< Mambo ya Walawi 16 >
1 Yahwe alizungumza na Musa - hii ni baada vifo vya wana wawili wa Haruni, walipomkaribia Yahwe na ndipo wakafa.
Hagi Aroni ne' mofavre'moke'ma Ra Anumzamo'ma Mosesema asmi'nea kema rutagreke i'oma hu'nea teveretima ofama hakeno znahe friteno,
2 Yahwe alimwambia Musa, “Ongea na Haruni kaka yako na umwambie hapana kuja tu wakati wowote katika patakatifu pa patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kifuniko cha upatanisho kilicho juu ya sanduku. Akifanya hivyo, anakufa, kwasababu naonekana katika wingu juu ya kifuniko cha upatanisho.
Ra Anumzamo'a amanage huno Mosesena asami'ne, Negafu Aronina asamigeno ruotagema huno ruotagetfama hu'nefinka hunaraginte'nea tavravemofo amefima huhagerafi huvempage vogisimofo avaza'a, asunku trarema nehaza tra'ma me'nerera ahe frigahuanki, amanenena agra'a avesitera omeno. Na'ankure Nagra ana asunku tratera hampompi eramina eama nehue.
3 Hivi ndivyo jinsi Haruni lazima aje katika patakatifu pa patakatifu. Yeye lazima aingie pamoja na ndama kama sadaka ya dhambi, na kondoo dume kama sadaka ya dhambi.
Hagi ruotage huno ruotagema hu'nefinka Aroni'ma ufrenaku'ma hanuno'a, agaho ve bulimakao afu avreno kumitera ome kresramna nevuno, agaho ve sipisipi avreno tevefima kre fanane hu ofa ome hino.
4 Ni lazima avae kanzu ya kitatani, na lazima avae ndani yake nguo ya kitani, na lazima avae mshipi wa kitani na kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu. Lazima aoge mwili wake katika maji na avae mavazi haya.
Hagi anampinkama ufrenaku'ma hanuno'a, tifreno agra'a avufga sese huteno, ruotage'ma hu'nea efeke za'za kukena'a nehuno, agu'afima avufgare'ma antani efeke kukena'a nehuno, anantera afafafima amu'nofima hu efeke tavravereti afafafina ananekino, asenire'ma ki efeke tavravereti asenirera kino. Hagi e'i ana kukena ruotage hu'neankino tifreteno antanigahie.
5 Lazima achukue kwenye umati wa watu wa Israeli mbuzi wawili waume kama sadaka ya dhambi na kondoo dume moja ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa.
Hagi Israeli vahe'mo'za tare ve meme afutrena kumite'ma kresramna vu'zana nevre'za, mago ve sipisipi afu tevefima krefanane hu ofa hu'zana avre'za Aroninte eho.
6 Ndipo Haruni lazima alete ng'ombe kama sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake.
Hagi Aroni'a agra'a kumite'ene, noma'afima nemaniza nagamofo kumite'enena mago ve bulimakao kresramna vugahie.
7 Ndipo lazima achukue mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Yahwe katika mlango wa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
Anama hutesuno'a ana tare ve meme afura avreno Ra Anumzamofo avuga atrumahu seli mono nomofo kafante eno,
8 Ndipo Haruni lazima apige kura kwaajili ya mbuzi hao wawili, kura moja kwaajili ya Yahwe, na kura nyingine kwaajili ya msingiziwa.
ana tare meme afutrentera taisi zokago reno kesigeno, Ra Anumzamofo agima me'nea suzama efore hanigeno'a, anama Ra Anumzamofo agima fore'ma hania meme afukura Ra Anumzamofo su'zane nehuno, magora Asaseli su'zane hugahie.
9 Ndipo Haruni lazima awasilishe mbuzi ambaye kura imeangukia kwa Yahwe, na kumtoa mbuzi huyo kama sadaka ya dhambi.
Hagi Ra Anumzamofo su'zanema hania meme afura, Aroni'a avreno Israeli vahe'mokizmi kumite ofa hugahie.
