< Maombolezo 2 >

1 Bwana amemfunika binti wa Sayuni chini ya wingu la hasira yake. Ametupa utukufu wa Israeli chini kutoka mbinguni hadi duniani. Hajakumba stuli yake ya miguu siku ya hasira yake.
Hina Gode da ougi bagadeba: le, E da Saione Moilai Bai Bagade amo gasiga dedebolesi. Saione ea hadigi isisima: goi ba: su hou amo E da mugululi, gugunufinisi dagoi. Amolawane, E da Ea ougi ba: i esoga, Ea Debolo Diasu amo higale, fisiagai.
2 Bwana amemeza na hajawa na huruma kwa miji yote ya Yakobo. Siku za hasira zake ameangusha miji imara ya binti wa Yuda; kwa aibu ameshusha chini ufalme na watala wake.
Hina Gode da mae asigili, Yuda soge moilai huluanedafa gugunufinisi. Amola gagili sali moilai amo da musa: Yuda soge fi gaga: i, amo huluane E da mugululi hiougili fasi. Hina Gode da Yuda hina bagade amola ilia ouligibi fi amo huluane gogosiama: ne amane hamoi.
3 Kwa hasira kali amekata kila pembe ya Israeli. Ameurudisha mkono wake kutoka kwa adui. Amechoma Yakobo kama moto mkali unao teketeza kila kitu karibu yake.
Gode da bagadewane ougiba: le, Isala: ili fi ilia gasa fofonobonesi. Ha lai da nini doagala: musa: manoba, Gode da nini fidimu higa: i. E da lalu gia: i bagade defele, ninima gegenanu, liligi huluane gugunufinisi.
4 Kama adui amepindisha upinde wake kuelekea kwetu, na wakulia wake yupo tayari kushambulia. Amewachinja wote walio kuwa wanampendeza katika hema la binti wa Sayuni; Amemwaga gadhabu yake kama moto
Hina Gode da ha lai dunuga gala: musa: dilaligibi defele, ninima gala: musa: dilaligi. Dunu amola uda amoma ninia da nodoi, Hina Gode da amo medole lelegei. Yelusaleme moilai bai bagadega guiguda: , Hina Gode Ea gia: i bagade ougi hou da ninima doaga: i.
5 Bwana amekuwa kama adui. Amemeza Israeli. Amemeza majumba yake yote. Ameharibu ngome zake. Ameongeza kilio na maombolezo kati ya mabinti wa Yuda.
Ninima ha lai dunu defele, Hina Gode da Isala: ili fi gugunufinisi dagoi. E da Isala: ili gagili sali diasu amola hina bagade diasu huluane gugunufinisili yolesi. E da hamobeba: le, Yuda fi dunu huluane da eso huluane mae fisili, da: i dione dawa: lala.
6 Ameshambulia hema lake la kukutania kama kajumba cha bustani. Ameharibu sehemu ya kukusanyikia. Yahweh amesababisha kukusanyika na Sabato kusahaulika Sayuni, kwa kuwa amemdharau mfalme na kuhani katika ukali wa hasira yake.
E da Debolo (amo ganodini ninia da Ema nodone sia: ne gadoi), amo E da fili gagoudane fasi. E da hadigi eso amola Sa: bade eso huluane dagolesi. Hina bagade ilia amola gobele salasu dunu ilia da defele, Hina Gode Ea ougi bagade ba: i.
7 Bwana amekataa madhabahu yake na kukana sehemu yake takatifu. Ametoa kuta za majumba mikononi mwa adui. Wamepaza sauti nyumbani mwa Yahweh, kama siku ya sherehe.
Hina Gode da Ea oloda higale ba: i, amola Ea hadigi Debolo Diasu yolesi. E da ha lai dunu ilia Debolo dobea muguluma: ne, logo doasi. Amogawi ninia da musa: hahawane Hina Godema sia: ne gadosu. Be ninima ha lai dunu da Debolo Diasu wadela: lesili, hasalabeba: le nodone wele sia: i.
