika watauawa. Wametenda upotovu. Wana hatia na wanastahili kufa.
Hagi nenofero enema savri'ma hania nera, anama savri'ma hana'a a'ene zanahe friho. Na'ankure zanagra kefo zanavu'zanava ha'ankino anazamofo nona'a zanagra'a knazama'a erigaha'e.
13 Kama mwanaume analala na mwanaume mwingine kama alalavyo na mwanamke, wote wawili watakuwa wamefanya jambo lililo ovu. Hakika watauawa. Wana hatia na wanastahili kufa.
Hagi venenemo'ma venenenema monkozama hania vahera, kefoza huno kasri'nea kumi hugaha'anki, ana knazamofo kna'a zamahe frigahaze.
14 Ikiwa mwanaume atamwoa mwanamke na pia akamwoa mama wa mwanamke huyo, huu ni uovu. Ni lazima wachomwe kwa moto, wote wawili, mwanaume huyo na manamke huyo, ili kwamba hapatakuwepo na uovu miongoni mwenu.
Hagi mago ne'mo'ma mago a'ene ana a'mofo mofa anema monkozama huzanantesiana, e'inahu avu'ava'ma hu'zamo'a tusi haviza hu'ne. E'i ana avu'ava'ma hanamokizmia tevefi kre tasegenke'za frisageno anahukna avu'avazamo'a tamagripina omaneno.
15 Ikiwa mwanaume analala na mnyama, hakika atauawa, ni lazima mumuue na mnyama huyo pia.
Hagi zagagafanema monko avu'ava'ma hania nera, ahe nefrita ana zagagafa ahefriho.
16 Ikiwa mwanamke anamkaribia mnyama ili kulala naye, ni lazima mmuuwe mwanamke huyo pamoja na mnyama. Kwa hakika ni lazima wauawe. wana hatia na wanastahili kufa.
Hagi mago a'mo'ma monko'zama huntesiegu'ma, ve zagafarema vanigeno'ma ana zagagafamo'ma hararesiana, ana a'ene ana zaganena zanahe friho. Na'ankure zanagra haviza hugaha'ankino knazana zanagra 'a erigaha'e.
17 Ikiwa mwanaume analala na dada yake, ama ni binti ya baba yake au binti ya mama yake—ikiwa wamelala pamoja, hilo ni jambo la aibu. Ni lazima wakatiliwe mbali watoke machoni pa watu wao, kwa sababu amelala na dada yake. Ni lazima aibebe hatia yake.
Hagi iza'o nesaroma a'ma erintesimo'a, havizantfa erifore hugaha'anki, vahenifintira znahe anati atregahaze. Agra nesaro'ene monkoza higu, ana knazana agra'a erigahie.
18 Kama mwanaume analala na mwanamke katika kipindi cha hedhi yake, na amekutana naye kimwili, atakuwa amefunua mtiririko wa damu yake, chanzo cha damu yake. Ni lizima wote wawili wakatiliwe mbali kutoka mingoni mwa watu wao.
Hagi ikankrima eri'nesia a'enema monko'zama hania nera, havi avu'avaza erifore hugahiankino, vahenifintira zanahenati atregahaze.
19 Usilale na dada ya mama yako, au dada ya baba yako, kwa sababu ungeweza kumwaibisha jamaa yako wa karibu. Ni lazima utabeba hatia yako mwenyewe.
Hagi negrera anunkna'hezaneno, negafa asarahehezanena kamomohe'moki, monkozana osuo. E'inama hana'ana havizantfa hugahiankino knazama'a erigaha'e.
20 Ikiwa mwanaume analala na shangazi yake, atakuwa amemfedhehesha mjomba wake. Wanapokufa, nitawaadhibu wote wawili, na wanapokufa nitauondolea mbali urithi wa watoto wao ambao wangeliupokea kutoka kwa wazazi wao.
Hagi nenogo nenaro'enema monkozama hania ne'mo'a, nenogo a'mofo kena'a hategahiankino, havi avu'ava nenogona huntegahie. Hagi ana ne'ene ana a'mo'enena mofavrea onte'neke frigaha'e.
21 Ikiwa mwanaume anamwoa mke wa kaka yake wakati ambapo kaka yake angali hai, hilo ni jambo la aibu. Amemfedhehesha kaka yake, na nitaondolea mbali mali yoyote amabayo watoto wao wangerithi kutoka kwa wazazi wao.
Hagi nefu a'ma rehanaresia ne'mo'a, havi avu'ava huno nefu a'mofo kena'a hategahiankino mofavre ontegaha'e.
22 Kwa hiyo imewapasa kuzishika amri na sheria zangu zote; ni lazima mzitii ili kwamba ile nchi ambayo ninawaleta kuishi isiwatapike nyinyi.
E'ina hu'negu kva hu so'e huneta, miko kasegeni'ane tra keni'a amagera anteta agorga'a maniho. Ana'ma osanageno'a anama tamavre'na vanua mopamo'a amu'ati tamatreankna hanigeta knarera huta ana mopafina omanigahaze.
23 Msienende katika desturi za mataifa ambayo nitayafukuza mbele yenu, ni kwa sababu wamefanya mambo haya yote, nami mimewachukia wao.
Hagi anama vanaza mopafima ko'ma mani'naza vahe'ma zamahenati atresua vahe'mokizmi zamavu'zamava zana osiho. Na'ankure anama vanaza mopafi vahe'mo'za kefoza huno kasri'nea zamavu'zamava nehazage'na nagote'na navesra huzmante'noe.
24 Nami nikawaambia ninyi, “Mtaimiliki nchi yao, nitaitoa kwenu ili muimiliki, nchi itiririkayo amaziwa na asali. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu, aliyewatenga nyinyi kutoka kwa watu wengine.
Hianagi vahe'mokizmi amu'nompinti Nagra Ra Anumzana tamagri Anumzamo'na tamavre'na ko huvempa hurmante'na erisanti haregahaze hu'noa mopagino, ana mopafina tumerimo'ene amirimo'a avite'nea mopa erigahaze.
25 Ni lazima pia mtofautishe kati ya wanya najisi na wale walio safi, na kati ya ndege walio najisi na walio safi. Msijichafue wenyewe kwa wanyama au ndege au kiumbe kitambaacho juu ya nchi kilicho najisi, ambacho nimekitenga kuwa najisi.
E'ina hu'negu refkohu so'e huta negeta, e'i zagagafamo'a agru hu'neanki, e'i zagagafamo'a agru osu'neanki, e'i namamo'a agru hu'neanki, e'i agru osu'neanki hiho. Hagi agruma osu'nesia zagagafo, namaramino, zmasaguregati'ma regrorohe'za vanoma nehaza zagaraminena, neneta tamagra'a tamazeri havizana osiho.
26 Mtakuwa watakatifu, kwa kuwa Mimi, Yahweh, ni mtakakatifu, nami nimewatenga nyinyi kutoka kwa watu wengine, kwa kuwa nyinyi ni wangu.
Tamagra mani ruotage huta Nagri vahe maniho, na'ankure Nagra Ra Anumzamo'na ruotage hu'nogu miko kokankoka vahepintira Nagri vahe maniho hu'na tamagrira tamazeri ruotage hu'noe.
27 Mwanaume au mwanamke anayeongea na wafu au anayeongea na roho hakika atauawa. Watu watawaponda kwa mawe. Wanayo hatia na wanastahili kufa.
Hagi mago ne'mo'o a'mo'ma fri'nea vahe'eneno kefo avamu'enema keagama hania vahera zamahe friho. Zamagri korankumimo'a zamagripi megahianki havenknonu zamahe friho.