< Mambo ya Walawi 16 >

1 Yahwe alizungumza na Musa - hii ni baada vifo vya wana wawili wa Haruni, walipomkaribia Yahwe na ndipo wakafa.
Elane egefe aduna da hadigi hame lalu amo Hina Godema iabeba: le, Hina Gode da ela medole legei dagoi. Amo fa: no, Hina Gode da Mousesema sia: i.
2 Yahwe alimwambia Musa, “Ongea na Haruni kaka yako na umwambie hapana kuja tu wakati wowote katika patakatifu pa patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kifuniko cha upatanisho kilicho juu ya sanduku. Akifanya hivyo, anakufa, kwasababu naonekana katika wingu juu ya kifuniko cha upatanisho.
E da amane sia: i, “Dia ola Elanema sia: ma. E da ea hanaiga Hadigidafa Momei Sesei ganodini udigili golili mae sa: ima: ne sia: ma. E da eso amo da Na ilegei, amoga fawane Abula Gosagisi amo baligili Hadigidafa Momei Sesei amo ganodini masa: ne sia: ma. Bai Na da amogawi mu mobi amo ganodini Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ea ga: su gadodili esalebe ba: mu. Elane da amo sia: nabawane hame hamosea, e da medole legei dagoi ba: mu.
3 Hivi ndivyo jinsi Haruni lazima aje katika patakatifu pa patakatifu. Yeye lazima aingie pamoja na ndama kama sadaka ya dhambi, na kondoo dume kama sadaka ya dhambi.
E da Hadigidafa Momei Sesei amo ganodini udigili hame sa: imu. Be e da hidadea bulamagau mano gawali, Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamoma: ne amola gawali sibi amo Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne, gaguli misa: ne sia: ma.”
4 Ni lazima avae kanzu ya kitatani, na lazima avae ndani yake nguo ya kitani, na lazima avae mshipi wa kitani na kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu. Lazima aoge mwili wake katika maji na avae mavazi haya.
Amasea, Hina Gode da eno olelesu i, amane, “Elane da Hadigidafa Momei Sesei amo ganodini golili masunusa: dawa: sea, e da hidadea hano ulimu amola gobele salasu dunu abula (amo da ahea: iai abula, dunumuni selefa, bulu amola habuga abula) amo salima: ne sia: ma.
5 Lazima achukue kwenye umati wa watu wa Israeli mbuzi wawili waume kama sadaka ya dhambi na kondoo dume moja ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa.
Isala: ili fi dunu da Elanema goudi gawali aduna Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamoma: ne amola sibi gawali afae Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne ima: mu.
6 Ndipo Haruni lazima alete ng'ombe kama sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake.
E da ea wadela: i hou amola ea sosogo fi dunu ilia wadela: i hou fadegama: ne, bulamagau gawali gobele salimu.
7 Ndipo lazima achukue mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Yahwe katika mlango wa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
Amasea, e da goudi aduna Hina Gode Ea Abula Diasu logo holeiga oule masunu.
8 Ndipo Haruni lazima apige kura kwaajili ya mbuzi hao wawili, kura moja kwaajili ya Yahwe, na kura nyingine kwaajili ya msingiziwa.
Amogawi, e da igi aduna (afae da Hina Gode Ea: amola eno da Fadegamusa: Ahoasu Goudi amo ea: ) amoga ululuasu ado ba: mu.
9 Ndipo Haruni lazima awasilishe mbuzi ambaye kura imeangukia kwa Yahwe, na kumtoa mbuzi huyo kama sadaka ya dhambi.
Elane da goudi amo Hina Godema ilegei amo medole legele, Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamoma: mu.
10 Lakini mbuzi ambaye kura ya usingiziwa imemwangukia lazima aletwe kwa Yahwe akiwa hai, kufanya upatanisho kwa kumwachia aende porini kama, mbuzimsingiziwa.
