< Maombolezo 5 >
1 Kumbuka, Yahweh, yaliyo tutokea na uone aibu yetu.
HERRE, kom vor Skæbne i Hu, sku ned og se vor Skændsel!
2 Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni; nyumba zetu kwa wageni.
Vor Arvelod tilfaldt fremmede, Udlændinge fik vore Huse.
3 Tumekuwa yatima, bila baba, na mama zetu ni kama wajane.
Forældreløse, faderløse er vi, som Enker er vore Mødre.
4 Lazima tulipe fedha kwa maji tunayo kunywa, na tulipe fedha kupata mbao zetu.
Vort Drikkevand maa vi købe, betale maa vi vort Brænde.
5 Hao wanakuja kwetu wamekaribia nyuma yetu; tumechoka na hatuwezi pata mapumziko.
Aaget trykker vor Nakke, vi trættes og finder ej Hvile.
6 Tumejitoa kwa Misri na kwa Assiria tupate chakula cha kutosha.
Ægypten rakte vi Haand, Assur, for at mættes med Brød.
7 Baba zetu walifanya dhambi, na hawapo tena, na tumebeba dhambi zao.
Vore Fædre, som synded, er borte, og vi maa bære deres Skyld.
8 Watumwa walitutawala, na hakuna wa kutuokoa na mikono yao.
Over os raader Trælle, ingen frier os fra dem.
9 Tunapata mkate wetu pale tunapo hatarisha maisha, kwasababu ya upanga wa nyikani.
Med Livsfare henter vi vort Brød, udsatte for Ørkenens Sværd.
10 Ngozi zetu zimekuwa na moto kama jiko kwasababu ya joto la njaa.
Vor Hud er sværtet som en Ovn af Hungerens svidende Lue.
11 Wanawake wanabakwa Sayuni, na mabikra katika mji wa Yuda.
De skændede Kvinder i Zion, Jomfruer i Judas Byer.
12 Watoto wa mfalme wamenyongwa na mikono yao, na hakuna heshima inayoonyeshwa kwa wazee.
Fyrster greb de og hængte, tog intet Hensyn til gamle.
13 Wanaume vijana wanalizimishwa kusaga mbegu kwa jiwe la kusagia, na wavulana wanajikwa chini ya vifurushi vya kuni.
Ynglinge sattes til Kværnen, under Brændeknippet segnede Drenge.
14 Wazee wameacha lango la mji, na vijana wameacha miziki.
De gamle forsvandt fra Porten, de unge fra Strengenes Leg.
15 Furaha ya moyo imekoma na kucheza kwetu kumegeuka kilio.
Vort Hjertes Glæde er borte, vor Dans er vendt til Sorg.
16 Taji limeanguka kichwani mwetu; ole wetu, kwa kuwa tumetenda dhambi!
Kronen faldt af vort Hoved, ve os, at vi har syndet!
17 Kwa kuwa moyo wetu umekuwa unaumwa, na machozi yetu ya fifia, kwa vitu hivi macho yetu yanafifia
Vort Hjerte blev derfor sygt, derfor vort Øje mørkt:
18 maana Mlima Sayuni umelala ukiwa, mbwa wa mitaani wacheza juu yake.
For Zions Bjerg, som er øde, Ræve tumler sig der.
19 Lakini wewe, Yahweh, unatawala milele, na utaketi katika kiti chako cha enzi vizazi na vizazi. Kwanini unatusahau milele?
Du, HERRE, troner for evigt, fra Slægt til Slægt staar din Trone.
20 Kwanini unatutelekeza kwa siku nyingi?
Hvi glemmer du os bestandig og svigter os alle Dage?
21 Turejeshe kwako, Yahweh, na sisi tutarejea. Fanya upya siku zetu kama zilivyo kuwa hapo zamani -
Omvend os, HERRE, til dig, saa vender vi om, giv os nye Dage, som fordum!
22 vinginevyo labda uwe umetukataa na una hasira kwetu kupita kiasi.
Eller har du helt stødt os bort, er din Vrede mod os uden Ende?