< Mambo ya Walawi 10 >
1 Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua kila mtu kifukizo chake, akaweka moto ndani yake, na kisha uvumba. Kisha wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa.
Og Arons Sønner, Nadab og Abihu, toge hver sit Ildkar og lagde Ild derudi og lagde Røgelse derpaa, og de bragte fremmed Ild for Herrens Ansigt, hvilket han ikke havde befalet dem.
2 Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh na kuwala, nao wakafa mbele za Yahweh.
Da for en Ild ud fra Herrens Ansigt og fortærede dem, og de døde for Herrens Ansigt.
3 Kisha Musa akamwambia Aroni, Hivi ndiyo Yahweh alivyokuwa akizunguzia aliposema, 'Nitaufunua utakatifu wangu kwa wale wajao mbele zangu. Nami nitatukuzwa mbele za watu wote.'” Naye Aroni hakusema neno lolote.
Da sagde Mose til Aron: Dette er det, som Herren har talet og sagt: Jeg vil helliggøres i dem, som staa mig nær, og jeg vil herliggøres for alt Folkets Aasyn; og Aron tav.
4 Musa akamwita Mishaeli na Elzafani, wana wa Uzieli mjomba wa Aroni, naye akamwambia, “njoo huku na uwatowe ndugu zako nje ya kambi watoke mbele ya hema.”
Men Mose kaldte ad Misael og ad Elzafan, Sønner af Usiel, Arons Farbroder, og sagde til dem: Træder frem, bærer eders Brødre fra Helligdommen hen uden for Lejren.
5 Hivyo wakakaribia na kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani, nao wakawapeleka nje ya kambi, kama Musa alivyokuwa ameelekeza. Kisha Musa akamwambia Aroni na wanawe wengine wawili, Eliezari na Ithamari, “
Og de traadte frem og bare dem i deres Kjortler hen udenfor Lejren, som Mose havde sagt.
6 Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu, ili kwamba msije mkafa, na kwamba Yahweh asilikasirikie kusanyiko zima. Lakini waacheni jamaa zenu, nyumba yote ya Israeli waweze kufanya ibada za maombolezo kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto.
Da sagde Mose til Aron og til hans Sønner, Eleasar og Ithamar: I skulle ikke blotte eders Hoveder og ej sønderrive eders Klæder, at I ikke skulle dø, og Herren skulde blive vred paa al Menigheden; men lader eders Brødre af alt Israels Hus græde over denne Brand, som Herren har optændt.
7 Msiende nje kutoka kwenye ingilio la hema la kukutania, ama sivyo mtakufa, kwa kuwa mafuta ya Yahweh ya upako yako juu yenu.” Kwa hiyo wakatenda sawasawa na maelekezo ya Musa.
Men I skulle ikke gaa ud af Forsamlingens Pauluns Dør, at I ikke skulle dø, thi Herrens Salveolie er paa eder; og de gjorde efter Mose Ord.
8 Mungu akazungumza na Aroni, akisema,
Men Herren talede til Aron og sagde:
9 “Msinywe mvinyo wala kinywaji kikali, wewe, au wanao wanaobaki pamoja nawe, ili kwamba mtakapoingia kwenye hema ya kukutania msije mkafa. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu,
Du og dine Sønner med dig skulle ikke drikke Vin eller stærk Drik, naar I gaa ind i Forsamlingens Paulun, paa det I ikke skulle dø; det skal være en evig Skik hos eders Efterkommere,
10 ili kupaambanua kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida, na kati ya najisi na safi,
for at I kunne gøre Skilsmisse imellem det hellige og det vanhellige og imellem det urene og det rene,
11 ili kwamba mweze kuwafundisha watu wa Israeli amri zote ambazo Yahweh ameziamru kwa kinywa cha Musa.
og for at I kunne lære Israels Børn alle de Skikke, som Herren har sagt til dem ved Mose.
