< Mambo ya Walawi 2 >
1 Yeyote akitoa sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake lazima iwe unga safi, na atamwaga mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake.
Hlinglu. loh BOEIPA taengla khocang a khuen vaengah vaidam te anih kah nawnnah la om saeh. Te vaengah vaidam te situi suep saeh lamtah hmueihtui te a soah phul saeh.
2 Atachukua sadaka kwa wana wa Haruni, makuhani na pale kuhani atachukua konzi moja ya unga safi pamoja na mafuta na ubani. Kisha kuhani atateketeza hiyo sadaka juu ya madhabahu kuwa shukrani kwa uzuri wa Bwana. Italeta harufu nzuri sana kwa Bwana, itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
Te phoeiah Aaron koca khosoih rhoek taengla khuen saeh. Vaidam te kutvang ah mawk paco saeh lamtah situi hmueihtui boeih neh BOEIPA ham hmueihtuk kah hmaihlutnah soah khosoih. loh kamhoeinah hmuehmuei botui la phum saeh.
3 Unga wowote uliobaki utakuwa ni wa Haruni na watoto wake. Ni takatifu sana kwa Bwana iliyotolewa sadaka kwa Bwana kwa moto.
Khocang khui lamkah a coih te tah Aaron ham neh anih koca rhoek ham om tih BOEIPA kah hmaihlutnah khuiah aka cim khuikah aka cim koek la om.
4 Kisha utakapotoa sadaka ya unga bila chachu iliyookwa kweye kiokeo, itakuwa mkate lainiya unga safi uliochanganywa na mafuta, au mkate mgumu usiokuwa na chachu, ambao umesambazwa na mafuta.
Hmaiulh dongkah cangrhoh khocang nawnnah na khuen atah vaidam, situi a piit vaidamding vaidam laep mai khaw, situi neh a koelh vaidamding te vaidam rhawmla om saeh.
5 Kama matoleo yako ya nafaka yameokwa na kikaango cha chuma ni lazima iwe unga safi bila chachu uliochanganywa na mafuta.
Nang kah nawnnah khocang te thiphael dongkah koinih vaidam te situi neh thoek lamtah vaidamding la om saeh.
6 Utagawanya katika vipande na kumwaga mafuta juu yake. Hii ni sadaka ya nafaka.
Buhkam te aek lamtah a khocang la a soah situi suep thil.
7 Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa katika kikaango, ni lazima iwe imetengenezwa kwa unga safi na mafuta.
Tedae nang kah nawnnah khocang te thi-am dongkah koinih vaidam te situi neh saii saeh.
8 Utaleta matoleo ya nafaka yaliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana, italeta kwa kuhani, ambaye ataleta mbele ya madhabahu.
Te rhoek khui lamkah a saii khocang te BOEIPA taengla na khuen vaengah khosoih te a kamhoei phoeiah hmueihtuk la thoeih saeh.
9 Ndipo kuhani atachukua baadhi ya sadaka ya nafaka ya shukrani ya Bwana, ataitekeza katika madhabahu. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto, italeta harufu nzuri kwa Bwana.
Khocang khuikah kamhoeinah te khosoih loh ludoeng saeh lamtah hmueihtuk kah hmaihlutnah soah BOEIPA ham hmuehmuei botui la phum saeh.
10 Itakayobaki sadaka ya nafaka itakuwa ya Haruni na wanawe. Itakuwa takatifu kamili ya Bwana kutoka matoleo kwa Bwana yatolewayo kwa moto.
Tedae khocang kah a coih te Aaron ham neh anih koca rhoek ham om saeh. BOEIPA hmaihlutnah khuiah aka cim khuikah aka cim koek ni.
11 Sadaka ya nafaka itolewayo kwa Bwana isiwe na chachu, hautatekeza chachu wala asali kama matoleo yatakayotekezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana.
BOEIPA taengah na khuen khocang boeih te tolrhu nuen boel saeh. Tolrhu mai khaw, khoitui mai khaw BOEIPA taengkah hmaihlutnah dongah phum thil boeh.
12 Utayatoa kwa Bwana kama mazao ya kwanza, lakini hayatatumika kama matoleo ya harufu nzuri ya moto juu ya madhabahu.
Thaihcuek nawnnah te BOEIPA taengla na khuen vaengah hmueihtuk soah hmuehmuei botui bangla nawn uh boel saeh.
13 Utaweka chumvi katika kila matoleo yako ya nafaka. Usipungukie chumvi ya agano la Bwana katika matoleo yako ya unga. Matoleo yako yote hayatapungukiwa na chumvi.
Na khocang nawnnah boeih te lungkaeh neh thoek lamtah na Pathen kah lungkaeh moi toeng boeh. Na khocang khui lamkah na nawnnah boeih te lungkaeh nawn thil.
14 Kama ukitoa matoleo ya nafaka ya mazao ya kwanza kwa Bwana, utatoa nafaka mbichi yaliyookwa kwa moto, na yaliyopondwa.
BOEIPA taengah thaihcuek khocang na khuen atah a vueilue te hmai neh rhoh lamtah cangthai yenkip te namah kah thaihcuek khocang la nawn.
15 Lazima utaweka mafuta na ubani juu yake. Haya ni matoleo ya nafaka.
Te te situi suep thil lamtah khocang te hmueihtui la tloeng thil.
16 Kuhani atatoa sehemu ya nafaka iliyopondwa na mafuta na ubani, kama sadaka ya shukrani itolewayo kwa uzuri wa Bwana. Hii ni sadaka ya Bwana inayotolewa kwa moto.
Te phoeiah yenkip khui lamkah neh situi lamkah kamhoeinah, hmaihlutnah hmueihtui boeih te khosoih. loh BOEIPA taengah phum saeh.