< Mambo ya Walawi 2 >
1 Yeyote akitoa sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake lazima iwe unga safi, na atamwaga mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake.
Aa naho eo ty mibanabana enga-mahakama am’ Iehovà, le mona-disañe ty hengae’e, naho hañiliña’e menake, vaho hampipoha’e emboke;
2 Atachukua sadaka kwa wana wa Haruni, makuhani na pale kuhani atachukua konzi moja ya unga safi pamoja na mafuta na ubani. Kisha kuhani atateketeza hiyo sadaka juu ya madhabahu kuwa shukrani kwa uzuri wa Bwana. Italeta harufu nzuri sana kwa Bwana, itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
hendese’e amo ana’ i Aharone mpisoroñeo, le hañakatse ty mahàtsa-pitàñe amo monao naho amo mena’eo mitraok’ amy ze hene embo’e, le hengae’ i mpisoroñey ho tiahy, hatoeñe amy kitreliy, enga oroañe an’ afo, hàñim-pañanintsiñe am’ Iehovà.
3 Unga wowote uliobaki utakuwa ni wa Haruni na watoto wake. Ni takatifu sana kwa Bwana iliyotolewa sadaka kwa Bwana kwa moto.
Ho a i Aharone naho o ana’eo ty tsy ri’ i mona nengaeñey; ie miava-do’e amo soroñañe am’Iehovào.
4 Kisha utakapotoa sadaka ya unga bila chachu iliyookwa kweye kiokeo, itakuwa mkate lainiya unga safi uliochanganywa na mafuta, au mkate mgumu usiokuwa na chachu, ambao umesambazwa na mafuta.
Aa ihe mibanabana enga-mahakama nimasaheñe an-toñake, le mofo tsy aman-dalivay ama’ mona linaro menake; ndra mofo tseake matify po-dalivay hinoso-menake.
5 Kama matoleo yako ya nafaka yameokwa na kikaango cha chuma ni lazima iwe unga safi bila chachu uliochanganywa na mafuta.
Aa naho banabanae’o ty enga-mahakama nimasaheñe am-pinga, le ho mona tsy aman-dalivay linaro menake.
6 Utagawanya katika vipande na kumwaga mafuta juu yake. Hii ni sadaka ya nafaka.
Peñapeñafo vaho añiliño menake: enga-mahakama izay.
7 Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa katika kikaango, ni lazima iwe imetengenezwa kwa unga safi na mafuta.
Aa naho banabanae’o ty enga-mahakama nimasaheñe am-balàñe, le hanoeñe ami’ty mona linaro menake.
8 Utaleta matoleo ya nafaka yaliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana, italeta kwa kuhani, ambaye ataleta mbele ya madhabahu.
Ie banabanae’o ho enga-mahakama am’ Iehovà, amy nanoeñe rezay, le hatolotse amy mpisoroñey le ie ty hanese aze mb’amy kitreliy mb’eo,
9 Ndipo kuhani atachukua baadhi ya sadaka ya nafaka ya shukrani ya Bwana, ataitekeza katika madhabahu. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto, italeta harufu nzuri kwa Bwana.
le hangalà’ i mpisoroñey tiahy i enga mahakamay vaho hengae’e an-katoeñe amy kitreliy; ho enga oroañe añ’afo, hàñim-pañanintsiñe am’ Iehovà.
10 Itakayobaki sadaka ya nafaka itakuwa ya Haruni na wanawe. Itakuwa takatifu kamili ya Bwana kutoka matoleo kwa Bwana yatolewayo kwa moto.
Le ho a i Aharone naho o ana’eo ty tsy ri’ i enga-mahakamay, ie miava-do’e amo soroñañe am’Iehovào.
11 Sadaka ya nafaka itolewayo kwa Bwana isiwe na chachu, hautatekeza chachu wala asali kama matoleo yatakayotekezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana.
Tsy anoeñe aman-dalivay ze mahakama engaeñe am’ Iehovà; toe tsy hengaeñe an-katoeñe ho enga oroañe añ’afo am’Iehovà ty lalivay ndra tantele.
12 Utayatoa kwa Bwana kama mazao ya kwanza, lakini hayatatumika kama matoleo ya harufu nzuri ya moto juu ya madhabahu.
Mete engaeñe ho lengom-boa am’ Iehovà, f’ie tsy hengaeñe ho hàñim-pañanintsiñe an-kitrely.
13 Utaweka chumvi katika kila matoleo yako ya nafaka. Usipungukie chumvi ya agano la Bwana katika matoleo yako ya unga. Matoleo yako yote hayatapungukiwa na chumvi.
Mbore ho sirae’o aman-tsira ze hene mahakama engae’o, tsy hado’o tsy ho amy ze enga mahakama’o iaby ty siram-pañinan’ Añahare’o. Engao aman-tsira ze hene engae’o.
14 Kama ukitoa matoleo ya nafaka ya mazao ya kwanza kwa Bwana, utatoa nafaka mbichi yaliyookwa kwa moto, na yaliyopondwa.
Ie banabanae’o am’Iehovà ty enga-mahakama anoeñe loha-voñe, le ampemba vao natono an’ afo, voam-bora’e vao nilisaneñe ro hengaeñe ho enga-mahakaman-dengo’e.
15 Lazima utaweka mafuta na ubani juu yake. Haya ni matoleo ya nafaka.
Hosoro menake le ampipoho emboke, enga-mahakama izay.
16 Kuhani atatoa sehemu ya nafaka iliyopondwa na mafuta na ubani, kama sadaka ya shukrani itolewayo kwa uzuri wa Bwana. Hii ni sadaka ya Bwana inayotolewa kwa moto.
Hengae’ i mpisoroñey an-katoeñe ty tiahy amy ampemba-lisañey naho ty tampa’ i menakey vaho ty embo’e iaby ho enga oroañ’ an’ afo am’ Iehovà.