< Mambo ya Walawi 14 >

1 Yahwe alizungumza na Musa, akisema,
Ja Herra puhui Mosekselle, sanoen:
2 “Hii itakuwa sheria kwaajili ya mtu aliyekufa kwenye siku ya utakaso. Lazima aletwe kwa kuhani.
Ja tämä on spitalisen sääty: koska hän puhdistetaan, hän pitää tuotaman papin tykö.
3 Kuhani atakwenda nje ya kambi kumchunguza mtu kuona kama madhara ya ugonjwa wa ngozi yameponywa.
Ja papin pitää käymän ulos leiristä, katselemaan häntä, jos spitalin haava on parantunut spitalisesta.
4 Ndipo kuhani ataamuru kwamba mtu mwenye kutakaswa lazima achukue ndege safi wawili, waliohai, mti wa mwerezi, kitani nyekundu na hisopo.
Ja pappi käskekään sen, joka puhdistetaan, ottaa kaksi elävää puhdasta lintua, ja sedripuuta, ja tulipunaiseksi painettua villaa, ja isoppia.
5 Kuhani atamwamuru kuua moja ya hao ndege juu ya maji safi yaliyo kwenye chungu cha udongo.
Ja pappi käskekään sen teurastaa yhden linnun saviastiassa, vuotavan veden tykönä.
6 Ndipo kuhani atamchukua ndege aliyehai na mti wa mwerezi, na kitani nyekundu na hisopo, na vyote hivi, pamoja na ndege aliyehai atavichovya kwenye damu ya ndege aliyechinjiwa kwenye maji safi.
Ja ottakaan elävän linnun sedripuun kanssa, tulipunalla painetun villan ja isopin, ja kastakaan tapetun linnun vereen, vuotavan veden tykönä.
7 Ndipo kuhani atanyunyiza maji haya mara saba juu ya mtu anayetakaswa katika ugonjwa, na ndipo kuhani atamtangaza kuwa msafi. Ndipo kuhani atamwachia ndege aliyehai katika eneo wazi.
Ja priiskottakaan spitalista puhdistettavan päälle seitsemän kertaa: ja niin puhdistakaan hänen, ja antakaan elävän linnun lentää kedolle.
8 Mtu aliyetakaswa atafua nguo zake, atanyoa nywele zake zote, ataoga kwa maji, na ndipo atakuwa safi. Baada ya hayo lazima aje kwenye kambi, lakini ataishi nje ya hema lake kwa siku saba.
Mutta puhdistettu peskään vaatteensa, ja ajelkaan kaikki hiuksensa, ja peskään itsensä vedessä ja niin on hän puhdas. Menkään sitte leiriin, kuitenkin asukaan ulkona majastansa seitsemän päivää.
9 Katika siku ya saba lazima anyoe nywele za kichwa chake, na lazima pia anyoe ndevu zake na nyusi. Lazima anyoe nywele zake zote, na lazima afue nguo zake na aoge kwenye maji; ndipo atakuwa safi.
Ja seitsemäntenä päivänä pitää hänen ajeleman kaikki hiukset päästänsä, ja partansa ja karvat silmäkulmistansa, niin että kaikki karvat ovat ajellut, ja pitää pesemän vaatteensa, ja pesemän ihonsa vedellä, niin on hän puhdas.
10 Katika siku ya nane lazima achukue dume wa wana kondoo wawili wasio na lawama, mwana kondoo jike wa mwaka mmoja asiye na lawama, na tatu ya kumi ya efa ya unga safi uliochanganywa mafuta kama sadaka ya nafaka, na kipimo kimoja cha mafuta.
Ja kahdeksantena päivänä pitää hänen ottaman kaksi virheetöintä karitsaa, ja virheettömän vuosikuntaisen lampaan, niin myös kolme kymmenestä sämpyläjauhoja ruokauhriksi, öljyllä sekoitettuja, ja yhden login öljyä.
11 Kuhani ambaye amemtakasa mtu atamsimamisha mtu ambaye aliyemtakasa, pamoja na vile vitu, mbele ya Yahwe mahali pa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
Niin pitää papin, joka puhdisti, asettaman puhdistetun ja tämän kalun, Herran eteen seurakunnan majan oven edessä.
