< Mambo ya Walawi 18 >

1 Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
И рече Господь к Моисею, глаголя:
2 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
глаголи сыном Израилевым и речеши к ним: Аз Господь Бог ваш:
3 Msitende mambo ambayo watu wa Misri huyatenda, mahali mlikokuwa mkiishi awali. Na ni lazima msitende mambo yale wanayoyatenda watu wa Kanaani, nchi ambayo ninawapeleka nyinyi. Msifuate desturi zao.
по делом земли Египетския, в нейже обитасте, да не сотворите, и по начинанием земли Ханаанския, в нюже Аз веду вы тамо, не сотворите, и по законом их не ходите:
4 Sheria zangu ndizo mtakazozitenda, na amri zangu ndizo mtakazozishika, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
судбы Моя сотворите, и повеления Моя сохраните и ходите в них: Аз Господь Бог ваш:
5 Kwa hiyo ni lazima mzitunze hukumu zangu na sheria zangu. Ikiwa mtu amezitii, ataishi kwa sababu ya hizo. Mimi Ndimi Yahweh.
и сохраните вся повеления Моя и вся судбы Моя, и сотворите я: Сотворивый та человек жив будет в них: Аз Господь Бог ваш.
6 Pasiwepo kwenu atakayelala na yeyote aliye na uhusiano wa karibu naye. Mimi ndimi Yahweh.
Человек человек ко всякому ближнему плоти своея да не приступит открыти срамоты: Аз Господь.
7 Usimfedheheshe baba yako kwa kulala na mama yako. Yeye ni mama yako! Haikupasi kumfedhehesha yeye.
Срамоты отца твоего и срамоты матере твоея да не открыеши: мати бо твоя есть, да не открыеши срамоты ея.
8 Usilale na yeyote wa wake za baba yako; Usimfedheheshe namna hiyo baba yako.
Срамоты жены отца твоего да не открыеши: срамота отца твоего есть.
9 Usilale na yeyote aliye mmoja miongoni mwa dada zako, ama ni binti ya baba yako au ni binti ya mama yako, ama aliyelelewa nyumbani mwenu au mbali nawe. Usilale na dada zako.
Срамоты сестры твоея яже от отца твоего или от матере твоея, в дому рожденныя или вне рожденныя, да не открыеши срамоты их.
10 Usilale na binti ya mwanao, au binti ya binti yako. Hiyo ingekuwa aibu yako mwenyewe.
Срамоты дщере сына твоего или дщере дщере твоея, да не открыеши срамоты их, яко твоя срамота есть.
11 Usilale na binti ya mke wa baba yako, aliyezaliwa kwa baba yako, yeye ni dada yako, na usilale naye.
Срамоты дщере жены отца твоего да не открыеши, единоотча сестра ти есть, да не открыеши срамоты ея.
12 Usilale na dada ya baba yako. Yeye ni ndugu wa karibu kwa baba yako.
Срамоты сестры отца твоего да не открыеши, своя бо отцу твоему есть.
13 Usilale na dada ya mama yako. Yeye ni ndugu wa mama yako.
Срамоты сестры матере твоея да не открыеши, своя бо матери твоей есть.
14 Usimfedheheshe ndug wa baba yako kwa kulala na mke wake. Usimkaribie kwa kusudi hilo; yeye ni shangazi yako.
Срамоты брата отца твоего да не открыеши и к жене его да не внидеши, сродник бо ти есть.
15 Usilale na binti- mkwe wako, Yeye ni mke wa mwanao; usilale naye.
Срамоты невестки твоея да не открыеши, жена бо сына твоего есть, да не открыеши срамоты ея.
16 Usilale na mke wa kaka yako; usije ukamfedhesha yeye katika njia hii.
Срамоты жены брата твоего да не открыеши, срамота брата твоего есть.
17 Usilale na mwanamke kisha na binti yake, au binti wa mwanawe au binti wa binti yake. Hao ni ndugu zake wa karibu, na kulala nao lingekuwa ni uovu.
