< Mambo ya Walawi 16 >

1 Yahwe alizungumza na Musa - hii ni baada vifo vya wana wawili wa Haruni, walipomkaribia Yahwe na ndipo wakafa.
Ja Herra puhui Moosekselle, sen jälkeen kuin kaksi Aaronin poikaa oli kuollut, joita kuolema kohtasi, kun he astuivat Herran eteen.
2 Yahwe alimwambia Musa, “Ongea na Haruni kaka yako na umwambie hapana kuja tu wakati wowote katika patakatifu pa patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kifuniko cha upatanisho kilicho juu ya sanduku. Akifanya hivyo, anakufa, kwasababu naonekana katika wingu juu ya kifuniko cha upatanisho.
Ja Herra sanoi Moosekselle: "Sano veljellesi Aaronille: älköön hän joka aika menkö pyhimpään, esiripun sisäpuolelle, armoistuimen eteen, joka on arkin päällä, ettei hän kuolisi; sillä minä ilmestyn pilvessä armoistuimen kohdalla.
3 Hivi ndivyo jinsi Haruni lazima aje katika patakatifu pa patakatifu. Yeye lazima aingie pamoja na ndama kama sadaka ya dhambi, na kondoo dume kama sadaka ya dhambi.
Mutta näin Aaron menköön pyhimpään: hänellä olkoon mukanaan mullikka syntiuhriksi ja oinas polttouhriksi;
4 Ni lazima avae kanzu ya kitatani, na lazima avae ndani yake nguo ya kitani, na lazima avae mshipi wa kitani na kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu. Lazima aoge mwili wake katika maji na avae mavazi haya.
ja hän pukekoon pyhän pellava-ihokkaan yllensä, peittäköön häpynsä pellavakaatioilla, vyöttäköön itsensä pellavavyöllä ja pankoon pellavaisen käärelakin päähänsä. Nämä ovat pyhät vaatteet; ja hän pesköön ruumiinsa vedessä ja pukekoon ne yllensä.
5 Lazima achukue kwenye umati wa watu wa Israeli mbuzi wawili waume kama sadaka ya dhambi na kondoo dume moja ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa.
Ja hän ottakoon israelilaisten seurakunnalta kaksi kaurista syntiuhriksi ja yhden oinaan polttouhriksi.
6 Ndipo Haruni lazima alete ng'ombe kama sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake.
Ja Aaron tuokoon oman syntiuhrimullikkansa ja toimittakoon sovituksen itsellensä ja perheellensä.
7 Ndipo lazima achukue mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Yahwe katika mlango wa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
Sitten hän ottakoon ne kaksi kaurista ja asettakoon ne Herran eteen ilmestysmajan ovelle.
8 Ndipo Haruni lazima apige kura kwaajili ya mbuzi hao wawili, kura moja kwaajili ya Yahwe, na kura nyingine kwaajili ya msingiziwa.
Ja Aaron heittäköön arpaa niistä kahdesta kauriista: toisen arvan Herralle ja toisen Asaselille.
9 Ndipo Haruni lazima awasilishe mbuzi ambaye kura imeangukia kwa Yahwe, na kumtoa mbuzi huyo kama sadaka ya dhambi.
Ja Aaron tuokoon sen kauriin, jonka arpa määräsi Herralle, ja uhratkoon sen syntiuhriksi.
10 Lakini mbuzi ambaye kura ya usingiziwa imemwangukia lazima aletwe kwa Yahwe akiwa hai, kufanya upatanisho kwa kumwachia aende porini kama, mbuzimsingiziwa.
Mutta se kauris, jonka arpa määräsi Asaselille, asetettakoon elävänä Herran eteen, että sille toimitettaisiin sovitus ja se sitten päästettäisiin erämaahan Asaselille.
11 Pia Haruni lazima alete ng'ombe kwaajili ya sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, lazima afanye upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake, hivyo lazima yeye amuue huyo ng'ombe kama sadaka ya dhambi kwaajili yake mwenyewe.
Senjälkeen Aaron tuokoon oman syntiuhrimullikkansa ja toimittakoon sovituksen itsellensä ja perheellensä ja teurastakoon oman syntiuhrimullikkansa.
12 Haruni lazima achukue chetezo iliyojaa mkaa wa moto kutoka kwenye madhabahu mbele ya Yahwe, na mikono imejaa ubani mzuri, na kuleta vitu hivi ndani ya pazia.
Ja hän ottakoon hiilipannun täyteen tulisia hiiliä alttarilta, joka on Herran edessä, ja kahmalonsa täyteen survottua hyvänhajuista suitsuketta ja vieköön ne esiripun sisäpuolelle.
13 Hapo lazima aweke ubani juu ya moto mbele za Yahwe ili kwamba wingu kutoka kwenye ubani liweze kufunika kifuniko cha agano la imani ya upatanisho. Yeye afanye hivyo ili kwamba asife.