12 Kuhani atachukua mmoja wa wanakondoo dume na kumtoa kama sadaka ya hatia, pamoja na kipimo cha mafuta; atavitikisa kwa sadaka ya kutikiswa mbele ya Yahwe.
Ja papin pitää ottaman yhden karitsan, ja uhraaman vikauhriksi, öljylogin kanssa, ja pitää ne häälyttämäm häälytykseksi Herran edessä.
13 Lazima aue mwana kondoo dume mahali ambapo wanapochinjia sadaka ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa, katika eneo la hema, sababu sadaka ya dhambi ni ya kuhani, kama afanyavyo sadaka ya hatia, kwasababu ni takatifu zaidi.
Ja sitte teurastaman karitsan sillä paikalla, kussa rikosuhri ja polttouhri teurastetaan, pyhässä siassa; sillä niinkuin rikosuhri, niin myös vikauhrikin on papin oma; sillä se on kaikkein pyhin.
14 Kuhani atachukua baadhi ya damu ya sadaka ya hatia na kuiweka kwenye ncha ya sikio la kulia la mtu yule wa kutakaswa, katika dole gumba la kulia, katika dole la mguu wa kulia.
Ja papin pitää ottaman vikauhrin verta ja sivuman puhdistetun oikian korvan lehteen, niin myös oikian käden peukaloon, ja oikian jalan isoon varpaaseen.
15 Ndipo kuhani atachukua mafuta kutoka chombo na kuyamimina katika kiganja cha mkono wake wa kushoto, na kuzamisha kidole chake katika mafuta hayo yaliyo kwenye mkono wa kushoto,
Ja papin pitää ottaman öljylogista ja vuodattaman papin vasempaan käteen.
16 na kunyunyiza baadhi ya mafuta kwa kidole mara saba mbele za Yahwe.
Ja papin pitää kastaman oikian kätensä sormen öljyyn, joka hänen vasemmassa kädessänsä on, ja priiskottaman öljyä sormellansa seitsemän kertaa Herran edessä.
17 kuhani ataweka mafuta yaliyobaki kwenye mkono wake kwenye ncha ya sikio la kulia la mtu wa kutakaswa, juu ya dole gumba la mkono wa kulia, na katika dole kubwa la mguu wa kulia. Lazima aweke mafuta haya juu ya damu kutoka kwenye sadaka ya hatia.
Vaan käteensä jääneestä öljystä pitää papin paneman puhdistetun oikian korvan lehteen, ja oikiaan peukaloon, ja oikian jalan isoon varpaaseen, vikauhrin veren päälle.
18 Kama kwa mafuta yaliyosalia kwamba katika mkono wa kuhani, atayaweka juu ya kichwa cha mtu ambaye atakaswaye, na kuhani atafanya utakaso kwaajili yake mbele za Yahwe.
Käteensä jääneen öljyn, pitää papin paneman puhdistetun pään päälle, ja papin pitää sovittaman häntä Herran edessä.
19 Ndipo kuhani atatoa sadaka ya dhambi na kufanya upatanisho kwaajili yake atakaswaye kwa sababu ya kutokuwa safi kwake, na badaye ataua sadaka ya kuchomwa.
Ja papin pitää tekemän rikosuhrin, ja sovittaman puhdistetun hänen saastaisuudestansa, ja sen jälkeen teurastaman polttouhrin.
20 Ndipo kuhani atatoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka juu ya madhabahu. Kuhani atafanya upatanisho kwaajili ya mtu huyo, na ndipo atakuwa safi.
Ja papin pitää uhraaman polttouhrin ja ruokauhrin alttarilla, ja papin pitää sovittaman häntä, niin hän on puhdas.
