< Mambo ya Walawi 2 >

1 Yeyote akitoa sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake lazima iwe unga safi, na atamwaga mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake.
Аще же душа принесет дар жертву Господу, мука пшенична да будет дар его, и да возлиет на ню елей, и возложит на ню ливан: жертва есть:
2 Atachukua sadaka kwa wana wa Haruni, makuhani na pale kuhani atachukua konzi moja ya unga safi pamoja na mafuta na ubani. Kisha kuhani atateketeza hiyo sadaka juu ya madhabahu kuwa shukrani kwa uzuri wa Bwana. Italeta harufu nzuri sana kwa Bwana, itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
и да принесет ю к сыном Аароним жерцем, и возмет от нея полну горсть муки пшеничны с елеем и весь ливан ея, и да возложит жрец память ея на олтарь: жертва воня благоухания Господу:
3 Unga wowote uliobaki utakuwa ni wa Haruni na watoto wake. Ni takatifu sana kwa Bwana iliyotolewa sadaka kwa Bwana kwa moto.
и останок от жертвы Аарону и сыном его: святое святых от жертв Господних.
4 Kisha utakapotoa sadaka ya unga bila chachu iliyookwa kweye kiokeo, itakuwa mkate lainiya unga safi uliochanganywa na mafuta, au mkate mgumu usiokuwa na chachu, ambao umesambazwa na mafuta.
Аще же принесет дар жертву печену в пещи от муки пшеничны, хлебы пресны спряжены с елеем и опресноки помазаны елеем.
5 Kama matoleo yako ya nafaka yameokwa na kikaango cha chuma ni lazima iwe unga safi bila chachu uliochanganywa na mafuta.
Аще же жертва от сковрады дар твой, мука пшенична смешена со елеем, пресна да будут:
6 Utagawanya katika vipande na kumwaga mafuta juu yake. Hii ni sadaka ya nafaka.
и да разломиши я на укрухи, и возлиеши на на елей: жертва есть Господу.
7 Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa katika kikaango, ni lazima iwe imetengenezwa kwa unga safi na mafuta.
Аще же жертву от огнища дар твой, мука пшенична с елеем да сотворена будет:
8 Utaleta matoleo ya nafaka yaliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana, italeta kwa kuhani, ambaye ataleta mbele ya madhabahu.
и принесет жертву, юже аще сотворит от сих Господу, и да принесет к жерцу:
9 Ndipo kuhani atachukua baadhi ya sadaka ya nafaka ya shukrani ya Bwana, ataitekeza katika madhabahu. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto, italeta harufu nzuri kwa Bwana.
и приступив ко олтарю, да отимет жрец от жертвы память ея, и да возложит жрец на олтарь: приношение воня благовония Господу:
10 Itakayobaki sadaka ya nafaka itakuwa ya Haruni na wanawe. Itakuwa takatifu kamili ya Bwana kutoka matoleo kwa Bwana yatolewayo kwa moto.
останок же от жертвы Аарону и сыном его: святая святых от приношений Господу.
11 Sadaka ya nafaka itolewayo kwa Bwana isiwe na chachu, hautatekeza chachu wala asali kama matoleo yatakayotekezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana.
Всяку жертву, юже аще приносите Господу, не сотворите квасну: всяк бо квас и всяк мед да не принесете от него, еже приносити Господу дар.
12 Utayatoa kwa Bwana kama mazao ya kwanza, lakini hayatatumika kama matoleo ya harufu nzuri ya moto juu ya madhabahu.
От начатков да принесете я Господу: на олтарь же да не вознесутся в воню благовония Господу.
13 Utaweka chumvi katika kila matoleo yako ya nafaka. Usipungukie chumvi ya agano la Bwana katika matoleo yako ya unga. Matoleo yako yote hayatapungukiwa na chumvi.
И всяк дар жертвы вашея солию да осолится: да не отставите соли завета Господня от жертв ваших, во всяком даре вашем да принесете Господу Богу вашему соль.
14 Kama ukitoa matoleo ya nafaka ya mazao ya kwanza kwa Bwana, utatoa nafaka mbichi yaliyookwa kwa moto, na yaliyopondwa.
Аще же принесеши жертву от начатков жит Господу, новы спряжены зелены класы истлачены Господу, и принесеши жертву от начатков жит:
15 Lazima utaweka mafuta na ubani juu yake. Haya ni matoleo ya nafaka.
и да возлиеши на ню елей, и да возложиши на ню ливан: жертва есть:
16 Kuhani atatoa sehemu ya nafaka iliyopondwa na mafuta na ubani, kama sadaka ya shukrani itolewayo kwa uzuri wa Bwana. Hii ni sadaka ya Bwana inayotolewa kwa moto.
и да вознесет жрец память ея от спряженых с елеем, и весь ливан ея: принос есть Господу.

< Mambo ya Walawi 2 >