< Mambo ya Walawi 13 >

1 Yahweh akazungumza na Musa na Aroni, akasema,
And YHWH speaks to Moses and to Aaron, saying,
2 Mtu yeyote anayeonekana na uvimbe au pele au doa ling'aalo juu ya ngozi ya mwili wake, na likawa limeambukizwa ugonjwa wa ngozi mwilini mwake, ni lazima aletwe kwa Aroni kuhani mkuu au kwa mmoja wa wanawe makuhani.
“When a man has a rising, or scab, or bright spot in the skin of his flesh, and it has become a leprous plague in the skin of his flesh, then he has been brought to Aaron the priest, or to one of his sons the priests;
3 Naye kuhanai atachunguza ugonjwa huo kwenye ngozi ya mwili wake. Iwapo malaika zilizopo eneo lenye ugonjwa zimegeuka kuwa nyeupe, na iwapo ugonjwa umejitokeza juu ya ngozi, huo ni ugonjwa wa kuambukiza. Baada cha kuhani kumchunguza, atamtangaza kuwa ni najisi.
and the priest has seen the plague in the skin of the flesh, and the hair in the plague has turned white, and the appearance of the plague [is] deeper than the skin of his flesh—it [is] a plague of leprosy, and the priest has seen him, and has pronounced him unclean.
4 Iwapo lile doa ling'aalo katika ngozi yake ni jeupe, na kuonekana kwake halikwenda chini zaidi ya ngozi, na iwapo malaika za eneo lenye ugonjwa hazijabadilika kuwa nyeupe, naye kuhani atamtenga mgonjwa kwa siku saba.
And if the bright spot is white in the skin of his flesh, and its appearance is not deeper than the skin, and its hair has not turned white, then the priest has shut up [him who has] the plague [for] seven days.
5 Katika siku ya saba, huyo kuhani itambidi kumchunguza tena ili kuona kama katika maamzi yake huo ugonjwa siyo mbaya, na kama haujaenea kwenye ngozi. Iwapo haujaenea, basi, kuhani atamtenga kwa siku saba zaidi.
And the priest has seen him on the seventh day, and behold, the plague has stood in his eyes, the plague has not spread in the skin, and the priest has shut him up [for] a second seven days.
6 Naye kuhani atamchunga tena katika siku ya saba ili kuona kama ugonjwa ubepona na haujasambaa zaidi kwenye ngozi. kama haujasambaa, basi, kuhani atamtangaza kuwa yeye ni safi. Ni upele tu. Naye atafua nguo zake, na kisha yeye yu safi.
And the priest has seen him on the second seventh day, and behold, the plague has faded, and the plague has not spread in the skin, and the priest has pronounced him clean; it [is] a scab, and he has washed his garments, and has been clean.
7 Lakini endapo ule upele utakuwa umishasambaa kwenye ngozi baada ya kuwa amejionyesha kwa kuhani kwa ajili kusafishwa kwake, itambidi kujionyesha tena kwa kuhani.
And if the scab spreads greatly in the skin, after his being seen by the priest for his cleansing, then he has been seen a second time by the priest;
8 Naye kuhani atamchunguza ilikuona kama huo upele umsambaa zaidi ndani ya ngozi. Na endapo utakuwa umesambaa, kisha kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
and the priest has seen, and behold, the scab has spread in the skin, and the priest has pronounced him unclean; it [is] leprosy.
9 Iwapo ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza umo kwa mtu fulani, naye mtu huyo yapasa aletwe kwa kuhan.
When a plague of leprosy is in a man, then he has been brought to the priest,
10 Kuhani atamchunguza ili kuona kama kunauvimbe mweupe katika ngozi yake, endapo malaika zitakuwa zimebadilika kuwa nyeupe, au kumekuwa na nyama mbichi kwenye uvimbe.
and the priest has seen, and behold, a white rising in the skin, and it has turned the hair white, and a quickening of raw flesh [is] in the rising—
11 Kama ipo, basi, huo ni ugonjwa sugu wa ngozi, naye kuhani atamtangaza kuwa najisi. Hatamtenga kwa kuwa yeye tayari ni najisi.
it [is] an old leprosy in the skin of his flesh, and the priest has pronounced him unclean; he does not shut him up, for he [is] unclean.