Be goudi eno Fadegamusa: Ahoasu Goudi ema ilegei amo e da Hina Godema mae medole ima: mu. Amo goudi e da wadela: i hafoga: i soge Isala: ili dunu ilia wadela: i hou fadegama: ne asunasimu.
11 Pia Haruni lazima alete ng'ombe kwaajili ya sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, lazima afanye upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake, hivyo lazima yeye amuue huyo ng'ombe kama sadaka ya dhambi kwaajili yake mwenyewe.
Elane amola ea sosogo fi ilia wadela: i hou fadegama: ne, bulamagau gawali amo Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamoma: ne, medole legema: mu
12 Haruni lazima achukue chetezo iliyojaa mkaa wa moto kutoka kwenye madhabahu mbele ya Yahwe, na mikono imejaa ubani mzuri, na kuleta vitu hivi ndani ya pazia.
E da yaeya amo laluso amoga nabai oloda amoga lale amola lobo aduna gabusiga: manoma amoga nabai, Hadigidafa Momei Sesei amo ganodini gaguli misa: mu.
13 Hapo lazima aweke ubani juu ya moto mbele za Yahwe ili kwamba wingu kutoka kwenye ubani liweze kufunika kifuniko cha agano la imani ya upatanisho. Yeye afanye hivyo ili kwamba asife.
Amogawi, Hina Gode ba: ma: ne, e da gabusiga: manoma laluga gobesimu. Gabusiga: manoma ea mobi da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ea ga: lu amo uligimu. Bai Elane da Gagili ga: lu amo ea ba: iaba, e da bogola: loba.
14 Ndipo lazima achukue kiasi cha damu ya ng'ombe na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko cha upatanisho. Lazima anyunyize kiasi cha damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko cha upatanisho.
E da bulamagau gawali ea maga: me mogili lale, ea lobo sogo amoga Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ga: lu ea midadi amoga fogaga: gala: mu. Amola fesuale agoane, e da maga: me Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ea midadi fogaga: ga: la: mu.
15 Ndipo lazima aue mbuzi kwaajili ya sadaka ya dhambi ambayo ni kwaajili ya watu na kuileta damu yake ndani kwenye pazi. Hapo lazima aifanyie damu kama alivyofanya kwenye damu ya fahali: lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho.
Amalalu, e da Isala: ili dunu ilia wadela: i hou fadegama: ne, goudi medole legele, ea maga: me amo Hadigidafa Momei Sesei ganodini gaguli misini, bulamagau ea maga: me defele, Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ea ga: lu amola Gode Ea Gousa: su Sema Gagili midadi amoga foga: gala: mu.
16 Yeye lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli, na kwa sababu ya uasi na dhambi zao zote. Yeye pia lazima afanye haya kwaajili ya hema ya mkutano, ambapo Yahwe anaishi kati yao, katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
E da agoane sema hamomu. Isala: ili dunu da ledo hamoi dagoiba: le, Hadigidafa Momei Sesei gugunufinisi. Be amo gobele salasu hamobeba: le, e da amo ledo amola Isala: ili fi dunu ilia wadela: i hou fadegasa. E da amo hou Hina Gode Ea Abula diasu ganodini hamomu. Bai Abula Diasu da diasu gilisisu dogoa amogawi dana. Amola Hina Gode da diasu gilisisu da ledo gala hamoi dagoi ba: sa.
17 Hakuna mtu anayetakiwa kuwepo katika hema ya mkutano wakati Haruni anaingia kufanya upatanisho katika mahali patakatifu pa patakatifu, na mpaka atoke nje na amemaliza kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya familia yake, na kwaajili umati wa Israeli.