8 Yahweh aliamua kuharibu ukuta wa mji wa binti wa Sayuni. Amenyoosha kamba ya kipimo na hajauzuia mkono wake kutoharibu ukuta. Amefanya minara na ukuta kuomboleza; pamoja vilipotea.
Hina Gode da Saione gagoi muguluma: ne dafawane ilegei. Amo dafawanedafa gugunufinisima: ne, e da amo defele ilegei. Gagagula heda: i diasu amola gagoi amo da wali gilisili wadela: lesi dialebe ba: sa.
9 Malango yake yameanguka chini, ameharibu na kuvunja chuma za ukuta. Mfalme wake na watoto wa mfalme wapo miongoni mwa mataifa, sheria haipo tena na manabii wake hawapati maono kutoka kwa Yahweh.
Saione logo ga: su ilia da gagoudane fasili, isuga dedeboi ba: sa. Yuda hina bagade amola hina bagade sosogo fi da wali mugululi asi dagoi. Ilia da Hina Gode Ea sema bu hame olelesa. Amola Hina Gode da Ea balofede dunu (Gode Sia: Alofesu dunu) ilima esala ba: su bu hame olesa.
10 Wazee wa binti wa Sayuni wameketi chini na ukimya. Wamerusha vumbi kichwani mwao na kuvaa magunia. Mabikra wa Yerusalemu wameinamisha vichwa vyao chini.
Yelusaleme moilai bai bagade fi da: i hamoi dunu da ouiya: le osoboga fi diala. Ilia dialuma da: iya da osobo gulu ligisili, amola ilia da eboboi abula gaga: i. Uda a: fini ilia da osoboa mi bugili begudusa.
11 Macho yangu yamekaukiwa machozi yake; tumbo langu la nguruma; sehemu zangu za ndani zimemwagika chini kwasababu ya uharibifu wa binti wa watu wangu, watoto na wachanga wamezimia mitaani mwa mji.
Na da dinana, na si da fofasa. Na da se bagade nabala. Na fi dunu da gugunufinisi dagoiba: le, na da dinana sasei. Mano amola mano dudubu ilia da moilai bai bagade logoba: le sidigia: sa.
12 Wanasema kwa mama zao, “Mbegu ziko wapi na mvinyo?” kama wanavyo zimia kama mtu aliye jeruhiwa mitaani mwa mji, maisha yao yamemwaga kwenye kifua cha mama zao.
Ha: ga amola hano hanaga, ilia da emema dini iaha. Ilia da dadiga gala: i dunu defele, ilia logoa gala: la sa: ili, emelalia lobo da: iya gebewane bogogia: sa.
13 Nini naeza kusema kwako, binti wa Yerusalemu? Naweza kufananisha na nini, ili ni kufariji, binti bikra wa Sayuni? Jera lako ni kubwa kama bahari. Nani anaweza kukuponya?
Waaee! Yelusaleme! Dogolegei Yelusaleme! Na da adi sia: ma: bela: ? Na da habodane di dogo denesima: bela: ? Dunu afaega da agoane hame hahani. Di gugunufinisisu da alalo hamedei hano wayabo bagade agoai ba: sa. Noga: ma: bela: le dawa: mu da hamedei.
14 Manabii wako wameona uongo na maono batili kwa ajili yako. Hawaja weka wazi dhambi zako kurejesha mali zako, lakini kwako wametoa matamko ya uongo na ya kupotosha.
Dia balofede dunu da dima moloi sia: mae sia: ne, ogogosu sia: fawane sia: su. Ilia dima ogogole olelebeba: le, dia wadela: i hou da wamolegei dialebe ba: i. Ilia da ogogole sia: beba: le, di da fofada: nanu sinidigimu hame dawa: i.
15 Wote wanao pita pembeni mwa barabara wana piga makofi kwako. Wanaguna na kutikisa vichwa vyao dhidi ya binti wa Yerusalemu na kusema, “Huu ndio mji walio uita 'Ukamilifu wa uzuri,' 'Furaha ya Dunia Yote'?”
