< Mambo ya Walawi 10 >
1 Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua kila mtu kifukizo chake, akaweka moto ndani yake, na kisha uvumba. Kisha wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa.
Alors Nadab et Abiu ayant pris les encensoirs, mirent du feu et de l’encens dessus, offrant devant le Seigneur un feu étranger; ce qui ne leur avait pas été ordonné.
2 Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh na kuwala, nao wakafa mbele za Yahweh.
Et un feu sorti du Seigneur les dévora, et ils moururent devant le Seigneur.
3 Kisha Musa akamwambia Aroni, Hivi ndiyo Yahweh alivyokuwa akizunguzia aliposema, 'Nitaufunua utakatifu wangu kwa wale wajao mbele zangu. Nami nitatukuzwa mbele za watu wote.'” Naye Aroni hakusema neno lolote.
Et Moïse dit à Aaron: Voilà ce qu’a dit le Seigneur: Je serai sanctifié dans ceux qui m’approchent, et je serai glorifié devant tout le peuple. Ce qu’entendant, Aaron se tut.
4 Musa akamwita Mishaeli na Elzafani, wana wa Uzieli mjomba wa Aroni, naye akamwambia, “njoo huku na uwatowe ndugu zako nje ya kambi watoke mbele ya hema.”
Or, Moïse ayant appelé Misaël et Elisaphan fils d’Oziel, oncle d’Aaron, leur dit: Allez et prenez vos frères de devant le sanctuaire, et emportez-les hors du camp.
5 Hivyo wakakaribia na kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani, nao wakawapeleka nje ya kambi, kama Musa alivyokuwa ameelekeza. Kisha Musa akamwambia Aroni na wanawe wengine wawili, Eliezari na Ithamari, “
Et aussitôt allant, il les prient, comme ils gisaient, vêtus de leurs tuniques de lin, et ils les jetèrent dehors, comme il leur avait été commandé.
6 Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu, ili kwamba msije mkafa, na kwamba Yahweh asilikasirikie kusanyiko zima. Lakini waacheni jamaa zenu, nyumba yote ya Israeli waweze kufanya ibada za maombolezo kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto.
Alors Moïse dit à Aaron, et à Eléazar et à Ithamar ses fils: Ne découvrez pas vos têtes, et ne déchirez pas vos vêtements, de peur que vous ne mouriez, et que l’indignation ne s’élève contre toute l’assemblée. Que vos frères et toute la maison d’Israël pleurent l’incendie que le Seigneur a suscité;
7 Msiende nje kutoka kwenye ingilio la hema la kukutania, ama sivyo mtakufa, kwa kuwa mafuta ya Yahweh ya upako yako juu yenu.” Kwa hiyo wakatenda sawasawa na maelekezo ya Musa.
Mais vous, vous ne sortirez peint de la porte du tabernacle; autrement vous périrez; car l’huile de la sainte onction est sur vous. Ceux-ci firent tout selon l’ordre de Moïse.
8 Mungu akazungumza na Aroni, akisema,
Le Seigneur dit aussi à Aaron:
9 “Msinywe mvinyo wala kinywaji kikali, wewe, au wanao wanaobaki pamoja nawe, ili kwamba mtakapoingia kwenye hema ya kukutania msije mkafa. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu,
Vous ne boirez point de vin et de tout ce qui peut enivrer, toi et tes fils, quand vous entrerez dans le tabernacle de témoignage, de peur que vous ne mouriez; parce que c’est un précepte perpétuel pour vos générations,
10 ili kupaambanua kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida, na kati ya najisi na safi,
Et afin que vous ayez la science de discerner entre le saint et le profane, entre ce qui est souillé et ce qui est pur,
11 ili kwamba mweze kuwafundisha watu wa Israeli amri zote ambazo Yahweh ameziamru kwa kinywa cha Musa.
Et que vous enseigniez aux enfants d’Israël tout ce qui concerne mes lois que le Seigneur a proclamées par l’entremise de Moïse.
