< Mambo ya Walawi 1 >

1 Mungu alimwita Musa na alisema naye kutoka kweye hema la kukutania, akasema,
خداوند از خیمهٔ ملاقات با موسی سخن گفت و به او فرمود:
2 “Sema na wana wa Israeli na uwaambie, 'Mwanaume yeyote miongoni mwenu akileta sadaka kwa Bwana, aleta kama matoleo katika wanyama wako, iwapo mifugo au katika kundi.”
«این دستورها را به بنی‌اسرائیل بده. وقتی کسی به خداوند قربانی تقدیم می‌کند، قربانی او باید گاو، گوسفند و یا بز باشد.
3 Kama matoleo yake ni ya sadaka ya kutekezwa kutoka katika kundi, atatoa dume asiyekuwa na kasoro. Atamtoa katika mlango wa kuingilia katika hema ya kukutania, ili iwe imekubaliwa mbele za Bwana.
اگر بخواهد برای قربانی سوختنی یک گاو قربانی کند، آن گاو باید نر و بی‌عیب باشد. گاو را دم مدخل خیمهٔ ملاقات بیاورد تا مورد قبول خداوند قرار گیرد.
4 Ataweka mikono yake kichwani pa sadaka ya kuteketezwa, na ndipo itakuwa imekubaliwa badala yake kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe.
شخصی که آن را می‌آورد، باید دستش را روی سر حیوان بگذارد. به این ترتیب آن قربانی پذیرفته شده، گناهان شخص را کفاره می‌کند.
5 Ndipo atapaswa kuchinja ng'ombe mbele ya Bwana. Watoto wa Aroni, makuhani wataleta damu na kuinyunyizia katika madhabahu iliyo katika mlango wa kuingilia katika hema la kukutania.
بعد خود آن شخص حیوان را در حضور خداوند سر ببرد و پسران هارون که کاهنند، خون آن را بیاورند و بر چهار طرف مذبح که جلوی مدخل خیمهٔ ملاقات است، بپاشند.
6 Ndipo ataichuna sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande.
سپس آن شخص پوست گاو را بکند و آن را قطعه‌قطعه کند،
7 Kisha wana wa Haruni kuhani wataweka moto katika madhabahu na kuweka kuni ili kuchochea moto.
و کاهنان هیزم روی مذبح بگذارند، آتش روشن کنند
8 Wana wa Haruni, makuhani wataweka vipande, kichwa na mafuta, watazipanga juu ya kuni zilizoko juu ya moto ulio madhabahuni.
و قطعه‌ها و سر و چربی آن را روی هیزم قرار دهند.
9 Lakini matumbo yake na miguu lazima ataiosha kwa maji. Kisha kuhani atateketeza kila kitu kilicho juu ya madhabahu kama sadaka ya kuteketeza. Italeta harufu nzuri sana kwangu; itakuwa sadaka iliyotolewa kwa moto kwa ajili yangu.
آنگاه آن شخص باید دل و روده و پاچه‌های گاو را با آب بشوید و کاهنان همه را روی مذبح بسوزانند. این قربانی سوختنی، هدیه‌ای خوشبو و مخصوص برای خداوند خواهد بود.
10 Kama sadaka kwa ajili ya sadaka ya kuteketeza kutoka kundi, kondoo au mbuzi, lazima atoe dume asiye na kasoro.
«اگر گوسفند یا بز برای قربانی بیاورند، آن نیز باید نر و بی‌عیب باشد.
11 Lazima atamchinja juu ya madhabahu iliyo katika upande wa kaskazini mbele ya Bwana. Wana wa Haruni makuhani, watanyunyiza damu kila upande wa madhabahu.
شخصی که آن را می‌آورد باید در سمت شمالی مذبح در حضور خداوند سرش را ببرد و کاهنان که پسران هارونند، خونش را بر چهار طرف مذبح بپاشند.
12 Kisha ataikata katika vipande, pamoja na kichwa na mafuta yake, kuhani atavipanga juu ya kuni zilizo katika moto ulio madhabahuni,
سپس، آن شخص حیوان قربانی شده را قطعه‌قطعه کند و کاهنان این قطعه‌ها را با سر و چربی آن روی هیزم مذبح بگذارند.
13 lakini matumbo yake na miguu yake lazima ioshwe kwa maji. Kisha kuhani atatoa yote na kuiteketeza juu ya madhabahu. Ni sadaka ya kuteketezwa, italeta harufu nzuri kwa ajili ya Bwana; itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
آن شخص باید دل و روده و پاچه‌های گوسفند یا بز را با آب بشوید. سپس کاهنان همهٔ آنها را روی آتش مذبح بسوزانند. این قربانی سوختنی، هدیه‌ای مخصوص و خوشبو برای خداوند خواهد بود.
14 Kama sadaka yake kwa Bwana itakuwa ni sadaka ya kuteketezwa ni ndege, ndipo ataleta kama sadaka yake aidha ni huwa au kinda la njiwa.
«اگر کسی می‌خواهد برای قربانی سوختنی پرنده برای خداوند قربانی کند، آن پرنده باید قمری یا جوجه کبوتر باشد.
15 Kuhani ataileta madhabahuni, atamnyonga kichwa chake, na kuiteketeza juu ya madhabahu. Kisha damu yake itachuruzishwa juu ya pande za madhabahu.
کاهن، پرنده را بگیرد و جلوی مذبح سرش را بپیچاند و آن را بر مذبح بسوزاند. اما اول باید خونش را بر پهلوی مذبح بچلاند.
16 Kisha atakiondoa kibofu chake pamoja na uchafu wake, na kukiweka upande wa mashariki mwa madhabahu, katika sehemu ya majivu.
چینه‌دان و محتویات داخل شکمش را درآورد و آنها را در طرف شرق مذبح در جایی که خاکستر مذبح ریخته می‌شود بیندازد.
17 Kisha atapasua mabawa yake, lakini hatagawanya katika vipande viwili. Kisha Kuhani atamtekeza katika madhabahu, juu ya kuni amabazo ziko juu ya moto. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa, na italeta harufu nzuri sana kwa Bwana; itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
سپس بالهای پرنده را گرفته، آن را از وسط پاره کند بدون اینکه پرنده دو تکه شود. آنگاه کاهن آن را روی هیزم مذبح بسوزاند. این قربانی سوختنی، هدیه‌ای مخصوص و خوشبو برای خداوند خواهد بود.

< Mambo ya Walawi 1 >