< Maombolezo 5 >
1 Kumbuka, Yahweh, yaliyo tutokea na uone aibu yetu.
Spomeni se, Jahve, što nas je snašlo, pogledaj, vidi sramotu našu!
2 Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni; nyumba zetu kwa wageni.
Baština naša pade u ruke strancima, domovi naši pripadoše tuđincima.
3 Tumekuwa yatima, bila baba, na mama zetu ni kama wajane.
Siročad smo: oca nemamo, majke su nam kao udovice.
4 Lazima tulipe fedha kwa maji tunayo kunywa, na tulipe fedha kupata mbao zetu.
Vodu što pijemo plaćamo novcem, i za drvo valja nam platiti.
5 Hao wanakuja kwetu wamekaribia nyuma yetu; tumechoka na hatuwezi pata mapumziko.
Jaram nam je o vratu, gone nas, iscrpljeni smo, ne daju nam predahnuti.
6 Tumejitoa kwa Misri na kwa Assiria tupate chakula cha kutosha.
Pružamo ruke k Egiptu i Asiriji da se kruha nasitimo.
7 Baba zetu walifanya dhambi, na hawapo tena, na tumebeba dhambi zao.
Oci naši zgriješiše i više ih nema, a mi nosimo krivice njihove.
8 Watumwa walitutawala, na hakuna wa kutuokoa na mikono yao.
Robovi nama zapovijedaju, a nitko da nas izbavi iz ruku njihovih.
9 Tunapata mkate wetu pale tunapo hatarisha maisha, kwasababu ya upanga wa nyikani.
Kruh svoj donosimo izlažući život maču u pustinji.
10 Ngozi zetu zimekuwa na moto kama jiko kwasababu ya joto la njaa.
Koža nam gori kao peć užarena, ognjicom od plamena gladi.
11 Wanawake wanabakwa Sayuni, na mabikra katika mji wa Yuda.
Oskvrnuli su žene na Sionu i djevice u gradovima judejskim.
12 Watoto wa mfalme wamenyongwa na mikono yao, na hakuna heshima inayoonyeshwa kwa wazee.
Svojim su rukama vješali knezove, ni lica staračka nisu poštivali.
13 Wanaume vijana wanalizimishwa kusaga mbegu kwa jiwe la kusagia, na wavulana wanajikwa chini ya vifurushi vya kuni.
Mladići su nosili žrvnjeve, djeca padala pod bremenom drva.
14 Wazee wameacha lango la mji, na vijana wameacha miziki.
Starci su ostavili vrata, mladići više ne sviraju na lirama.
15 Furaha ya moyo imekoma na kucheza kwetu kumegeuka kilio.
Radosti nesta iz naših srdaca, naš ples se pretvori u tugovanje.
16 Taji limeanguka kichwani mwetu; ole wetu, kwa kuwa tumetenda dhambi!
Pao je vijenac s naše glave, jao nama što zgriješismo!
17 Kwa kuwa moyo wetu umekuwa unaumwa, na machozi yetu ya fifia, kwa vitu hivi macho yetu yanafifia
Evo zašto nam srce boluje, evo zašto nam oči se zastiru:
18 maana Mlima Sayuni umelala ukiwa, mbwa wa mitaani wacheza juu yake.
zato što Gora sionska opustje i po njoj se šuljaju šakali.
19 Lakini wewe, Yahweh, unatawala milele, na utaketi katika kiti chako cha enzi vizazi na vizazi. Kwanini unatusahau milele?
Ali ti, Jahve, ostaješ zauvijek, tvoj je prijesto od koljena do koljena.
20 Kwanini unatutelekeza kwa siku nyingi?
Zašto da nas zaboraviš zauvijek, da nas ostaviš za mnoge dane?
21 Turejeshe kwako, Yahweh, na sisi tutarejea. Fanya upya siku zetu kama zilivyo kuwa hapo zamani -
Vrati nas k sebi, Jahve, obratit ćemo se, obnovi dane naše kao što nekoć bijahu.
22 vinginevyo labda uwe umetukataa na una hasira kwetu kupita kiasi.
Il' nas hoćeš sasvim zabaciti i na nas se beskrajno srditi?