< Mambo ya Walawi 12 >

1 Yahweh akamwambia Musa,
Perwerdigar Musagha söz qilip mundaq dédi: —
2 “zungumza na watu wa Israeli, uwaambie, 'endapo mwanamke anakuwa mjamzito na kujifungua mtoto wa kiume, naye atakuwa najisi kwa muda wasiku saba, ni kama tu vile anavyokuwa najisi katika siku za kipindi chake kwa mwezi.
Israillargha söz qilip mundaq dégin: — «Ayal kishi hamilidar bolup oghul tughsa, adet körüp aghriq bolghan künliridikidek yette kün’giche napak sanalsun.
3 Katika siku ya nane nyama ya govi la mtoto mvulana itatahiriwa.
Sekkizinchi küni oghli bolsa xetne qilinsun.
4 Kisha utakaso wa mama wa kutokwa damu yake utaendelea kwa muda wa siku tatu. Haimpasi kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kukaribia eneo la hema mpaka zitakapomalizika siku za kutakaswa kwake.
Ayal bolsa shuningdin kéyin ottuz üch kün’giche «qan paklinish»ta tursun; paklinish künliri tamam bolmighuche héchbir muqeddes nersige tegmisun, muqeddes jayghimu kirmisun.
5 Lakini kama atajifungua mtoto wa kike, naye atakuwa najisi kwa mud wa majuma mawili, kama alivyo wakati wa kipindi chake. Kisha utakaso wa mama utaendelea kwa siku sitini sita.
Eger u qiz tughsa undaqta adet künliridikidek ikki heptigiche napak turup, andin atmish alte kün’giche «qan paklinish»ta tursun.
6 Siku za kutakaswa kwake zitakapoisha, kwa ajili ya mwana au binti, atalazimika kuleta kwa kuhani mwana-kondoo wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au huwa kuwa sadaka ya dhambi, mbele ya ingilio la hema la kukutania,
Meyli oghul yaki qiz tughsun, qan paklinish künliri tamam bolghandin kéyin u ayal köydürme qurbanliq üchün bir yashqa kirgen qozini, gunah qurbanliqi üchün bir bachka yaki paxtekni élip jamaet chédirining kirish aghzigha, kahinning qéshigha keltürsun.
7 Kisha atawatoa mbele za Yahweh na kufanya sadaka ya upatanisho kwa ajili yake, naye atatakaswa kutokana kutiririka kwa damu yake. Hii ndiyo sheria kuhusu mwanamke aifunguaye ama mtoto wa kiume au wa kike.
Kahin uni Perwerdigarning aldida sunup, shu ayal üchün kafaret keltüridu; shuning bilen u xunidin pak bolidu. Oghul yaki qiz tughqan ayal toghrisidiki qanun-belgilime mana shudur.
8 Na kama hana uwezo wa kutoa mwana-kondoo, naye ataleta makinda mawili ya njiwa ua hua, mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kuwa sadaka ya dhambi, naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake; naye atakuwa safi.”
Eger uning qozigha qurbi yetmise, u ikki paxtek yaki ikki bachka keltürsun; ularning biri köydürme qurbanliq üchün, yene biri gunah qurbanliqi üchün bolidu; shu yol bilen kahin uning üchün kafaret keltüridu; u ayal pak bolidu.

< Mambo ya Walawi 12 >