< Mambo ya Walawi 11 >

1 Yahweh akazungumza na Musa na Aroni, akasema,
LEUM GOD El sang nu sel Moses ac Aaron oakwuk ten inge,
2 “Sungumzeni na watu wa Israeli muwaambie, 'Hivi ndivyo viumbe vyenye uhai ambavyo mwaweza kula miongoni mwa wanyama walioko juu ya nchi.
su ma nu sin mwet Israel. Kowos ku in kang kutena kain kosro finmes
3 Mnaweza kula mnyama yeyote aliye na kwato zenye kugawanyika na ambaye pia hucheua.
ma sengelik falka, su oayapa sifil kontini ma el kangla.
4 Hata hivyo, kuna baadhi ya wanyama ambao ama hawacheui au hana kwato zilizogawanyika, nanyi msiwale hao, wanyama kama ngamia, kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato zilizogawanyika. Kwa hiyo ngamia ni najisi kwenu.
Tusruktu kowos fah tia kang kosro inge: camel, mweyen el finne sifil kontini ma el kangla, tuh tia sengelik falkal, na pa el tia nasnas nu suwos;
5 Pimbi pia: kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato zilizogawanyika mara mbili, huyo pia ni najisi kwenu.
oayapa koni, el finne sifil kontini ma el kangla, tuh tia sengelik falkal, na pa el tia nasnas nu suwos;
6 Na sungura pia: kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato zilizogawanyika mara mbili, huyu naye ni najisi kwenu.
rabbit, el finne sifil kontini ma el kangla, tuh tia sengelik falkal, na pa el tia nasnas nu suwos.
7 Na nguruwe pia: ingawaje yeye anazo kwato zilizogawanyika lakini hacheui, kwa hiyo yeye ni najisi kwenu.
Nimet kang pig. Finne sengelik falkal, tuh el tia sifil kontini ma el kangla, na pa el tia nasnas nu suwos.
8 Msile aina yoyote ya nyama yao, wala msiiguse mizoga yao. Hao ni najisi kwenu.
Nimet kang kain in kosro inge ku pusral mano misa lalos. Elos tia nasnas.
9 Nao wanyama waishio majini mnaoweza kuwala ni wale wote walio na mapezi na magamba, iwe waliomo baharini au mitoni.
Kowos ku in kang kutena ik ma oasr enga ac unac,
10 Lakini viumbe wote hai wasio na mapezi na magamba waliomo baharini au mitoni, pamoja na wale waendao majini na viumbe hai waliomo majini —watakuwa chukizo kwenu.
tusruktu kutena ma moul ma muta in kof su wangin enga ac unac, fah tiana mongo.
11 Kwa kuwa watakuwa chukizo, msile nyama yao, pia mizoga yao sharti itakuwa chukizo.
Kain ma moul ingan nukewa fac tia nasnas nu suwos. Kowos fah tiana kang ma inge ku pusral mano misa lalos.
12 Chochote kisichokuwa na mapezi au magamba kilichomo majini ni lazima kiwe chukizo kwenu.
Kowos fah tiana kang kutena ma su muta in kof uh ma wangin enga ac unac kac.
13 Nao ndege mtakaowachukia na msiopaswa kuwala ni hawa wafuatao: tai, furukombe, kipungu,
Kain in won inge ac fah mwe srungayuk nu suwos, ac kowos fah tiana kang: eagle, kain vulture nukewa,
14 mwewe mwekundu, aina yoyote ya kipanga,
buzzard, falcon,
15 kila aina ya kunguru,
kain raven nukewa,
16 kiruka-njia, kipasuasanda, Shakwe, na aina yoyote ya mwewe.
ostrich, seagull, kain hawk nukewa,
17 Ni lazima pia bundi mdogo na bundi mkubwa muwaone kuwa chukizo, mnandi,
cormorant, kain owl nukewa,
18 bundi mweupe na mwari,
pelican, osprey, ibis,
19 korongo na ina zote za koikoi, huduhudi na popo pia.
stork, heron, hoopoe, ac fak.
20 Wadudu wote wenye mabawa wanatembea kwa miguu minne kwenu ni machukizo.
Won srisrik ma orakrak nukewa ma oasr posohksok kac, ma inge tia nasnas,
21 Lakini manaweza kula wadudu wenye mabawa wanaotembea kwa miguu minne ya kurukia ardhini yenye vifundo.
sayen ma su ku in sro ke nia.
22 Na manaweza kula kula aina zote za nzige, senene, parare, au panzi.
Kowos ku in kang srisr in eku, kwot srisrik, ac kain locust nukewa.
