< Mambo ya Walawi 10 >
1 Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua kila mtu kifukizo chake, akaweka moto ndani yake, na kisha uvumba. Kisha wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa.
A sinovi Aronovi Nadav i Avijud uzevši svaki svoju kadionicu metnuše oganj u njih i na oganj metnuše kad, i prinesoše pred Gospodom oganj tuð, a to im ne bješe zapovjedio.
2 Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh na kuwala, nao wakafa mbele za Yahweh.
Tada doðe oganj od Gospoda i udari ih, te pogiboše pred Gospodom.
3 Kisha Musa akamwambia Aroni, Hivi ndiyo Yahweh alivyokuwa akizunguzia aliposema, 'Nitaufunua utakatifu wangu kwa wale wajao mbele zangu. Nami nitatukuzwa mbele za watu wote.'” Naye Aroni hakusema neno lolote.
Tada reèe Mojsije Aronu: to je što je kazao Gospod govoreæi: u onima koji pristupaju k meni biæu svet i pred cijelim narodom proslaviæu se. A Aron oæutje.
4 Musa akamwita Mishaeli na Elzafani, wana wa Uzieli mjomba wa Aroni, naye akamwambia, “njoo huku na uwatowe ndugu zako nje ya kambi watoke mbele ya hema.”
A Mojsije pozva Misaila i Elisafana sinove Ozila strica Aronova, i reèe im: hodite i iznesite braæu svoju ispred svetinje napolje iz okola.
5 Hivyo wakakaribia na kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani, nao wakawapeleka nje ya kambi, kama Musa alivyokuwa ameelekeza. Kisha Musa akamwambia Aroni na wanawe wengine wawili, Eliezari na Ithamari, “
I pristupiše i iznesoše ih u košuljama njihovijem napolje iz okola, kao što reèe Mojsije.
6 Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu, ili kwamba msije mkafa, na kwamba Yahweh asilikasirikie kusanyiko zima. Lakini waacheni jamaa zenu, nyumba yote ya Israeli waweze kufanya ibada za maombolezo kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto.
Tada reèe Mojsije Aronu i Eleazaru i Itamaru, sinovima njegovijem: nemojte otkrivati glava svojih, ni haljina svojih razdirati, da ne izginete i da se Gospod ne razgnjevi na sav zbor; nego braæa vaša, sav rod Izrailjev, neka plaèe radi požara koji uèini Gospod.
7 Msiende nje kutoka kwenye ingilio la hema la kukutania, ama sivyo mtakufa, kwa kuwa mafuta ya Yahweh ya upako yako juu yenu.” Kwa hiyo wakatenda sawasawa na maelekezo ya Musa.
I s vrata šatora od sastanka nemojte izlaziti, da ne izginete, jer je na vama ulje pomazanja Gospodnjega. I uèiniše po rijeèi Mojsijevoj.
8 Mungu akazungumza na Aroni, akisema,
I Gospod reèe Aronu govoreæi:
9 “Msinywe mvinyo wala kinywaji kikali, wewe, au wanao wanaobaki pamoja nawe, ili kwamba mtakapoingia kwenye hema ya kukutania msije mkafa. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu,
Vina i silovita piæa nemoj piti ti ni sinovi tvoji s tobom, kad ulazite u šator od sastanka da ne izginete. To neka vam je uredba vjeèna od koljena na koljeno.
10 ili kupaambanua kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida, na kati ya najisi na safi,
Da biste mogli raspoznavati šta je sveto šta li nije, i šta je èisto šta li neèisto,
11 ili kwamba mweze kuwafundisha watu wa Israeli amri zote ambazo Yahweh ameziamru kwa kinywa cha Musa.
I da biste uèili sinove Izrailjeve svijem uredbama koje im je kazao Gospod preko Mojsija.