10 Lakini mbuzi ambaye kura ya usingiziwa imemwangukia lazima aletwe kwa Yahwe akiwa hai, kufanya upatanisho kwa kumwachia aende porini kama, mbuzimsingiziwa.
Hagi Asaseli su'zane huno'ma hu'nenia meme afura, avu'aga avreno Ra Anumzamofo avuga eno kumite nona huteno, ana meme afura avreno ome atrenkeno, ka'ma kopi Israeli vahe'mokizmi kumira erino vugahie.
11 Pia Haruni lazima alete ng'ombe kwaajili ya sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, lazima afanye upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake, hivyo lazima yeye amuue huyo ng'ombe kama sadaka ya dhambi kwaajili yake mwenyewe.
Hagi anama hutesuno'a, Aroni'a agra kumite'ene naga'amofo kumite nonama hu ve bulimakao afura aheno kumite kresramna vu ofa hugahie.
12 Haruni lazima achukue chetezo iliyojaa mkaa wa moto kutoka kwenye madhabahu mbele ya Yahwe, na mikono imejaa ubani mzuri, na kuleta vitu hivi ndani ya pazia.
Hagi Ra Anumzamofo avugama me'nea kresramna vu itareti tanknuza tevea kavofi hanagenenteno, mananentake'zana insensia tare aza huno erino, hunaraginte tavravemofo amefi'a ruotage'ma hu'nefinka vugahie.
13 Hapo lazima aweke ubani juu ya moto mbele za Yahwe ili kwamba wingu kutoka kwenye ubani liweze kufunika kifuniko cha agano la imani ya upatanisho. Yeye afanye hivyo ili kwamba asife.
Hagi Ra Anumzamofo avuga ana mananentake insensia tevefi krenkeno toki'amo'a huhagerafi huvempage vogisimofo avaza'a asunku trarema nehaza trara refitenkena ahe ofrineno.
14 Ndipo lazima achukue kiasi cha damu ya ng'ombe na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko cha upatanisho. Lazima anyunyize kiasi cha damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko cha upatanisho.
Hagi ana ve bulimakao afu'mofo korampi azanko reteno, huhagerafi huvempage vogisimofo avazagu'ma asunku trarema nehaza tra'mofona, zage hanati kaziga asoparega 7ni'a zupa rutri tri hugahie.
15 Ndipo lazima aue mbuzi kwaajili ya sadaka ya dhambi ambayo ni kwaajili ya watu na kuileta damu yake ndani kwenye pazi. Hapo lazima aifanyie damu kama alivyofanya kwenye damu ya fahali: lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho.
Ana huteno Aroni'a Israeli vahe'mokizmi kumite'ma kresramna vu meme afura aheno, korama'a tagino hunaraginte'nea tavravemofo amefi'a ruotage huno ruotagetfama hu'nefinka bulimakao afumofo korama hu'neaza huno, ana korana asunku tra'mofo avuga rutri tri hino.
16 Yeye lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli, na kwa sababu ya uasi na dhambi zao zote. Yeye pia lazima afanye haya kwaajili ya hema ya mkutano, ambapo Yahwe anaishi kati yao, katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
E'inahukna kanteke ruotage huno ruotage'ma hu'nefinke hu'zama hunaraginte nona azeri agru hugahie. Na'ankure Israeli vahe'mokizmi kumizamimo ana nona eri haviza hu'ne. Ana hukna kanteke kumi'mo'ma amu'nontamifima atruhu seli mono'ma eri pehanama hu'neana eri agru hugahie.
17 Hakuna mtu anayetakiwa kuwepo katika hema ya mkutano wakati Haruni anaingia kufanya upatanisho katika mahali patakatifu pa patakatifu, na mpaka atoke nje na amemaliza kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya familia yake, na kwaajili umati wa Israeli.