23 Lakini wadudu wote warukao wenye miguu minne ni chulkizo kwenu.
Tusruktu ma srisrik nukewa saya ma oasr posohksok kac, ac ku pac in orak uh, fah lumweyuk mu tia nasnas nu suwos.
24 Nanyi mtakuwa najisi hata jioni kutokana na wanyama hawa endapo mtagusa mizogo yao.
Ac ma inge ac fah oru kowos in tia nasnas: kutena mwet su pusralla monin ma misa in masrlon ma inge, fah tia nasnas nwe ke ekela.
25 Na yeyote atakayeokota mojawapo wa mizoga yao ni lazima atazifua ngua zake naye atakuwa najisi hata jioni.
Ac kutena mwet su us kutena ipin ma misa inge fah ohlla nuknuk lal, tusruk elos ac tiana nasnas nwe ke ekela.
26 Mnyama yeyote ambaye anazo kwato ziliachana ambazo hazikugawanyika kabisa au hacheui huyo ni najisi kwenu. Yeyote awagusaye atakuwa najisi.
Kosro nukewa ma sengelik falka ku tia sifil kontini ma el kangla, ac fah tia nasnas nu suwos. Mwet nukewa su kahl monin sie sin ma inge fah tia nasnas.
27 Mnyama yeyote anayetembea kwa vitanga vyake miongoni mwa wanyama waendao kwa miguu yote minne ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mzoga kama huo atakuwa najisi hata jioni.
Kosro nukewa ma fahsrkin ye nia ac inpaol, ma inge tia nasnas nu suwos. Kutena mwet su pusral mano misa lun kutena kosro inge fah tia nasnas nwe ke ekela,
28 Na yeyote aokotaye mzoga kama huo ni zazima atazifua nguo zake na kuwa najisi hata jioni. Wanyama hawa watakuwa najisi kwenu.
ac mwet se su us mano misa lun ma inge fah ohlla nuknuk lal, tusruk el fah tia nasnas nwe ke ekela. Ma inge tia nasnas nu suwos.
29 Kuhusiana na wanyama wataambaao juu ya ardhi, hawa ndiyo walio najisi kwenu: kicheche, panya, aina zote za mijusi mikubwa, guruguru,
Pa inge ma tia nasnas nu suwos inmasrlon ma orakrak ac pus suna fin faclu: weasel, kisrik in pot, kain kinoul nukewa,
30 kenge, mijusi ya ukutani, goromoe, na kinyonga.
srosrok, crocodile finmes, ac chameleon.
31 Wanyama hawa wote ambao hutambaa, hawa ndiyo watakuwa najisi kwenu. Yeyote awagusaye atakuwa njisi hata jioni.
Kutena mwet su pusralla ma inge ku mano misa lalos, fah tia nasnas nwe ke ekela.
32 Na iwapo mmoja wao anakufa na kuanguka juu ya chombo, chombo hicho kitakuwa najisi, ama kiwe kimetengenezwa kwa mbao, nguo, ngozi, au gunia. Kiwe chombo cha namna gani na kiwe kwa matumizi gani, ni lazima kitalowekwa katika maji nacho kitakuwa najisi hata jio. Kisha kitakuwa safi.
Ac kutena ma su mano misa inge putatla nu fac, ac fah tia nasnas — finne ke sak, ku nuknuk, ku kulun kosro, ku pak, aok kutena ma su orekmakinyuk nu ke kutena sripa. Ac fah enenu in isongyuki nu in kof uh, tusruktu ac fah tia pacna nasnas nwe ke ekela.
33 Kwa hiyo kila chungu ambacho mnyama najisi atakiangukia juu yake au ndani yake, chochote kilichomo kwenye chungu hicho kitakuwa najisi, na ni lazima mtakivunja chungu hicho.
Ac manolos fin putatyang nu in sie tup orekla ke kle, na ma nukewa ma oan in tup sac fah tia nasnas, ac kowos fah fukulya tup sac.
34 Vyakula vyote ambavyo ni safi na kilichuhusiwa kuliwa, lakini kikaingiwa na maji kutoka kwenye chungu najisi kilichoanguka, nacho kitakuwa najisi.
Kutena mwe mongo ma fal in mongo, tuh okwoki kof liki kain tup sac nu kac, ac fah tia nasnas, ac kutena ma su ku in nimnim ma oan in kain tup sac, fah tia pac nasnas.
35 Na kitu chochote kinachoweza kunywewa kutoka kwenye chungu kama hicho kitakuwa najisi. Kila kitu kitakachoangukiwa juu yake na kipande cha mzoga wa mnyama najisi nacho kitakuwa najisi, ama liwe ni jiko au vyungu vya kupikia. Ni najisi na ni lazima kiwe najisi kwenu.