12 Iwapo huo ugonjwa unajitokeza na kupanuka zaidi kwenye ngozi, na kuifunika ngozi ya mtu kwa ugonjwa tangu kichwani pake hata miguuni, maadamu anajitokeza kwa kuhani,
And if the leprosy breaks out greatly in the skin, and the leprosy has covered all the skin of [him who has] the plague, from his head even to his feet, to all that appears to the eyes of the priest,
13 naye kuhani atamchunguza ili kuona kama huo ugonjwa umeshaenea mwili wake wote. Ikiwa imetokeo hivyo, kuhani atamtangaza mtu huyo aliye na ugonjwa kuwa ni safi. Ikiwa amebadilika kuwa mweupe, huyo ni safi.
then the priest has seen, and behold, the leprosy has covered all his flesh, and he has pronounced [him who has] the plague clean; it has all turned white; he [is] clean.
14 Lakini ikiwa nyama mbichi imeonekana juu yake, atakuwa najisi.
And in the day of raw flesh being seen in him, he is unclean;
15 Kuhani ataiangalia hiyo nyama mbichi na kumtanga kuwa najisi kwa sababu hiyo nyama mbichi ni najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
and the priest has seen the raw flesh, and has pronounced him unclean; the raw flesh is unclean—it [is] leprosy.
16 Lakini endapo hiyo nyama mbichi inageuka kuwa nyeupe tena, naye huyo mtu hana budi kwenda kwa kuhani.
Or when the raw flesh turns back, and has been turned to white, then he has come to the priest,
17 Kuhani atamchunguza ili kuona kama hiyo nyama imebadilika kuwa nyeupe. Kama imekuwa hivyo naye kuhani atatangaza kwamba mtu huyo kuwa ni safi.
and the priest has seen him, and behold, the plague has been turned to white, and the priest has pronounced clean [him who has] the plague; he [is] clean.
18 Mtu anapokuwa na jipu juu yangozi yake na limishapona,
And when flesh has in it, in its skin, an ulcer, and it has been healed,
19 na mahali pa jipu pamekuwa na uvimbe au doa lenye kung'aa, wekundu unaochanganyikana na weupe, yapasa kuonyeshwa kwa kuhani.
and there has been in the place of the ulcer a white rising, or a bright white spot, reddish, then it has been seen by the priest,
20 Naye kuhani atalichunguza ili kuona kama linaonekana limekwenda chini ya ngozi, na kama hizo malaika zimebadilika kuwa nyeupe, kama ni hivyo, kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza, endapo utakuwa umezalishwa mahali lilipokuwa jipu hilo.
and the priest has seen, and behold, its appearance [is] lower than the skin, and its hair has turned white, and the priest has pronounced him unclean; it [is] a plague of leprosy—it has broken out in an ulcer.
21 Lakini endapo kuhani atakuwa amelichunguza na haoni malaika nyeupe ndani yake, na kwamba iliko chini ya ngozi bali limefifia, kisha kuhani atamtenga kwa siku saba.
And if the priest sees it, and behold, there is no white hair in it, and it is not lower than the skin, and has faded, then the priest has shut him up [for] seven days;
22 Kama linaenea kwa kupanuka kwenye ngozi, kisha kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
and if it spreads greatly in the skin, then the priest has pronounced him unclean—it [is] a plague;
23 Lakini kama hilo doa lenye kung'ara linabaki mahali pake na halijasambaa, basi hilo ni kovu la jipu, naye kuhani atamtangaza kuwa safi.
and if the bright spot stays in its place—it has not spread—it [is] an inflammation of the ulcer; and the priest has pronounced him clean.
24 Ngozi inapoungua na nyama mbichi ya inamekuwa na wekundu uliochanganyika na weupe au doa jeupe,
Or when flesh has a fiery burning in its skin, and the quickening of the burning, the bright white spot, has been reddish or white,
25 kisha kuhani ataichunguza kuona kama malaika zilizoko kwenye doa hilo zimebadilika na kuwa nyeupe, na kama limeonekana kwenda chini zaidi ya ngozi, kama limekuwa hivyo, basi huo ni ugonjwa wa kuambukiza. Umejitokeza kwenye jeraha la moto, naye kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
and the priest has seen it, and behold, the hair has turned white in the bright spot, and its appearance [is] deeper than the skin, it [is] leprosy; it has broken out in the burning, and the priest has pronounced him unclean; it [is] a plague of leprosy.
