< Mambo ya Walawi 10 >
1 Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua kila mtu kifukizo chake, akaweka moto ndani yake, na kisha uvumba. Kisha wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa.
Ja Aaronin pojat Nadab ja Abihu ottivat kumpikin suitsutusastiansa, ja panivat tulta niihin, ja panivat suitsutusta sen päälle: ja kantoivat vierasta tulta Herran eteen, jota ei hän heille ollut käskenyt.
2 Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh na kuwala, nao wakafa mbele za Yahweh.
Silloin läksi tuli Herralta, ja kulutti heidät; niin että he kuolivat Herran edessä.
3 Kisha Musa akamwambia Aroni, Hivi ndiyo Yahweh alivyokuwa akizunguzia aliposema, 'Nitaufunua utakatifu wangu kwa wale wajao mbele zangu. Nami nitatukuzwa mbele za watu wote.'” Naye Aroni hakusema neno lolote.
Niin sanoi Moses Aaronille: tämä on se kuin Herra puhunut on, sanoen: Minä pyhitetään niissä, jotka minua lähestyvät, ja kaiken kansan edessä minä kunnioitetaan. Ja Aaron oli ääneti.
4 Musa akamwita Mishaeli na Elzafani, wana wa Uzieli mjomba wa Aroni, naye akamwambia, “njoo huku na uwatowe ndugu zako nje ya kambi watoke mbele ya hema.”
Mutta Moses kutsui Misaelin, ja Eltsaphanin, Usielin, Aaronin sedän pojat ja sanoi heille, tulkaat ja kantakaat teidän veljenne pyhän edestä: ulos leiristä.
5 Hivyo wakakaribia na kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani, nao wakawapeleka nje ya kambi, kama Musa alivyokuwa ameelekeza. Kisha Musa akamwambia Aroni na wanawe wengine wawili, Eliezari na Ithamari, “
Ja he tulivat ja kantoivat heidät hameinensa leiristä, niinkuin Moses oli sanonut.
6 Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu, ili kwamba msije mkafa, na kwamba Yahweh asilikasirikie kusanyiko zima. Lakini waacheni jamaa zenu, nyumba yote ya Israeli waweze kufanya ibada za maombolezo kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto.
Niin sanoi Moses Aaronille, ja hänen pojillensa Eleatsarille ja Itamarille: ei teidän pidä paljastaman teidän päätänne, eikä myös repimän teidän vaatteitanne, ettette kuolisi, ja ettei viha tulisi kaiken kansan päälle: mutta teidän veljenne koko Israelin huoneesta itkekään tätä paloa, jonka Herra sytyttänyt on.
7 Msiende nje kutoka kwenye ingilio la hema la kukutania, ama sivyo mtakufa, kwa kuwa mafuta ya Yahweh ya upako yako juu yenu.” Kwa hiyo wakatenda sawasawa na maelekezo ya Musa.
Vaa ei teidän pidä menemän seurakunnan majan ovesta ulos, ettette kuolisi; sillä Herran voidellusöljy on teidän päällänne. Ja he tekivät Moseksen sanan jälkeen.
8 Mungu akazungumza na Aroni, akisema,
Ja Herra puhui Aaronille, sanoen:
9 “Msinywe mvinyo wala kinywaji kikali, wewe, au wanao wanaobaki pamoja nawe, ili kwamba mtakapoingia kwenye hema ya kukutania msije mkafa. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu,
Viinaa ja väkevää juomaa ei pidä sinun juoman, eikä sinun poikas sinun kanssa, koska te menette seurakunnan majaan, ettette kuolisi: se pitää oleman ijankaikkinen sääty teidän sukukunnillenne,
10 ili kupaambanua kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida, na kati ya najisi na safi,
Että te eroitatte mikä pyhä ja ei pyhä, mikä saastainen ja puhdas on.
11 ili kwamba mweze kuwafundisha watu wa Israeli amri zote ambazo Yahweh ameziamru kwa kinywa cha Musa.
Ja että te opettaisitte Israelin lapsille kaikki oikeudet, kuin Herra heille Moseksen kautta puhunut on.