12 Musa akazungumza na Aroni na wanawe wawili waliosalia; Eliazari naIthamari, Twaeni sadaka ya nafaka inayobaki kutokana na sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto, nanyi ileni kando ya madhabahu bila hamiara, kwa kuwa ni takatifu sana.
Og Mose sagde til Aron og til hans Sønner, Eleasar og Ithamar, som vare overblevne: Tager det Madoffer, det som er levnet fra Herrens Ildoffer, og æder det med usyret. Brød ved Alteret; thi det er en højhellig Ting.
13 lazima mtaila mahali patatifu kwa sababu huo ni mgao wako wewe na mgao wa wanao wa matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, kwa kuwa hivi ndivyo limeamriwa niwaambie.
Men I skulle æde det paa et helligt Sted; thi det er din beskikkede Del og dine Sønners beskikkede Del af Herrens Ildofre; thi saaledes er mig befalet.
14 Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh, yapasa mzile mahali palipo safi panapokubalika kwa Mungu. Wewe mwenyewe, wanao na binti zako waliopamoja nawe mtakula sehemu hizo, kwa kuwa zimetolewa kuwa mgao wako na mgao wa wanao kutokana na dhabihu ya sadaka ya ushirika wa watu wa Israeli.
Men Rørelsens Bryst og Gavens Bov skulle I æde paa et rent Sted, du og dine Sønner og dine Døtre med dig; thi til din beskikkede Del og dine Børns beskikkede Del ere de givne af Israels Børns Takofre.
15 Lile paja lililotolewa na kidari kilichotikiswa, ni lazima ziletwe pamoja na sadaka ya mafuta iliyofanywa kwa moto, ili kutikiswa mbele za Yahweh. Nazo zitakuwa zako wewe na wanao kuwa mgao wenu daima, kama Yahweh alivyoamru.
Gavens Bov og Rørelsens Bryst, som høre til Ildofrene af Fedtstykkerne, skulle de bære frem for at lade dem røre med en Rørelse for Herrens Ansigt; og det skal, være dig og dine Børn med dig en evig beskikket Del, som Herren har befalet.
16 Kisha Musa akauliza kuhusu yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye akagundua kwamba alikuwa ametekezwa kwa moto. Kwa hiyo akawakasirikia Eliazari na Ithamari, wana wa Aroni waliosalia; akawaambia,
Og Mose ledte flittigt efter Syndofrets Buk, og se, den var opbrændt; og han blev vred paa Eleasar og paa Ithamar, Arons Sønner, dem som vare overblevne, og sagde:
17 “Kwa nini hamjaila sadaka ya dhambi katika eneo la hema, kwa kuwa ni takatifu sana, na kwa kuwa Yahweh amishaitoa kwenu ili kuchukua uovu wa kusanyiko, ili kufanya upatanisho kwa aijli yao mbele zake?
Hvi have I ikke ædt Syndofret paa det hellige Sted? thi det er en højhellig Ting; og han har givet eder det, at I skulle bære Menighedens Skyld, for at I skulle gøre Forligelse for dem, for Herrens Ansigt.
18 Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema, kwa hiyo iliwapasa kwa hakika kuwa mekwisha ila kwenye eneo la hema, kama nilivyoagiza?
Se, dets Blod er ikke bragt indenfor i Helligdommen; I skulde jo have ædt det paa et helligt Sted, saa som jeg har befalet.
19 Kisha Aroni akamjibu Musa, “Tazama, leo walitoa sadaka yao ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa mbele za Yahweh, na jambo hili vilevile limetendeka kwangu leo. Ikiwa nimeshakula sadaka ya dhambi leo, Je! Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahweh?”
Men Aron sagde til Mose: Se, i Dag have de ofret deres Syndoffer og deres Brændoffer for Herrens Ansigt, og mig er sligt vederfaret; skulde jeg da have ædt Syndofret i Dag, skulde det have været godt for Herrens Øjne?
20 Naye Musa aliposikia hivyo, akaridhika.
Der Mose hørte det, da syntes det ham at være godt.