Kutena ma su mano misa inge putatla nu fac, fah tia nasnas — fin sie nien manman ku sie mwe um ma orekla ke kle, enenu na in fokfoki.
36 Chemchemi au kisima cha maji ya kunywa yanapokusanyika patabaki kuwa safi iwapo kiumbe najisi kama hicho kitaangukia humo. Lakini ikiwa yeyote anaugusa mzoga wa mnyama aliye najisi uliomo ndani ya maji, yeye atakuwa najisi.
Tusruktu sie unon in kof ku sie lufin neinyuk kof ac nasnas na. Ma saya nukewa su pusralla mano misa inge fah tia nasnas.
37 Iwapo sehehemu yoyote ya mzoga wa mnyama aliyenajisi inaangukia juu ya mbegu zozote zilizo kwa ajili ya kupanda. Mbegu hizo zitakuwa bado zingali safi.
Sie sin ma misa inge fin putatla nu fin fita ma akoeyuk in yoki, fita ingan srakna nasnas.
38 Lakini kama maji yanawekwa juu ya mbegu, na kama sehemu ya mzoga unaangukia juu yake, nazo zitakuwa najisi kwenu.
Tusruktu fita ingan fin isosu nu in kof, ac sie sin ma tia nasnas ingan putatla nu in kof sac, na fita ingan fah tia nasnas.
39 Iwapo mnyama yeyote awezaye kuliwa anakufa, naye yeyote amgusaye atakuwa najisi hata jioni.
Kutena kain kosro ma wo in mongo uh fin misa, na kutena mwet su pusralla fah tia nasnas nwe ke ekela.
40 Na yeyote alaye chochote cha mzoga huo atalazimika kufua nguo zake naye atakuwa anjisi hata jioni. Na yeyote aokotaye mzoga kama huo atafua nguo zake na kuwa najisi hata jioni.
Na kutena mwet fin kang kutena ip ke kosro misa inge, el enenu in ohlla nuknuk lal, tusruktu el ac fah tia nasnas nwe ke ekela. Ac kutena mwet su us mano misa sac, el enenu in ohlla nuknuk lal, tusruktu el ac srakna tia nasnas nwe ke ekela.
41 Kila mnyama atambaaye juu ya ardhi atakuwa chukizo; hatakuwa wa kuliwa.
Kowos fah tia kang kutena sin ma srisrik ma forfor fin faclu,
42 Chochote kitambaacho kwa kujivuta juu ya tumbo lake, na chochote kitembeacho kwa miguu yake yote minne, au chochote kilicho na miguu mingi—wanyama wote ambao hutambaa juu ya nchi, hawa msiwale, kwa sababu watakuwa machukizo.
finne ma orakrak, ku ma fahsr ke nia akosr, ku ke nia pus liki akosr.
43 Msijinajisi wenyewe kwa kiumbe chochote nnajisi kitaambacho; msijinasi wenyewe kwavyo, ili kwamba msije mkachafuliwa navyo.
Nimet sifacna akfohkfokye kowos in kang kutena sin ma inge.
44 Kwa kuwa Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu. Nanyi lazima muwe watakatifu, kwa hiyo na iweni watakatifu, kwa sababu Mimi ni mtakatifu. Haiwapasi kujichafua kwa aina yoyote ya kiendacho juu ya nchi.
Nga pa LEUM GOD lowos, ac kowos enenu in liyekowosyang sifacna tuh kowos in mutal, mweyen nga mutal.
45 Kwa kuwa Mimi ndimi Yahweh, aliyewaleta ninyi kutoka nchi ya Misri, ili niwe Mungu wenu. Kwa hiyo lazima muwe watakatifu, kwa kuwa Mimi ni mtakatifu.
Nga pa LEUM GOD su uskowosme liki Egypt tuh nga fah God lowos. Kowos enenu in mutal, mweyen nga mutal.
46 Hii ndiyo sheria kuhusu wanyama, ndege, kila kiumbe hai kiendacho majini, na ya kila kiumbe kitambaacho juu ya nchi,
Na pa inge ma sap ke kosro ac won, ac ke ma nukewa ma muta in kof uh, ac ma nukewa ma forfor fin acn uh.
47 kwa jili ya kilie kinachopaswa kutofautishwa kati ya kilicho najisi na kilicho safi, na kati ya vitu vilivyokufa na vilivyo hai ambavyo vyaweza kuliwa na vitu vyenye uihai visivyoweza kuliwa.”
Kowos fah arulana taran tuh kowos in ku in akilen inmasrlon ma su nasnas ac ma su tia nasnas, inmasrlon kosro ma ac ku in mongo, ac ma su tia mongo.

< Mambo ya Walawi 11 >