Elane hisu da Hadigidafa Momei Sesei ledo fadegama: ne masunu. Eno dunu da hamedafa golili sa: imu. E, ea sosogo fi amola Isala: ili dunu huluane ilia wadela: i hou fadegama: ne hou hamoi dagosea,
18 Yeye lazima aende nje kwenye madhabahu hapo mbele za Yahwe na kufanya upatanisho kwaajili ya hiyo, na lazima achukue kiasi cha damu ya mbuzi na kuiweka juu ya pembe za madhabahu yote kuzunguka.
e da gadili oloda amoga ilia ohe gobesisu amoga ledo fadegama: ne masunu. E da bulamagau gawali amola goudi ela maga: me mogili lale, oloda hegomai ea ‘hono’ amoga fogaga: ga: la: mu.
19 Anatakiwa anyunyize kiasi cha damu juu yake kwa kidole chake mara saba kuitakasa na kuitenga maalumu kwa Yahwe, mbali kutoka matendo ya unajisi wa watu wa Israeli.
Ea lobo sogo amoga e da maga: me mogili fesuale agoane oloda da: iya fogaga: gala: mu. E da agoane oloda dodofemu. Isala: ili dunu ilia wadela: i hou hamobeba: le, oloda amo ledo hamoi dagoi. Be Elane da amo noga: lesimu amola bu hadigi agoane hamonesimu.
20 Atakapo maliza kupatanisha kwaajili ya mahali patakatifu sana, hema la mkutano, na madhabahu, lazima amlete mbuzi aliyehai.
Elane da Hadigidafa Momei Sesei amola Hina Gode Ea Abula Diasu bu hahamoma: ne hou hamoi dagosea, e da Hina Godema amo hame medoi goudi (Fadegamusa: Ahoasu Goudi) ilegei imunu.
21 Haruni lazima aweke mikono yake yote juu ya kichwa cha mbuzi huyu aliyehai na akiri juu yake maovu yote ya watu wa Israeli, uasi wao wote, dhambi zao zote. Ndipo lazima aweke dhambi hizo juu ya kichwa cha mbuzi na amwachie katika uangalizi wa mtu aliyetari kumwongoza mbuzi huyo porini.
E da ea lobo aduna amo goudi ea dialuma amoga ligisili, Isala: ili dunu ilia wadela: i hou amola odoga: su hou huluane fofada: ma: ne olelemu. E da agoane amo wadela: i hou Isala: ili dunu ilima fadegale, bu goudi ea dialumaga ligisimu. Amasea, dunu amo ilia da ilegei, da amo goudi wadela: i hafoga: i sogega sefasima: mu.
22 Mbuzi lazima abebe juu yake mwenyewe uovu wote kwenda mahali pakiwa. Kule msituni, huyo mtu amwache mbuzi aende huru.
Goudi da Isala: ili dunu ilia wadela: i hou huluane gaguli asili, dunu hame esalebe sogega gaguli masunu.
23 Ndipo Haruni anapaswa kwenda tena humo kwenye hema ya mkutano na kuvua mavazi ya kitani ambayo amayavaa kabla hajaenda mahali patakatifu sana, na anatakiwa kuyaacha mavazi hayo pale.
Amasea, Elane da Abula Diasuga golili sa: ili, ea gobele salasu abula (amo e da Hadigidafa Momei Sesei ganodini masunusa: hidadea sali) amo gigisa: le, amogawi yolesimu.
24 Anapaswa aoshe mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na avae nguo zake za kawaida; pia lazima atoke nje kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa kwaajili ya wale watu, na kwa njia hii anafanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya watu.
E da hadigi ledo hamedei sogebi amoga hano ulimu amola ea abuladafa gasisalimu. Amalalu, e da gadili asili, ea wadela: i hou amola ea fi dunu ilia wadela: i hou fadegama: ne, Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamomu.
25 Lazima yeye achome mafuta ya sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
E oloda da: iya Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamoma: ne, sefe amo gobesimu.
26 Huyu mtu anayemwacha mbuzi msingiziwa aende huru anafua nguo zake na kuosha mwili wake katika maji; baada ya hayo, anaweza kurudi tena kambini.
