< Mambo ya Walawi 18 >

1 Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
2 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
to speak: speak to(wards) son: descendant/people Israel and to say to(wards) them I LORD God your
3 Msitende mambo ambayo watu wa Misri huyatenda, mahali mlikokuwa mkiishi awali. Na ni lazima msitende mambo yale wanayoyatenda watu wa Kanaani, nchi ambayo ninawapeleka nyinyi. Msifuate desturi zao.
like/as deed land: country/planet Egypt which to dwell in/on/with her not to make: do and like/as deed land: country/planet Canaan which I to come (in): bring [obj] you there [to] not to make: do and in/on/with statute their not to go: walk
4 Sheria zangu ndizo mtakazozitenda, na amri zangu ndizo mtakazozishika, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
[obj] justice: judgement my to make: do and [obj] statute my to keep: obey to/for to go: walk in/on/with them I LORD God your
5 Kwa hiyo ni lazima mzitunze hukumu zangu na sheria zangu. Ikiwa mtu amezitii, ataishi kwa sababu ya hizo. Mimi Ndimi Yahweh.
and to keep: obey [obj] statute my and [obj] justice: judgement my which to make: do [obj] them [the] man and to live in/on/with them I LORD
6 Pasiwepo kwenu atakayelala na yeyote aliye na uhusiano wa karibu naye. Mimi ndimi Yahweh.
man man to(wards) all flesh flesh his not to present: come to/for to reveal: uncover nakedness I LORD
7 Usimfedheheshe baba yako kwa kulala na mama yako. Yeye ni mama yako! Haikupasi kumfedhehesha yeye.
nakedness father your and nakedness mother your not to reveal: uncover mother your he/she/it not to reveal: uncover nakedness her
8 Usilale na yeyote wa wake za baba yako; Usimfedheheshe namna hiyo baba yako.
nakedness woman: wife father your not to reveal: uncover nakedness father your he/she/it
9 Usilale na yeyote aliye mmoja miongoni mwa dada zako, ama ni binti ya baba yako au ni binti ya mama yako, ama aliyelelewa nyumbani mwenu au mbali nawe. Usilale na dada zako.
nakedness sister your daughter father your or daughter mother your relatives house: household or relatives outside not to reveal: uncover nakedness their
10 Usilale na binti ya mwanao, au binti ya binti yako. Hiyo ingekuwa aibu yako mwenyewe.
nakedness daughter son: child your or daughter daughter your not to reveal: uncover nakedness their for nakedness your they(fem.)
11 Usilale na binti ya mke wa baba yako, aliyezaliwa kwa baba yako, yeye ni dada yako, na usilale naye.
nakedness daughter woman: wife father your relatives father your sister your he/she/it not to reveal: uncover nakedness her
12 Usilale na dada ya baba yako. Yeye ni ndugu wa karibu kwa baba yako.
nakedness sister father your not to reveal: uncover flesh father your he/she/it
13 Usilale na dada ya mama yako. Yeye ni ndugu wa mama yako.
nakedness sister mother your not to reveal: uncover for flesh mother your he/she/it
14 Usimfedheheshe ndug wa baba yako kwa kulala na mke wake. Usimkaribie kwa kusudi hilo; yeye ni shangazi yako.
nakedness brother: male-sibling father your not to reveal: uncover to(wards) woman: wife his not to present: come aunt your he/she/it
15 Usilale na binti- mkwe wako, Yeye ni mke wa mwanao; usilale naye.
nakedness daughter-in-law your not to reveal: uncover woman: wife son: child your he/she/it not to reveal: uncover nakedness her
16 Usilale na mke wa kaka yako; usije ukamfedhesha yeye katika njia hii.
nakedness woman: wife brother: male-sibling your not to reveal: uncover nakedness brother: male-sibling your he/she/it
17 Usilale na mwanamke kisha na binti yake, au binti wa mwanawe au binti wa binti yake. Hao ni ndugu zake wa karibu, na kulala nao lingekuwa ni uovu.
