< Maombolezo 4 >

1 Dhahabu imechakaa; jinsi gani dhahabu safi imebadilika! Mawe matakatifu yamezagaa katika kila njia ya mtaa.
Aleph. How is gold maad derk, the beste colour is chaungid? the stonys of the seyntuarie ben scaterid in the heed of alle stretis.
2 Wana wa dhamani wa Sayuni walikuwa na dhamani ya uzito wa dhahabu safi, lakini sasa hawana dhamani zaidi ya majagi ya udogo, kazi ya mikono ya mfinyazi!
Beth. The noble sones of Sion, and clothid with the best gold, hou ben thei arettid in to erthene vessels, in to the werk of the hondis of a pottere?
3 Ata mbwa wa mitaani wanatoa maziwa yao kuwanyonyesha watoto wao, lakini binti wa watu wangu amekuwa katili, kama mbuni katika jangwa.
Gimel. But also lamyes maden nakid her tetis, yauen mylk to her whelpis; the douyter of my puple is cruel, as an ostrig in desert.
4 Ulimi wa mtoto mchanga anaye nyonya unagota juu mdomo wake kwa kiu; watoto wanaomba chakula, lakini hakuna kwa ajili yao.
Deleth. The tonge of the soukynge childe cleued to his palat in thirst; litle children axiden breed, and noon was that brak to hem.
5 Wao walizoea kula chakula cha gharama sasa wana shinda njaa mitaani; wao walio lelewa kwa kuvaa nguo za zambarau, sasa wamelala katika majalala.
He. Thei that eeten lustfuli, perischiden in weies; thei that weren nurschid in cradels, biclippiden toordis.
6 Hukumu ya binti wa watu wangu ni kubwa kuliko hiyo ya Sodoma, na ilipinduliwa kwa dakika na hakuna aliye yanyua mkono kumsaidia.
Vau. And the wickidnesse of the douyter of my puple is maad more than the synne of men of Sodom, that was distried in a moment, and hondis token not therynne.
7 Viongozi wake walikuwa wasafi kuliko theluji, weupe kuliko maziwa; miili yao ilikuwa imara kuliko jiwe, mwili wao ulikuwa kama yakuti samawi.
Zai. Nazareis therof weren whitere than snow, schynyngere than mylk; rodier than elde yuer, fairere than safire.
8 Muonekano wao umekuwa mweusi kama giza; hawatambuliki mitaani. Ngozi zao zimesinya kwenye mifupa yao; imekuwa kavu kama kuni.
Heth. The face of hem was maad blackere than coolis, and thei weren not knowun in stretis; the skyn cleuyde to her boonys, it driede, and was maad as a tre.
9 Hao walio uawa kwa upanga walikuwa na furaha zaidi kuliko hao walio kufa kwa njaa, walio potea, wakatobolewa kwa ukosefu wa mavuno shambani.
Teth. It was betere to men slayn with swerd, than to men slayn with hungur; for these men wexiden rotun, thei weren wastid of the bareynesse of erthe.
10 Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao; wamekuwa chakula chao wakati ambapo binti wa watu wangu alipo kuwa akiharibiwa.
Joth. The hondis of merciful wymmen sethiden her children; thei weren maad the metis of tho wymmen in the sorewe of the douyter of my puple.
11 Yahweh alionyesha gadhabu yake yote; alimwaga hasira yake kali. Aliwasha moto Sayuni uliteketeza misingi yake.
Caph. The Lord fillide his strong veniaunce, he schedde out the ire of his indignacioun; and the Lord kyndlide a fier in Sion, and it deuouride the foundementis therof.
12 Wafalme wa dunia hawaku amini, wala wakazi wa dunia, kwamba maadui au wapinzani waliweza kuingia malangoni ya Yerusalemu.
Lamet. The kyngis of erthe, and alle dwelleris of the world bileueden not, that an aduersarie and enemy schulde entre bi the yatis of Jerusalem.
13 Haya yalitokea kwasababu ya dhambi za manabii na na maasi ya makuhani walio mwaga damu ya wenye haki mbele zake.
Men. For the synnes of the profetis therof, and for wickidnessis of preestis therof, that schedden out the blood of iust men in the myddis therof.
14 Walitanga, kwa upofu, mitaani. Walikuwa wamejitia unajisi kwa damu hiyo ambapo hakuna aliye ruhusiwa kushika nguo zao.
Nun. Blynde men erryden in stretis, thei weren defoulid in blood; and whanne thei miyten not go, thei helden her hemmes.
15 “Kaa mbali! Wewe mnajisi!” Watu waliwapazia sauti. “Kaa mbali! Kaa mbali! Usiguse!” Hivyo wakatanga; watu walisema miongoni mwa mataifa, “Hawawezi kukaa hapa tena.”
Samet. Thei crieden to hem, Departe awei, ye defoulide men, departe ye, go ye awei, nyle ye touche; forsothe thei chidden, and weren stirid; thei seiden among hethene men, God schal no more leie to, that he dwelle among hem.
16 Yahweh mwenyewe akawatawanyisha; hawatazami tena. Hawa waheshimu makuhani, na hawaonyeshi upendeleo kwa wazee.
Ayn. The face of the Lord departide hem, he schal no more leie to, that he biholde hem; thei weren not aschamed of the faces of preestis, nether thei hadden merci on eld men.
17 Macho yetu yalikwama, yakitazama bure kwa msaada; kutoka minara yetu ya ulinzi tulitazama taifa lisilo weza tuokoa.
Phe. The while we stoden yit, oure iyen failiden to oure veyn help; whanne we bihelden ententif to a folc, that myyte not saue vs.
18 Walifuata hatua zetu, hatukuweza kutembea mitaani mwetu. Mwisho wetu ulikuwa karibu na siku zetu zilihesabiwa, mwisho wetu ulifika.
Sade. Oure steppis weren slidir in the weie of oure stretis; oure ende neiyede, oure daies weren fillid, for oure ende cam.
19 Walio tukimbiza walikuwa wepesi kuliko tai wa aangani. Walitukimbiza kwenye milima na kutuwinda nyikani.
Coph. Oure pursueris weren swiftere than the eglis of heuene; thei pursueden vs on hillis, thei settiden buschementis to vs in desert.
20 Pumzi katika pua zetu - mpakwa mafuta wa Yahweh - ndiye aliye kamatwa katika shimo; ambaye ndiye aliye semewa, “Chini ya kivuli chake tutaishi miongoni mwa mataifa.”
Res. The spirit of oure mouth, Crist the Lord, was takun in oure synnes; to whom we seiden, We schulen lyue in thi schadewe among hethene men.
21 Shangilia na ufurahi, binti wa Edomu, wewe unaye ishi nchi ya Uzi. Lakini kwako pia kikombe kitapitishwa; utalewa na kuvua nguo.
Syn. Thou douyter of Edom, make ioye, and be glad, that dwellist in the lond of Hus; the cuppe schal come also to thee, thou schalt be maad drunkun, and schalt be maad bare.
22 Binti wa Sayuni, hukumu yako itafika mwisho, hataongeza mateka yako lakini binti wa Edomu, ata muhadhibu; ata funua dhambi zako.
Thau. Thou douyter of Sion, thi wickidnesse is fillid; he schal not adde more, that he make thee to passe ouer; thou douyter of Edom, he schal visite thi wickidnesse, he schal vnhile thi synnes.

< Maombolezo 4 >