Dunu amo da Fadegamusa: Ahoasu Goudi amo wadela: i hafoga: i sogega sefasi, e da ea abula dodofelalu, hano ulimu. Amasea, e da diasu gilisisu amoga bu misunu.
27 Yule fahali kwaajili ya sadaka ya dhambi na mbuzi kwaajili ya sadaka za dhambi, ambaye damu yake ililetwa kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, lazima ipelekwe nje ya kambi. kule lazima wachome, ngozi zao, nyama yao na kinyesi chao.
Ilia da bulamagau amola goudi (amo ela maga: me da wadela: i hou fadegama: ne, Elane da Hadigidafa Momei Sesei ganodini gaguli misi) amo diasu gilisisu gadili gaguli asili, gobesimu. Ilia da gadofo, hu amola iga huluane gobesimu.
28 Huyu anayechoma sehemu hizo lazima afue nguo zake na aoge mwili wake katika maji; baada ya hapo, anaweza kurudi tena kwenye kambi.
Ilegei dunu da amo gobesu hou hamoi dagosea, e da ea abula dodofelalu, hano ulimu. Amasea, e da diasu gilisisu amoga buhagimu da defea.
29 Hii itakuwa sharti kwaajili yenu kwamba katika mwezi wa saba, kwenye siku ya kumi ya mwezi, mtanyenyekea wenyewe na msifanye kazi, iwe mwenyeji wa kuzaliwa au mgeni anayeishi kati yenu.
Wali eso amola hobea eso huluane amo sema noga: le ouligima. Oubi fesu amoga amola eso nabu, Isala: ili dunu amola ga fi ilia fi amo ganodini esalebe, da ha: i mae nawane helefima: ne sia: ma.
30 Hii ni kwasababu katika siku hii ya upatanisho utafanywa kwaajili yenu, kuwatakasa ninyi kutoka dhambi zenu zote ili mwe safi mbele za Yahwe.
Amo eso afaega, hou amo da ilia wadela: i hou fadegama: ne, ilia da bu ledo hamedei ba: ma: ne, hamoma: mu.
31 Hii ni maalumu kwa Sabato ya kupumzika kwaajili yenu, na lazima mnyenyekee wenyewe na msifanye kazi. Hili litakuwa sharti kati yenu.
Amo eso da hadigidafa eso ilegei. Amoga, ilia da ha: i hame manu amola hawa: hamosu hamedafa hamomu. Amo hamoma: ne sia: i dilia eso huluane mae yolesili hamonanoma.
32 Kuhani mkuu, ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu kuwa kuhani mkuu katika nafasi ya baba yake, lazima afanye upatanisho huu na kuvaa mavazi ya kitani, hayo ni mavazi matakatifu.
Gobele salasu Ouligisu dunu (amo da noga: le mogili gagai amola ea ada ea sogebi lai dagoi) e da ledo fadegama: ne hou hamomu. E da ea gobele salasu abula gasisalili,
33 Lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu sana; lazima afanye upatanisho kwaajili ya hema ya mkutano na madhabahu, na lazima afanye upatanisho kwaajili ya makuhani na kwaajili ya kusanyiko la watu.
hou amo da Hadigidafa Momei Sesei, oloda, gobele salasu fi dunu amola Isala: ili dunu huluane, amo fofoloma: ne hamomu.
34 Hii daima itakuwa sharti kwaajili yako, kufanya upatanisho kwaajili ya watu wa Israeli kwasababu ya dhambi zao zote, mara moja kwa kila mwaka.” Na ilikuwa ikifanika kama Yahwe alivyomwamuru Musa.
Amo hamoma: ne sia: i dilia mae yolesili, eso huluane hamonanoma. Ode huluane amoga amo hou Isala: ili dunu ilia wadela: i hou fadegama: ne, hamonanoma.” Amaiba: le, Mousese da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi.

< Mambo ya Walawi 16 >