21 Kwa namna hiyo, kama mtu ni masikini na hawezi kumudu matoleo haya, ndipo anaweza kuchukua kondoo mmoja dume kama sadaka ya hatia ya kutikiswa, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe, na moja ya kumi ya efa ya unga safi uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka, na chombo cha mafuta,
Jos hän on köyhä eikä ole hänellä varaa, niin ottakaan karitsan vikauhrinsa edestä häälytykseksi, sovittaakseen häntä, ja yhden kymmeneksen sämpyläjauhoja, sekoitetun öljyllä, ruokauhriksi, ja login öljyä,
22 pamoja na njiwa wawili au kinda mbili za njiwa, ambao anaweza kupata; ndege mmoja atakuwa sadaka ya dhambi na mwingine sadaka ya kuteketezwa.
Ja kaksi mettistä eli kaksi kyyhkyläisen poikaa, jotka hän voi saada: toinen olkoon rikosuhriksi, ja toinen polttouhriksi.
23 Katika siku ya nane lazima awalete kwa kuhani kwaajili ya utakaso, pakuigilia katika hema ya mkutano, mbele ya Yahwe.
Ja kantakaan sen papille kahdeksantena päivänä puhdistukseksensa, seurakunnan majan oven eteen, Herran edessä.
24 Kuhani atachukua mwana kondoo kwaajili ya sadaka, na atachukua pamoja na kiasi cha mafuta ya mzeituni, na ataviinua juu kama anaviwasilisha kwa Yahwe.
Niin pitää papin ottaman vikauhrin karitsan, ja login öljyä, ja papin pitää ne häälyttämän häälytykseksi Herran edessä,
25 Atamuua mwana kondoo kwaajili ya sadaka ya hatia, na atachukua baadhi ya ya damu ya sadaka ya hatia na kuiweka juu ya ncha ya sikio la kulia la yule wakutakaswa, juu ya dole gumba la mkono wake wa kulia, na kwenye dole kubwa la mguu, wa kulia.
Ja teurastaman vikauhrin karitsan, ja papin pitää ottaman vikauhrin verta, ja sivuman puhdistetun oikian korvan lehteen, niin myös oikian käden peukaloon, ja oikian jalan isoon varpaaseen.
26 Ndipo kuhani atamimina baadhi ya mafuta katika kiganja cha mkono wake wa kushoto,
Ja papin pitää vuodattaman öljyä papin vasempaan käteen.
27 na atanyunyiza kwa kidole chake cha kulia baadhi ya mafuta ambayo yako kwenye mkono wa kushoto mara saba mbele za Yahwe.
Ja papin pitää priiskottaman oikian käden sormella öljyä, joka on hänen vasemmassa kädessänsä, seitsemän kertaa Herran edessä.
28 Ndipo kuhani ataweka kiasi cha mafuta ambayo yako kwenye mkono wake kwenye ncha ya sikio la yule mtu wa kutakaswa, katika dole gumba lake la mkono wa kulia, na dole kubwa la mguu wa kulia, maeneo yale yale ambayo kaweka damu ya sadaka ya hatia.
Käteensä jääneestä öljystä pitää papin panenman puhdistetun oikian korvan lehteen, ja oikian käden peukaloon, ja oikian jalan isoon varpaaseen, vikauhrin veren päälle.
29 Ataweka mafuta yaliyobaki yaliyo mkononi mwake juu ya yule wakutakaswa, kufanya upatanisho kwaajili yake mbele za Yahwe.
Ja käteensä jääneen öljyn pankaan papin puhdistetun pään päälle, ja sovittakoon häntä Herran edessä.
30 Lazima atoe sadaka ya njiwa au makinda ya njiwa, yale ambayo mtu ameweza kupata -
Ja valmistakaan mettisiä, taikka kyhkyläisen poikia, jotka hän on voinut saada,
31 moja kama ya sadaka ya dhambi na nyingine kama sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sadaka ya nafaka. Ndipo kuhani atafanya upatanisho kwaajili ya yule ambaye atatakaswa mbele za Yahwe.
Nimittäin niitä, joita hän on voinut saada: yhden rikosuhriksi ja toisen polttouhriksi, ynnä ruokauhrin kanssa; ja niin pitää papin sovittaman puhdistetun Herran edessä,
32 Hii ni sheria kwaajili ya mtu kwake kuna athari za ugonjwa wa ngozi, ambaye hawezi kumudu kiwango cha sadaka kwaajili ya utakaso wake.”