12 Musa akazungumza na Aroni na wanawe wawili waliosalia; Eliazari naIthamari, Twaeni sadaka ya nafaka inayobaki kutokana na sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto, nanyi ileni kando ya madhabahu bila hamiara, kwa kuwa ni takatifu sana.
Ja Moses puhui Aaronille ja hänen jääneille pojillensa Eleatsarille ja Itamarille: ottakaat se, joka tähteeksi jäänyt on ruokauhrista, Herran tuliuhrista, ja syökäät se happamattomana alttarin tykönä; sillä se on kaikkein pyhin.
13 lazima mtaila mahali patatifu kwa sababu huo ni mgao wako wewe na mgao wa wanao wa matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, kwa kuwa hivi ndivyo limeamriwa niwaambie.
Ja teidän pitää sen syömän pyhällä sialla: sillä se on sinun oikeutes ja sinun poikais oikeus Herran tuliuhrista; sillä se on minulle niin käsketty.
14 Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh, yapasa mzile mahali palipo safi panapokubalika kwa Mungu. Wewe mwenyewe, wanao na binti zako waliopamoja nawe mtakula sehemu hizo, kwa kuwa zimetolewa kuwa mgao wako na mgao wa wanao kutokana na dhabihu ya sadaka ya ushirika wa watu wa Israeli.
Mutta häälytysrinnan ja ylennyslavan pitää sinun ja sinun poikas ja tyttäres sinun kanssas syömän puhtaalla paikalla; sillä tämä oikeus on sinulle ja sinun pojilles annettu Israelin lasten kiitosuhrista;
15 Lile paja lililotolewa na kidari kilichotikiswa, ni lazima ziletwe pamoja na sadaka ya mafuta iliyofanywa kwa moto, ili kutikiswa mbele za Yahweh. Nazo zitakuwa zako wewe na wanao kuwa mgao wenu daima, kama Yahweh alivyoamru.
Sillä ylennyslapa ja häälytysrinta, lihavuus tuliuhrein kanssa, pitää kannettaman sisälle häälytettää häälytykseksi Herran edessä: sentähden pitää sen oleman sinulle ja sinun lapsilles ijankaikkiseksi säädyksi, niinkuin Herra käskenyt on.
16 Kisha Musa akauliza kuhusu yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye akagundua kwamba alikuwa ametekezwa kwa moto. Kwa hiyo akawakasirikia Eliazari na Ithamari, wana wa Aroni waliosalia; akawaambia,
Ja Moses etsi ahkerasti rikosuhrin kaurista, ja katso, se oli poltettu: ja vihastui Eleatsarin ja Itamarin Aaronin jääneiden poikain päälle, sanoen:
17 “Kwa nini hamjaila sadaka ya dhambi katika eneo la hema, kwa kuwa ni takatifu sana, na kwa kuwa Yahweh amishaitoa kwenu ili kuchukua uovu wa kusanyiko, ili kufanya upatanisho kwa aijli yao mbele zake?
Miksi ette ole syöneet rikosuhria pyhällä paikalla? sillä se on kaikkein pyhin, ja hän on antanut teille sen, että teidän pitää kantaman kansan rikokset, ja sovittaman heitä Herran edessä.
18 Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema, kwa hiyo iliwapasa kwa hakika kuwa mekwisha ila kwenye eneo la hema, kama nilivyoagiza?
Katso, hänen verensä ei ole tuotu pyhään: teidän olis pitänyt kaiketi syömän sen pyhässä, niinkuin minulle käsketty on.
19 Kisha Aroni akamjibu Musa, “Tazama, leo walitoa sadaka yao ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa mbele za Yahweh, na jambo hili vilevile limetendeka kwangu leo. Ikiwa nimeshakula sadaka ya dhambi leo, Je! Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahweh?”
Mutta Aaron sanoi Mosekselle: katso, tänäpänä ovat he uhranneet rikosuhrinsa ja polttouhrinsa Herran edessä. Ja minulle on senkaltainen asia tapahtunut: ja pitäiskö minun tänäpänä syömän rikosuhrista, olisko se Herralle otollinen?
20 Naye Musa aliposikia hivyo, akaridhika.
Kun Moses sen kuuli, tyytyi hän siihen