12 Musa akazungumza na Aroni na wanawe wawili waliosalia; Eliazari naIthamari, Twaeni sadaka ya nafaka inayobaki kutokana na sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto, nanyi ileni kando ya madhabahu bila hamiara, kwa kuwa ni takatifu sana.
Moïse dit alors à Aaron, à Eléazar et à Ithamar, ses fils qui lui étaient restés: Prenez le sacrifice qui est resté de l’oblation du Seigneur, et mangez-le sans levain près de l’autel, parce que c’est une chose très sainte.
13 lazima mtaila mahali patatifu kwa sababu huo ni mgao wako wewe na mgao wa wanao wa matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, kwa kuwa hivi ndivyo limeamriwa niwaambie.
Or, vous le mangerez dans un lieu saint, parce qu’il vous a été donné, à toi et à tes fils, des oblations du Seigneur, comme il m’a été ordonné.
14 Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh, yapasa mzile mahali palipo safi panapokubalika kwa Mungu. Wewe mwenyewe, wanao na binti zako waliopamoja nawe mtakula sehemu hizo, kwa kuwa zimetolewa kuwa mgao wako na mgao wa wanao kutokana na dhabihu ya sadaka ya ushirika wa watu wa Israeli.
La poitrine aussi qui a été offerte, et l’épaule qui a été séparée, vous les mangerez dans un lieu très pur, toi et tes fils et tes filles avec toi; car c’est pour toi et pour tes enfants qu’elles ont été réservées, des hosties salutaires des enfants d’Israël;
15 Lile paja lililotolewa na kidari kilichotikiswa, ni lazima ziletwe pamoja na sadaka ya mafuta iliyofanywa kwa moto, ili kutikiswa mbele za Yahweh. Nazo zitakuwa zako wewe na wanao kuwa mgao wenu daima, kama Yahweh alivyoamru.
Parce qu’ils ont élevé devant le Seigneur l’épaule, la poitrine et les graisses qui sont brûlées sur l’autel, et qu’elles t’appartiennent à toi et à tes fils par une loi perpétuelle, comme a ordonné le Seigneur.
16 Kisha Musa akauliza kuhusu yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye akagundua kwamba alikuwa ametekezwa kwa moto. Kwa hiyo akawakasirikia Eliazari na Ithamari, wana wa Aroni waliosalia; akawaambia,
Cependant, comme Moïse cherchait le bouc qui avait été offert pour le péché, il le trouva entièrement brûlé; or, irrité contre Eléazar et Ithamar, fils d’Aaron, qui lui étaient restés, il dit:
17 “Kwa nini hamjaila sadaka ya dhambi katika eneo la hema, kwa kuwa ni takatifu sana, na kwa kuwa Yahweh amishaitoa kwenu ili kuchukua uovu wa kusanyiko, ili kufanya upatanisho kwa aijli yao mbele zake?
Pourquoi n’avez-vous pas mangé dans le lieu saint l’hostie pour le péché, qui est très sainte, et qui vous a été donnée, afin que vous portiez l’iniquité de la multitude, et que vous priiez pour elle en la présence du Seigneur,
18 Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema, kwa hiyo iliwapasa kwa hakika kuwa mekwisha ila kwenye eneo la hema, kama nilivyoagiza?
Surtout puisqu’on n’a pas porté de son sang dans les lieux saints, et que vous auriez dû la manger dans le sanctuaire comme il m’a été ordonné?
19 Kisha Aroni akamjibu Musa, “Tazama, leo walitoa sadaka yao ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa mbele za Yahweh, na jambo hili vilevile limetendeka kwangu leo. Ikiwa nimeshakula sadaka ya dhambi leo, Je! Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahweh?”
Aaron répondit: La victime pour le péché a été offerte aujourd’hui, et l’holocauste devant le Seigneur; mais pour moi, il m’est arrivé ce que tu vois. Comment aurais-je pu la manger, ou plaire au Seigneur dans les cérémonies, avec un esprit profondément affligé?
20 Naye Musa aliposikia hivyo, akaridhika.
Ce qu’ayant entendu Moïse, il reçut son excuse.