Tämä on sääty spitalisesta, joka ei voi saada sitä, mikä hänen puhdistukseensa tarvitaan.
33 Yahwe alizungumza na Musa na Haruni, akisema,
Ja Herra puhui Mosekselle ja Aaronille, sanoen:
34 “Wakati mtakuja katika nchi ya Kanaani ambayo nimewapa kama miliki, na kama naweka ukungu unaenea ndani ya nyumba katika nchi ya miliki yenu,
Koska te tulette Kanaanin maalle, jonka minä annan teille omaisuudeksi, ja minä sen maan huoneesen spitalin haavan annan,
35 ndipo yeye ambaye anamiliki nyumba ile lazima aje na kumwambia kuhani. Lazima aseme 'Inaonekana kwangu kuna kitu fulani kama ukungu ndani ya nyumba yangu.'”
Niin pitää sen tuleman, jonka huone on, ja ilmoittaman papille, sanoen: minun huoneessani näkyy niinkuin (spitalin) haava;
36 Ndipo kuhani ataamuru kwamba watoe vitu vyote ndani kabla hajaenda ndani kuona uthibitisho wa ukungu, kiasi kwamba hakuna ndani ya nyumba kitakachofanywa najisi. Badaye kuhani lazima aende ndani kuona humo ndani.
Niin pitää papin käskemän heidän lakaista huoneen, ennenkuin pappi siihen menee katsomaan haavaa, ettei kaikki, jotka huoneessa ovat, saastutettaisi: sitte pitää papin menemän katselemaan huonetta.
37 Yeye lazima achunguze ukungu kuona kama umo katika kuta za nyumba, na kuona ikiwa kunaonekana ukijani au wekundu katika bonde za mwonekano wa kuta.
Koska hän näkee haavan, ja löytää, että huoneen seinissä viheriäiset ja punahtavat onnet ovat, ja ovat nähdä matalammat muuta seinää;
38 Kama nyumba inao ukungu, ndipo kuhani atatoka nje ya nyuma na kufunga mlango wa nyumba kwa siku saba.
Niin lähtekään pappi huoneen ovesta, ja sulkekaan huoneen kiinni seitsemäksi päiväksi.
39 Ndipo kuhani atarudi tena katika siku ya saba na kuichunguza kuona kama ukungu umeenea katika kuta za nyumba.
Ja koska pappi seitsemäntenä päivänä palajaa ja näkee haavan itsensä levittäneeksi huoneen seiniin;
40 Kama hivyo, ndipo kuhani ataamuru kwamba wayaondoe mawe ambayo ukungu umepatikana na yatupwe katika sehemu najisi nje ya mji.
Niin pitää papin käskemän heidän kangottaa ulos kiviä, joissa haava on, ja heittää niitä kaupungista ulos, saastaiseen paikkaan.
41 Yeye atataka kuta zote za ndani ya nyumba zikwanguliwe, na lazima achukue vitu vilivyochafuliwa na hivyo vilivyokwanguliwa nje ya mji na kuvitupa kwenye eneo lisilosafi.
Ja huone pitää sisältä kaikki ympärinsä puhtaaksi kaavittaman, ja kaavittu savi heitettämän kaupungista ulos, saastaiseen paikkaan.
42 Lazima wayachukue mawe mengine na kuyaweka katika sehemu ya mawe yaliyoondolewa, na lazima watumie udongo mpya kupigia lipu nyumba.
Ja heidän pitää ottaman toiset kivet, ja paneman niiden kivein siaan, ja ottaman toisen saven, ja sivuman huoneen.
43 Kama ukungu unakuja tena na unaingia katika nyumba ambayo mawe yameondolewa na kuta zimekwanguliwa na kupigwa lipu upya,
Jos siis haava jällensä tulee, ja pakahtuu ulos huoneessa sittekuin kivet ovat kangotetut ulos, ja huone vastuudesta sivuttu;
44 ndipo kuhani lazima aje aingie ndani na kuchunguza nyumba kuona kama ukungu umeenea ndani ya nyumba. Kama hivyo, huo ni ukungu mbaya, na nyumba ni najisi.