26 Lakini endapo kuahani analichunguza na naona kwamba hakuna malaika nyeupe kwenye doa, na kwamba halikuenda chini ya ngozi bali linafifia, basi, kuhani atamtenga mtu huyo kwa siku saba.
And if the priest sees it, and behold, there is no white hair on the bright spot, and it is not lower than the skin, and it has faded, then the priest has shut him up [for] seven days;
27 Kisha yapasa kuahani kumchunguza tena katika siku ya saba. Iwapo litakuwa limesambaa kwa upana kwenye ngozi, naye kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugojwa wa kuambukiza.
and the priest has seen him on the seventh day, [and] if it spreads greatly in the skin, then the priest has pronounced him unclean; it [is] a plague of leprosy.
28 Iwapo hilo doa lisalia mahali pake na halitakuwa limesambaa kwenye ngozi bali limefifia, ni uvimbe tu kutokana na kuungua moto, naye kuhani atamtangaza kuwa safi, kwa kuwa siyo zaidi ya jeraha la kuungua.
And if the bright spot stays in its place, it has not spread in the skin, and has faded; it [is] a rising of the burning, and the priest has pronounced him clean; for it [is] inflammation of the burning.
29 Iwapo mwanaume au mwanamke ana ugonjwa wa kuambukiza kichwani au kidevuni pake,
And when a man (or a woman) has a plague in him, in the head or in the beard,
30 kisha kuhani atamchunguza mtu huyo kwa ajili ya ugonjwa wa kuambukiza ili kuona kama unakwenda ndani zaidi ya ngozi, na kama kuna nywele za manjano, nyembamba ndani yake. endapo zinaonekana, kisha kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni mwasho, ugonjwa wa kuambukiza kichwani au kidevuni.
then the priest has seen the plague, and behold, its appearance is deeper than the skin, and a thin, shining hair [is] in it, and the priest has pronounced him unclean; it [is] a scale—it [is] a leprosy of the head or of the beard.
31 Iwapo kuhani anachunguza ugonjwa wa mwasho na anagundu kuwa hauko chini ya ngozi, na kama hakuna nywele nyeusi ndani yake, kisha kuhani atamtenga mtu huyo mwenye ugonjwa wa mwasho kwa siku saba.
And when the priest sees the scaly plague, and behold, its appearance is not deeper than the skin, and there is no black hair in it, then the priest has shut up [him who has] the scaly plague [for] seven days.
32 Katika siku ya saba kuhani atauchunguza tena huo ugonjwa ili kuona kama umesambaa, Endapo hakuna malaika za manjano, na iwapo ugonjwa uko usawa ngozi tu,
And the priest has seen the plague on the seventh day, and behold, the scale has not spread, and a shining hair has not been in it, and the appearance of the scale is not deeper than the skin,
33 basi, yapasa mtu huyo kunyolewa., lakini sehemu yenye ugonjwa haitanyolewa, naye kuhani atamtenga mtu huyo mwenye ugonjwa wa mwasho kwa siku saba.
then he has shaved himself, but he does not shave the scale; and the priest has shut up [him who has] the scale [for] a second seven days.
34 Katika siku ya saba kuhani atauchunguza tena ugonjwa ili kuona kama umacha kusambaa ndani ya ngozi. Iwapo unaonekana kuwa hukwenda chini zaidi ya ngozi, kisha kuhani atamtangaza kuwa safi. Mtu huyo yapasa kufua nguo zake, na kisha atakuwa safi.
And the priest has seen the scale on the seventh day, and behold, the scale has not spread in the skin, and its appearance is not deeper than the skin, and the priest has pronounced him clean, and he has washed his garments, and has been clean.