Ja hän pankoon suitsukkeen tulen päälle Herran eteen, niin että suitsutus pilvenä peittää lain arkin päällä olevan armoistuimen, ettei hän kuolisi.
14 Ndipo lazima achukue kiasi cha damu ya ng'ombe na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko cha upatanisho. Lazima anyunyize kiasi cha damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko cha upatanisho.
Ja hän ottakoon mullikan verta ja pirskoittakoon sitä sormellansa armoistuimen etupuolelle; ja armoistuimen eteen hän pirskoittakoon sormellansa verta seitsemän kertaa.
15 Ndipo lazima aue mbuzi kwaajili ya sadaka ya dhambi ambayo ni kwaajili ya watu na kuileta damu yake ndani kwenye pazi. Hapo lazima aifanyie damu kama alivyofanya kwenye damu ya fahali: lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho.
Sitten hän teurastakoon kansan syntiuhrikauriin ja vieköön sen verta esiripun sisäpuolelle ja tehköön sen verellä, niinkuin hän teki mullikan verellä: pirskoittakoon sitä armoistuimelle ja armoistuimen eteen.
16 Yeye lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli, na kwa sababu ya uasi na dhambi zao zote. Yeye pia lazima afanye haya kwaajili ya hema ya mkutano, ambapo Yahwe anaishi kati yao, katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
Ja näin hän toimittakoon pyhäkölle sovituksen israelilaisten saastaisuudesta ja heidän rikoksistaan, olivatpa heidän syntinsä minkälaiset tahansa; näin hän tehköön myös ilmestysmajalle, joka on heidän tykönänsä, keskellä heidän saastaisuuttansa.
17 Hakuna mtu anayetakiwa kuwepo katika hema ya mkutano wakati Haruni anaingia kufanya upatanisho katika mahali patakatifu pa patakatifu, na mpaka atoke nje na amemaliza kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya familia yake, na kwaajili umati wa Israeli.
Älköön yhtään ihmistä olko ilmestysmajassa, kun hän tulee toimittamaan sovitusta pyhimmässä, siihen saakka kunnes hän sieltä lähtee ja on toimittanut itsellensä ja perheellensä ja koko Israelin seurakunnalle sovituksen.
18 Yeye lazima aende nje kwenye madhabahu hapo mbele za Yahwe na kufanya upatanisho kwaajili ya hiyo, na lazima achukue kiasi cha damu ya mbuzi na kuiweka juu ya pembe za madhabahu yote kuzunguka.
Sitten hän lähteköön sieltä alttarin ääreen, joka on Herran edessä, ja toimittakoon sille sovituksen; ja hän ottakoon mullikan verta ja kauriin verta ja sivelköön sitä alttarin sarviin yltympäri.
19 Anatakiwa anyunyize kiasi cha damu juu yake kwa kidole chake mara saba kuitakasa na kuitenga maalumu kwa Yahwe, mbali kutoka matendo ya unajisi wa watu wa Israeli.
Ja hän pirskoittakoon sormellansa sen päälle verta seitsemän kertaa ja puhdistakoon ja pyhittäköön sen israelilaisten saastaisuudesta.
20 Atakapo maliza kupatanisha kwaajili ya mahali patakatifu sana, hema la mkutano, na madhabahu, lazima amlete mbuzi aliyehai.
Ja kun hän on loppuun toimittanut pyhäkön ja ilmestysmajan ja alttarin sovittamisen, tuokoon hän sen elävän kauriin.
21 Haruni lazima aweke mikono yake yote juu ya kichwa cha mbuzi huyu aliyehai na akiri juu yake maovu yote ya watu wa Israeli, uasi wao wote, dhambi zao zote. Ndipo lazima aweke dhambi hizo juu ya kichwa cha mbuzi na amwachie katika uangalizi wa mtu aliyetari kumwongoza mbuzi huyo porini.
Ja Aaron laskekoon molemmat kätensä elävän kauriin pään päälle ja tunnustakoon siinä kaikki israelilaisten pahat teot ja kaikki heidän rikkomuksensa, olipa heillä mitä syntejä tahansa, ja pankoon ne kauriin pään päälle ja lähettäköön sen, sitä varten varatun miehen viemänä, erämaahan.
22 Mbuzi lazima abebe juu yake mwenyewe uovu wote kwenda mahali pakiwa. Kule msituni, huyo mtu amwache mbuzi aende huru.
Näin kauris kantakoon kaikki heidän pahat tekonsa autioon seutuun; ja kauris päästettäköön erämaahan.
23 Ndipo Haruni anapaswa kwenda tena humo kwenye hema ya mkutano na kuvua mavazi ya kitani ambayo amayavaa kabla hajaenda mahali patakatifu sana, na anatakiwa kuyaacha mavazi hayo pale.
