< Mambo ya Walawi 12 >

1 Yahweh akamwambia Musa,
Et l'Éternel parla à Moïse en ces termes:
2 “zungumza na watu wa Israeli, uwaambie, 'endapo mwanamke anakuwa mjamzito na kujifungua mtoto wa kiume, naye atakuwa najisi kwa muda wasiku saba, ni kama tu vile anavyokuwa najisi katika siku za kipindi chake kwa mwezi.
Parle et dis aux enfants d'Israël: Si une femme devient enceinte et qu'elle accouche d'un enfant mâle, elle sera pendant sept jours en état d'impureté, dans le même état d'impureté qu'aux époques de son indisposition menstruelle.
3 Katika siku ya nane nyama ya govi la mtoto mvulana itatahiriwa.
Et le huitième jour on circoncira la chair du prépuce de l'enfant.
4 Kisha utakaso wa mama wa kutokwa damu yake utaendelea kwa muda wa siku tatu. Haimpasi kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kukaribia eneo la hema mpaka zitakapomalizika siku za kutakaswa kwake.
Et elle gardera la maison trente-trois jours pendant qu'elle se purifie de sang; elle ne touchera rien de sacré et n'ira point au Sanctuaire avant que le temps de sa purification soit accompli.
5 Lakini kama atajifungua mtoto wa kike, naye atakuwa najisi kwa mud wa majuma mawili, kama alivyo wakati wa kipindi chake. Kisha utakaso wa mama utaendelea kwa siku sitini sita.
Et si c'est d'une fille qu'elle accouche, elle sera deux semaines en état d'impureté comme lors de ses menstrues, et elle gardera la maison soixante-six jours pour se purifier de sang.
6 Siku za kutakaswa kwake zitakapoisha, kwa ajili ya mwana au binti, atalazimika kuleta kwa kuhani mwana-kondoo wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au huwa kuwa sadaka ya dhambi, mbele ya ingilio la hema la kukutania,
Et à l'expiration du temps de sa purification pour un fils ou pour une fille, elle apportera un agneau d'un an comme holocauste, et un jeune pigeon ou une tourterelle, comme victime expiatoire, à l'entrée de la Tente du Rendez-vous au Prêtre qui l'offrira à l'Éternel et fera pour elle la propitiation afin qu'elle soit purifiée de l'évacuation de son sang.
7 Kisha atawatoa mbele za Yahweh na kufanya sadaka ya upatanisho kwa ajili yake, naye atatakaswa kutokana kutiririka kwa damu yake. Hii ndiyo sheria kuhusu mwanamke aifunguaye ama mtoto wa kiume au wa kike.
Telle est la loi pour la femme accouchée d'un fils ou d'une fille.
8 Na kama hana uwezo wa kutoa mwana-kondoo, naye ataleta makinda mawili ya njiwa ua hua, mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kuwa sadaka ya dhambi, naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake; naye atakuwa safi.”
Et si ses ressources ne vont pas jusqu'à un mouton, qu'elle prenne deux tourterelles ou deux jeunes pigeons, l'un pour l'holocauste, l'autre pour le sacrifice expiatoire, et le Prêtre fera pour elle la propitiation afin qu'elle soit purifiée.

< Mambo ya Walawi 12 >