nakedness woman and daughter her not to reveal: uncover [obj] daughter son: child her and [obj] daughter daughter her not to take: take to/for to reveal: uncover nakedness her kinswomen they(fem.) wickedness he/she/it
18 Usimwoe dada ya mke wako kuwa mke wako wa pili na kulala naye wakati bado mke wako wa kwanza angali hai.
and woman: wife to(wards) sister her not to take: marry to/for to rival to/for to reveal: uncover nakedness her upon her in/on/with life her
19 Usilale na mwanamke wakati wake wa hedhi.
and to(wards) woman in/on/with impurity uncleanness her not to present: come to/for to reveal: uncover nakedness her
20 Yeye ni najisi kwa wakati huo. Usilale na mke wa jilani yako na kujichafua mwenyewe kwake katika njia hii.
and to(wards) woman: wife neighbor your not to give: give(marriage) copulation your to/for seed: semen to/for to defile in/on/with her
21 Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto, ili kwamba muwatoe sadaka kwa Moleki, kwa sababu msije mkalinajisi jina la Mungu wenu. Mimi ndimi Yahweh.
and from seed: children your not to give: give to/for to pass to/for Molech and not to profane/begin: profane [obj] name God your I LORD
22 Usilale na mwanaume mwingine kama ulalavyo na mwanamke. Jambo hili lingekuwa uovu.
and [obj] male not to lie down: have sex bed woman abomination he/she/it
23 Usilale na myama yeyote na kujitia unajisi kwake. Haimpasi mwanamke kufikiria kulala na mnyama ye yote. Huo ungekuwa upotovu.
and in/on/with all animal not to give: give(marriage) copulation your to/for to defile in/on/with her and woman not to stand: put to/for face: before animal to/for to mate her perversion he/she/it
24 Msijichafue wenyewe katika njia hizi, kwa kuwa katika njia hizi mataifa yamechafuliwa, mataifa ambayo Nitayafukuza yatoke kwa ajili yenu.
not to defile in/on/with all these for in/on/with all these to defile [the] nation which I to send: depart from face: before your
25 Ni kwa sababu nchi imenajisiwa, hivyo niliiadhibu dhambi yao, nayo nchi ikawatapika wakazi wake
and to defile [the] land: country/planet and to reckon: punish iniquity: crime her upon her and to vomit [the] land: country/planet [obj] to dwell her
26 Kwa hiyo, yawapasa kuzishika amri zangu na maagiza yangu, na msifanye aina yoyote ya mambo haya ya machukizo, wala Mwisraeli mzaliwa au Mgeni aishie miongoni mwenu.
and to keep: obey you(m. p.) [obj] statute my and [obj] justice: judgement my and not to make: do from all [the] abomination [the] these [the] born and [the] sojourner [the] to sojourn in/on/with midst your
27 Kwa kuwa ni uovu huu ambao watu wametenda, wale ambao waliishi hapa kabla yenu, na sasa nchi imenajisiwa.
for [obj] all [the] abomination [the] these to make: do human [the] land: country/planet which to/for face: before your and to defile [the] land: country/planet
28 Kwa hiyo, muwe waangalifu ili kwamba nchi isiwatapike nyinyi baada ya kuwa mmeinajisi, kama ilivyowatapika wale watu waliokuwako kabla yenu.
and not to vomit [the] land: country/planet [obj] you in/on/with to defile you [obj] her like/as as which to vomit [obj] [the] nation which to/for face: before your
29 Yeyote anayefanya mambo haya ya kuchukiza, watu wafanyao mambo hayo ya kuchukiza lazima watakatiliwa mbali kutoka miongoni mwa watu wao.
for all which to make: do from all [the] abomination [the] these and to cut: eliminate [the] soul: person [the] to make: do from entrails: among kinsman their
30 Kw a hiyo inawapasa kuzishika amri zangu na sitende mojawapo ya desturi hizi zenyekuchukiza ambazo zilitendwa hapo kabla yenu, ili msijinajisi wenyewe kwa hizo. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
and to keep: obey [obj] charge my to/for lest to make: do from statute [the] abomination which to make: do to/for face: before your and not to defile in/on/with them I LORD God your

< Mambo ya Walawi 18 >