< Mambo ya Walawi 16 >

1 Yahwe alizungumza na Musa - hii ni baada vifo vya wana wawili wa Haruni, walipomkaribia Yahwe na ndipo wakafa.
Aron e capa roi ni BAWIPA hmalah thuengnae a sak teh a due roi hnukkhu, BAWIPA ni Mosi koe a dei pouh e teh,
2 Yahwe alimwambia Musa, “Ongea na Haruni kaka yako na umwambie hapana kuja tu wakati wowote katika patakatifu pa patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kifuniko cha upatanisho kilicho juu ya sanduku. Akifanya hivyo, anakufa, kwasababu naonekana katika wingu juu ya kifuniko cha upatanisho.
Na hmau Aron ni a due hoeh nahanelah, hmuen kathoung dawk thingkong van, lungmanae tungkhung hmalah nâtuek hai kâen sak hanh. Kai teh thingkong van, lungmanae tungkhung hmalah tâmai dawk hoi ka kamnue han.
3 Hivi ndivyo jinsi Haruni lazima aje katika patakatifu pa patakatifu. Yeye lazima aingie pamoja na ndama kama sadaka ya dhambi, na kondoo dume kama sadaka ya dhambi.
Aron ni lukkarei hmuen kathoung thung bangtelah hoi maw a kâen han tetpawiteh, yon thueng nahanelah, a kum kanaw e maitotan buet touh, hmaisawi thueng nahanelah tutan buet touh a thokhai han.
4 Ni lazima avae kanzu ya kitatani, na lazima avae ndani yake nguo ya kitani, na lazima avae mshipi wa kitani na kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu. Lazima aoge mwili wake katika maji na avae mavazi haya.
Kathounge lukkarei angki hoi hna a khohna vaiteh lukkarei taisawm a kâyeng han. Lukkarei lupawk hai a pawk han. Hote khohnanaw teh a thoung dawkvah, tui a kamhluk hnukkhu a khohna han.
5 Lazima achukue kwenye umati wa watu wa Israeli mbuzi wawili waume kama sadaka ya dhambi na kondoo dume moja ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa.
Isarel miphun tamimaya naw koe e, yon thueng nahanelah hmaeca kahni touh, hmaisawi thueng nahanelah tu buet touh a la han.
6 Ndipo Haruni lazima alete ng'ombe kama sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake.
Aron ni amae yon thueng nahanelah maito a thueng vaiteh, ama hoi a imthungkhunaw hanelah yonthanae a sak han.
7 Ndipo lazima achukue mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Yahwe katika mlango wa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
Hmae kahni touh hai a thokhai vaiteh, kamkhuengnae lukkareiim takhang koe, Cathut hmalah a poe han.
8 Ndipo Haruni lazima apige kura kwaajili ya mbuzi hao wawili, kura moja kwaajili ya Yahwe, na kura nyingine kwaajili ya msingiziwa.
Aron ni hmae kahni touh hane kong dawk cungpam a rayu han. Buet touh e Cathut hanelah a rayu vaiteh, bout touh e teh kahrawngum tha hanelah a rayu han.
9 Ndipo Haruni lazima awasilishe mbuzi ambaye kura imeangukia kwa Yahwe, na kumtoa mbuzi huyo kama sadaka ya dhambi.
Cathut e cungpam lah a rayu e hmae teh Aron ni a la vaiteh yon thueng nahanelah a thueng han.
10 Lakini mbuzi ambaye kura ya usingiziwa imemwangukia lazima aletwe kwa Yahwe akiwa hai, kufanya upatanisho kwa kumwachia aende porini kama, mbuzimsingiziwa.
Tha hanelah cungpam a rayu e hmae teh a hring lahoi Cathut hmalah a poe vaiteh, a lathueng yonthanae a sak hnukkhu, kahrawngum a nganae koe a tha han.
11 Pia Haruni lazima alete ng'ombe kwaajili ya sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, lazima afanye upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake, hivyo lazima yeye amuue huyo ng'ombe kama sadaka ya dhambi kwaajili yake mwenyewe.
Aron ni amae yon thueng nahanelah maito a thokhai hnukkhu, ama hoi a imthungkhunaw hanelah yonthanae a sak vaiteh, amae yon thuengnae maito a thei han.
12 Haruni lazima achukue chetezo iliyojaa mkaa wa moto kutoka kwenye madhabahu mbele ya Yahwe, na mikono imejaa ubani mzuri, na kuleta vitu hivi ndani ya pazia.
Cathut hmalah khoungroe hmaisaan hoi kakawi e tongben buet touh a la vaiteh, kanui lah phawm e hmuitui kutvang touh hoi, lukkarei yap e athunglah kâenkhai han.
13 Hapo lazima aweke ubani juu ya moto mbele za Yahwe ili kwamba wingu kutoka kwenye ubani liweze kufunika kifuniko cha agano la imani ya upatanisho. Yeye afanye hivyo ili kwamba asife.