12 Musa akazungumza na Aroni na wanawe wawili waliosalia; Eliazari naIthamari, Twaeni sadaka ya nafaka inayobaki kutokana na sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto, nanyi ileni kando ya madhabahu bila hamiara, kwa kuwa ni takatifu sana.
A Mojsije reèe Aronu i Eleazaru i Itamaru sinovima njegovijem koji ostaše: uzimajte dar što ostane od ognjenih žrtava Gospodnjih, i jedite s hljebom prijesnijem kod oltara; jer je svetinja nad svetinjama.
13 lazima mtaila mahali patatifu kwa sababu huo ni mgao wako wewe na mgao wa wanao wa matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, kwa kuwa hivi ndivyo limeamriwa niwaambie.
Zato æete ga jesti na svetom mjestu, jer je dio tvoj i dio sinova tvojih od ognjenih žrtava Gospodnjih; jer mi je tako zapovjeðeno.
14 Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh, yapasa mzile mahali palipo safi panapokubalika kwa Mungu. Wewe mwenyewe, wanao na binti zako waliopamoja nawe mtakula sehemu hizo, kwa kuwa zimetolewa kuwa mgao wako na mgao wa wanao kutokana na dhabihu ya sadaka ya ushirika wa watu wa Israeli.
A grudi od žrtve obrtane i pleæe od žrtve podizane jedite na èistom mjestu, ti i sinovi tvoji i kæeri tvoje s tobom; jer je taj dio dan tebi i sinovima tvojim od zahvalnih žrtava sinova Izrailjevih.
15 Lile paja lililotolewa na kidari kilichotikiswa, ni lazima ziletwe pamoja na sadaka ya mafuta iliyofanywa kwa moto, ili kutikiswa mbele za Yahweh. Nazo zitakuwa zako wewe na wanao kuwa mgao wenu daima, kama Yahweh alivyoamru.
Pleæe od žrtve podizane i grudi od žrtve obrtane donosiæe se sa salom što se sažiže, da se obrne tamo i amo pred Gospodom, i biæe tvoje i sinova tvojih s tobom zakonom vjeènijem, kao što je zapovjedio Gospod.
16 Kisha Musa akauliza kuhusu yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye akagundua kwamba alikuwa ametekezwa kwa moto. Kwa hiyo akawakasirikia Eliazari na Ithamari, wana wa Aroni waliosalia; akawaambia,
I Mojsije potraži jare za grijeh; ali gle, bješe izgorjelo; zato se razgnjevi na Eleazara i na Itamara sinove Aronove koji ostaše, i reèe:
17 “Kwa nini hamjaila sadaka ya dhambi katika eneo la hema, kwa kuwa ni takatifu sana, na kwa kuwa Yahweh amishaitoa kwenu ili kuchukua uovu wa kusanyiko, ili kufanya upatanisho kwa aijli yao mbele zake?
Zašto ne jedoste žrtve za grijeh na svetom mjestu? svetinja je nad svetinjama, i dade vam je Gospod da nosite grijeh svega zbora, da bi se oèistili od grijeha pred Gospodom.
18 Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema, kwa hiyo iliwapasa kwa hakika kuwa mekwisha ila kwenye eneo la hema, kama nilivyoagiza?
A eto krv njezina nije unesena u svetinju; valjaše vam je jesti na svetom mjestu, kao što sam zapovjedio.
19 Kisha Aroni akamjibu Musa, “Tazama, leo walitoa sadaka yao ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa mbele za Yahweh, na jambo hili vilevile limetendeka kwangu leo. Ikiwa nimeshakula sadaka ya dhambi leo, Je! Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahweh?”
Tada reèe Aron Mojsiju: eto, danas prinesoše žrtvu svoju za grijeh i žrtvu svoju paljenicu pred Gospodom, i to mi se dogodi. A da sam danas jeo žrtve za grijeh, bi li bilo po volji Gospodu?
20 Naye Musa aliposikia hivyo, akaridhika.
Kad to èu Mojsije, prista na to.