< Mambo ya Walawi 1 >

1 Mungu alimwita Musa na alisema naye kutoka kweye hema la kukutania, akasema,
Ra Anumzamo'a atruhu seli nompinti Mosesenkura ke huno anage hu'ne,
2 “Sema na wana wa Israeli na uwaambie, 'Mwanaume yeyote miongoni mwenu akileta sadaka kwa Bwana, aleta kama matoleo katika wanyama wako, iwapo mifugo au katika kundi.”
Israeli vahe'mokizmia zamasamige'za Ra Anumzamo'nare'ma ofama kresramana vunante'naku hanu'za, kegavama nehania sipisipio meme afu kevufinti avreno kresramana vunanteno.
3 Kama matoleo yake ni ya sadaka ya kutekezwa kutoka katika kundi, atatoa dume asiyekuwa na kasoro. Atamtoa katika mlango wa kuingilia katika hema ya kukutania, ili iwe imekubaliwa mbele za Bwana.
Kre fanane hu ofama hu'zama bulimakao afu'zamifinti'ma avre'za esu'za, ve bulimakao afu afuhe afahe osu'nesia su'za avre'za atru'ma nehaza seli mono nomofo kafante omentesageno, Ra Anumzamo'a antahimigahie.
4 Ataweka mikono yake kichwani pa sadaka ya kuteketezwa, na ndipo itakuwa imekubaliwa badala yake kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe.
Agra ana ofama hania bulimakao afu'mofo asenire kumi'amofo nonama hanigu azana antenkeno, Ra Anumzamo'a antahinemino kumi'a atrentegahie.
5 Ndipo atapaswa kuchinja ng'ombe mbele ya Bwana. Watoto wa Aroni, makuhani wataleta damu na kuinyunyizia katika madhabahu iliyo katika mlango wa kuingilia katika hema la kukutania.
Hagi ana ve bulimakao anenta afura Ra Anumzamofo avuga ananke akafritesigeno, Aroni mofavremo'za pristi eri'zama e'nerizamo'za korama'a tagi'za vu'za seli mono nomofo avugama me'nea kresramana vu itare ome rutri rutri hugagiho.
6 Ndipo ataichuna sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande.
Hagi anamo'a ana bulimakaomofona akru'a kararu vaziteno, avufga'a tagahu osi osi hutesigeno,
7 Kisha wana wa Haruni kuhani wataweka moto katika madhabahu na kuweka kuni ili kuchochea moto.
Aroni mofavre naga pristi eri'zama e'nerizamo'za kresramana vu itarera tevea erise hu'za agofetura ante fatgo hugahaze.
8 Wana wa Haruni, makuhani wataweka vipande, kichwa na mafuta, watazipanga juu ya kuni zilizoko juu ya moto ulio madhabahuni.
Anantera Aroni mofavreramima pristi eri'zama e'nerizamo'za kresramana vu itare'ma tevema hanavazisare, tagahu osi osi'ma hanaza ame'ane, aseni'ane, afova'anena, eri antefatgo hugahaze.
9 Lakini matumbo yake na miguu lazima ataiosha kwa maji. Kisha kuhani atateketeza kila kitu kilicho juu ya madhabahu kama sadaka ya kuteketeza. Italeta harufu nzuri sana kwangu; itakuwa sadaka iliyotolewa kwa moto kwa ajili yangu.
Agazama'ane agusu'agesezama'a timpi sese hutesigeno, pristi vahe'mo'a kre sramana vu itarera ome kresageno mana'amo'a marerinkeno, Ra Anumzamo'a knare mana nentahino muse hugahie.
10 Kama sadaka kwa ajili ya sadaka ya kuteketeza kutoka kundi, kondoo au mbuzi, lazima atoe dume asiye na kasoro.
Hagi sipisipio meme afu kevu'afinti'ma kresramana vunaku'ma hanimo'a, afuhe afahe'ma osu'nesia ve afu avregahie.
11 Lazima atamchinja juu ya madhabahu iliyo katika upande wa kaskazini mbele ya Bwana. Wana wa Haruni makuhani, watanyunyiza damu kila upande wa madhabahu.
Kresramana vu itamofona noti kaziga Ra Anumzamofo avuga ana afura anankena akafrisigeno, Aroni mofavreramima pristi eri'zama e'nerizamo'za korama'a tagi'za kresramna vu itamofona rutri tri hugagigahaze.
12 Kisha ataikata katika vipande, pamoja na kichwa na mafuta yake, kuhani atavipanga juu ya kuni zilizo katika moto ulio madhabahuni,
Agra tagahu osi osi hutenkeno, pristi vahe'mo'a erino kresramana vu itamofona agofetu tevema nerea trate omerintese huteno, anazanke huno aseni'ane afova'anena erino kresramana vu itare ome kregahie.
13 lakini matumbo yake na miguu yake lazima ioshwe kwa maji. Kisha kuhani atatoa yote na kuiteketeza juu ya madhabahu. Ni sadaka ya kuteketezwa, italeta harufu nzuri kwa ajili ya Bwana; itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
Agiazama'ane agusu agese'zama'a timpi sese hutesigeno, pristi vahe'mo'a kresramana vu itarera mika ome kresageno, manamo'a marerinkeno, Ra Anumzamo'a knare mana nentahino musena hugahie.
14 Kama sadaka yake kwa Bwana itakuwa ni sadaka ya kuteketezwa ni ndege, ndipo ataleta kama sadaka yake aidha ni huwa au kinda la njiwa.
Hagi Ra Anumzamofonte'ma kre fanene hu ofama hu'zama namaramima avreno'ma esuno'a, maho namao kugofa kna namafinti, mago avreno kresramana vu itarera egahie.
15 Kuhani ataileta madhabahuni, atamnyonga kichwa chake, na kuiteketeza juu ya madhabahu. Kisha damu yake itachuruzishwa juu ya pande za madhabahu.
Hagi pristi vahe'mo'a kresramna vu itare ana nama avreno vuteno, ananke eri vamagino eri akafriteno kresramana vu itare kresramana nevuno, korama'a erino kresramana vu itamofo asoparega tagitregahie.
16 Kisha atakiondoa kibofu chake pamoja na uchafu wake, na kukiweka upande wa mashariki mwa madhabahu, katika sehemu ya majivu.
Ana namamofona azoka'ane, azanku'anena kresramana vu itamofona zage hanati kaziga tanefama katenetrazafi atregahaze.
17 Kisha atapasua mabawa yake, lakini hatagawanya katika vipande viwili. Kisha Kuhani atamtekeza katika madhabahu, juu ya kuni amabazo ziko juu ya moto. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa, na italeta harufu nzuri sana kwa Bwana; itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
Hagi pristi ne'mo'a ana namamofona agekonare azeri'neno eri taganavazino erizuzu huteno, kresramana vu itare'ma tevema nerefi mika, ome kresigeno mana'a marerinkeno, Ra Anumzamo'a knare mana nentahino musena hugahiankino, e'i ana ofa tevefi kre fanene hu ofe.

< Mambo ya Walawi 1 >