Aron ni duenae dawk hoi a hlout nahanelah hmuitui e hmaikhu ni lawkpanuesaknae thingkong khuem hmuitui sak hanelah BAWIPA hmalah hmuitui van a phuen han.
14 Ndipo lazima achukue kiasi cha damu ya ng'ombe na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko cha upatanisho. Lazima anyunyize kiasi cha damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko cha upatanisho.
Maito thi youn touh a la vaiteh, Kanîtholah thingkong khuem van a kutdawn hoi a kahei han. Thingkong khuem a hmalah hai vai sari touh a kutdawn hoi a kahei han.
15 Ndipo lazima aue mbuzi kwaajili ya sadaka ya dhambi ambayo ni kwaajili ya watu na kuileta damu yake ndani kwenye pazi. Hapo lazima aifanyie damu kama alivyofanya kwenye damu ya fahali: lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho.
Hathnukkhu, taminaw hanelah yon thuengnae hmae a thei vaiteh, a thi hah lukkarei yap e athunglah a kâenkhai hnukkhu, maito thi a kahei e patetlah thingkong khuem van thoseh, a hmalah hai thoseh, a kahei han.
16 Yeye lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli, na kwa sababu ya uasi na dhambi zao zote. Yeye pia lazima afanye haya kwaajili ya hema ya mkutano, ambapo Yahwe anaishi kati yao, katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
Isarel miphunnaw e thounghoehnae yon dawk thoseh, kâtapoenae yon pueng dawk thoseh, hmuen kathoung hanelah yonthanae a sak han. Hottelah, Isarel miphunnaw thounghoehnaw yon thung kaawm e naw kamkhuengnae lukkareiim hanelah a sak han.
17 Hakuna mtu anayetakiwa kuwepo katika hema ya mkutano wakati Haruni anaingia kufanya upatanisho katika mahali patakatifu pa patakatifu, na mpaka atoke nje na amemaliza kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya familia yake, na kwaajili umati wa Israeli.
Hmuen kathoung koe yonthanae sak hanelah, a kâen nah, ama hanelah a imthungnaw hanelah, Isarel miphun abuemlah hanelah, yonthanae a sak teh, a tâco hoehroukrak kamkhuengnae lukkareiim thung apihai awm mahoeh.
18 Yeye lazima aende nje kwenye madhabahu hapo mbele za Yahwe na kufanya upatanisho kwaajili ya hiyo, na lazima achukue kiasi cha damu ya mbuzi na kuiweka juu ya pembe za madhabahu yote kuzunguka.
BAWIPA hmalah khoungroe koe bout a tâco vaiteh, yonthanae a sak hanelah, maito thi, hmae thi, a la vaiteh khoungroe kinaw dawk a hlun han.
19 Anatakiwa anyunyize kiasi cha damu juu yake kwa kidole chake mara saba kuitakasa na kuitenga maalumu kwa Yahwe, mbali kutoka matendo ya unajisi wa watu wa Israeli.
Thuengnae khoungroe van hai hote thi hah a kutdawn hoi vai sari touh a kahei vaiteh, Isarel miphunnaw e thounghoehnae a thoung sak han.
20 Atakapo maliza kupatanisha kwaajili ya mahali patakatifu sana, hema la mkutano, na madhabahu, lazima amlete mbuzi aliyehai.
Hottelah, hmuen kathoung hanelah, kamkhuengnae lukkareiim hanelah, khoungroe hanelah, yonthanae a sak hnukkhu, hmae a hring lah a thokhai han.
21 Haruni lazima aweke mikono yake yote juu ya kichwa cha mbuzi huyu aliyehai na akiri juu yake maovu yote ya watu wa Israeli, uasi wao wote, dhambi zao zote. Ndipo lazima aweke dhambi hizo juu ya kichwa cha mbuzi na amwachie katika uangalizi wa mtu aliyetari kumwongoza mbuzi huyo porini.
Aron ni kahring e hmae lû van a kut kahni touh hoi a toung vaiteh, Isarel miphunnaw e yonnae naw hoi a sakpayonnae pueng yonpâpho vaiteh, hmae lû van a toung pouh hnukkhu, a rawi e tami buet touh ni kahrawngum a ceikhai han.
22 Mbuzi lazima abebe juu yake mwenyewe uovu wote kwenda mahali pakiwa. Kule msituni, huyo mtu amwache mbuzi aende huru.
Ahnimae yonnae pueng tami ohoehnae hmuen koe ka cetkhai e hote hmae hah kahrawngum a tha han.
23 Ndipo Haruni anapaswa kwenda tena humo kwenye hema ya mkutano na kuvua mavazi ya kitani ambayo amayavaa kabla hajaenda mahali patakatifu sana, na anatakiwa kuyaacha mavazi hayo pale.
