< Mambo ya Walawi 2 >
1 Yeyote akitoa sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake lazima iwe unga safi, na atamwaga mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake.
“Cuando traigas una ofrenda de grano al Señor, tu ofrenda debe ser de la mejor harina. Vierte aceite de oliva y ponle incienso,
2 Atachukua sadaka kwa wana wa Haruni, makuhani na pale kuhani atachukua konzi moja ya unga safi pamoja na mafuta na ubani. Kisha kuhani atateketeza hiyo sadaka juu ya madhabahu kuwa shukrani kwa uzuri wa Bwana. Italeta harufu nzuri sana kwa Bwana, itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
y llévaselo a los hijos de Aarón, los sacerdotes. El sacerdote tomará un puñado de la mezcla de harina y aceite de oliva, así como todo el incienso, y lo quemará como un ‘recordatorio’ en el altar, una ofrenda de comida, agradable al Señor.
3 Unga wowote uliobaki utakuwa ni wa Haruni na watoto wake. Ni takatifu sana kwa Bwana iliyotolewa sadaka kwa Bwana kwa moto.
El resto de la ofrenda de grano es para Aarón y sus hijos; es una parte muy sagrada de las ofrendas dadas al Señor como ofrendas de comida.
4 Kisha utakapotoa sadaka ya unga bila chachu iliyookwa kweye kiokeo, itakuwa mkate lainiya unga safi uliochanganywa na mafuta, au mkate mgumu usiokuwa na chachu, ambao umesambazwa na mafuta.
“Si tu ofrenda es de grano cocido en un horno, debe ser hecha de harina fina sin usar levadura. Pueden ser pasteles mezclados con aceite de oliva o barquillos con aceite de oliva untado en ellos.
5 Kama matoleo yako ya nafaka yameokwa na kikaango cha chuma ni lazima iwe unga safi bila chachu uliochanganywa na mafuta.
Si tu ofrenda es una ofrenda de grano cocido en una plancha, debe ser hecha de harina fina mezclada con aceite de oliva sin usar levadura.
6 Utagawanya katika vipande na kumwaga mafuta juu yake. Hii ni sadaka ya nafaka.
Rómpelo y vierte aceite de oliva sobre él; es una ofrenda de grano.
7 Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa katika kikaango, ni lazima iwe imetengenezwa kwa unga safi na mafuta.
Si tu ofrenda es una ofrenda de grano cocido en una sartén, debe ser de harina fina con aceite de oliva.
8 Utaleta matoleo ya nafaka yaliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana, italeta kwa kuhani, ambaye ataleta mbele ya madhabahu.
Trae al Señor la ofrenda de grano hecha de cualquiera de estas maneras. Preséntala al sacerdote, quien la llevará al altar.
9 Ndipo kuhani atachukua baadhi ya sadaka ya nafaka ya shukrani ya Bwana, ataitekeza katika madhabahu. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto, italeta harufu nzuri kwa Bwana.
El sacerdote debe tomar ‘el resto’ de la ofrenda de grano y quemarla en el altar como una ofrenda de comida, agradable para el Señor.
10 Itakayobaki sadaka ya nafaka itakuwa ya Haruni na wanawe. Itakuwa takatifu kamili ya Bwana kutoka matoleo kwa Bwana yatolewayo kwa moto.
El resto de la ofrenda de grano es para Aarón y sus hijos; es la parte más sagrada de las ofrendas de comida dadas al Señor.
11 Sadaka ya nafaka itolewayo kwa Bwana isiwe na chachu, hautatekeza chachu wala asali kama matoleo yatakayotekezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana.
“Ninguna ofrenda de grano que traigas ante el Señor puede hacerse con levadura. No quemes ninguna levadura o miel como ofrenda al Señor.
12 Utayatoa kwa Bwana kama mazao ya kwanza, lakini hayatatumika kama matoleo ya harufu nzuri ya moto juu ya madhabahu.
Puedes dárselas al Señor cuando presentes tus ofrendas de primicias, pero no deben ser ofrecidas en el altar para ser aceptadas por el Señor.
13 Utaweka chumvi katika kila matoleo yako ya nafaka. Usipungukie chumvi ya agano la Bwana katika matoleo yako ya unga. Matoleo yako yote hayatapungukiwa na chumvi.
Todas tus ofrendas de granos deben ser sazonadas con sal. No dejes la sal del pacto de Dios fuera de tu ofrenda de grano. Añade sal a todas tus ofrendas.
14 Kama ukitoa matoleo ya nafaka ya mazao ya kwanza kwa Bwana, utatoa nafaka mbichi yaliyookwa kwa moto, na yaliyopondwa.
“Cuando traigas al Señor una ofrenda de primicias de grano, ofrece cabezas aplastadas de grano nuevo asadas en el fuego.
15 Lazima utaweka mafuta na ubani juu yake. Haya ni matoleo ya nafaka.
Pon aceite de oliva e incienso en él; es una ofrenda de grano.
16 Kuhani atatoa sehemu ya nafaka iliyopondwa na mafuta na ubani, kama sadaka ya shukrani itolewayo kwa uzuri wa Bwana. Hii ni sadaka ya Bwana inayotolewa kwa moto.
El sacerdote quemará el ‘recordatorio’ del grano triturado y el aceite de oliva, así como todo su incienso, como ofrenda de alimento al Señor”.