Срамоты жены и дщере ея, да не открыеши, дщере сына ея, и дщери дщере ея да не поймеши открыти срамоты их, ближнии бо ти суть, нечестие есть.
18 Usimwoe dada ya mke wako kuwa mke wako wa pili na kulala naye wakati bado mke wako wa kwanza angali hai.
Сестру жены твоея да не поймеши в наложницу, открыти срамоту ея пред нею, еще живе сущей ей.
19 Usilale na mwanamke wakati wake wa hedhi.
И к жене во отлучении нечистоты ея да не внидеши открыти срамоты ея.
20 Yeye ni najisi kwa wakati huo. Usilale na mke wa jilani yako na kujichafua mwenyewe kwake katika njia hii.
И к жене ближняго твоего да не даси ложа семене твоего, осквернитися с нею.
21 Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto, ili kwamba muwatoe sadaka kwa Moleki, kwa sababu msije mkalinajisi jina la Mungu wenu. Mimi ndimi Yahweh.
И от семене твоего да не даси служити Молоху, да не оскверниши имене Святаго:
22 Usilale na mwanaume mwingine kama ulalavyo na mwanamke. Jambo hili lingekuwa uovu.
и с мужеским полом да не ляжеши женским ложем, мерзость бо есть.
23 Usilale na myama yeyote na kujitia unajisi kwake. Haimpasi mwanamke kufikiria kulala na mnyama ye yote. Huo ungekuwa upotovu.
И всякому четвероногому да не даси ложа своего в семенение, осквернитися с ним: и жена да не станет ко всякому четвероногому снитися, гнусно бо есть.
24 Msijichafue wenyewe katika njia hizi, kwa kuwa katika njia hizi mataifa yamechafuliwa, mataifa ambayo Nitayafukuza yatoke kwa ajili yenu.
Не оскверняйтеся во всех сих: во всех бо сих осквернишася языцы, ихже Аз отжену пред лицем вашим:
25 Ni kwa sababu nchi imenajisiwa, hivyo niliiadhibu dhambi yao, nayo nchi ikawatapika wakazi wake
и осквернися земля, и воздах неправду им ея ради: и возненавиде земля седящих на ней.
26 Kwa hiyo, yawapasa kuzishika amri zangu na maagiza yangu, na msifanye aina yoyote ya mambo haya ya machukizo, wala Mwisraeli mzaliwa au Mgeni aishie miongoni mwenu.
И сохраните вся законы Моя и вся повеления Моя, и не сотворите от всех гнусностей сих, туземец и прибывший пришлец в вас:
27 Kwa kuwa ni uovu huu ambao watu wametenda, wale ambao waliishi hapa kabla yenu, na sasa nchi imenajisiwa.
вся бо сия гнусности сотвориша человецы земнии, бывшии прежде вас, и осквернися земля.
28 Kwa hiyo, muwe waangalifu ili kwamba nchi isiwatapike nyinyi baada ya kuwa mmeinajisi, kama ilivyowatapika wale watu waliokuwako kabla yenu.
И да не вознегодует на вас земля, внегда осквернити вам ю, имже образом вознегодова на языки иже прежде вас:
29 Yeyote anayefanya mambo haya ya kuchukiza, watu wafanyao mambo hayo ya kuchukiza lazima watakatiliwa mbali kutoka miongoni mwa watu wao.
яко всяк, иже аще сотворит от всех гнусностей сих, потребятся душы творящыя сие от людий своих.
30 Kw a hiyo inawapasa kuzishika amri zangu na sitende mojawapo ya desturi hizi zenyekuchukiza ambazo zilitendwa hapo kabla yenu, ili msijinajisi wenyewe kwa hizo. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
И сохраните повеления Моя, яко да не сотворите от всех закон гнусных, иже беша прежде вас: и да не осквернитеся в них, яко Аз Господь Бог ваш.

< Mambo ya Walawi 18 >