Moilai bai bagadeba: le bobaligilalebe dunu ilia dima ba: lu, migasesa. Ilia da dialuma fofoga: ne, Yelusaleme mugului amoba: le oufesega: ne, amane sia: sa, “Goe da hadigi moilai bai bagadela: ? Osobo bagade gagagusu moilai bai bagade amoga dunu huluane da hidale dawa: i, amo da goela: ?”
16 Maadui zako wote walifungua vinywa vyao na kukudhihaki. Walizomea na kusaga meno na kusema, “Tumemmeza yeye! Hii ni siku tulio subiri! Tumeishi kuweza kuiona!”
Dima ha lai dunu huluane da dima lasagole oufesega: ne, dima higale ba: sa. Ilia da lafi bula: gili mosole gagale, uhuhusa amane sia: sa, “Ninia da amo gugunufinisi dagoi. Ninia amo ba: musa: ouesalu eso da goea!”
17 Yahweh amefanya alivyo panga kufanya. Ametimiza neno lake. Amekupindua bila huruma, kwa kuwa amemruhusu adui kukusherehekea; amenyanyua pembe za maadui zako.
Hina Gode da bagadewane ouesalu be wahadafa Ea musa: dawa: ma: ne se bidi imunusa: dawa: lu amo iasi dagoi. E da musa: dafa Hi sisane sia: si amo defele, E da ninima mae asigiliwane nini gugunufinisi dagoi. E da ninia ha lai dunuma hasanasisu hou iasi, amola ninia dafai hou amoga ilima hahawane nodoma: ne iasi.
18 Mioyo yao ikamlilia Bwana, kuta za binti wa Sayuni! Fanya machozi yako kutiririka chini kama mto usiku na mchana. Usijipatie hauweni, macho yako bila hauweni.
Waaee! Yelusaleme! Dia moilai bai bagade gagoi huluane da Hina Godema disa wele sia: ma: ma. Di da gasi amola hayo huluane dia si hano da hano agoane a: i daloma: ma. Di da da: i dione dinaneawane gufia: ma: ma!
19 Nyanyuka, lia usiku, mwanzo usiku wa manane! Mwaga moyo wako kama maji mbele za uso wa Bwana. Nyoosha juu mikono yako kwa ajili ya uzima wa watoto wako wanao zimia kwa njaa kwenye njia ya kila mtaa.
Gasi ganodini wa: legadole amola eno wa: legadole, Hina Godema dini ianoma: ma. Mano da logo sagulufai huluane amoga bogogia: lala. Dia dogo huluanedafa amoga Hina Godema, E da ilima asigima: ne disawane edegema.
20 Ona, Yahweh, na ukumbuke hao ulio watende haya. Wanawake wale tunda la uzazi wao, watoto walio wajali? Makuhani na manabii wa chinjwe sehemu takatifu ya Bwana?
Hina Gode! Di ba: ma! Di da abuliba: le ninima se bidi agoane iasibala: ? Uda da ilia dogolegei mano ilia da: i hodo naha. Ha lai dunu da gobele salasu dunu amola balofede dunu amo Debolo Diasu ganodini medole lelegesa.
21 Wote wadogo kwa wakubwa wana keti kwenye udongo wa mitaa. Wanawake wangu wadogo na wanaume wangu wadogo wameanguaka kwa upanga; umewachinja pasipo kuwa hurumia.
Ayeligi amola asigilai defele, logoba: le bogogia: i dialebe ba: sa. Ayeligi amola uda a: fini ilia da ha lai ilia gegesu gobiheiga fane lelegebe ba: sa. Hina Gode! Dia ougi eso amoga Di da mae asigiliwane, ili medole lelegei.
22 Umeitisha, kama ungewaita watu katika siku ya maakuli, hofu yangu kila sehemu, katika siku ya hasira ya Yahweh hakuna aliye toroka; hao niliyo wajali na kuwakuza, adui wangu amewaharibu.
Di da dunu ilia eno dunu lolo nabe amoga hiougibi defele Di da nama ha lai na gugunufinisimusa: hiougi. Dia ougi eso amoga dunu afae da hobeamu hamedafa ba: i. Ilia da na dogolegei manolali amo na da bugili i, amo huluane medole legei.

< Maombolezo 2 >