Hagi ruotage huno ruotage'ma hu'nefinkama Aroni'ma, agra'a kumimofone, naga'amofo kumiku'ene, Israeli vahe'mokizmi kumimofonte'ma nona huno ofa hunaku ufre'nesigeno'a, mago vahe'mo'e huno atruhu seli mono nompina omani'nenkeno, ofa ome huteno atiramino eno.
18 Yeye lazima aende nje kwenye madhabahu hapo mbele za Yahwe na kufanya upatanisho kwaajili ya hiyo, na lazima achukue kiasi cha damu ya mbuzi na kuiweka juu ya pembe za madhabahu yote kuzunguka.
Hagi ana'ma hutesuno'a atiramino eno Ra Anumzamofo avugama me'nea kresramna vu itare, kumimofo nona huno ofa huteno, ve bulimakaomofo korane mememofo koranena erino kresramana vu itare me'nea pazivetamintera frentegahie.
19 Anatakiwa anyunyize kiasi cha damu juu yake kwa kidole chake mara saba kuitakasa na kuitenga maalumu kwa Yahwe, mbali kutoka matendo ya unajisi wa watu wa Israeli.
Hagi Israeli vahe'mo'za haza kumimo'ma kresramana vu itama azeri pehana hu'nea zana, ana korampi azanko reteno, 7ni'a zupa ana itarera rutri tri huno azeri agru hugahie.
20 Atakapo maliza kupatanisha kwaajili ya mahali patakatifu sana, hema la mkutano, na madhabahu, lazima amlete mbuzi aliyehai.
Hagi ruotage huno ruotage'ma hu'nefinkane, atruhu seli mono none, kresramana vu itanema Aroni'ma azeri agru hutesuno'a, anama amnema mani'nea meme afura seli nomofo avuga avreno eno,
21 Haruni lazima aweke mikono yake yote juu ya kichwa cha mbuzi huyu aliyehai na akiri juu yake maovu yote ya watu wa Israeli, uasi wao wote, dhambi zao zote. Ndipo lazima aweke dhambi hizo juu ya kichwa cha mbuzi na amwachie katika uangalizi wa mtu aliyetari kumwongoza mbuzi huyo porini.
asenirera tarega azana Aroni'a anteno, Israeli vahe'mokizmi kumizmia ana afumofo agumpi hu hatazafenteteno, ana meme afura huhamprinte'nesia vahe aminkeno, avreno ome atrenkeno ka'ma kopi Israeli vahe kumira erino vugahie.
22 Mbuzi lazima abebe juu yake mwenyewe uovu wote kwenda mahali pakiwa. Kule msituni, huyo mtu amwache mbuzi aende huru.
Hagi ana meme afu'ma ka'ma kopima ome atresigeno vaniana, miko Israeli vahe kumira erino ka'ma kopi vugahie.
23 Ndipo Haruni anapaswa kwenda tena humo kwenye hema ya mkutano na kuvua mavazi ya kitani ambayo amayavaa kabla hajaenda mahali patakatifu sana, na anatakiwa kuyaacha mavazi hayo pale.
Aroni'ma ana eri'zama erivaretesuno'a, ete atruhu seli mono nompi ufreno ruotage huno ruotagetfama hu'nefinkama ufre'naku'ma antani'nea efeke kukena ome hatentegahie.
24 Anapaswa aoshe mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na avae nguo zake za kawaida; pia lazima atoke nje kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa kwaajili ya wale watu, na kwa njia hii anafanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya watu.
Hagi ruotage'ma hu'nefinka Aroni'a tina freteno, ko'ma antani'nea kukena eri huteno, atiramino eno agra'are ene Israeli vahe'mokizmi kumimofo nona huno kre fanene hu ofa hugahie.
25 Lazima yeye achome mafuta ya sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
Anantera kumi ofama hu'nea bulimakaone, meme afu'mofo afova'a kresramna vu itare kre fanane hu ofa hugahie.