Aron ni kamkhuengnae lukkareiim thung bout a kâen vaiteh, hmuen kathoung koe apasuek a kâen navah, a kho e loukloukkaang e khohna a kho e hah a rading vaiteh, hmuen kathoung koe a ta han.
24 Anapaswa aoshe mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na avae nguo zake za kawaida; pia lazima atoke nje kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa kwaajili ya wale watu, na kwa njia hii anafanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya watu.
Hmuen kathoung koe tui a kamhluk vaiteh amae khohna a khohna hnukkhu, bout a tâco vaiteh, Ama hoi taminaw hanelah hmaisawi thuengnae sathei hah a thueng vaiteh, Ama hoi ayânaw hanelah yonthanae a sak han.
25 Lazima yeye achome mafuta ya sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
Yon thuengnae sathei thaw teh khoungroe van vah hmai a sawi han.
26 Huyu mtu anayemwacha mbuzi msingiziwa aende huru anafua nguo zake na kuosha mwili wake katika maji; baada ya hayo, anaweza kurudi tena kambini.
Kahrawngum hmae ka tha e tami hai amae khohna a pâsu vaiteh tui a kamhluk hnukkhu, a onae rim dawk bout a kâen han.
27 Yule fahali kwaajili ya sadaka ya dhambi na mbuzi kwaajili ya sadaka za dhambi, ambaye damu yake ililetwa kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, lazima ipelekwe nje ya kambi. kule lazima wachome, ngozi zao, nyama yao na kinyesi chao.
Yon thuengnae maito hoi yon thuengnae hmae thi yonthanae sak hanelah hmuen kathoung koe kâenkhai e hah rim alawilah a ceikhai han. A pho, a moi, hoi a ei hah hmaisawi han.
28 Huyu anayechoma sehemu hizo lazima afue nguo zake na aoge mwili wake katika maji; baada ya hapo, anaweza kurudi tena kwenye kambi.
Hmai ka sawi e tami hai amae khohna a pâsu vaiteh, tui a kamhluk han. Hathnukkhu, roenae rim koe a cei han.
29 Hii itakuwa sharti kwaajili yenu kwamba katika mwezi wa saba, kwenye siku ya kumi ya mwezi, mtanyenyekea wenyewe na msifanye kazi, iwe mwenyeji wa kuzaliwa au mgeni anayeishi kati yenu.
Nangmouh ni na tarawi awh hane phung teh Isarelnaw thoseh, nangmouh koe kaawm e imyinnaw thoseh, Asari e thapa, hnin hra hnin vah, thaw na tawk awh mahoeh. Na kâhat awh han.
30 Hii ni kwasababu katika siku hii ya upatanisho utafanywa kwaajili yenu, kuwatakasa ninyi kutoka dhambi zenu zote ili mwe safi mbele za Yahwe.
Bangkongtetpawiteh, BAWIPA hmalah nangmanaw yonnae pueng dawk hoi na thoung awh nahanelah, hote hnin dawk vaihma ni nangmouh na thoung a nahanelah yonthanae a sak han.
31 Hii ni maalumu kwa Sabato ya kupumzika kwaajili yenu, na lazima mnyenyekee wenyewe na msifanye kazi. Hili litakuwa sharti kati yenu.
Hote hnin teh nangmouh na kâhat nahanelah sabbath hnin lah ao dawkvah duem na kâhat awh han.
32 Kuhani mkuu, ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu kuwa kuhani mkuu katika nafasi ya baba yake, lazima afanye upatanisho huu na kuvaa mavazi ya kitani, hayo ni mavazi matakatifu.
A na pa e yueng lah vaihma thaw ka tawk hanelah, apasueke vaihma kut dawk hoi satui awi lah kaawm e tami ni yonthanae a sak han. Hote vaihma teh kathounge lukkarei khohna a khohna han.
33 Lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu sana; lazima afanye upatanisho kwaajili ya hema ya mkutano na madhabahu, na lazima afanye upatanisho kwaajili ya makuhani na kwaajili ya kusanyiko la watu.
Hmuen kathoung hanelah, kamkhuengnae lukkareiim hanelah, khoungroe hanelah, vaihmanaw hanelah, tami pueng hanelah yonthanae a sak han.
34 Hii daima itakuwa sharti kwaajili yako, kufanya upatanisho kwaajili ya watu wa Israeli kwasababu ya dhambi zao zote, mara moja kwa kila mwaka.” Na ilikuwa ikifanika kama Yahwe alivyomwamuru Musa.
Hete phung teh Isarel miphunnaw ni a yonnae kaawm pueng dawk, kum touh dawk vai touh, yonthanae sak hanelah, nangmouh ni pou na tarawi a hanelah, kâpoe e lah ao telah Cathut ni Mosi koe lawkthui e patetlah Aron ni a sak.

< Mambo ya Walawi 16 >