Niin pitää papin menemän sen sisälle, ja koska hän näkee haavan laskeneeksi itsensä leviämmälle huoneessa, niin on tosin kuluttuvainen spitali siinä huoneessa, ja se on saastainen.
45 Nyumba hiyo lazima iangushwe chini. Hayo mawe, mbao, na lipu yote ndani ya nyumba lazima vibebwe kupelekwa nje ya mji kwenye sehemu najisi.
Sentähden pitää se huone särjettämän, sekä kivet että puut, ja kaikki savi huoneesta, ja vietävä kaupungista ulos, saastaiseen paikkaan.
46 Kwa nyongeza, yeyote anaenda ndani ya nyumba wakati imefungwa atakuwa najisi mpaka jioni.
Ja se joka käy huoneessa niinkauvan kuin se teljetty on, hänen pitää oleman saastainen ehtoosen asti.
47 Na yeyote aliyelala ndani ya nyumba lazima afue nguo zake, na yeyote aliyekula ndani ya nyumba lazima afue nguo zake.
Ja sen joka siinä huoneessa makaa, pitää vaatteensa pesemän, ja se joka syö siinä huoneessa, pitää vaatteensa pesemän.
48 Kama kuhani akaingia hiyo kuichunguza kuona ikiwa ukungu umeenea katika nyumba baada ya nyumba kupigwa lipu, ndipo, kama ukungu umetoweka, ataitangaza nyumba hiyo kuwa ni safi.
Jos myös pappi menee ja näkee, ettei haava ole laskenut itseänsä leviämmelle huoneessa, sittekuin se sivuttu on, niin sanokaan sen puhtaaksi; sillä haava on parannut.
49 Ndipo kuhani lazima achukue ndege wawili kuitakasa nyumba, na mti wa mwelezi, na sufu nyekundu, na hisopo.
Ja pitää ottaman huoneen puhdistamiseksi kaksi lintua, niin myös sedripuuta, ja tulipunalla painetuita villoja, ja isoppia,
50 Atamuua ndege mmojawapo katika maji masafi kwenye dumu la udongo.
Ja teurastaman toisen linnun savisessa astiassa, vuotavan veden tykönä.
51 Atachukua mti wa mwerezi, hisopo, sufu nyekundu na ndege aliyehai, na kuvichovya kwenye damu ya ndege aliyekufa, kwenye maji safi, na kunyunyizia nyumba mara saba.
Ja pitää ottaman sedripuun, ja isopin, ja tulipunalla painetuita villoja, ja elävän linnun, ja kastaman ne sen vereen, ja vuotavaan veteen, ja priiskottaman huoneen seitsemän kertaa,
52 Ataitakasa nyumba kwa damu ya ndege na maji safi, pamoja na ndege aliyehai, mti wa mwerezi, hisopo, na sufu nyekundu. Lakini atamwachia ndege aliyehai aende nje ya mji mashambani.
Ja puhdistaman huoneen linnun verellä, ja vuotavalla vedellä, niin myös elävällä linnulla, sedripuulla, isopilla ja tulipunalla painetulla villalla.
53 Kwa njia hii lazima afanye upatanisho kwaajili ya nyumba, na itakuwa safi.
Ja sitte päästäkään elävän linnun lentämään kaupungista kedolle, ja sovittakaan huoneen, niin se on puhdas.
54 Hii ni sheria kwa aina zote za athari ya ugonjwa wa ngozi na vitu vyote vinavyosababisha ugonjwa kama huo, na kwaajili ya kuwashwa,
Tämä on kaikkinaisen spitalin ja syhelmän haavain sääty:
55 na kwa ukungu kwenye mavazi na nyumba,
Vaatteen ja huoneen spitalin,
56 kwaajili ya uvimbe, kwaajili ya vipele, madoa,
Paisumain, pisamain ja putkenpolttamien,
57 kutambua wakati wowote tatizo hili ni najisi au lini limetakaswa. Hii ni sheria kwaajili ya athari za ugonjwa wa ukungu.
Että pitää tiedettämän, mikä puhdas eli saastainen kunakin päivänä oleman pitää. Tämä on sääty spitalista.

< Mambo ya Walawi 14 >