35 Lakini ikiwa ugonjwa wa mwasho umeenea kwa sehemu kubwa kwenye ngozi baada ya kuhani kutangaza kuwa alikuwa safi,
And if the scale spreads greatly in the skin after his cleansing,
36 naye kuhani itabidi amchunguze tena. Iwapo ugonjwa utakuwa umesambaa katika ngozi, kuhani hahitajiki kutafuta nywele za manjano. Mtu huyo ni najisi.
and the priest has seen him, and behold, the scale has spread in the skin, the priest does not seek for the shining hair—he is unclean;
37 Lakini iwapo katika mtazamo wa kuhani inaonekana kuwa huo ugonjwa wa mwasho umekoma kusambaa, basi huo ugonjwa umekwisha pona. Yeye ni safi, naye kuhani atamtangaza kuwa safi.
and if in his eyes the scale has stayed, and black hair has sprung up in it, the scale has been healed—he [is] clean—and the priest has pronounced him clean.
38 Iwapo mwanume au mwanamke ana madoa juu ya ngozi,
And when a man or woman has bright spots in the skin of their flesh, white bright spots,
39 kisha kuhani atamchunguza mtu huyo ili kuona kama hayo madoa ni meupe kwa kufiifia, ambalo ni kovu tu lililojitokeza kwenye ngozi. Yeye yu safi.
and the priest has seen, and behold, white [and] faded bright spots [are] in the skin of their flesh—it [is] a freckled spot broken out in the skin; he [is] clean.
40 Iwapo nywele za mtu zimenyonyoka kichwani, yeye ni kipara lakini yu safi.
And when a man’s head [is] polished, he [is] bald; he [is] clean;
41 Na iwapo nywele zake zimenyonyoka upande wa mbele wa kichwa chake, na iwapo paji lake la uso lina kipara, yeye yu safi.
and if his head is polished from the corner of his face, he [is] bald of the forehead; he [is] clean.
42 Lakini endapo kuna kidonda chenye wekundu uliochanganyika na weupe, juu ya kipara chake au paji lake la uso, huo ni ugonjwa wa kuambukiza uliojitokeza.
And when there is in the bald back of the head, or in the bald forehead, a reddish-white plague, it [is] a leprosy breaking out in the bald back of the head, or in the bald forehead;
43 Naye kuhani atamchunguza ili kuona iwapo uvimbe wa eneo linaugua juu ya upara wake au paji lake la uso lina wekundu uliochanganyika na weupe, kama kuonekana kwa ugonjwa wa kuambukiza kwenye ngozi.
and the priest has seen him, and behold, the rising of the reddish-white plague in the bald back of the head, or in the bald forehead, [is] as the appearance of leprosy, in the skin of the flesh,
44 Ikionekana hivyo, basi huyo ana ugonjwa wa kuambukiza naye ni najisi. Hakika kuhani atamtangaza kuwa najisi kwa sababu ya ugonjwa wake kichwani pake.
he [is] a leprous man—he [is] unclean; the priest pronounces him utterly unclean; his plague [is] in his head.
45 Mtu aliye na ugojwa wa kuambukiza atavaa nguo zilizochanika, ni lazima nywele zake ziachwe wazi, na yampasa kufunika uso wake mpaka puani na kupiga kelele, 'Najisi, najisi.'
As for the leper in whom [is] the plague, his garments are torn, and his head is uncovered, and he covers over the upper lip, and he calls, Unclean! Unclean!
46 Naye atakuwa najisi siku zote za ugonjwa wake wa kuambukiza. Kwa sababu anao ugonjwa unaosambaa, yapasa kuishi peke yake nje ya kambi.
He is unclean all the days that the plague [is] in him; he [is] unclean. He dwells alone; his dwelling [is] at the outside of the camp.
47 Kuna wakati fulani vazi la mtu hupata ukungu juu yake. Laweza kuwa vazi, ama la sufu au kitani,
And when there is a plague of leprosy in any garment—in a garment of wool, or in a garment of linen,
48 au kitu chochote kilichosukwa au kufumwa kutokana na sufu au kitani, au ngozi au kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi.
or in the warp, or in the woof, of linen or of wool, or in a skin, or in any work of skin—
49 Iwapo sehemu iliyochafuliwa ina rangi ya kijani au nyekundu katika vazi, ngozi, kifaa kilichosukwa au kufumwa, basi huo ni ukungu uanasambaa, ni lazima uonyeshwe kwa kuhani.
and the plague has been greenish or reddish in the garment, or in the skin, or in the warp, or in the woof, or in any vessel of skin, it [is] a plague of leprosy, and it has been shown [to] the priest.