26 Huyu mtu anayemwacha mbuzi msingiziwa aende huru anafua nguo zake na kuosha mwili wake katika maji; baada ya hayo, anaweza kurudi tena kambini.
Hagi Asaseli suzane huno ka'ma kopima meme afu'ma avreno vanimo'a, ti freno kukena'a sese huteno, henka kumapina efregahie.
27 Yule fahali kwaajili ya sadaka ya dhambi na mbuzi kwaajili ya sadaka za dhambi, ambaye damu yake ililetwa kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, lazima ipelekwe nje ya kambi. kule lazima wachome, ngozi zao, nyama yao na kinyesi chao.
Hagi korama'a tagino ruotagema huno ruotage'ma hu'nefinkama kumimofo ofama hu'nea bulimakaone, meme afu'mofo, akru'agi, ame'agi, rifa'anena kumamofo megi'a tevefi ome kreho.
28 Huyu anayechoma sehemu hizo lazima afue nguo zake na aoge mwili wake katika maji; baada ya hapo, anaweza kurudi tena kwenye kambi.
Hagi ana zama eri'noma ome kresia vahe'mo'a, kukena'a sese nehuno timpi tina freteno kumamofo agu'afina efreno.
29 Hii itakuwa sharti kwaajili yenu kwamba katika mwezi wa saba, kwenye siku ya kumi ya mwezi, mtanyenyekea wenyewe na msifanye kazi, iwe mwenyeji wa kuzaliwa au mgeni anayeishi kati yenu.
Hagi ama'i mevava hania trake, tamagrane emani vahe'enena kafugu kafugura 7ni ikamofona 10ni knazupa nezane makazana a'o nehuta eri'zana e'oriho.
30 Hii ni kwasababu katika siku hii ya upatanisho utafanywa kwaajili yenu, kuwatakasa ninyi kutoka dhambi zenu zote ili mwe safi mbele za Yahwe.
Na'ankure ana knarera kumima apaseramanteno tamazeri agruma hu ofa hanigeno, tamazeri agru hina Ra Anumzamofo avufina agru huta manigahaze.
31 Hii ni maalumu kwa Sabato ya kupumzika kwaajili yenu, na lazima mnyenyekee wenyewe na msifanye kazi. Hili litakuwa sharti kati yenu.
Hagi ana kna mani fruhu kna zupa Sabatigita ne'zane maka'zanena a'o huta mani'neta eri'zana e'origahaze. Ama mevava trake.
32 Kuhani mkuu, ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu kuwa kuhani mkuu katika nafasi ya baba yake, lazima afanye upatanisho huu na kuvaa mavazi ya kitani, hayo ni mavazi matakatifu.
Hagi henkama fore hu anante anante hu'za esaza vahepinti, nefa noma erino pristi eri'zama erisiegu'ma huhamprinte'nimo, ruotage'ma hu'nea zaza kukena nentanino, kumite'ma nona hu ofa hugahie.
33 Lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu sana; lazima afanye upatanisho kwaajili ya hema ya mkutano na madhabahu, na lazima afanye upatanisho kwaajili ya makuhani na kwaajili ya kusanyiko la watu.
Hagi ruotage huno ruotage'ma hu'nefinkane, atruhu seli mono none, kresramana vu itane, pristi vahe'ene maka Israeli vahe'mofo kumite nona huno ofa hugahie.
34 Hii daima itakuwa sharti kwaajili yako, kufanya upatanisho kwaajili ya watu wa Israeli kwasababu ya dhambi zao zote, mara moja kwa kila mwaka.” Na ilikuwa ikifanika kama Yahwe alivyomwamuru Musa.
Ama'i Israeli vahe'motama maka kafufima magoke knare'ma hanaza zankino, mevava trake. Mosese'a miko Ra Anumzamo'ma hunte'nea tra kea amage anteno huvare'ne.