< Maombolezo 4 >

1 Dhahabu imechakaa; jinsi gani dhahabu safi imebadilika! Mawe matakatifu yamezagaa katika kila njia ya mtaa.
[Previously our people were like] [MET] pure gold, but now they are worthless. [Like] [MET] the sacred stones in the temple have been scattered, [our young men have been scattered].
2 Wana wa dhamani wa Sayuni walikuwa na dhamani ya uzito wa dhahabu safi, lakini sasa hawana dhamani zaidi ya majagi ya udogo, kazi ya mikono ya mfinyazi!
The young men of Jerusalem were as valuable as [MET] large amounts of gold, but now people consider that they are as worthless as [ordinary] clay pots.
3 Ata mbwa wa mitaani wanatoa maziwa yao kuwanyonyesha watoto wao, lakini binti wa watu wangu amekuwa katili, kama mbuni katika jangwa.
Even the [female] jackals/wolves feed their pups, but my people act cruelly [toward their children]; they are like [SIM] ostriches in the desert [that abandon their eggs].
4 Ulimi wa mtoto mchanga anaye nyonya unagota juu mdomo wake kwa kiu; watoto wanaomba chakula, lakini hakuna kwa ajili yao.
[My people’s] infants’ tongues cling to the roofs/tops of their mouths because they are [extremely] thirsty; the children plead for some food, but no one gives them [any].
5 Wao walizoea kula chakula cha gharama sasa wana shinda njaa mitaani; wao walio lelewa kwa kuvaa nguo za zambarau, sasa wamelala katika majalala.
People who [previously] ate fine food are [now] starving in the streets; those who previously lived luxuriously [MTY] [now] paw/dig through rubbish heaps [to find some food].
6 Hukumu ya binti wa watu wangu ni kubwa kuliko hiyo ya Sodoma, na ilipinduliwa kwa dakika na hakuna aliye yanyua mkono kumsaidia.
[The people of] Sodom were struck with a disaster very suddenly, and there was no one to rescue them; but my people have been punished more severely than [the people of] Sodom were punished.
7 Viongozi wake walikuwa wasafi kuliko theluji, weupe kuliko maziwa; miili yao ilikuwa imara kuliko jiwe, mwili wao ulikuwa kama yakuti samawi.
Our leaders’ [behavior] was [previously] very pure, whiter [and brighter] than snow and milk; their bodies were redder than [red] coral/stones; they were very strong and healthy [MET].
8 Muonekano wao umekuwa mweusi kama giza; hawatambuliki mitaani. Ngozi zao zimesinya kwenye mifupa yao; imekuwa kavu kama kuni.
But now their faces are blacker than soot, and no one recognizes them in the streets. Their skin has shriveled on their bones, and it has become as dry as [SIM] a wooden [stick].
9 Hao walio uawa kwa upanga walikuwa na furaha zaidi kuliko hao walio kufa kwa njaa, walio potea, wakatobolewa kwa ukosefu wa mavuno shambani.
It is better to die in a battle [MTY] than to die of hunger. There was no food to harvest in the fields, so the people slowly starved until they died.
10 Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao; wamekuwa chakula chao wakati ambapo binti wa watu wangu alipo kuwa akiharibiwa.
Women who [usually/previously] were very kind have [killed and] cooked their own children; they ate them [when there was no other food], when Jerusalem was surrounded [by enemy soldiers].
11 Yahweh alionyesha gadhabu yake yote; alimwaga hasira yake kali. Aliwasha moto Sayuni uliteketeza misingi yake.
Yahweh has shown that he was extremely angry; [it is as though] he started/ignited a fire in Jerusalem that burned everything to ashes.
12 Wafalme wa dunia hawaku amini, wala wakazi wa dunia, kwamba maadui au wapinzani waliweza kuingia malangoni ya Yerusalemu.
None of the kings on the earth or anyone else believed that any of our enemies could enter the gates of Jerusalem.
13 Haya yalitokea kwasababu ya dhambi za manabii na na maasi ya makuhani walio mwaga damu ya wenye haki mbele zake.
[But that is what happened]; it happened because the prophets sinned; and the priests [also] sinned by causing innocent people to be executed [MTY].
14 Walitanga, kwa upofu, mitaani. Walikuwa wamejitia unajisi kwa damu hiyo ambapo hakuna aliye ruhusiwa kushika nguo zao.
The prophets and priests wandered through the streets [as though they were] blind. No one would touch them because their clothes were stained with the blood [of people who had been killed].
15 “Kaa mbali! Wewe mnajisi!” Watu waliwapazia sauti. “Kaa mbali! Kaa mbali! Usiguse!” Hivyo wakatanga; watu walisema miongoni mwa mataifa, “Hawawezi kukaa hapa tena.”
The people [who were alive] shouted, “Stay away [from us] [DOU]! You are defiled/untouchable! Do not touch us!” So the prophets and priests fled [from Israel], and they wandered around from one country to another, because people [in each country] kept saying to them, “You cannot stay here!”
16 Yahweh mwenyewe akawatawanyisha; hawatazami tena. Hawa waheshimu makuhani, na hawaonyeshi upendeleo kwa wazee.
It is Yahweh himself who has scattered them; he no longer is concerned about them. People do not respect [our] priests or leaders.
17 Macho yetu yalikwama, yakitazama bure kwa msaada; kutoka minara yetu ya ulinzi tulitazama taifa lisilo weza tuokoa.
We [SYN] continued to look for someone to help [us], but it was useless. We continued to watch to see if one of our allies would save us, but none of the nations that we were waiting for could help [us].
18 Walifuata hatua zetu, hatukuweza kutembea mitaani mwetu. Mwisho wetu ulikuwa karibu na siku zetu zilihesabiwa, mwisho wetu ulifika.
[Our] enemies were hunting for us, so we could not [even] walk in our streets [lest they seize us]. We were about to be captured; it was time for us to be killed.
19 Walio tukimbiza walikuwa wepesi kuliko tai wa aangani. Walitukimbiza kwenye milima na kutuwinda nyikani.
Those who pursued us were faster than eagles [flying] in the sky. Even if we fled to the mountains or hid in the desert, they [went there ahead of us and] waited [to attack] us.
20 Pumzi katika pua zetu - mpakwa mafuta wa Yahweh - ndiye aliye kamatwa katika shimo; ambaye ndiye aliye semewa, “Chini ya kivuli chake tutaishi miongoni mwa mataifa.”
[Our king, ] whom Yahweh appointed, was the one who enabled us to remain alive [MTY]; he was the one whom we trusted to protect us [IDM] from [the armies of] other nations. But he was [captured] [like animals are] [MET] caught in a pit.
21 Shangilia na ufurahi, binti wa Edomu, wewe unaye ishi nchi ya Uzi. Lakini kwako pia kikombe kitapitishwa; utalewa na kuvua nguo.
You people of [IDM] Edom and Uz, [you may] be happy [about what is happening to us now], but [Yahweh] will be punishing [MTY] you [also]. You will become drunk and will be ashamed [because your enemies] will have stripped off your clothes.
22 Binti wa Sayuni, hukumu yako itafika mwisho, hataongeza mateka yako lakini binti wa Edomu, ata muhadhibu; ata funua dhambi zako.
You [people of] [APO] Jerusalem, the time of your being punished will end; Yahweh will not allow you to continue to live in (exile/foreign countries). But [you people of] [APO] Edom, Yahweh will punish [you]; he will reveal the wicked things that you have done.

< Maombolezo 4 >