50 Yapasa kuhani akichunguze hicho kifaa kwa ajili ya ukungu; ni lazima akitenge kitu chochote kilicho na ukungu kwa siku saba.
And the priest has seen the plague, and has shut up [that which has] the plague [for] seven days;
51 Naye atauchunguza tena huo ukungu katika siku ya saba. Endapo utakuwa umesambaa katika kifaa hicho, basi ni wazi kwamba huo ni ukungu wenye kuangamiza, na hicho kifaa ni najisi.
and he has seen the plague on the seventh day, and the plague has spread in the garment, or in the warp, or in the woof, or in the skin, of all that is made of skin for work, the plague [is] a fretting leprosy; it [is] unclean.
52 Na mwenye kukimiliki atalazimika kukichoma na kukiteketeza kabisa hicho kifaa kilichoonekana na ukungu ndani yake, haijalishi kiwe ni kifaa cha aina gani, kwani huo ukungu unaweza kusababisha ugonjwa.
And he has burned the garment, or the warp, or the woof, in wool or in linen, or any vessel of skin in which the plague is; for it [is] a fretting leprosy; it is burned with fire.
53 Iwapo kuhani anakichunguza hicho kifaa na kuona kwamba ukungu haujaenea kwenye vazi au chombo kilichosukwa au kusokotwa kutokana na sufu, kitani au ngozi,
And if the priest sees, and behold, the plague has not spread in the garment, or in the warp, or in the woof, or in any vessel of skin,
54 basi atawaagiza wakisafishe hicho kifaa kilichopatikana na ukungu, naye yampasa kukitenga kwa siku saba zaidi.
then the priest has commanded, and they have washed that in which the plague [is], and he has shut it up [for] a second seven days.
55 Kisha kuhani atakichunguza tena hicho kifaa chenye ukungu baada ya kuwa kimesafinshwa. Kama ukungu haukubadilika rangi yake, hata kama haukusambaa, kifaa hicho ni najisi. Yapasa kichomwe, haijalishi ni wapi ukungu huo utakuwa umekichafua.
And the priest has seen [that which has] the plague after it has been washed, and behold, the plague has not changed its aspect, and the plague has not spread—it [is] unclean; you burn it with fire; it [is] a fretting in its back-part or in its front-part.
56 Iwapo kuhani anakichunguza hicho kifaa, na kama ukungu umefifia baada ya kuwa umeoshwa, basi atakirarua kile kipande kilichochaufuliwa kutoka kwenye vazi au kutoka kwenye ngozi, au kutoka kwenye chombo kilichosukwa au kusokotwa.
And if the priest has seen, and behold, the plague has faded after it has been washed, then he has torn it out of the garment, or out of the skin, or out of the warp, or out of the woof;
57 Ikiwa ukungu unazidi kuonekana katika vazi, ama katika chombo kilichosukwa au kufumwa, au katika kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi, basi, ukungu utakuwa unasambaa. Kifaa chochote kilicho na ukungu ni lazima kichomwe.
and if it is still seen in the garment, or in the warp, or in the woof, or in any vessel of skin, it [is] a fretting; you burn it with fire—that in which the plague [is].
58 Vazi au kitu chochote kilichosukwa au kufumwa kutokana na sufu, au kitani, au ngozi au kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi—iwapo unakisafisha kifaa nao ukungu ukawa umetoka, nacho kifaa lazima kisafishwe mara ya pili, kisha kitakuwa safi.
And the garment, or the warp, or the woof, or any vessel of skin which you wash when the plague has turned aside from them, then it has been washed a second time, and has been clean.
59 Hii ndiyo sheria ihusuyo ukungu katika vazi la sufu au kitani, au kwenye kitu chochote kilichosukwa au kufumwa kutokana na sufu, au kitani, au kitu chochote kilichotengenewa kwa ngozi, ili kwamba mweze kuvitangaza kuwa safi au najisi.
This [is] the law of a plague of leprosy [in] a garment of wool or of linen, or of the warp or of the woof, or of any vessel of skin, to pronounce it clean or to pronounce it unclean.”

< Mambo ya Walawi 13 >