< Mambo ya Walawi 17 >
1 Yahweh akamwambia Musa,
Hina Gode da Mousesema, e da Elane, egefela amola Isala: ili dunu huluane ilima amane alofele sia: ma: ne sia: i,
2 “Zungumza na Aroni na wanawe, na watu wote wa Israeli. Waambie mambo ambayo ameamru Yahweh:
3 Mtu yeyote wa Isreli anayeua fahali au mwana—kondoo au mbuzi kambini, au amuuaye nje ya kambi, ili kumtoa dhabihu—
4 kama hamleti katika ingilio la hema la kukutania ili kumtoa dhabihu kwa Yahweh mbele za hema lake la kukutania, mtu huyo ana hatia ya damu iliyomwagika. Amemwaga damu, na mtu huyo ni sharti akatiliwe mabali kutoka miongoni mwa watu wake.
“Isala: ili dunu da bulamagau o sibi o goudi amo Hina Godema ima: ne medole legesea, be Hina Gode Ea Abula Diasu logo holeiga hame medole legesea, e da Sema gugunufinisi dagoi ba: mu. E da maga: me masa: ne, liligi medole legei dagoi. Amaiba: le, dilia amo dunu Gode Ea fi amoga fadegama.
5 Kusudi la amri hii ni kwamba watu wa Israeli wataleta dhabihu zao kwa Yahweh kwenye ingilio la hema la kukutania, watazileta kwa kuhani ziweze kutolewa kuwa matoleo ya shukrani kwa Yahweh, badala ya kutoa dhabihu hadharani katika shamba.
Amo sia: ea bai da Isala: ili dunu amo da musa: sogega ohe medole legei, ilia da wali amo ohe Hina Godema oule misunu. Ilia da gobele salasu dunu Hina Gode Ea Abula Diasu logo holeiga esala, ema ohe gaguli misini, Hahawane Gilisili Olofole Iasu gobele salasu hamomusa: medole legema: mu.
6 Kuhani atainyunyiza damu juu ya madhabahu ya Yahweh kwenye ingilio la hema la kukutania; atayachoma mafuta yake ili kutoa harufu ya kupendeza mbele za Yahweh.
Gobele salasu dunu da maga: me amo oloda Abula Diasu logo holeiga dialebe amo ea la: idiga sogaga: la: le gaganomu. Amola amo ohe ilia sefe, e da Hina Gode hahawane nabima: ne, oloda da: iya gobesimu.
7 Ni lazima watu wasitoe tena dhabihu zao kwa sanamu za mbuzi, ambazo kwazo hutenda kama makahaba. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yao katika vizazi vya watu wao vyote.
Isala: ili dunu da Hina Godema hohonoi. Bai ilia da sogega ilia ohe amo goudi wadela: i a: silibu ema nodomusa: gobele salasu. Be wali amo hou yolesima. Ilia da eso huluane mae yolesili, sema amo da Hina Gode ilima olelei, amo nabawane hamoma: ne sia: ma.
8 Ni lazima uwaambie, 'Mtu yeyote wa Israeli, au Mgeni yeyote aishiye miongoni mwao, atoweye dhabihu
Nowa Isala: ili dunu o ga fi dunu ilia fi amo ganodini esala, da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu o gobele salasu eno,
9 na asiilete kwenye ingilio la hema la kukutania ili kuitoa kwa Yahweh, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.'
amo Godema ima: ne, be Hina Gode Abula Diasu logo holeiga hame gaguli masea, amo dunu ea logo damuma amola bu Gode Ea fi dunu esalebe hame ba: ma: mu.
10 Na Mtu yeyote wa Israeli, au yeyote wa Wageni anayeishi miongoni mwao, ambaye hunywa damu; nitamkatilia mbali atoke miongoni mwa watu wake.
Nowa Isala: ili dunu o ga fi dunu ilia fi ganodini esala, amo da hu amoga da maga: me dialebe amo nasea, Hina Gode da amo dunuma ha lai hamomu amola e da Hina Gode Ea fi dunu amoga fadegai dagoi ba: mu.
11 Kwa kuwa uhai wa mnyama yeyote umo katika damu yake. Nimeitoa damu yake kwenu kufanya upatanisho juu ya madhabahu kwa ajili ya uhai wenu, kwa sababu ni damu ndiyo ifanyayo upatanisho, kwa kuwa ni damu ipatanishayo kwa ajili ya uhai
Esalebe liligi huluanedafa ilia esalusu da maga: me amo ganodini diala. Amaiba: le, Hina Gode da gasa bagadewane, ohe ilia maga: me dunu ilia wadela: i hou fadegama: ne, oloda da: iya fawane sogadigima: ne sia: i. Maga: me da esalusu liligi, amola amo da dunu ilia wadela: i hou fadegamusa: dawa:
12 Kwa hiyo Niliwaambia Watu wa Israeli kwamba hayupo miongoni mwenu impasaye kula damu, wala yeyote wa Wageni aishiye miongoni mwenu atakaye kula damu.
Amaiba: le, Hina Gode da Isala: ili dunu ilima gasa bagadewane, ilia amola ga fi ilia fi ganodini esala da hu amo ganodini da maga: me, amo mae moma: ne sia: i.
13 Na yeyote miongoni mwa watu wa Israeli, au yeyote wa Wageni aishiye miongoni mwenu ni lazima aimwage damu ya mnyama na kuifukia hiyo damu kwa mafumbi.
Isala: ili dunu o ga fi dunu ilia fi ganodini esala, amo da ohe o sio (sema amo ganodini ledo hamedei liligi) amo benea asili medole legesea, e da amo ea maga: me osoboga sogadigili, osoboga dedebomu.
14 Kwa kuwa uhai wa kila kiumbe umo katika damu yake. Ni kwa sababu hii niliwaambia watu wa Israeli, ni lazima msile damu ya kiumbe cho chote, kwa kuwa maisha ya kila kiumbe chenye uhai ni damu yake. Yeyeote ailaye ni lazima akatiliwe mbali.
Esalebe liligi huluanedafa ilia esalusu da maga: me amo ganodini diala. Amaiba: le, Hina Gode da Isala: ili dunuma olelei dagoi. Ilia da hu amo ganodini da maga: me, amo mae moma: ne sia: i. Amola nowa da amo hu nasea, e da Hina Gode Ea fi amoga fadegai dagoi ba: mu.
15 Mtu yeyote alaye mnyama aliyekufa au ambaye amelaruliwa na wanyama pori, ama yule mtu ni mwenyeji wa kuzaliwa au ni mgeni aishiye miongoni mwenu, ni lazima atazifua nguo zake na kujiosha katika maji, naye atakuwa najisi hata jioni. Kisha atakuwa safi.
Nowa dunu, Isala: ili fi dunu o ga fi dunu da ohe fi hi bogoi o sigua enoga medole legei, amo ea hu nasea, e da ea abula dodofemu amola hano ulimu. E da ledo hamoi dagoiba: le, daeya doaga: sea fawane bu dodofei dagoi ba: mu.
16 Lakini kama hazifui nguo zake au kuosha mwili wake, ni lazima aichukue hatia yake”.
E da amo sema hame hamosea, hisu wadela: le hamobeba: le, se iasu ba: mu.