Ja Aaron menköön ilmestysmajaan ja riisukoon yltänsä pellavavaatteet, jotka hän oli pukenut päälleen mennessänsä pyhäkköön, ja jättäköön ne sinne.
24 Anapaswa aoshe mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na avae nguo zake za kawaida; pia lazima atoke nje kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa kwaajili ya wale watu, na kwa njia hii anafanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya watu.
Ja hän pesköön pyhässä paikassa ruumiinsa vedessä ja pukekoon ylleen omat vaatteensa; sitten hän lähteköön sieltä ja uhratkoon sekä oman polttouhrinsa että kansan polttouhrin ja toimittakoon niin sekä itsellensä että kansalle sovituksen.
25 Lazima yeye achome mafuta ya sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
Ja syntiuhrin rasvan hän polttakoon alttarilla.
26 Huyu mtu anayemwacha mbuzi msingiziwa aende huru anafua nguo zake na kuosha mwili wake katika maji; baada ya hayo, anaweza kurudi tena kambini.
Ja se, joka päästi kauriin Asaselille, pesköön vaatteensa ja pesköön ruumiinsa vedessä, ja sitten hän tulkoon leiriin.
27 Yule fahali kwaajili ya sadaka ya dhambi na mbuzi kwaajili ya sadaka za dhambi, ambaye damu yake ililetwa kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, lazima ipelekwe nje ya kambi. kule lazima wachome, ngozi zao, nyama yao na kinyesi chao.
Ja syntiuhrimullikka ja syntiuhrikauris, joiden veri tuotiin sovitukseksi pyhäkköön, vietäköön leirin ulkopuolelle, ja niiden nahka, liha ja rapa poltettakoon tulessa.
28 Huyu anayechoma sehemu hizo lazima afue nguo zake na aoge mwili wake katika maji; baada ya hapo, anaweza kurudi tena kwenye kambi.
Ja se, joka ne polttaa, pesköön vaatteensa ja pesköön ruumiinsa vedessä, ja sitten hän tulkoon leiriin.
29 Hii itakuwa sharti kwaajili yenu kwamba katika mwezi wa saba, kwenye siku ya kumi ya mwezi, mtanyenyekea wenyewe na msifanye kazi, iwe mwenyeji wa kuzaliwa au mgeni anayeishi kati yenu.
Tämä olkoon teille ikuinen säädös: seitsemännessä kuussa, kuukauden kymmenentenä päivänä, kurittakaa itseänne paastolla älkääkä yhtäkään askaretta toimittako, älköön maassa syntynyt älköönkä muukalainen, joka asuu teidän keskellänne.
30 Hii ni kwasababu katika siku hii ya upatanisho utafanywa kwaajili yenu, kuwatakasa ninyi kutoka dhambi zenu zote ili mwe safi mbele za Yahwe.
Sillä sinä päivänä toimitetaan teille sovitus teidän puhdistamiseksenne; kaikista synneistänne te tulette puhtaiksi Herran edessä.
31 Hii ni maalumu kwa Sabato ya kupumzika kwaajili yenu, na lazima mnyenyekee wenyewe na msifanye kazi. Hili litakuwa sharti kati yenu.
Se olkoon teille levon päivä, kurittakaa silloin itseänne paastolla; se olkoon ikuinen säädös.
32 Kuhani mkuu, ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu kuwa kuhani mkuu katika nafasi ya baba yake, lazima afanye upatanisho huu na kuvaa mavazi ya kitani, hayo ni mavazi matakatifu.
Ja sovituksen toimittakoon se pappi, joka on voideltu ja joka on vihitty papinvirkaan isänsä sijaan; hän pukekoon yllensä pellavavaatteet, pyhät vaatteet,
33 Lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu sana; lazima afanye upatanisho kwaajili ya hema ya mkutano na madhabahu, na lazima afanye upatanisho kwaajili ya makuhani na kwaajili ya kusanyiko la watu.
ja toimittakoon sovituksen kaikkeinpyhimmälle ja sovituksen ilmestysmajalle ja alttarille sekä sovituksen myös papeille ja kaikelle seurakunnan kansalle.
34 Hii daima itakuwa sharti kwaajili yako, kufanya upatanisho kwaajili ya watu wa Israeli kwasababu ya dhambi zao zote, mara moja kwa kila mwaka.” Na ilikuwa ikifanika kama Yahwe alivyomwamuru Musa.
Tämä olkoon teille ikuinen säädös, että toimitatte israelilaisille sovituksen kaikista heidän synneistänsä kerran vuodessa." Ja hän teki, niinkuin Herra oli Moosekselle käskyn antanut.

< Mambo ya Walawi 16 >